25/10/2025
                                            Ningepata nafasi ya kuongelesha hawa wagombea wa siasa ningewaambia hivi:
Sikilizeni nynyi wagombea hivi watu wote ninyi mnapigania kiti kimoja watu almost kumi na kitu .
Nazungumzia kiti Cha MCA .Nawaomba K**a mnaona mwenye yuko mamlakani hafanyi ipasavyo basi muungane na mpate mtu mmja tu wakumtoa .
Lakini Hilo Kila mtu haliwazi kabisa Kila mtu yuko na lazima yeye ndo awe kwa debe.
Anjine ni abanangi.
je unaona ni nani anafaa kuchukua nafasi hii ya uongozi au tuachane na kampeni mbura anatosha?