Weldy Brian

Weldy Brian Digital Creator
Writer
Call/WhatsApp: +254722146892
(5)

π€π˜π€ππ€ πŸ“π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒   Gonga like the following Weldy Brian π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏Robert ndio wanafika home lakini Annaliza...
05/06/2026

π€π˜π€ππ€ πŸ“π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Gonga like the following Weldy Brian
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Robert ndio wanafika home lakini Annaliza alishtuka ati Kylian hajafika since atoke. Robert akamwambia usijali maybe he needed some time kiasi acha atulie atakuja. Annaliza anasema apana, Kylian hakuangi hivyo but k**a ni time anataka he will be back...huh! Joke on you.

Kumbe Kylian,tuliona ametekwa nyara ndio sasa acha niwaonyeshe mwenye alimkidnap, Kefa. Kylian wakati anapata ufahamu ndio alishtuka mwenye amemkidnap ni Kefa 🀣🀣Kefa alicheka akamwambia kijana,hakuna mwenye anakuja kukusafe. Kylian anashindwa kwani nimekosa nini lakini Kefa alichukua rungu akamwambia sikiza,nilikulea k**a mtoto wangu,I raised you Kylian alafu fala atokee tu huko ati sasa anakuchukua,I wont allow that. Wah! Revenge time.

Tyrone na Saida cant wait ju ni kesho tu wanafanya wedding,kwanza k**a kuna mtu ako soo happy ni Saida alafu sasa mwenye ako extremely happier ni Tyrone. They are counting hours wavalishane pete waanze kumumunyana rasmi 🀣🀣🀣hadi waliamua kukisiana,lakini kabla Saida hajatoa ulimi,Asha akafika 🀣🀣🀣

Tyrone aliambia Asha sweetheart,ukija hapa unanock kiasi unaona karibu utupate tuki,eeh! Ile kitu🀣🀣🀣

Haya! Tuliona Annaliza ameomba ruhusa aende kupimana nguo ya wedding lakini sikiza,Annaliza hakua anaenda kupima nguo,alikua anakuja kwa Kefa na already ashafika.

Annaliza alikuja akapata Kefa akamwambia najua huwa unaiona nakuchukia lakini bado nakupenda,kwanza nimesikia ati ulisaidia Tinah,manze you are one in a million na nimekuja tu kuomba msamaha incase nilikukwanza. Annaliza hana habari,huyu huyu Kefa amemukidnap Kylian.

Sikiza, Annaliza amekuja kuomba msamaha Kefa na ju anajua kesho anafanya wedding guess alifanya nini,alimshika Kefa shirt na akampeleka kwa bedroom,ile kitu walifanya huko,eeh! Hata shetani alibaki akiwa amekaa hapo kando akishangaa tu na hivi ndio lodgings huwa wakuu,acha niwaambie story ya rafiki yangu,aliniuliza mbona kwa lodging kunakuanga na kiti hapo. Sababu ya kiti ni ya kukaliwa na shetani akiwaangalia venye mnatandika usherati 🀣🀣🀣🀣Imagine kesho ni wedding ya Annaliza as alleged,but ameamua kuangushia Kefa leo k**a ishara ya kumuomba msamaha.
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Saida alienda akaongelesha Nura akamwambia aache mchezo na Mathew kisha baadaye akakuja kwa Tinah ju anajua Tinah anamchukua ju alibail Ray out. Tinah kamejam kanamwambia Saida iam sick of your drama lakini Saida alijaribu kumuongelesha but Tinah hataki kusiia anything. Saida alimwambia nakujali sana na nilikua na hofu,najua tumeishi kuchukiana lakini its time we cut the hatch ju nakujali sana. Mathew ako hapo akamwambia Saida wee pia nyamaza unasema unamjali an uliendelea na story zako na wedding hiyo ni kumjali gani? Saida alimwambia Mathew sikiza usipende kuwa sumu kwa maisha ya watu,na ukiendelea kukanyaga nyoka itakuuma. Mathew hafikirii hajui siri yake Saida ako nayo.

Kumbe Annaliza na yeye baada ya kukulana na Kefa,alishikwa na kale ka usingizi ka after mechi,sasa Robert ndio amemcall,hashiki ju Annaliza amelala kulala. Aliamka akapata 87 missed calls.

Annaliza mbio mbio akaoga akatengeza nywele ready kuenda. Ona sasa Kefa venye anaenjoy after kusweat 🀣🀣🀣

Turudi kwa Mathew na Saida,alimwambia Mathew,hufai hata kupiga mdomo hapa,yafaa unyamaze. Mathew akamwambia wee unajaribu kuwa guilty ju najua hupendi Tinah na sikuogopi na venye mlifanyia Tinah lazima utalipia. Saida akamuuliza unangoja nini,si ufanye chenye unaeza fanya ama uende polisi ama. Saida anashindwa haka katoto nikafanyie nini but akaambia Tinah sikiza k**a kuna mtu wa kulaumu ni huyu Mathew na mimi naomba tu msamaha wewe k**a wewe na sitawai rudia kukuudhi tena. Tinah akamuuliza mbona uombe msamaha? Saida akamwambia ni ju kesho mimi na babako tunafganya harusi. Tinah akashtuka akauliza Mathew,ni kweli,kuna wedding an hujai niambia? Mathew akamwambia yeah ni ukweli they are wedding. Tinah ndio alishtuka anasema how can my dad marry this useless woman here. Lakini Saida yeye anacheka tu ju hata pia anajua who is useless woman 🀣🀣

Tyrona alipigia mapolisi simu akawaambia sikzia, sijui mtafanya aje, lakini chenye nataka mtafuta Brayson mumueke ndani,come rain come sunshine.

Saida alikuja akaambia Tyrone kimeumana,ju huyo Mathew simuoni vizuri,mwanaume ni mdomo k**a kasuku. Punde si punde,Tinah akakuja akauliza babake,Tyrone,so ulikua ufanye wedding bila kuniambia? Tyrone akamwambia niliona uko na vitu mob za kufikiria sikutaka kukuchosha but usijali yeah kesho nafanya wedding unless uniambie chenye ulitaka nikuambie. Tinah akamuuliza ulifikiria aje siku ya wedding,k**a nilikua missing ama venye nilirudi? Tyrone akamwambia I think thats not important,what matters is uko hapa..Lakini Tinah akamuuliza,so k**a ningeendelea kupotea ungeendelea na wedding? Tyrone akamwambia noo,tulikua na mambo ya kufikiria sana kukuhusu,so relax na usinipigie kelele wewe msichana🀣🀣🀣🀣

Meanwhile....
Nikimalizia malizia,tafadhali
Naomba kazi before msahau kazi mi hufanya.
MONTHLY/ANNUAL SHA PREMIUM APPEALS/REDUCTIONS
Call/WhatsApp 0722146892

You can imagine receiving a call your husband alienda kazini is no more 😒😒Yani ukiwa uhai every minute shukuru Mungu.Thi...
05/06/2026

You can imagine receiving a call your husband alienda kazini is no more 😒😒

Yani ukiwa uhai every minute shukuru Mungu.

This has happened hapa Westy near Sallam. A police officer on motorbike amegongwa and died on spot 😒😒

With him were two guns and walkie talkie. You can tell he was actively on duty.

*COPIED*

Makubwa haya! Alinunua shamba bila kufanya upekusi kujua mwenye shamba.Wakati mwenye shamba alikufa aliletwa na akazikwa...
04/06/2026

Makubwa haya! Alinunua shamba bila kufanya upekusi kujua mwenye shamba.

Wakati mwenye shamba alikufa aliletwa na akazikwa kwa gate ya mwenye alinunua shamba😒😒

Ati sasa ndio kila siku ukiamka ukitoka unapita kwa kaburi ya mwenye shamba.

π€π˜π€ππ€ πŸ’π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒   Follow Weldy Brian π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏Nimeamka 6am kuandika Updates! Usipite k**a hujaeka LIKE ❀️...
04/06/2026

π€π˜π€ππ€ πŸ’π“π‡ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Follow Weldy Brian
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Nimeamka 6am kuandika Updates! Usipite k**a hujaeka LIKE ❀️❀️
Annaliza asharealize alikosea na k**a mke mwema aliamua apana,acha aundie mume wake kitu. Ashapika chai ready for Robert. Robert na yeye ameamua kuamka aende tu kazi hivyo lakini Annaliza alimzuia akamwambia babe hakuna place unaenda k**a hatujaongea kwanza jana ukaninyima nikalala na baridi tena sai? Annaliza alihakikisha Robert ametulia na hata ikawa wakunywe chai lakini punde si punde,simu ikapigwa,Tinah amepatikana. Robert na Annaliza waliacha chai mbio hadi kwa Tyrone.

Kumbe Kylian alitoka kutembea na akakutana na Kefa,akamuuliza my former dad,huyu Tinah umesikia anything? Kefa akamwambia aah,kwani hujaambiwa? Kylian akamuuliza nini? Kefa akamwambia mimi nilipata Tinah nikampeleka kwao unaeza enda kumuona kwa mansion. Kylian alifurahi aje,hadi akamhug Kefa.

Robert walifika na kitu ya kwanza aliuliza ni,nani alikua amekukidnap? Tinah akamwambia aje? Ni Sabina. Shock on Robert's face.

Huku nje Mathew akiwa amekaa hapo,Nura alikuja akampata akiwa na stress stress akamwambia najua pia unashangaa Sabina amegeukaje but usijali,cha muhimu Tinah asharudi na ako mzima mnaeza endelea mapenzi yenu bika wasiwasi. Nura alingoja Mathew aseme kitu kuhusu wao but Mathew hakusema kituπŸ₯²πŸ₯²πŸ₯²contract iliisha🀣

Robert ashajua kila kitu sasa na amejam,mbaya mbovu. Akasema aende kwa bathroom kiasi akaacha Annaliza na Tinah hapo. Kisha Annaliza akamuuliza by the way na ulipatikana aje? Tinah akamwambia its Kefa,he rescued me. Annaliza akashtuka.

Kumbe Robert alikuja akapata Saida hapo na Tyrone. Robert anataka kumpiga Saida lakini Tyrone alimzuia,akamwambia bro,relax,Saida hana makosa lakini Robert amejam,akaambia Saida nikifind out ulikua involved utajua hujui,you are the reason behind my daughter's kidnapping na ukabail out Brayson. Asha alikuja akaambia Robert usiongeleshe mamangu hivyo, hakuna makosa amefanya ju hata pia nilipea Brayson chance so is my mum is guilty Iam guilty too. Tyron hakupenda venye Robert alireact k**a mshenzi.

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Saida alijam akaenda na Tyrone akamfuata,akamwambia please Saida,usiwe hivyo usichukulie Robert vibaya hajui chenye anafanya lakini Saida akamwambia shida si Robert shida ni wewe. Tyrone akamuuliza nimefanya nini tena? Saida akamwambia yani wewe umesimama hapo lakini Asha atoke hukoo kunitetea na wewe umesimama tu hapo.

Said alijam hadi akatoa pete akapea Tyrone akamwambia wedding yako ya matakataka na kwako sitaki kabisa. Imagine Saida ako serious hadi akaanza kupack nguo zake lakini Tyrone akamwambia huendi pahali. Kwa harakati ya wao wanabishana bishana,wakaanguka kwa kitanda kisha wakaangaliana. Checki s*x eyes 🀣🀣🀣ile hasira Saida alikua nayo ikaisha mara moja🀣🀣🀣

Robert na yeye kurudi kwa nyumba,pia akaambiwa ni Robert alirescue Tinah. Robert akasema zii, huyo mwanaume hakuna kitu anaeza fanya kizuri na usijaribu kumuamini. Robert hataki kusikia ukweli ati ni Kefa, co husband amesaidia Tinah🀣🀣🀣

Tinah akauliza na Kylian ako wapi? Robert akadanganya akasema ameenda kuregister university. Lakini wakati huo huo,Kylian hata hajulikani anaenda wapi,lakini alianza kupigiwa simu,kila saa akipigiwa anakata,kisha akiwa kwa barabara,kuna jamaa walipitana,jamaa akamuangalia lakini Kylian akaendelea na shughuli zake za kutembea,akapigiwa simu tena lakini this time round akiangalia simu,aliguzwa kutoka nyuma. Maskini wa Mungu Kylian kugeuka aangalie ni nani amemguza,alipigwa kofi ya uso,akaona nyota...kisha akatekwa nyara na simu yake ikachukuliwa. Kylian has just been kidnapped,wah! Makosa.

Asha na yeye alikuja kwa room akapata ndio babake anarudisha pete kwa mkono wa mamake,akawaambia nilijua tu chenye kimefanyika,mama amekasirika akatoa pete na afetr 5min akatulia ndio inarudishwa🀣🀣🀣🀣

Nura ashaanza kujam akiona Tinah na Mathew wanalishana 🀣🀣🀣

Baadaye, kabla Robert waende, walikuja wakaomba msamaha kwa Saida venye Robert alireact na kila kitu kikawa sawa,kisha Tyrone akauliza byh the way kuhusu Kefa kumuokoa Tinah mumeonelea aje? Robert akamwambia tumeongea na my wife na hata tumeona its time nichukua Tinah akuje kuishi na mimi. Tyrone akamwambia haina shida,Tinah is always welcome kwangu.

All in, kila mtu is happy na hata Asha akawaambia wako na weddings za kupanga,lakini hawana habari,hiyo wedding haitafanyika,kwa nini? Kylian has just been kidnapped.

Hadi badae wakuu. Msininyime likes

What's happening with the President πŸ™„πŸ™„πŸ™„Pray for him, he seems unwellπŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”
03/06/2026

What's happening with the President πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Pray for him, he seems unwellπŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”

π€π˜π€ππ€ πŸ‘π‘πƒ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒    Gonga like na unifollow hapa ka hujanifollow Weldy Brian π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏Asiyefunzwa na mamak...
02/06/2026

π€π˜π€ππ€ πŸ‘π‘πƒ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Gonga like na unifollow hapa ka hujanifollow Weldy Brian
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Asiyefunzwa na mamake huchoma shule. Annaliza alikaa akaona apana,huyu mtoto ananizoea vibaya sana alikuja akamwambia sikiza Kylian,ujinga wako na Nura wont happen,sai badala nishughulike na kupanga harusi yangu uko hapa kunikula kichwa. Kylian akamwambia mum kwanza hufai kuingia kwa room yangu hivyo. Annaliza akamwambia shut up,ngamia! You are under my room and you do as I say.

Kylian alianza kucheka πŸ˜‚πŸ˜‚akaambia mamake,unasema uko under your roof na mimi niko kwa nyumba ya babangu. Annaliza akamwambia ebu rudia kitu umesema,Kylian akamwambia nimesema niko kwa nyumba ya ba..pigwa kofi! Hakumaliza kalifunikwa kofi,hadi camera man akashtuka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ushawai pigwa kofi hadi babako akiwa seating room anasikia πŸ˜‚πŸ˜‚

Robert alikuja akauliza ni nini? Kylian akamwambia akilia ati imagine nimeambia mama niko kwa nyum...nyu... Annaliza akatengeneza mkono anangoja tu k**alize kusema akafunike ebola ingine ya uso. Kylian hakusema 🀣🀣🀣

Tufike kwa Tyrone,leo ni k**a ni siku ya makofi🀣🀣Tinah amejaa ngori anauliza mamake after everything nimekufanyia,nikasimama na wewe when everyone alikuchukia but malipo? Hivi ndio unanifanyia? Sabina akamwambia please my daughter...Tinah akamwambia dont call me your daughter,you are dead to me. Woiye Sabina.

Asha pia akamwambia enyewe wewe ni nyoka,nilikosana na mamangu nikidhani wewe ni mtu mzuri,kumbe wewe ni takataka tu. Sabina analia akaambia Tyrone please,I can explain...Tyrone akasongea, Sabina akidhani anakuja kuexplainiwa,alifunikwa kofi na Tyrone,hadi Kefa akashtukaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Sabina akashindwa wait,hadi akamuuliza Tyrone did you just slap me? Tyrone akamwambia ndio na una bahati sana sina gun yangu hapa ningekufunua kichwa ushangae. Now get out of my house.

Huh! Sabina akaona wee sai saa tano ya usiku aende wapi. Lakini Tyrone ako serious,alimshika mkono akaanza kumvuta nje. Sabina akamwambia please Tyrone umenivunja mguu,lakini Tyrone akamuuliza,nimekushika mkono mguu unavunjika saa ngapi? 🀣🀣🀣🀣

Asha akatoa wazo akasema dad kuliko umtoe nje,ita polisi watoke na yeye. Tyrone akamwambia hapo umesema kweli,kaniletee simu yangu. Asha akakimbia kuchukua simu. Sabina kusikia polisi wanaitwa, akaangalia kando akaona Tyrone amesubaa,akaangalia kando tena akaona Saida amesubaa, Sabina alitoka mbioπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hadi akaruka gate!

Kefa ashamaliza kazi yake,ashapeana Tinah kwa wazazi lakini akitoka,aliamua kupeana Brayson,akawaambia sikiza,no matter what you do,msimuamini Brayson..makosa! Kumbuka Kefa aliona Brayson akiongea na Stano so akajua they are in kahoot na sasa maskini wa Mungu kwa tamaa zake,Brayson akapeanwa.

Robert na yeye hakufeel venye Annaliza anabehave alikuja akamwambia by the way Annaliza,sipendi venye unanikosea heshima mbele ya mtoto,unafanya nakaa as if wewe ndio kusema kwa hii nyumba. Anna akamwambia eeh ju unajaribu kupembeleza mtoto. Robert alimwambia sikiza,do not take my kindness for weakness,hapa ni kwangu na heshima lazima idumu,lakini Annaliza akamwambia aje "relax mama nani,usiongee as if ushaniekea ring,so sijakua bibi yako"πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Rob kilijam akaamua akaamka akaenda.

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Finally Tinah is home.
Asha alikuja akakaa na yeye huku Tinah anauliza,why me! Ama nimerogwa? Asha akamwambia noo hujarogwa ama kulaaniwa. Tinah akamwambia ni rahisi unasema ju si wewe umeyapitia. Asha akamwambia hujui venye tulisumbuka tukikutafuta,tukapandika maposters na Brayson. Tinah akamwambia kwanza speaking of Brayson,mbona anaekwa kwa mix?

Hapo ndio Asha akajua,Brayson ako mwa mix na hata zile pesa za kwanza ni yeye alichukua. Asha alikuja akaambia babake akamwambia unajua Brayson ndio alikuibia zile pesa zako,ulifanya makosa sana kumlipia bail... Tyrone akawaambia its time mjue ukweli,si mimi nililipa bail,ni mama yenu ndio alilipa bail. Tyrone akamruka Saida 🀣🀣🀣🀣

Asha amejam,alikuja akamcall Brayson lakini Brayson kuona ni empress anamcall wueh,ajikute ameshika. Hakushika. Kumbe Brayson pia na yeye ameona manze mambo yashachemka and its time kuhepa Nairobi. Alipark kila kitu,manguo,everything on his name with 2million kwa bag Brayson huyoo akaishia na akazima simu🀣🀣🀣

Asha alirudi kwa mamake sasa.akamuuliza mbona ukamtoa jela? Saida akasema sikumtoa kwa ubaya,ni venye niliona lazima kuna kitu Sabina anaficha na Brayson alikua anakaa tu innocent. Asha alimwambia mum,umechoma sana.

Turudi kwa Annaliza,tangu Robert atoke,hajarudi. Annaliza ako na wasiwasi sana kumbe Robert alienda akalewa,kisha akarudi akiwa fully charged,akamwambia mwanamke sikiza,ni uamue k**a bado unataka kuoleka na mimi ama apana useme sai sai before pombe ziishe. Annaliza alimwambia babe,iam sorry haikua ifike hapo,twende kwa bed nikupee kamoja lakini Robert hataki🀣🀣alimwambia hata silali na wewe nalala kwa kiti hapa na usiniguze guze🀣🀣🀣

Siku iliyofuta Annaliza aliamkia kwa room ya Kylian but hakako kashatoka na hajui kameenda wapi. Kwa kiti pia Robert hayuko aliamka akaenda,hajui wanaume wake wameenda wapi.

Tinah alikaa akaona wee,kuna vitu siezi taka kwa hii nyumba,manguo za mamake. Alikusanya zote zote zote panty size 98 XXL, bra ngombe mzima na nguo zote akazichoma,hataki anything ya kumkumbuka mamake. All in all, pasina budi ,Brayson akitoroka, Sabina akitokomea,Tinah akiwa ameokolewa nami sina budi ila kuwakumbusha kipindi chetu cha Ayana, mwisho mwisho! Hadi kipindi kingine siku nyingine pahali ni papa hapa wakati ni huu huu kila siku tanzia Jumatatu hadi Ijumaa.

π€π˜π€ππ€ πŸ‘π‘πƒ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„πKylian alianza kucheka πŸ˜‚πŸ˜‚akaambia mamake,unasema niko under your roof na mimi niko kwa nyumba ya b...
02/06/2026

π€π˜π€ππ€ πŸ‘π‘πƒ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π
Kylian alianza kucheka πŸ˜‚πŸ˜‚akaambia mamake,unasema niko under your roof na mimi niko kwa nyumba ya babangu. Annaliza akamwambia ebu rudia kitu umesema,Kylian akamwambia nimesema niko kwa nyumba ya ba..pigwa kofi! Hakumaliza kalifunikwa kofi,hadi camera man akashtuka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ushawai pigwa kofi hadi babako akiwa seating room anasikia πŸ˜‚πŸ˜‚...

Sabina analia akaambia Tyrone please,I can explain...Tyrone akasongea, Sabina akidhani anakuja kuexplainiwa,alifunikwa kofi na Tyrone,hadi Kefa akashtukaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Sabina akashindwa wait,hadi akamuuliza Tyrone did you just slap me? Tyrone akamwambia ndio na una bahati sana sina gun yangu hapa ningekufunua kichwa ushangae. Now get out of my house.

Weka loke, full Update coming next....Follow Weldy Brian

π€π˜π€ππ€ πŸππƒ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒    Follow Weldy Brian π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏Kila mtu ameshtuka kulingana na zile gun shot zilisikika w...
02/06/2026

π€π˜π€ππ€ πŸππƒ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Follow Weldy Brian
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Kila mtu ameshtuka kulingana na zile gun shot zilisikika wakidhani maybe Tinah is no more but Saida alikuja akaambia Mathew usiwe na wasiwasi,kila kitu kiko sawa na Tinah ako sawa. Mathew alitoka kiasi na Asha akakuja,akaambia mamake huyu Mathew simuoni vizuri,nashuku yeye na Nura nik**a wameanza kukulana. Saida akamwambia nah,hamna cha hiyo. Asha akamwambia imagine leo Nura akienda sokoni walienda wote🀣🀣🀣ungeshindwa sana,Asha inamuwasha na nini.

Sabina amefika kwa Ray,akasema ooh kumbe ndio maana Ray alikua anaongea na convidence kumbe mnanicheza nyinyi wawili? Stano aliambia iza bossy,ni vente Brayson alikua ashajua ni mimi nilimgonga so ilibidi nimpe pesa ju wee huju Ray angenipeleka sayuni. Sabina akamwambia nataka pesa zangu. Ray akamuuliza pesa gani? Sabina akamwambia wee pia nyamaza nitadeal na wewe baadaye. aah! Ray akaamka 🀣🀣🀣

Akauliza Sabina unadeal na mimi aje,wewe umechezwa nyamaza na hakuna pesa unapata hapa,ama kaumane na k**a ni pesa unataka unless tufanye kazi na wewe venye tu unataka kufanya,or else niambie Tyrone ukweli 🀣🀣🀣Sabina alicheka akaambia Ray sikiza,nataka pesa zangu na you stay out of my plans. Ray akamwambia sasa zikiza, mambo ni mawili,uende ama nipigie Tyrone nimwambia kwenye Tinah ako amuendee tuone utakaa kwa mansion how many days🀣🀣

On other side, Tyrone alikuja ndio ametoka akasema ashaandikiza statement na sasa wanataka Ray pia aende kuandika statement.

Huh! 3 devils together, Ray,Stano na Sabina walielewana wanakuja na plan ingine ikasemekana ati sasa wapigie Tyrone akuje na pesa,kisha Tinah before aachiliwe Sabina ashikwe na isemekane Tyrone asijaribu kucall polisi or else Sabina auliwe🀣🀣hadi Braysona akaambia Sabina enyewe ulikua umeplan kila kitu 🀣🀣🀣

Robert na Kylian kufika nyumbani,Kylian hajapika wakamuuliza yani umekaa tu hapa,ungoja tutoke kazini na hujapika? Kylian akamwambia mamake sikiza, mimi sina njaa,nyinyi ndio mko njaa endeni mpike alah. Annaliza alijam,akataka kukafunua kofi but Robert akamshika akamwambia relax,he seem disturbed.

Robert alikuja kuongea and yeah kako na stress ju ya Nura na Mathew and in as much kanajifanya doesnt care deep down kanataka tu kulia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Robert alikuja akaambia Annaliza Kylian ni ile story ya mapenzi tu. Annaliza akamwambia na nilijua tu ni mapenzi ya kitoto hiyo. Robert akamwambia babe wait, si ya kitoto umesahau pia wewe ulikua hivyo tukianza kudate after umejua nadate na Sabi.....Annaliza akamwambia nyamazaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sabina amekuja nyumbani akiwa amejam sana akaambia Tyrone hufai kuambia polisi ju italeta shida,unataka mtoto wangu auliwe? Tyrone akamuuliza sas angefanya aje. Sabina akamwambia hatakuvali makarao wawe involved.

Sabina alikuja akacall Stano,akamwambia wee Sabina ashacall na akaambia polisi,sasa nataka muende mvideo call Tinah mtume video ikuje.

Saida alikaa akashindwa,mbona Sabina anataka Tyrone aende peke yake akaona apana,haezi kubali Tyrone aende peke yakeπŸ˜‚πŸ˜‚Saida anadhani maybe Sabina anataka Tyrone aende peke yake ndio auliwe huko πŸ˜‚πŸ˜‚

Nura akipanga panga manguo kwa room yake,Mathew alikuja tena. Nura akamuuliza unafanya nini huku? Mathew akamwambia aah,nilidhani leo pia nalala huku. Nura alimwambia tafadhali haya mazoea yanaeza leta ukaribu an tujipate tunazoeana na sitaki kuumizwa moyo. Mathew akamwambia ni kweli ju pia nafeel same. Nura akamuuliza wait so unamaanisha pia una hisia na mimi? Mathew akamwambia aje "Ndio"...mako! Makosa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mathew ashaanza kumpenda Nura.

Nura alimuuliza na Tinah je,si yeye ndio mpoa wako? Mathew akamwambia sai niko na wewe an wewe ndio nampenda hata huyo Tinah sijai mpenda venye nafeel kwako. Nura akamwambia basi acha niende ninywe maji nakuja. Nura akiondoka,Mathew akamshika mkono akavuta ukaribu kisha sasa akaamua kumkiss ile ya serious na hata Nura mwenyewe akaona manze amekaa na dry spell sana,akaamua kumkiss Mathew lakini punde si punde,eeh! Saida akawapata.πŸ˜‚πŸ˜‚

Wacha sasa Brayson,Stano na mimi tufike kwa Stano tupate Tinah hayuko. Stani alishtuka,lakini Brayson akamwambia jamaa chukua anything chako uende utoke hii mtaa,mambo yashachemka sasa. Sisi tunajua ni Kefa alimchukua Tinah but hatujui walimpeleka wapi.

Sabina wakiwa wametulia,alipigiwa simu na Stano lakini akamwambia usinicall sai nitakupigia. Kukata tu simu hivi,walisikia nini? Nura anaitana akisema jamani kujeni Tinah ashafika. Kila mtu akafika. Tyrone amefurahi sana kumuona Tinah wake,kisha Sabina pia akafika,kujaribu kuhug Tinah aliwekelewa kofi moja mbaya mbovu. Tyrone akauliza Tinah kwani mbona unapiga mamako? Tinah akamwambia my mum ndio alinikidnap alitumana gaidi anishike. Sabina akamwmabioa uongo najua ni njama ya Saida. Saida akamuuliza sasa mimi naingina wapi ngombe hii πŸ˜‚πŸ˜‚ Tinah aliwaambia sikiza, Saida has nothing to do with this,its you my mum you planned it,na Stano na tuko na evidence. Tyrone kwanza akauliza huyu goon anafanya nini hapa? Huyo ni Kefa sasa,Tinah akamwambia dad huyu goon ndio ameniokoa. Kisa wakatoa zile picha zikionyesha Sabina anaongea na Stano...Sabina aliisha nguvu mara moja πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kimeumana!

Meanwhile....
Nikimalizia malizia,tafadhali
Naomba kazi before msahau kazi mi hufanya.
MONTHLY/ANNUAL SHA PREMIUM APPEALS/REDUCTIONS

Look at them. Nikiwapata tu for only 15 minutes, watatiiiiiπŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’
02/06/2026

Look at them. Nikiwapata tu for only 15 minutes, watatiiiiiπŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’

A dormitory at Tarakwa High School was destroyed by fire early this morning at approximately 5:00 a.m. Fortunately, all ...
02/06/2026

A dormitory at Tarakwa High School was destroyed by fire early this morning at approximately 5:00 a.m. Fortunately, all affected students were evacuated safely, and no injuries or fatalities have been reported.

Hawa students ka hawataki kusoma waache tu shule wakae nyumbani. Kwani wanacompete kuchoma shuleπŸ˜’πŸ˜’πŸ˜³

Address

Kilimani

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Weldy Brian posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share