12/12/2025
๐๐๐๐๐ ๐5๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐-๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐ ๐
Asha imebidi aanze kuuza makaa hapa Kinyanjui...ju kazi zimekua hard joh...alafu mwenye amempea kazi ni madhe mwingine kichwa ngumu mbaya mbovu๐๐Asha anapelekwa mbio,anaambiwa hapa uzembe kazini sitaki na usifanye nikasirike ๐๐woiye Asha. As this is happening, hapo mbeleee Jemimah anajionea kila kitu,haamini huyu ni mtoto wa sonko anafanya kazi ya kuuza makaa,lakini kazi ni kazi tu!
Kumbe Sabina na yeye alikuja kuona Robert lakini sasa kuna shida, Robert hataki Sabina aingie ndani anamwambia niko mbio sana leo hutaingia. Robert anajua huko ndani ameacha Monaliza akifanya kazi zake na Sabina akienda huko itakua balaa. Hata si Monaliza, ni Analiza.
Chris bado anajaribu kusweet talk Tinah lakini Tinah alimwambia sikiza, mimi na wewe its a done deal na usiwai jaribu kunitafuta tena. Chris haamini ati hatakwi ๐๐๐
Robert amefika kazini,akapata Tyron is stressed sana hadi anamwambia najua uko worried ju ya Asha hata mtu anaeza dhani she is the only child of you...Tyrone akamwambia kwanza acha Asha, Tinah sikuhizi amechange sana,ashaanza biashara zake,she nolonger drink and she is really being a good girl.
Kumbe Sabina na yeye,alishuku kitu,akangoja Robert ameenda akarudi akabisha kwake ๐๐nani alifungua, Analiza. Sabina akamuuliza wewe na wewe ni nani? Analiza akamwambia yoh, iam just his colleague,akaulizwa na unafanya nini kwake? Analiza akamwambia wee una maswali mingi sana kwani wee karao ๐๐remember, Analiza ashaambiwa kila kitu na Robert and how he was helping Sabina kuhusu mtoto wake,hadi akamwambia najua una issues na mtoto Robert aliniambia but usijali atakua sawa.
Kitu kinasumbua Tyron ni hiki, Tinah alienda shule akapata X but now she is doing well, alafu Asha na yeye mwenye alikua wa kwanza ameacha shule ameenda kwa mapenzi. Tyrone anasumbuliwa sana na haya maneno mawili.
Ray ametoka mjengo akapata Asha amelala amechoka sana kwa kuuza makaa, akamuuliza babe, kwani umekua unafanya kazi gani? Asha akamwambia kuuza makaa na hata nimepata chwani nne leo. Ray akamwambia bebez please, hii si kazi yako,acha mi nifanye kazi ju hata leo mimi nimepata soo sita plus zako ni soo nane so for days tutakua sawa.
Kumbe yule jamaa tena alikuja kuona Ray, akamwmabia mzee leo leo usiku Jemimah amesema kuna mission so jipange tunatoka na unajua hufai kudissapoint Jemimah..makosa ikawa, Asha alisikia ๐ฅฒ๐ฅฒ๐ฅฒ
๐๐๐๐ ๐
Masaa ilifika, Ray akavaa makwanda zake na akadanganya Asha akamwambia babe, unajua foreman amesema nikimbie kazini kuna kazi ya usiku so acha nikimbie nipate pate tu pesa. Asha akamwambia ni sawa but si poa ukitoka usiku,just make sure unarudi na usichelewe. Huh! As if atarudi...
Robert mausiku pia akiwa ametulia,Sabina alikuja akamuuliza, huyo mwanamke wako ako wapi mwenye alilala hapa? Robert akamwambia relax Sabina hakuna mwanamke hapa. Sabina akamwambia usinione makota yako,kwanza anajua story ya mtoto wetu kwani alikupea nini ndio ukamwambia kila kitu? Robert alipiga piga kiswahili hapo na akamwambia hata k**a alilala hapa mimi nililala kwa kiti na hakuna kitu tulifanya ju I have you.
Chris na yeye alisetiwa kwa bibi yake,akaambiwa bwanako alipewa 15million na anatumia vibaya sana. Kumbe Jemimah alitumana akina Ray wamuibie Chris ๐๐๐
Chris wakati tu anatoka kwa bar akiwa happy kuspend time na mrembo mwingine,alishtukia nini, kuna pikipiki inamfuata,mako...makosa. Huyo ni Ray na yule beshte mwingine na mission yao ni moja tu,kuibia Chris pesa zooote zenye ako nazo.
Upande wa Saida amelia sana she is not used kukaa for long bila Asha wake,hadi ni Tyron tu anampombeleza.
Chris akiwa kwa barabara akanotice kuna pikipiki inamfuata...punde si punde, akidhani ni watu tu,alishtukia nini..wamesimama mbele yake kisha wakashuka na mabunduki. Withini minutes,Chris alikua ashaibiwa pesa zote na akapigwa kofi hadi chini,lakini makosa ikawa,Ray hawakuambiwa ati Chris ako na gun yake,makosa...wakati tu wanaenda kuchukua pikipiki wahepe, Chris alipata kachance kadogo tu,akachukua gun yake kisha akamlenga Ray moja ya kifua,mbaya mbovu....woi! Ray,mpenzi wa Asha,mwenye aliambia Asha anarudi sai sai walale,manze....
Turudi kwa Tyron, yeye na Tinah wako in good terms and Tinah is now a changed girl...
Kumbe Ray alibahatika, ndio pesa washaziiba lakini alipatwa na risasi ya mkono na hii sasa huwezi ficha...kuhusu beshte yake,ni hadithi tu.
Tyron akiwa na Tinah,Sabina alifika alafu anajifanya mzuri anamkiss Tyron lakini Tyron akamuuliza,umetoka wapi usiku huu? Sabina akasema ooh walivisit a sick friend and blah blah but Tinah anajua kwenye ametoka.
Sabina alimuuliza Tinah ulikutana na Jemimah? Tinah akasema noo but nilikutana na Chris but nothing happened even though alikua ananiambia tu story za sijui pesa dad alikua anampea...Tyrone akasema yeah alipewa shares zake.
Sasa taabu,shida na hulabaloo imemlalia Ray sasa,ni usiku,pesa anazo lakini hajui hali ya beshte yake ju after lile risasi walikimbia njia tofauti.
MEANWHILE.. SHA reductions inaisha on 20th, changamka usiachwe nyuma.
SHA REDUCTION OF ANNUAL PREMIUMS AVAILABLE, PLEASE CALL/WHATSAPP 0722146892.
FOLLOW Weldy Brian