Weldy Brian

Weldy Brian Digital Creator
Writer
Call/WhatsApp: 0722146892
(3)

Lt.Col Fabian Latais Lengusuranga. Fabian is an alumni of Starehe Boys center and School, class of 1996 as well as a gra...
14/12/2025

Lt.Col Fabian Latais Lengusuranga. Fabian is an alumni of Starehe Boys center and School, class of 1996 as well as a graduate of Egerton University. Cadet class of 1999.

He comes from the Elite Special Operations Brigade (The green berets)

BREAKING NEWSCyrus Jirongo dies in a road accident.
13/12/2025

BREAKING NEWS
Cyrus Jirongo dies in a road accident.

๐€๐˜๐€๐๐€ ๐Ÿ5๐“๐‡ ๐ƒ๐„๐‚ ๐’๐ŸŽ๐Ÿ‘๐„๐๐Ÿ๐Ÿ•-๐Ÿ๐Ÿ– ๐–๐‘๐ˆ๐“๐“๐„๐ ๐”๐๐ƒ๐€๐“๐„๐’  ๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ Asha imebidi aanze kuuza makaa hapa Kinyanjui...ju kazi zimekua hard j...
12/12/2025

๐€๐˜๐€๐๐€ ๐Ÿ5๐“๐‡ ๐ƒ๐„๐‚ ๐’๐ŸŽ๐Ÿ‘๐„๐๐Ÿ๐Ÿ•-๐Ÿ๐Ÿ– ๐–๐‘๐ˆ๐“๐“๐„๐ ๐”๐๐ƒ๐€๐“๐„๐’
๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Asha imebidi aanze kuuza makaa hapa Kinyanjui...ju kazi zimekua hard joh...alafu mwenye amempea kazi ni madhe mwingine kichwa ngumu mbaya mbovu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Asha anapelekwa mbio,anaambiwa hapa uzembe kazini sitaki na usifanye nikasirike ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚woiye Asha. As this is happening, hapo mbeleee Jemimah anajionea kila kitu,haamini huyu ni mtoto wa sonko anafanya kazi ya kuuza makaa,lakini kazi ni kazi tu!

Kumbe Sabina na yeye alikuja kuona Robert lakini sasa kuna shida, Robert hataki Sabina aingie ndani anamwambia niko mbio sana leo hutaingia. Robert anajua huko ndani ameacha Monaliza akifanya kazi zake na Sabina akienda huko itakua balaa. Hata si Monaliza, ni Analiza.

Chris bado anajaribu kusweet talk Tinah lakini Tinah alimwambia sikiza, mimi na wewe its a done deal na usiwai jaribu kunitafuta tena. Chris haamini ati hatakwi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Robert amefika kazini,akapata Tyron is stressed sana hadi anamwambia najua uko worried ju ya Asha hata mtu anaeza dhani she is the only child of you...Tyrone akamwambia kwanza acha Asha, Tinah sikuhizi amechange sana,ashaanza biashara zake,she nolonger drink and she is really being a good girl.

Kumbe Sabina na yeye,alishuku kitu,akangoja Robert ameenda akarudi akabisha kwake ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚nani alifungua, Analiza. Sabina akamuuliza wewe na wewe ni nani? Analiza akamwambia yoh, iam just his colleague,akaulizwa na unafanya nini kwake? Analiza akamwambia wee una maswali mingi sana kwani wee karao ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚remember, Analiza ashaambiwa kila kitu na Robert and how he was helping Sabina kuhusu mtoto wake,hadi akamwambia najua una issues na mtoto Robert aliniambia but usijali atakua sawa.

Kitu kinasumbua Tyron ni hiki, Tinah alienda shule akapata X but now she is doing well, alafu Asha na yeye mwenye alikua wa kwanza ameacha shule ameenda kwa mapenzi. Tyrone anasumbuliwa sana na haya maneno mawili.

Ray ametoka mjengo akapata Asha amelala amechoka sana kwa kuuza makaa, akamuuliza babe, kwani umekua unafanya kazi gani? Asha akamwambia kuuza makaa na hata nimepata chwani nne leo. Ray akamwambia bebez please, hii si kazi yako,acha mi nifanye kazi ju hata leo mimi nimepata soo sita plus zako ni soo nane so for days tutakua sawa.

Kumbe yule jamaa tena alikuja kuona Ray, akamwmabia mzee leo leo usiku Jemimah amesema kuna mission so jipange tunatoka na unajua hufai kudissapoint Jemimah..makosa ikawa, Asha alisikia ๐Ÿฅฒ๐Ÿฅฒ๐Ÿฅฒ

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Masaa ilifika, Ray akavaa makwanda zake na akadanganya Asha akamwambia babe, unajua foreman amesema nikimbie kazini kuna kazi ya usiku so acha nikimbie nipate pate tu pesa. Asha akamwambia ni sawa but si poa ukitoka usiku,just make sure unarudi na usichelewe. Huh! As if atarudi...

Robert mausiku pia akiwa ametulia,Sabina alikuja akamuuliza, huyo mwanamke wako ako wapi mwenye alilala hapa? Robert akamwambia relax Sabina hakuna mwanamke hapa. Sabina akamwambia usinione makota yako,kwanza anajua story ya mtoto wetu kwani alikupea nini ndio ukamwambia kila kitu? Robert alipiga piga kiswahili hapo na akamwambia hata k**a alilala hapa mimi nililala kwa kiti na hakuna kitu tulifanya ju I have you.

Chris na yeye alisetiwa kwa bibi yake,akaambiwa bwanako alipewa 15million na anatumia vibaya sana. Kumbe Jemimah alitumana akina Ray wamuibie Chris ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Chris wakati tu anatoka kwa bar akiwa happy kuspend time na mrembo mwingine,alishtukia nini, kuna pikipiki inamfuata,mako...makosa. Huyo ni Ray na yule beshte mwingine na mission yao ni moja tu,kuibia Chris pesa zooote zenye ako nazo.

Upande wa Saida amelia sana she is not used kukaa for long bila Asha wake,hadi ni Tyron tu anampombeleza.

Chris akiwa kwa barabara akanotice kuna pikipiki inamfuata...punde si punde, akidhani ni watu tu,alishtukia nini..wamesimama mbele yake kisha wakashuka na mabunduki. Withini minutes,Chris alikua ashaibiwa pesa zote na akapigwa kofi hadi chini,lakini makosa ikawa,Ray hawakuambiwa ati Chris ako na gun yake,makosa...wakati tu wanaenda kuchukua pikipiki wahepe, Chris alipata kachance kadogo tu,akachukua gun yake kisha akamlenga Ray moja ya kifua,mbaya mbovu....woi! Ray,mpenzi wa Asha,mwenye aliambia Asha anarudi sai sai walale,manze....

Turudi kwa Tyron, yeye na Tinah wako in good terms and Tinah is now a changed girl...

Kumbe Ray alibahatika, ndio pesa washaziiba lakini alipatwa na risasi ya mkono na hii sasa huwezi ficha...kuhusu beshte yake,ni hadithi tu.

Tyron akiwa na Tinah,Sabina alifika alafu anajifanya mzuri anamkiss Tyron lakini Tyron akamuuliza,umetoka wapi usiku huu? Sabina akasema ooh walivisit a sick friend and blah blah but Tinah anajua kwenye ametoka.

Sabina alimuuliza Tinah ulikutana na Jemimah? Tinah akasema noo but nilikutana na Chris but nothing happened even though alikua ananiambia tu story za sijui pesa dad alikua anampea...Tyrone akasema yeah alipewa shares zake.

Sasa taabu,shida na hulabaloo imemlalia Ray sasa,ni usiku,pesa anazo lakini hajui hali ya beshte yake ju after lile risasi walikimbia njia tofauti.

MEANWHILE.. SHA reductions inaisha on 20th, changamka usiachwe nyuma.
SHA REDUCTION OF ANNUAL PREMIUMS AVAILABLE, PLEASE CALL/WHATSAPP 0722146892.
FOLLOW Weldy Brian

12/12/2025

Alicia Kanini amesema anataka kubreak record gani hiyo. 24 hrs nonstop. Wueh ๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

๐€๐˜๐€๐๐€ ๐Ÿ๐Ÿ๐“๐‡ ๐ƒ๐„๐‚ ๐’๐ŸŽ๐Ÿ‘๐„๐๐Ÿ๐Ÿ•-๐Ÿ๐Ÿ– ๐–๐‘๐ˆ๐“๐“๐„๐ ๐”๐๐ƒ๐€๐“๐„๐’  ๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ Robert ameshtuka but ju ashafika wakamwambia akae hapo...Robert akaint...
11/12/2025

๐€๐˜๐€๐๐€ ๐Ÿ๐Ÿ๐“๐‡ ๐ƒ๐„๐‚ ๐’๐ŸŽ๐Ÿ‘๐„๐๐Ÿ๐Ÿ•-๐Ÿ๐Ÿ– ๐–๐‘๐ˆ๐“๐“๐„๐ ๐”๐๐ƒ๐€๐“๐„๐’
๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Robert ameshtuka but ju ashafika wakamwambia akae hapo...Robert akaintroduce Monaliza akaambia Sabina, this Monaliza na akaambia Monaliza, this os Sabina, Tyrone's wife. Lakini Monaliza akashindwa,bibi ya Tyrone mnafanya nini na yeye kwa bar ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ray ndio anarudi nyumbani kumbuka alitoka 3pm kuendea nyama amerudi 10pm bila nyama na akitoka alikua ameongelesha Asha vibaya sana. K**a mwanaume aliomba msamaha but Asha akamwambia mimi sipendi vita.

Asha alikua ashapika chakula but hakua amekula,alikua anangpoja barafu wa moyo wake. Yani mapenzi wewe,hivi ndio napendana wakati nilikua uhai.

Robert hakuenda alikuja akaambia Monaliza, najua umeshangaa umenipata na wife wa Tyron but ukweli ni Tyrone na mkewe are going through alot, they have a girl who is dating a married man so wanataka niongeleshe Tinah. Monaliza si mjinga ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚anaona hapa napangwa vizuuuri sana.

Monaliza na Robert walikua wabenzi zamani,wakafanya tafia mbaya wakapata mtoto. Thats for the record.

Huku kwa Ray ilibidi Asha apike mabwoni ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃwanakula mabwoni na suturungi. Ray aliliza Asha,sasa story za kazi umefikia wapi? Asha akamwambia natafuta tafuta hope nitapata. Ray anamwambia inaniuma sana badala ya mimi kutafuta kazi ni wewe unatafuta. Asha akamwambia usijali pia ni mtu mzima na yafaa tunasaidiana.

Kwa Chris mambo hayajatulia ๐Ÿคฃ๐ŸคฃChris alikuja na anytime anafika mtoto anaondika ju anamuogopa sana hadi Chris akauliza Jemimah kwani kunaendaje mtoto hadi hanitaki ama unanifunza? Jemimah akamwambia usijali, she is just learning how monster her father is ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃwoiye Chris. Chris akamwambia na nik**a you never learn the lesson sio? Jemimah akamuuliza utadu? Utanipiga ama utaleta mistress wako Tinah? Chris anasikia kutandika Jemimah but he just cant ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Tinah kazi inashika kushika,she is making some money. Tyrone anaona enyewe his daughter is doing well and this is every man's dream daughter. Kuna kitu Tyrone alitaka kuongea na Tinah,akamuuliza mum, wewe na Chris iliisha ama bado? Tinah akamwambia waai dad hata ukitaka nihug miti for 90hrs I will,iam done with him na niliona ni ujinga tu nilikua nafanya. Tinah akamwambia good,but nataka unifanyie one thing...Tinah akamuuliza gani dad? Tyrone akamwambia if you can go and apologize to Jemimah. Kumbe Sabina asharudi akasikia,akasema upuzi,mtoto wangu haezi enda kuomba msamaha kwa Jemimah,na akiuliwa? Tyron akauliza mbona auliwe? Tyrone akaambiwa Jemimah wanted to harm Tinah

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Tyron ameshangaa sana,akauliza kwani ilifanyika lini? Tinah akasema ile siku ya party siku yenye Jemimah alikuja huku. Tyron ndio akajua ooh so Sabina lied to him kuhusu Jemimah's visit...Sabina hakufeel poa.

Saida still anamcall Robert kuuliza story k**a amesikia penye Asha ako. Robert alimwambia zii,bado sijasikia but nikisikia I will tell you. Wakiwa tu kwa simu, Saida akasikia Robert akiitwa na kamrembo fulani ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃakashindwa sana huyu mwanaume kwani anahanya sana aje.

Leo Monaliza ameamua anafanyia kazi home so she will be around better part of the day.

Saida na yeye kuona Tyrone anaenda,alikimbia akakuja mbele ya gari,akaambia Tyrone please,nisaidie tutafute mtoto wetu lakini Tyrone alisema zii,mimi nina kazi zangu bwana. Saida alianza kulia akauliza Tyrone unanifanya hivi ju unajua siezi bila wewe sio? Nilimlea nikiwa peke yangu,na k**a hutaki kunisaidie,acha nikuonyeshe,nitamtafuta na nitamlea bila wewe.

Tyrone alimwambia basi nyamaza! Acha kulia basi,nimefanyia Asha kila kitu and she keeps disapointing me. Saida akamwambia ubaya wako ni hukumsikiza. Imagine just like that, Tyrone akaingia box aka shika Saida mkono akamuingiza kwa gari akamwambia mamaa,twende tutafute mtoto wetu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Asha nayeye amezunguka sana Kawangware anatafuta kazi yeyote,iwe ya hotel,iwe ya salon any job anatafuta. Ray naye on other side ako mjengo,anajituma sana lakini mbele yake, Jemimah ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Tinah na yeye she took it serous..alikuja kwa Chris,anataka kuona Jemimah lakini kufika Jemimah hayuko,alimpata Chris. Chris akamuuluiza babe, umenitembelea mapema hii? Tinah akamwambia kwanza iam not your babe, and two iam not here for you niko hapa kuomba Jemimah msamaha.

Kumbe Saida na yeye, pia alikua amekuja kwa Jemimah kuona Jemmy,lakini kufika akapata ndio Chris anajaribu kuongea na Tinah...akafanya nini ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃakawarecord,kisha akamcall Jemimah.

Jemimah alikua na Ray wakati anapigiwa simu,akaambia Jemimah, niko kwa gate yako na nawaona Tinah na Chris mapenzi si mapenzi hata nishakutumia video so I think naeza uliza penye kuna mtoto wangu? Jemimah akamwambia yeah, I might be having some information...Ray kusikia hivyo akachukua simu ya Jemimah akakata,akamwambia please usitupeane please,hata k**a ni kazi niambie nikufanyie. Jemimah akamwambia good, kuna kazi nataka unifanyie, details nitakupea baadaye ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

wueh!

MEANWHILE.. SHA reductions inaisha on 20th, changamka usiachwe nyuma.
SHA REDUCTION OF ANNUAL PREMIUMS AVAILABLE FROM ANY AMOUNT TO 6000
Follow Weldy Brian

๐€๐˜๐€๐๐€ ๐Ÿ๐Ÿ๐“๐‡ ๐ƒ๐„๐‚ ๐’๐ŸŽ๐Ÿ‘๐„๐๐Ÿ๐Ÿ•-๐Ÿ๐Ÿ– ๐–๐‘๐ˆ๐“๐“๐„๐ ๐”๐๐ƒ๐€๐“๐„๐’  ๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ Jemimah amejaribu sana kupigia Ray simu hashiki...akacall beshte mwing...
11/12/2025

๐€๐˜๐€๐๐€ ๐Ÿ๐Ÿ๐“๐‡ ๐ƒ๐„๐‚ ๐’๐ŸŽ๐Ÿ‘๐„๐๐Ÿ๐Ÿ•-๐Ÿ๐Ÿ– ๐–๐‘๐ˆ๐“๐“๐„๐ ๐”๐๐ƒ๐€๐“๐„๐’
๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Jemimah amejaribu sana kupigia Ray simu hashiki...akacall beshte mwingine akamuuliza yoh, Ray ako wapi namtaka haraka sana,beshte akamwambia zii,sijamuona pahali madam ningekua nishakuambia. Jemimah akamwambia sasa sikiza, ukimpata uniambie, na nisikupigie simu tena.

Kumbe Ivy na yeye,ile kulala kwa baridi ilimuaffect,maskini wa Mungu mtoto,hali mahututi sasa,ni bahati tu mamake alimuona haraka..so ikabidi mtoto achukuliwe aletwe hosi,na analetwa wapi? Kwa hosi ya Tyrone.

Huku kwa ofisi,Chris amekuja na lawyer wake apewe pesa huku anajigamba anasema manze poleni najua after nishatoa shares zangu mtasota na hii hosi ianguke. Robert akamwambia nipewe forms nisign haraka. Robert akasign and deal was done,lakini kiiidogo hivi,wakatitu Chris amefurahi ati pesa zimekuja sasa anaenda sherehe, mtoto wake,akaletwa na mamake mbio mbio,yuko hali mbaya.

Ray na Asha wakitoka matembezi,walipata jamaa hapo amewangoja. Ray anamjua vizuri sana,akaambia Asha aende aongee na yeye. Jamaa akamwambioa champez mbona unakua msoft soft na najua hauna pesa? Hadi jamaa alitoa pesa kupea Ray but Ray akataka kukataa akamwambia najua unanipea pesa ndio nikuje kazini lakini sitaki..jamaa akamwmabia usijifanye,sisi ni magondi na hiyo ndio life yetu.

Asha alikuja akauliza Ray,huyo beshte yako ni nani na mbona ulimwambia penye uko? Ray akapiga kiswahili hapo but Asha akamuuliza na anafanya kazi gani ju venye amevaa hakai mtu mzuri na siezi taka ujiingize kwa shida niregret mbona nilifanya huo uamuzi.

Chris amefurahi,hadi anasmile tu ju pesa zishaingia. Tyron alimwambia Chris, if you think kutoa pesa zako hapa hosi yangu itaanguka fikiria tena mzee. Tyron was very clear,akaambia Chris the reason nafanya hivi ni because of my daughter.

Wakati huo huo,ndio Jemimah anafika na mtoto akampea Robert akamwambia please, safe my daughter,mtoto wangu atakufa.

Chris na yeye kukuja,akaona Jemimah hapo akamuuliza unafanya huku ni wee na wewe? Jemimah alijam sana akaambia Chris ni ju yako mtoto ako hivi. Hapo ndio Chris anajua kumbe mambo si mzuri.

Chris walikuja kwa ward penye mtoto ako nauliza shida ni nini na mtoto,kwanza akakaribishwa na ngumu kutoka kwa Robert ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚akamwambia you can mess na Jemimah but not Ivy...Jemimah akaambia Robert wee pia ulikataa kutukaribisha kwako jana tofauti yako na Chris hakuna hata.

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
As all these drama zinafanyika, Monaliza alikua anasikia akakuja akauliza Robert,kuna mwanamke ulikua unamfuata, who is she? Hapa ni ile time Robert alikua na Sabina...aliambia Monaliza usijali, kila kitu iko sawa ni venye kazi zilikua mob.

Tyrone alikuja kuongea na Robert,ju si poa kupigana hosi mbele ya mtoto. Tyrone alimuuliza shida yako na Chris ni nini I thought mambo yatakua sawa..Robert akamwambia that man is mad but she is messing na Jemimah anawafukuza. Tyrone akamwambia I understand you Robert but chenye najua hauezi fanya anything to harm us,we are brothers.. Tyrone angejua anagongewa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ray na Asha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚kuna venye kuna hali ya sintofahamu. Asha ashanotice kuna venye Ray hana pesa na anakaa stressed sana hadi Asha akamwambia naonelea nianze kukusaidia na kazi pia niache kukaa kaa tu hapa...walijipata washagombana for somethinf very small.

Woiye Saida,amelia,akalia na ataendelea kulia,anashindwa Asha wake yuko wapi.

Huku Ray alitoka ameenda kutafuta kanyama sokoni,lakini kumbe,kuna msee anamtrail..yule yule mwenye alimpea tupesa,anamtrail,so Ray achunge sana ๐Ÿฅฒ๐Ÿฅฒ

Ivy washatoka hosi na hata ni Tyrone ndio alilipa bill. Wakati Jemimah walibaki hapo na Robert, Jemimah akamuuliza niliona unakimbiza Sabina kwani what was soo important? Tobert hakujibu.

Baadaye Robert alijua penye anaeza mpata Sabina,kwa bar. Sabina wasnt expecting him pia alishtuka sana kumuona.

Chris kufika nyumbani anajifanya ameleta gift but mtoto hataki story za babake,akamwambia I dont want it...Jemimah akamwambia Chris, acha mtoto atulie lakini Chris amekua mkali,anamwambia this is my daughter and I can do what I want alah!

Robert na Sabina walikuja kuongea na Sabina akamwambia usiwe na wasiwasi Tyrone kujua ukweli na k**a Tinah ndio wasiwasi,I will make sure I stop her.

Yule boys mwenye anatrail Ray,alitumia Jemimah pin akamwambia nishajua penye Ray ako na hii ndio location. Ray akasetiwa.

Kisha kale kaboys,kakakuja kwa Ray kaamwambia bro unajua hauna akili wewe, uko na msupa na umesota utagongewa sana...so ningekua wewe,tupige shughuli moja tuingia mafutani tukafunge. Ray akaona enyewe anataka pesa so lazima afanye kitu...na kumbuka kazi ya Ray si ya restaurant,yeye ni gaidi kuruka.

Wacha sasa Monaliza,akuje kwa bar,apate Robert na Sabina wameshukana mikono,alishtuka hadi akamuita Robert. Robert kumuona Monaliza pia akashtuka sana..what! Kimeuana sasa na kumbuka Robert aliambia Monaliza huko hosi ati Sabina ni wife wa colleague,na sasa wamepatikana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

MEANWHILE..
SHA REDUCTION OF ANNUAL PREMIUMS
Whatsapp 0722146892

A terrible accident occurred this evening along the Rapogiโ€“Uriri road in Uriri Sub-County, Migori County.The two cows th...
10/12/2025

A terrible accident occurred this evening along the Rapogiโ€“Uriri road in Uriri Sub-County, Migori County.
The two cows they were transporting died on the spot.
One person also lost his life, while another was rushed to hospital in critical condition.

The third suspect, however, managed to escape and has not been seen up to this moment.
According to witnesses, he may have run mad from the impact and disappeared into the sugarcane plantations, never to be spotted again upto this time.

It is rumoured that the trio were cattle thieves attempting to flee with the stolen animals.

Relax my friend Tyrone. Don't overthink too much on whether Asha and Saida are your kids. Hii kusumbua ni ya muda tu, ni...
10/12/2025

Relax my friend Tyrone. Don't overthink too much on whether Asha and Saida are your kids. Hii kusumbua ni ya muda tu, ni stage fulani ya watoto wa k**e but it won't take long before they rekebisha themselves.

BREAKING NEWSJeff Koinange returns on Citizen TV as if he never left.Wenye walisema ako Lee washindwe sana pepo chafuuuu...
10/12/2025

BREAKING NEWS
Jeff Koinange returns on Citizen TV as if he never left.
Wenye walisema ako Lee washindwe sana pepo chafuuuuu

Welcome back Jeff.

Truphena Muthoni is attempting to break her own record of 48 hours with a 72-hour nonstop tree-hugging challenge. Over 5...
10/12/2025

Truphena Muthoni is attempting to break her own record of 48 hours with a 72-hour nonstop tree-hugging challenge. Over 55 hours completed, with only a few hours to go.

She reveals that she hasnโ€™t been eating, showering, responding to the call of nature, or drinking water as she mentally prepared before starting.๐Ÿ˜ฎ

If you think it's easy, try for 20 minutes tuone ๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”

BREAKING NEWS Truphena is now at 43hrs of hugging a tree nonstop.If she will manage to reach 72hrs of hugging the tree, ...
10/12/2025

BREAKING NEWS
Truphena is now at 43hrs of hugging a tree nonstop.

If she will manage to reach 72hrs of hugging the tree, she will have also achieved the following.
1. First girl to stand for 72hrs
2. First girl not to puu or p*e for 72hrs
3. First girl to stay for 72hrs without egx
4. First girl to stay for 72hrs without shouting to her boyfriend
5. First girl to spend 72hrs without brushing her teeth
7. First girl to spend 72hrs without asking "who is Amanda"

Congratulations in advance Truphena.

๐€๐˜๐€๐๐€ ๐Ÿ๐ŸŽ๐“๐‡ ๐ƒ๐„๐‚ ๐’๐ŸŽ๐Ÿ‘๐„๐๐Ÿ๐Ÿ•-๐Ÿ๐Ÿ– ๐–๐‘๐ˆ๐“๐“๐„๐ ๐”๐๐ƒ๐€๐“๐„๐’ ๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ Kuna kale kachemist kati ya Beka na Tinah,hadi sasa Beka ameanza kuwa m...
09/12/2025

๐€๐˜๐€๐๐€ ๐Ÿ๐ŸŽ๐“๐‡ ๐ƒ๐„๐‚ ๐’๐ŸŽ๐Ÿ‘๐„๐๐Ÿ๐Ÿ•-๐Ÿ๐Ÿ– ๐–๐‘๐ˆ๐“๐“๐„๐ ๐”๐๐ƒ๐€๐“๐„๐’
๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Kuna kale kachemist kati ya Beka na Tinah,hadi sasa Beka ameanza kuwa model wa Tinah,anavaa nguo Tinah anauza anazipiga picha anapost NGC ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Tyrone akiona hivyo anafurahi sana at least her daughter is doing something good but chini ya maji Tyron hana habari Sabina hataki huu upuzi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Saida na yeye,wasiwasi alikuja akaambia Tyrone imagine Asha bado hashiki simu..Tyrone akamuuliza so yafaa nifanye aje? Saida akamwambia ni Asha tunaongelea? Tyrone akamwambia she is old enough kutoroka,so please I wont waste time kwa mtoto mshenzi k**a mamake ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Hata hivyo, Asha na Ray maisha lwalala,Ray ashanunua KDF wakunywe na suturungi. Ray akidhani Asha ni coolkid,msichana alirarua zile KDF vibaya sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Sabina alikaa akaona she cant win,ilibidi ajoin na kusupport Tinah,hadi Tinah akamuuliza,uko sure ni kunisupport ama ni ju umeona nawin my dad's trust without your helo,ama unadhani ukinisupport sitaambia dad kuhusu your little secret? Sabina akamwambia come on,sasa utaishi kunikumbusha daily? Tinah akamwmabia ahaa,kumbuka 3 days remaining or else dad atajua kila kitu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Saida alikuja akapata Beka akikata kata maua,akamuuliza wewe na wewe, tangu ukuje huku Asha amebadilika sana kwani mliroga ama kumfanyia nini ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Beka alicheka tu,ju sasa yeye anaingilia wapi.

Chris aliona mkewe asharudi,akamwambia please babe, mbona ulienda kujaribu kuharm Tinah,plus she is innocent...Jemimah akacheka tu akamwmabia I know you with your blame games. Punde si punde, mlango kukabishwa. Chris akashindwa,who be this again,kufungua,ni Saida.

Chris aliuliza wewe na ndio nani? Saida akajitambulisha akasema anaitwa Saida na anajuana na Jemimah. Jemimah alikuja akamkaribisha Saida but ilikua tu for the sake of Chris,ju wakati tu Chris ameenda,Jemimah aligeukia Saida akamuuliza wewe na wewe kwangu unafanya? Saida akamwambia please please, najua unajuana na Ray,please alitoroka na msichana wangu. Jemimah akamwambia mi sijui kwenye Ray ako but nikisikia nitakuambia,but Iam not promising na usiwai rudi kwangu bila kuniambia. Siana ici.

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
"who is that" Chris alimuuliza Jemimah after Saida ameondoka. Jemimah akamwambia ni rafiki yangu lakini Chris akamwambia from the look of your face hakai rafiki yako..Jemimah akamwambia basi thats not your business. Chris akamuuluiza kwani hivi ndio tutaishi? Jemimah akamwambia yeah,the moment you started messing around with Celleh Mtumba ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Robert sikuhizi ako na kiburi sana kwa Sabina hadi anapigiwa simu kuulizwa amefikia wapi anasema sina na sijui anything na niko busy ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Sabina anashindwa mbona Robert anamuongelesha na attitude hivi? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Robert ako na mtu wake na hataki story za Sabina.

Ray na Asha hadi wameanza kutembea kwa barabara hapo wakiende side za Lavington wakiwa na furaha sana,they are really risking.

Saida alijileta kwa Robert akamwambia please nataka unisaidie, Tinah alipotea please nisaidie. Robert akakumbuka juzi Saida amemuongelesha vibaya sana akamuuliza, so unataka nikusaidie vipi na mbona nikusaidie after the stunt you took? Saida akamwambia noo,hata sijaambia Tyrone imagine. Saida alimwambia please najua wee huna roho mbaya nisaidie.

Ray na Asha washajisahau,wanatembea tembea tu ovyo ovyo huku Kona wakienda kwa kibanda kukula.

Tyrone alimuona Saida akamuuliza unafanya nini huku is Asha ok? Saida akamwambia yeah ako sawa ni venye nilitaka Robert anisaidie ju wewe ulikataa kunisaidie. Tyrone alimwambia sikukataa nilisema sina wakati kutafuta mtu hataki kupatikana.

Asha walikuja kibandaski kuuliza kuna nini? wakaambiwa kuna kuku,samaki na tupaka twa jana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Ray aliitisha chakula ya Ksh 290 lakini kuangalia kwa mfuko walai mbele nyuma ako na 500 akajua hii akitoa 290 walai ashasota but hataki Asha ajue ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Tyrone alikuja kwa ofisi akaambia Robert,mimi hawa watoto sijui wako aje, mara Tinah anasumbua, mara Asha pia ndio huyo hadi wanafanya nashindwa sana kaam ni watoto wangu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Robert anajua Tinah si wake,ni wake but haezi jaribu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Robert aliambia Tyrone,asioverthink saaana. Tyrone akamwambia its ok,kisha akauliza Robert by the way wewe na Monaliza kumbe mnajuana? Robert akamwambia yeah, tulienda na yeye same school na nilishangaa sana pia kumuona. Yuaitwa Monaliza..still Tyrone hajui ni baby mama wa Robert.

Robert ni k**a yule uncle yako mwenye hajawai oa lakini amejaza watoto, k**a Mula...Good Night guys.
Follow Weldy Brian

MEANWHILE..
SHA REDUCTION OF ANNUAL PREMIUMS Whatsapp NOW on 0722146892

Address

Kilimani

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Weldy Brian posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share