Hujambo Mkatoliki

Hujambo Mkatoliki Pata habari tendeti na mafundisho kuhusu imani ya kanisa katoliki ndani na nje ya Kenya.

24/05/2026

Uwe na Jumapili njema ya PENTEKOSTE Mkatoliki🔥

24/05/2026

Uje roho Mtakatifu, uje mfariji 🔥🔥

Ni mwaka moja sasa tangu kuuauwa kwa padre Allois Cheruiyot Bett.Endelea kupumzika kwa amani Fr. Alloys.
21/05/2026

Ni mwaka moja sasa tangu kuuauwa kwa padre Allois Cheruiyot Bett.
Endelea kupumzika kwa amani Fr. Alloys.

Silaha yangu msalaba ⛪
10/05/2026

Silaha yangu msalaba ⛪

SIKU YA KINA MAMA DUNIANI.Unamsheherekea nani?Happy mother's day❤️
10/05/2026

SIKU YA KINA MAMA DUNIANI.

Unamsheherekea nani?

Happy mother's day❤️

MSIMAMIZI WA KITUME WA JIMBO LA ELDORET ASKOFU JOSEPH OBANYE SAGWE AKARIBISHWA JIMBONI HUMOAskofu wa jimbo la Kakamega a...
29/04/2026

MSIMAMIZI WA KITUME WA JIMBO LA ELDORET ASKOFU JOSEPH OBANYE SAGWE AKARIBISHWA JIMBONI HUMO

Askofu wa jimbo la Kakamega ambaye aliteuliwa kuwa msimamizi wa Kipastorali wa jimbo la Eldoret Mhashamu Joseph Obanyi Sagwe amekaribishwa jimboni humo.
Askofu Obanyi alikaribishwa na mapadre, watawa na wakristu wa jimbo hilo huku askofu mkuu mwandamizi wa jimbo kuu la Mombasa na aliyekuwa askofu wa Eldoret Dominic Kimengich akiwa miongoni mwa waliokuwemo wakati huo.
Askofu Obanyi anatarajiwa kulisimamia jimbo hilo hadi wakati baba mtakatifu atamteua askofu mpya wa Eldoret.

📸 Kwa hisani

ASKOFU WA KAKAMEGA ATEULIWA KUWA MSIMAMIZI WA KITUME WA JIMBO LA ELDORET.Askofu wa Kakamega Joseph Obanyi ameteuliwa kuw...
25/04/2026

ASKOFU WA KAKAMEGA ATEULIWA KUWA MSIMAMIZI WA KITUME WA JIMBO LA ELDORET.

Askofu wa Kakamega Joseph Obanyi ameteuliwa kuwa msimamizi wa kitume wa jimbo la Eldoret baada ya aliyekuwa askofu wa jimbo hilo Mhashamu Dominic Kimengich kuanza kazi rasmi k**a askofu mkuu mwandamizi wa jimbo la kuu la Mombasa.

25/04/2026

Tafrija Kipwani👌

PAPA LEO XIV AKAMILISHA ZIARA YAKE BARANI AFRIKABaba Mtakatifu Leo XIV amekamilisha ziara yake ya siku 11 barani Africa ...
24/04/2026

PAPA LEO XIV AKAMILISHA ZIARA YAKE BARANI AFRIKA

Baba Mtakatifu Leo XIV amekamilisha ziara yake ya siku 11 barani Africa na kurejea mjini Roma.
Papa huyo alizuru mataifa manne ya Algeria, Cameroon, Angola na Equitorial Guinea wakati wa ziara hiyo
Aliwaomba Waafrika kudumisha amani na kutunza mazingira ikiwemo maswala mengine haswa ya umoja na haki ya kijamii.

Mzee wa Kaya😊
24/04/2026

Mzee wa Kaya😊

Address

Opposite Kisii Main Stage
Kisii
40200

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hujambo Mkatoliki posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share