St Thomas The Apostle Etago Catholic Parish

St Thomas The Apostle Etago Catholic Parish This is the Official Page for St Thomas the Apostle Etago Catholic Parish of Kisii Diocese Kenya. Feel free to interact with us as we Evangelize Catholic Parish
(1)

๐’๐€๐ƒ ๐๐„๐–๐’ ๐Ÿ“ฐ: ๐…๐จ๐ซ๐ฆ๐ž๐ซ ๐Ÿ‘๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ฆ ๐ฌ๐ญ๐ž๐ž๐ฉ๐ฅ๐ž๐œ๐ก๐š๐ฌ๐ž ๐œ๐ก๐š๐ฆ๐ฉ๐ข๐จ๐ง ๐‰๐š๐ข๐ซ๐ฎ๐ฌ ๐๐ข๐ซ๐ž๐œ๐ก ๐ก๐š๐ฌ ๐ฉ๐š๐ฌ๐ฌ๐ž๐ ๐š๐ฐ๐š๐ฒ.Birech, once among Kenyaโ€™s finest athletes,...
19/09/2025

๐’๐€๐ƒ ๐๐„๐–๐’ ๐Ÿ“ฐ:

๐…๐จ๐ซ๐ฆ๐ž๐ซ ๐Ÿ‘๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ฆ ๐ฌ๐ญ๐ž๐ž๐ฉ๐ฅ๐ž๐œ๐ก๐š๐ฌ๐ž ๐œ๐ก๐š๐ฆ๐ฉ๐ข๐จ๐ง ๐‰๐š๐ข๐ซ๐ฎ๐ฌ ๐๐ข๐ซ๐ž๐œ๐ก ๐ก๐š๐ฌ ๐ฉ๐š๐ฌ๐ฌ๐ž๐ ๐š๐ฐ๐š๐ฒ.
Birech, once among Kenyaโ€™s finest athletes, died after a prolonged illness and a battle with depression.

Birech will be remembered as one of Kenyaโ€™s finest athletes on the global stage.

๐Œ๐š๐ฒ ๐ก๐ข๐ฌ ๐ฌ๐จ๐ฎ๐ฅ ๐ซ๐ž๐ฌ๐ญ ๐ข๐ง ๐ฉ๐ž๐š๐œ๐ž ๐Ÿ•Š๏ธ.

๐Ÿ“ท Courtesy

KumbuukiziAskofu Mkuu Novatus Rugambwa (1957โ€“2025) ataendelea kukumbukwa k**a kiongozi wa kipekee wa Kanisa Katoliki kut...
17/09/2025

Kumbuukizi

Askofu Mkuu Novatus Rugambwa (1957โ€“2025) ataendelea kukumbukwa k**a kiongozi wa kipekee wa Kanisa Katoliki kutoka Tanzania, aliyejitolea kwa moyo wote kwa Kristo na kwa Kanisa. Alizaliwa mnamo 8 Oktoba 1957 katika Bukoba, Kagera. Safari yake ya maisha ya kiroho ilianza katika daraja ya upadre mnamo 6 Julai 1986, na mwaka 1991 akaingia rasmi katika utumishi wa kidiplomasia wa Vatican.

Kwa zaidi ya miongo mitatu, alihudumu katika mabalozi ya kitume duniani kote: Asia, Amerika ya Kusini, Afrika, na baadaye katika Bahari ya Pasifiki. Mnamo 2010, Papa Benedikto XVI alimteua kuwa Askofu Mkuu na Balozi wa Vatican nchini Angola na Sรฃo Tomรฉ and Prรญncipe. Baadaye akatumwa Honduras, kisha New Zealand, na vilevile kuwa mwakilishi wa Kitume kwa mataifa na visiwa vya Pasifiki k**a Samoa, Tonga, Fiji, na Kiribati. Kazi yake ilihusu kuimarisha uhusiano kati ya Kanisa na serikali, kushiriki katika uteuzi wa viongozi wa Kanisa, na kuendeleza utume wa amani na mshik**ano.

Kwa hekima, upole na tabasamu lake, Askofu Mkuu Rugambwa alijulikana k**a mtetezi wa mshik**ano wa kidini na kijamii, na aliibeba heshima ya Tanzania kwa kuitangaza mbele ya dunia.

Changamoto hazikukosa. Mnamo Oktoba 2023 alipata kiharusi akiwa New Zealand, jambo lililomfanya kurudi Roma kwa matibabu na mapumziko. Hata hivyo, aliendelea kuishi kwa moyo wa matumaini na mshik**ano na Kristo katika mateso yake. Hatimaye, alifariki dunia tarehe 16 Septemba 2025 mjini Roma, Italia.

Urithi wake unabaki kuwa wa imani thabiti, unyenyekevu na huduma ya moyo mkunjufu. Ataendelea kukumbukwa k**a mwana mnyenyekevu wa Tanzania aliyeinua hadhi ya taifa lake kimataifa, mchungaji aliyeunganisha watu na Mungu, na Askofu aliyejitoa kwa Kanisa la ulimwengu. Kifo chake kimeacha pengo, lakini pia kimeacha alama ya kudumu ya imani, ujasiri na upendo.

---

Sala ya Kumbukumbu

> Ee Mungu mwenye huruma,
tunakushukuru kwa zawadi ya maisha na huduma ya mtumishi wako Askofu Mkuu Novatus Rugambwa.
Ulijua udhaifu wake na ulijua nguvu zake, ukamchagua awe chombo cha amani, mshik**ano na upendo.
Sasa tunakuomba umpoke katika ufalme wa milele,
ambapo hakuna tena mateso wala machozi, bali furaha ya milele mbele ya uso wako.
Mfariji familia yake, Kanisa la Tanzania, na waamini wote walioguswa na huduma yake.
Acha urithi wake wa imani na unyenyekevu uwe mwanga unaotuongoza sisi tulio duniani.
Tunakuomba haya kwa njia ya Kristo Bwana wetu. Amina.

ASKOFU MKUU NOVATUS RUGAMBWA (1957 -2025) AMEFARIKI DUNIAAskofu Mkuu Novatus Aliyekuwa Balozi wa Baba Mtakatifu nchi mba...
17/09/2025

ASKOFU MKUU NOVATUS RUGAMBWA (1957 -2025) AMEFARIKI DUNIA

Askofu Mkuu Novatus Aliyekuwa Balozi wa Baba Mtakatifu nchi mbalimbali duniani, ambaye pia ni Mtanzania amefariki dunia usiku wa Septemba 16, 2025 huko Roma nchini Italia.

Hayati Askofu Mkuu Novatus Rugambwa alizaliwa Oktoba 08, 1957 Mkoani Kagera nchini Tanzania, aliwekwa Wakfu katika Daraja Takatifu ya Upadre Julai 06, 1986 na Mhashamu Nestorius Timanywa, aliyekuwa Askofu wa Jimbo Katoliki Bukoba, Machi 18, 2010, aliwekwa wakfu katika Daraja Takatifu ya Uaskofu na Askofu Mkuu Tarcisio Pietro Evasio Kardinal Bertone, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Vatican.

Amehudumu katika nchi mbalimbali kwa nafasi ya Balozi wa Baba Mtakatifu na nchi hizo ni k**a vile Angola, Honduras, Visiwa vya Fiji nakadhalika.

Raha ya Milele umpe Ee Bwana na Mwanga wa Milele umwangazie, apumzike kwa amani.
Amina
www.radiomaria.co.tz

Mark your calendar ๐Ÿ—“๏ธ
17/09/2025

Mark your calendar ๐Ÿ—“๏ธ

17/09/2025

261. Amri za Kanisa ni zipi?
Amri za Kanisa ni sita:

i.Shiriki Misa Takatifu Siku ya Bwana na Sikukuu zilizoamriwa.

ii.Shiriki liturjia Jumatano ya Majivu iliyo siku ya kufunga chakula na Ijumaa Kuu iliyo siku ya kuacha kula nyama.

iii.Ungama dhambi zako kila unapohitaji, walau mara moja kwa mwaka.

iv.Pokea Ekaristi Takatifu mara nyingi hasa kipindi cha Pasaka.

v.Shika sheria katoliki za ndoa,wala usimzuie mwana wako kufuata wito wake(ndoa,ukatekista,utawa,upadre)

vi.Saidia kanisa katoliki kwa zaka, sadaka na kwa huduma.

๐Œ๐€๐’๐Ž๐Œ๐Ž ๐˜๐€ ๐Œ๐ˆ๐’๐€, ๐‰๐”๐Œ๐€๐“๐€๐๐Ž, ๐’๐„๐๐“๐„๐Œ๐๐€ ๐Ÿ๐Ÿ•, ๐Ÿ๐ŸŽ๐Ÿ๐Ÿ“: ๐‰๐”๐Œ๐€ ๐‹๐€ ๐Ÿ๐Ÿ’ ๐‹๐€ ๐Œ๐–๐€๐Š๐€ ________๐’๐Ž๐Œ๐Ž ๐ˆ๐Ÿ ๐“๐ข๐ฆ ๐Ÿ‘: ๐Ÿ๐Ÿ’-๐Ÿ๐Ÿ”Nakuandikia hayo, nikitaraj...
17/09/2025

๐Œ๐€๐’๐Ž๐Œ๐Ž ๐˜๐€ ๐Œ๐ˆ๐’๐€, ๐‰๐”๐Œ๐€๐“๐€๐๐Ž, ๐’๐„๐๐“๐„๐Œ๐๐€ ๐Ÿ๐Ÿ•, ๐Ÿ๐ŸŽ๐Ÿ๐Ÿ“: ๐‰๐”๐Œ๐€ ๐‹๐€ ๐Ÿ๐Ÿ’ ๐‹๐€ ๐Œ๐–๐€๐Š๐€
________

๐’๐Ž๐Œ๐Ž ๐ˆ
๐Ÿ ๐“๐ข๐ฆ ๐Ÿ‘: ๐Ÿ๐Ÿ’-๐Ÿ๐Ÿ”

Nakuandikia hayo, nikitaraji kuja kwako hivi karibu. Lakini nikikawia, upate kujua jinsi iwapasavyo watu kuenenda katika nyumba Mungu, iliyo kanisa la Mungu aliye hai, nguzo na msingi wa kweli. Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu:

Mungu alidhihirishwa katika mwili,
Akajulika kuwa na haki katika roho,
Akaonekana na malaika,
Akahubiriwa katika mataifa,
Akaaminiwa katika ulimwengu,
Akachukuliwa juu katika utukufu.

Neno la Bwana...Tumshukuru Mungu
________

๐–๐ˆ๐Œ๐๐Ž ๐–๐€ ๐Š๐€๐“๐ˆ๐Š๐€๐“๐ˆ
๐™๐š๐›. ๐Ÿ๐Ÿ๐Ÿ: ๐Ÿ-๐Ÿ”

(๐Š.) ๐Œ๐š๐ญ๐ž๐ง๐๐จ ๐ฒ๐š ๐๐ฐ๐š๐ง๐š ๐ง๐ข ๐ฆ๐š๐ค๐ฎ๐ฎ. ๐€๐ฎ: ๐€๐ฅ๐ž๐ฅ๐ฎ๐ฒ๐š.

Nitamshukuru Bwana kwa moyo wangu wote,
Barazani pa wanyofu wa moyo na katika mkutano.
Matendo ya Bwana ni makuu.
Yafikiriwa sana na wapendezwao nayo. (K.)

Kazi yake ni heshima na adhama,
Na haki yake yakaa milele.
Amefanya ukumbusho wa matendo yake ya ajabu;
Bwana ni mwenye fadhili na rehema. (K.)

Amewapa wamchao chakula;
Atalikumbuka agano lake milele.
Amewajulisha watu wake uwezo wa matendo yake,
Kwa kuwapa urithi wa mataifa. (K.)
________

๐’๐‡๐€๐๐†๐ˆ๐‹๐ˆ๐Ž
๐‹๐ค ๐Ÿ”: ๐Ÿ”๐Ÿ‘,๐Ÿ”๐Ÿ–

Aleluya, aleluya,
Maneno yako, Bwana, ni roho na uzima.
Wewe unayo maneno ya uzima wa milele.
Aleluya.
________

๐ˆ๐๐‰๐ˆ๐‹๐ˆ
๐‹๐ค. ๐Ÿ•:๐Ÿ‘๐Ÿ-๐Ÿ‘๐Ÿ“

Wakati ule: Jesu aliwaambia makutano, "Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki, nao wamefanana na nini? Wamefanana na watoto walioketi sokoni na kuitana, wakisema, 'Tuliwapigia filimbi wala hamkucheza; tuliomboleza, wala hamkulia.'

Kwa kuwa Johane Mbatizaji alikuja, hali mkate wala hanywi divai, nanyi mwasema, 'Ana pepo.' Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa, nanyi mwasema, 'Tazama, mlafi huyu, na mnywaji wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye dhambi.' Na hekima imejulikana kuwa ina haki kwa watoto wake wote."

Neno la Bwana...Sifa kwako, ee Kristo
________

๐“๐€๐…๐€๐Š๐€๐‘๐ˆ

Kwenye somo la injili Yesu anakishangaa kizazi hiki kwani kinachezewa ngoma, kinaambiwa kifanye jambo hili lakini basi hakifuati. Kina ukaidi mkubwa na ukosefu wa upendo na hivyo basi kimeshindwa kutambua na kusoma alama za ulimwengu. Hii yote ni kwa sababu kilikosa upendo na kuwa na majivuno. Kikaona watu k**a akina Yohane Mbatizaji na Yesu k**a vituko tu. Kilitaka mawazo na mipango yao ifuate hali ya kuachana na wengine.

Sisi tuachane na mawazo k**a haya ya hiki kizazi kwa kuwa watu wenye upendo zaidi, mshik**ano na kuacha majivuno. Majivuno yametufanya tusiwe wa faida ndani ya ulimwengu.

Tumsifu Yesu Kristoโ€ฆ

17/09/2025

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Godfrey Mauya, Erick Wa Jane, Slivanus Kengere, Geoffrey O***a, Chepkwony Kirwa Cosmas, Clinton Seur, Romanus Odundo, Fred Onserio, Jescah Morax, Sylvia Musoke, Michael Khureba, Benedict Hamman, Okemwa Patrick, Orori Osoro, Abiud Wasike, Silas Katembu, Nyaoko Thomas, Ngigรฌ Mรนgacikรน, SirJoseph Mung'alu, Judith Mauti, Evelyn Michira, Constantin Fayah, Esther Kerubo, Willis Wilson, Elizabet Mokobi, Peter Wambugu, Milkah Moraa, Angelicah Simba, Zack Khaemba, John Nyauntu, Geoffrey Amenya, Bregediah Vincenzo, Akunga Jeremy, Dismas Onsase, David Osoro, Geofrey Onduso, John Nyabonda, Omoleye Oluwafemi, Nicholas Tadayo, Geofrey Okiomeri, Prince Stallone, Kariuki Peter, Geofrey Ling'ati, Erick Gwaro, Egrah Monyenye, Samuel Osiemo, Wilfred Areri, Winy Nyatichi, Sifaa Sherani, Wesley Mogusu

17/09/2025

Ni asubuhi njema Mungu katujalia...........

Thanks for being a top engager and making it on to my weekly engagement list! ๐ŸŽ‰ Lashy Lashy, Kevin Matara, Joedebesh Cla...
16/09/2025

Thanks for being a top engager and making it on to my weekly engagement list! ๐ŸŽ‰ Lashy Lashy, Kevin Matara, Joedebesh Claudiah, Veronicah Starvian, Jacline Nyansiboka, Milder Mildae, Chrispus Moseti, Joyce Moraa Catechist, Bornface Mose, Jacob Oirere

Address

Etago-Suguta Road
Kisii
3464-40200

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when St Thomas The Apostle Etago Catholic Parish posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share