P.Radio Muliko la jamii

P.Radio Muliko la jamii P Radio ni nyumbani kwa jamii zote za kaunti 47 nchini kenya. Kituo kinachopeperusha vipindi na habari kwa ubora wake.

Stesheni yenye nafasi za magwiji wenye sanaa za utangazaji. Call/whatsapp +254100930859 streamI https://stream.zeno.fm/t3zox8dimenvv

08/09/2025

Gavana wa Kaunti ya Busia Paul Nyongesa Otuoma akiwa kwenye Ubora wakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯πŸ”₯

08/09/2025

KIKI ZA MASTAA πŸ”₯πŸ”₯
Kwa siku za hivi karibuni, The OG na Dj Sh*ti wameonekana wakiwa pamoja saana na hata hivi majuzi wamepiga bonge la show pale machakos na wakachachawisha saana, kunao waliokuwa wakisema OG hawezi wapiga sapoti wasanii ambao wako chini yake kikazi....
Hivi unakubalia a nalo? OG si mtu mzuri tuu??

08/09/2025

KIKI ZA MASTAA πŸ”₯πŸ”₯
Kusema kweli huyu mwamba Bien kutoka Kakamega ana ueledi mkubwa kwenye kazi yake haswa jinsi anavyobeba crowd kwenye show.
Hivi msanii mgani mwengine hapa kenya, Tz ama UG anamfikia huyu mwamba???

08/09/2025

KIKI ZA MASTAAπŸ”₯πŸ”₯
"Ukiona Richie Harry amebadilisha Mahali labda bibi ya mtu." Steve Kay Wambumbuli aelezea mgongano uliopo kati ya wasanii wa Magharibi na Harry Richie.

08/09/2025

Msomaji mahiri wa habari Lofty Matambo na pacha wake Fridah Mwaka - Your Favourite News Anchor katika ubora wao

08/09/2025

Je, unamfahamu Alex Chamwada OGW, MBS ??

 "Disco matanga ni tabia ambayo tunatakiwa kukabiliana nayo. Inachangia hata wizi maana watu wanatoka majumbani mwao kut...
06/09/2025


"Disco matanga ni tabia ambayo tunatakiwa kukabiliana nayo. Inachangia hata wizi maana watu wanatoka majumbani mwao kutwa nzima kwenda msibani na disko matanga na wahalifu wanajua kuna udhaifu huu na kwenda kuiba kwenye nyumba za watu." Waziri wa Usalama wa Ndani, Kipchumba Murkomen.

  hewani Hadi 3 kimili....unategea ukiwa wap? talk to me on 0102963716 WhatsApp/Voice note 0102963716Twende naloooo!!!!
06/09/2025

hewani Hadi 3 kimili....unategea ukiwa wap? talk to me on 0102963716 WhatsApp/Voice note 0102963716
Twende naloooo!!!!

05/09/2025


Kiongozi wa chama cha Chungwa Raila Odinga hii leo alihudhuria mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Laikipia Kaskazini Mathew Lempurkel kwenye Kaunti ya Kajiado, ambapo alimwagiza Gavana Joseph ole Lenku kumpa kazi mara moja mjane wa marehemu mbunge huyo.

 Waziri wa Masuala ya ndani ya nchi Kipchumba Murkomen amekanusha madai ya kuwepo majeshi ya Jubaland katika eneo la kas...
03/09/2025


Waziri wa Masuala ya ndani ya nchi Kipchumba Murkomen amekanusha madai ya kuwepo majeshi ya Jubaland katika eneo la kaskazini mashariki mwa Kenya ingawa amefichua kuwa kwa sasa hakuna taarifa kamili kuhusu uvumi huo.

Akiwahutubia wanahabari kwenye Kaunti ya Busia wakati wa ziara yake ya usalama katika kaunti hiyo ya mpakani, waziri Murkomen pia amekanusha madai kuwa kuna shule ambazo zimetekwa nyara na wanajeshi wa kigeni.

Waziri huyo ambaye ameandamana na naibu inspekta generali wa polisi Gilbert Masengeli na mratibu wa usalama ukanda wa magharibi Irungu macharia, ameongeza kuwa swala nyeti ni kuwalinda wakenya kutokana na magaidi na wahalifu, huku pia akielezea haja ya sheria za kimataifa kufuatwa kuhusiana na swala la wakimbizi.

03/09/2025


"We shall not allow our youths to be exploited by politicians through tokenism." Gavana wa Kaunti ya Trans Nzoia George Natembeya

 Waziri wa Usalama wa Ndani Onesmus Kipchumba Murkomen yuko Busia kwa mchakato wa 34 wa jukwa la usalama kwenye kaunti y...
03/09/2025


Waziri wa Usalama wa Ndani Onesmus Kipchumba Murkomen yuko Busia kwa mchakato wa 34 wa jukwa la usalama kwenye kaunti ya Busia.

Address

Kitale Town
Kitale
30208

Telephone

+254100930859

Website

https://onlineradiobox.com/ke/pradio/, https://pradio.radiostream123.com/

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when P.Radio Muliko la jamii posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to P.Radio Muliko la jamii:

Share