Mitume Radio

Mitume Radio MITUME RADIO IS OWNED BY THE CATHOLIC DIOCESE OF KITALE
(1)

Mitume Radio 89.7 Fm is your favourite Broadcasting Radio Station located in Kitale kenya in the NorthRift region of Kenya.We entertain,Inform and Educate and also being part of your life everyday. YOUTUBE LINK: https://www.youtube.com/c/MITUMERADIO897FM

PODCAST LINK:https://hubhopper.com/podcast/mitume-radio/333453

07/06/2026

Jaji Msimamizi wa mahak**a ya Kitale Mheshimiwa Robert Limo akielimisha,kueleza Na kufafanua Maswala ambayo mwananchi anayetafuta haki anafaa kufahamu kuhusu mahak**a Na shughuli za mahak**a

Hewani sasa ni kipindi cha Chemchemi ya Baraka na Monica Nyele. 8-11Am. Unaskiliza ukiwa wapi? Njoo tuchote baraka. .Mit...
07/06/2026

Hewani sasa ni kipindi cha Chemchemi ya Baraka na Monica Nyele. 8-11Am. Unaskiliza ukiwa wapi? Njoo tuchote baraka.

.

Mitume Radio 80.7fm.

06/06/2026

Leo tarehe 7juni Ni Dominika ya Sherehe ya Mwili na Damu Takatifu ya Bwana Wetu Yesu Kristo yaani Corpus Christi. Hii ni moja ya sherehe muhimu sana katika Kanisa Katoliki. Dominika ya leo inaadhimishwa k**a siku ya kusherehekea na kutafakari kwa kina fumbo la Ekaristi Takatifu, ambapo Yesu Kristo yuko hai na halisi katika maumbo ya mkate na divai.
Neno Corpus Christi ni inatokana Na Lugha ya Kilatini ikimaanisha "Mwili wa Kristo". Sherehe hii pia inaitwa Sherehe ya Mwili na Damu Takatifu Sana ya Kristo ( Solemnity of the Most Holy Body and Blood of Christ) Leo kanisa linasherehekea uwepo halisi wa Yesu Kristo katika Sakramenti ya Ekaristi: Mwili wake, Damu yake, Nafsi yake, na Uungu wake wote chini ya maumbo ya mkate na divai. Hii si ishara tu au kumbukumbu, bali ni uwepo hai na halisi wa Kristo mwenyewe.
Katika Injili ya Yohane 6: Yesu mwenyewe alisema "Mimi ndimi mkate wa uzima... Asiyekula mwili wangu na kunywa damu yangu hana uzima ndani yake” (Yoh 6:35, 53-56). Hii inasisitiza kwamba Ekaristi ni chanzo cha uzima wa kiroho na umoja na Kristo.
Catholic Diocese of Kitale. @

Leo kwenye kipindi cha Jukwaa La Siasa tutasema naye Hawkings Kidiavai. Analenga kuwania kiti cha Mca Hospital Ward, Tra...
06/06/2026

Leo kwenye kipindi cha Jukwaa La Siasa tutasema naye Hawkings Kidiavai. Analenga kuwania kiti cha Mca Hospital Ward, Trans Nzoia.

8-10pm.

.

06/06/2026

Wapenzi wa mizinga ya miziki ya Rhumba mpo? karibu sasa kwenye mpango mzima wa kipindi cha Rhumba Ezala 1-4pm. Unategea ukiwa wapi? wakilisha mtaa utambulike hewani sasa. Studioni tunaye mchanganuzi wa mistari ya Rhumba bwana Peter Wanyama.

.
.

Mitume Radio 89.7fm.

Online 👉 https://zeno.fm/radio/mitumeradio/

05/06/2026

Kitale Law courts open day at Railway grounds Kitale

Jaji Msimamizi wa Mahak**a ya Kitale, Robert Limo leo ameongoza Hafla ya Siku ya Mahak**a Wazi na Kongamano la Ushirikis...
05/06/2026

Jaji Msimamizi wa Mahak**a ya Kitale, Robert Limo leo ameongoza Hafla ya Siku ya Mahak**a Wazi na Kongamano la Ushirikishwaji wa Umma (Court Open Day and Public Engagement Forum) katika viwanja vya Railways mjini Kitale.
Hafla hii iliwaleta pamoja wadau mbalimbali katika sekta ya haki na sheria wakiwemo maafisa kutoka taasisi za serikali, wanachama wa chama cha mawakili, mashirika ya kijamii na ya kidini pamoja na wananchi waliojitokeza kwa wingi kushiriki katika majadiliano.
Lengo la siku hii lilikuwa kuimarisha uhusiano kati ya mahak**a na wananchi, kuongeza uwazi katika utoaji wa huduma za mahak**a na kutoa fursa kwa umma kuuliza maswali, kutoa maoni na kupata ufafanuzi kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu mfumo wa haki.
Wananchi waliopata nafasi ya kushiriki walieleza changamoto wanazokumbana nazo wanapotafuta haki huku wakihamasishwa kutumia njia zinazotambulika kisheria katika kutatua migogoro na kutafuta huduma za mahak**a.
Jimbo hili katoliki la Kitale liliwakilishwa na Bi Rose Obonyo ambaye ni Afisa katika Idara ya Watoto Jimboni.
Catholic Diocese of Kitale.

05/06/2026

Firahiday inakupelekaje? Karibu sasa kwenye kipindi cha Mitume Drive na KJ 4-8pm. Sema jina na sehemu utambulike hewani sasa hivi.

.
.
.

Mitume Radio 89.7fm

Online 👉 https://zeno.fm/radio/mitumeradio/

Boom! 24,000 Followers on Facebook 🎉🎊🥳. Tunasema asante sana. Hakika k**a familia Tunazidi Kusonga. Je, uwezo wakufika 2...
05/06/2026

Boom! 24,000 Followers on Facebook 🎉🎊🥳. Tunasema asante sana. Hakika k**a familia Tunazidi Kusonga. Je, uwezo wakufika 25k kabla mwisho wa mwezi huu tunao? 25k sisi ndio hawa tunakuka 🔥??🔥.

.

|| MITUME RADIO ||

04/06/2026

KITALE LAW COURTS INVITES YOU TO THE COURT OPEN DAY AND STAKEHOLDERS' ENGAGEMENT FORUM
Are you seeking information about court services, legal processes, or access to justice?
Join us for the Court Open Day and Public Engagement Forum organized by Kitale Law Courts, where members of the public will have an opportunity to interact directly with institutions and stakeholders involved in the administration of justice tomorrow on date 5/06/2026@ Railways Grounds, Opposite Line Moja, Kitale town From 10:00 a.m.
Representatives from the Judiciary, Office of the Director of Public Prosecutions, Kenya Police Service, Probation and Aftercare Services, Prisons Service, Children's Department, Advocates, Alternative Justice Systems, and other justice sector stakeholders will be present to engage with the public, answer questions, receive feedback, and provide information on their services.
Come and learn about your rights, court procedures, alternative dispute resolution mechanisms, and the various services available within the justice system.
Your Court. Your Voice. Your Justice, all members of the public are welcome.
Catholic Diocese of Kitale.

Address

Church Road
Kitale
30200

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mitume Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mitume Radio:

Share