Mitume Radio

Mitume Radio MITUME RADIO IS OWNED BY THE CATHOLIC DIOCESE OF KITALE
(1)

Mitume Radio 89.7 Fm is your favourite Broadcasting Radio Station located in Kitale kenya in the NorthRift region of Kenya.We entertain,Inform and Educate and also being part of your life everyday. YOUTUBE LINK: https://www.youtube.com/c/MITUMERADIO897FM

PODCAST LINK:https://hubhopper.com/podcast/mitume-radio/333453

20/12/2025

Rhumba Ezala na KJ 1-4pm. unategea ukiwa wapi? Itisha Rhumba Pewa!

.
.

Mitume Radio 89.7fm.

Online 👉 www.zeno.fm/mitumeradio

‎Today December 19, 2025, our presenter Marvin Khaemba popularly known as KJ and Operations Manager Mr. Samwel Abesi wer...
19/12/2025

‎Today December 19, 2025, our presenter Marvin Khaemba popularly known as KJ and Operations Manager Mr. Samwel Abesi were invited by Parish Priest Fr. Gabriel Mulongo to engage with the youth gathered at St. John's Kachibora Parish for a week-long seminar. Mr. Abesi discussed the importance of career skills and development, urging them to acquire skills in various professional fields they wish to pursue in the future. He highlighted that regardless of one's profession, having a skill that determines their value is essential.

‎On the other hand, KJ addressed the topic of Drug and Substance Abuse, using the opportunity to discuss life’s realities and how addiction to drugs can hinder one’s dreams. He encouraged them to be cautious about their associations, as individuals can influence others’ decisions if given the opportunity. He listed several readily available drugs and explained the detrimental effects of their abuse on an individual’s life.

‎Through Mr. Abesi, the Operations Manager, he promised a platform for the youth to develop and showcase their God-given talents. It was pointed out that many young people possess various abilities but lack avenues to demonstrate what they have been blessed with. The Operations Manager urged them to effectively utilize social media platforms and assured them that in 2026, talented youths would have the chance to visit Mitume Radio studios, engage with presenters, and have their content shared on Mitume Radio's official social media platforms.

Baraka za mzazi, sala zake na mawazo yake ya kila siku kwa mwanawe ni nguzo muhimu katika safari ya wito wa kipadri na k...
17/12/2025

Baraka za mzazi, sala zake na mawazo yake ya kila siku kwa mwanawe ni nguzo muhimu katika safari ya wito wa kipadri na kitawa. Ni kwa misingi hiyo kwamba mapema mwezi huu, tarehe 9 Disemba, mara tu baada ya kuadhimisha Sakramenti ya Kipaimara kwa zaidi ya waumini 1,000 katika Parokia ya Kaptabuk, Baba Askofu Henry Juma Odonya alikutana na kikundi cha wazazi wa mapadri, waseminari pamoja na watawa wa k**e na wa kiume kutoka Gatuzi la Pokot Magharibi na wanaohudumu katika sehemu mbalimbali za ulimwengu.

Katika mkutano huo mfupi wa kindugu na kiroho, wazazi walipata ushauri, faraja na baraka kutoka kwa Baba Askofu aliyewapongeza kwa moyo wao wa kujitoa na kwa kuendelea kuwa nguzo ya maombi na msaada kwa wanao walioitikia wito wa Mungu.

Baba Askofu hata hivyo aliwasihi waendelee kuwaombea na kuwatia moyo mapadre, waseminari na watawa kila wakati, hasa katika changamoto za huduma zao. Aidha, aliwakumbusha kuwa mzazi wa padre au mtawa mmoja ni mzazi wa mapadre na watawa wote, akisisitiza umuhimu wa mshik**ano, upendo na uwajibikaji wa pamoja katika Kanisa huku aliwaalika kuungana Nate katika Misa ya wazazi Wa mapadri ambayo hufanyika kila mwaka Kwa ajili ya Baraka Na Neema za kipekee na ishara ya shukrani kwa wazazi na mchango wao mkubwa katika kukuza na kuendeleza miito ndani ya Kanisa.
Catholic Diocese of Kitale.

Catholic Diocese of Kitale.
15/12/2025

Catholic Diocese of Kitale.

15/12/2025

Kimasomaso, kipindi cha watu kilo, watu wazima kinajaaja mitamboni sasa nami KJ. 8-12 midnight. Confirm location nikusome hewani vile inafaa.



.

Mitume Radio 89.7fm.

Online 👉 www.zeno.fm/mitumeradio

Leo tarehe 15 Disemba 2025 Baba askofu Henry Juma Odonya Ameongoza Misa Ya Shukrani Ya Kikundi Cha Vijana Cha YCA cha ji...
15/12/2025

Leo tarehe 15 Disemba 2025 Baba askofu Henry Juma Odonya Ameongoza Misa Ya Shukrani Ya Kikundi Cha Vijana Cha YCA cha jimbo katoliki la Kitale. Kikundi hiki kinajumuisha Vijana Wenye umri wa Kati Ya Miaka 25 na 35. Misa hii imefanyika Katika Parokia ya St Peters Clever Kiminini.
Katika homilia yake Baba Askofu amewasihi Vijana Kuangaza Katika Maisha yao na ya Wengine, Kuwa Mashuhuda Wa Injili, Mashahidi Wa Kisasa Wa kristu Na Zaidi Wawe wenye tabia Njema za Kuigwa Na Vijana Wengine.
Askofu vile vile amewataka Vijana kuwa Wamishonari Kwa Kusaidia Kueneza Ujumbe Mzuri Wa Kikundi Hiki ambacho ni kipya na chenye Maana Saana Haswa Katika Msingi Wa Maisha Ya Kikristo kwa kuwa Kinatazamiwa kuwa kikundi Kitakachobadilisha familia Kanisa Na Hata Taifa.
Mnamo Mwezi Novemba mwaka Uliopita Baraza La Maaskofu Wa kanisa Katoliki nchini KCCB lilibuni Tume inayosimamia vijana wote nchini chini ya miaka 35 na Kumtwika Askofu Hanry Juma Jukumu la Uongozi Akisaidiwa na Askofu msaidizi wa jimbo kuu katoliki la Nairobi Askofu Peter Kimani. Hafla hii imehudhuriwa na vijana kutoka magatuzi yote mawili ya jimbo katoliki la Kitale; Pokot Magharibi na Trans nzoia, Vile vile ilihudhuriwa na mapadre Dino Kiboi Cheren ambaye ni Mratibu katika idara ya Vijana Jimboni ambaye aliwasihi Kukifanya Kikundi Hicho Kuwa Imara zaidi,Mkurugenzi wa masuala ya kichungaji jimboni Padre James Ndombi, Paroko wa Kiminini Padre Peter Wafula, Padre Kevin Situma wa Sigor, Padre Daniel Matara, Padre Anthony Sifuna na Padre msaidizi wa parokia ya Kiminini
Catholic Diocese of Kitale.

15/12/2025

YCA THANKSGIVING MASS & FUND DRIVE || KITALE DIOCESE || 15-12-2025

Leo tarehe 14 Disemba 2025 Ni  Dominika ya tatu ya kipindi cha Majilio, Dominika hii pia inajulikana k**a jumapili ya Fu...
14/12/2025

Leo tarehe 14 Disemba 2025 Ni Dominika ya tatu ya kipindi cha Majilio, Dominika hii pia inajulikana k**a jumapili ya Furaha au jumapili ya 'Gaudete' kwa kilatini yaani Dominika ya furaha. Katika Dominika hii waamini wanaalikwa kufurahi kwa sababu wamekaribia mwishoni mwa kipindi cha majilio Na sherehe ya Noeli i karibu. Katika Homilia yake alipoingoza Misa ya Jumapili ya Gaudete Katika Parokia Kuu ya Kathedrali ya Immaculate conception Baba Askofu Henry Juma Odonya amewakumbusha Waamini kuwa mwaliko huu wa furaha katika Bwana unatuonya tusiitafute furaha katika vitu vya dunia kwa kuwa matokeo yake ni kuitafuta furaha katika dhambi,jambo ambalo halimfikishi mtu katika furaha kamili ya kuonana na Mungu bali huleta mahangaiko moyoni. Baba Askofu vile vile amefungua Rasmi nyumba ya Mapadri Wa Parokia ya Immaculate Conception Cathedral, katika hafla hii ya kipekee iliyoshuhudiwa na wakristu wa parokia hii Baba Askofu ametamka baraka Kwa nyumba hii ya kipekee Jimboni. Aliwashukuru wote waliochangia katika ujenzi Wa Nyumba hii hasa kikundi cha Marafiki Wa Askofu kilichochangia pakubwa usiku Na mchana kuhakikisha ukamilifu Wa mradi huu. Mapadri Wa Parokia hii Wakiongozwa Na Padri Mkuu Micah Kibet wametoa shukran za kipekee kwa Mungu, Askofu Na Wakristu wote wakiongozwa na kikundi maalum cha Friends of The Bishop waliochangia katika mradi huu.

14/12/2025

BLESSING & OPENING OF IMMACULATE CONCEPTION CATHEDRAL PARISH PRIEST'S HOUSE || 14-12-2025

14/12/2025

HOLY MASS: THIRD SUNDAY OF ADVENT || BLESSING & OPENING OF IMMACULATE CONCEPTION CATHEDRAL PARISH PRIESTS HOUSE.

Address

Church Road
Kitale
30200

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mitume Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mitume Radio:

Share

Our Story

Mitume Radio 89.7 Fm is your favourite Broadcasting Radio Station located in Kitale kenya in the NorthRift region of Kenya.We entertain,Inform and Educate and also being part of your life everyday.