19/12/2025
Kuna timu mbili kutoka kwale na Mombasa mtawalia zimekuwa zikirikodi matokeo duni katika msimu huu wa kandanda, wengi wanasema ni kutokana na kujihusisha sana na Imani za kishirikina, je unazijua na ni kweli USHIRIKINA ndio sababu au siasa za management au msimu mbaya tu?