Kisutu Digital Media, kenya

Kisutu Digital Media, kenya Kisutu Digital Media is an online tv broadcasting from Kwale county.

Kwa mara nyengine tena, gatizi la Kwale limetunukiwa fursa ya kuandaa mashindano ya kimataifa ya Baiskeli kuanzia tarehe...
19/11/2025

Kwa mara nyengine tena, gatizi la Kwale limetunukiwa fursa ya kuandaa mashindano ya kimataifa ya Baiskeli kuanzia tarehe 20 November Hadi tarehe 23 November 2025.
Mashindano hayo yanalwta washiriki kutoka zaidi ya mataifa 20 ya Africa huku wafebi tofauti kutoka Afrika na nje ya Africa wakitarajiwa kutua katika gatizi la Kwale.
Miongoni mwa vitengo vitakavyo kuwa katika mashindano haya ni pamoja na kitengo kwa washiriki chini ya miaka 23, wazoefu wa k**e na wakiume na pia kitengo jumuiya ambapo kila mmoja ataruhusiwa kuingia mashindano mradi ana Baiskeli yake (Fun Day)
Hatahivyo gatizi la Kwale limehakikishia wale watakaoshiriki katika mashindano hayo usalama wa kutosha kupitia vitengo vya usalama vya kitaifa na vile vya kaunti ya Kwale .
Barabara mbandala zimetengwa kwa wasafairi ambayo hawashiriki mashindano hayo kwa usaidizi wa maafisa wa trafiki.
Kilele Cha mashindano hayo tarehe 23 Novemba kitakuwa katika mji wa Kwale katika afisi za mstaiki gavana wa Kaunti ya Kwale ambapo watapokewa na gavana Fatuma Achani, Waziri wa michezo Salim Mvurya miongoni mwa viongozi wengine.

19/11/2025

Kwa mara nyengine tena, Gatizi la Kwale limetunukiwa kuwa mwenyeji wa mashindano ya kimataifa ya Baiskeli CAC2025.

18/10/2025

Mseveni amefanya nini????

Aliyekuwa waziri mkuu na kiongozi wa chama Cha Odm RailaOdinga amefariki akipokea matibabu nchini India. Paka kifo chake...
15/10/2025

Aliyekuwa waziri mkuu na kiongozi wa chama Cha Odm RailaOdinga amefariki akipokea matibabu nchini India. Paka kifo chake raila alikua ametimiza miaka 80.

24/09/2025

Likoni ni Digo lakini si Kwale.
Ama walikoni ni wadigo lakini si waKwale.

Kwani hamjui jokesπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
02/09/2025

Kwani hamjui jokesπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

TANZIA: pigo kwa tasnia ya utabgazaji baada ya Aliyekuwa mtangazaji katika kotuo Cha RADIO KAYA , Msenangu FM na Kisha  ...
02/09/2025

TANZIA: pigo kwa tasnia ya utabgazaji baada ya Aliyekuwa mtangazaji katika kotuo Cha RADIO KAYA , Msenangu FM na Kisha fm Fatuma Mwangala aka Toto Bomba aaga Dunia. Innalilahi wainnailayhi rajiun.
Picha. Wahisani

Engonga agongwa hukumu ya kifungo Cha  miaka nane jela nchini Guinea kwa kosa la ubadhirifu wa fedha na video za Ngono.
28/08/2025

Engonga agongwa hukumu ya kifungo Cha miaka nane jela nchini Guinea kwa kosa la ubadhirifu wa fedha na video za Ngono.

K**a unaishi haya maeneo Mombasa charge simu kabla saa tatu asubuhi.Area: Part of Jomo Kenyatta Avenue (9am - 5pm) Al Fa...
24/08/2025

K**a unaishi haya maeneo Mombasa charge simu kabla saa tatu asubuhi.
Area: Part of Jomo Kenyatta Avenue (9am - 5pm) Al Farooq Hosp, Automobile Association of Kenya, UD Trucks Limited, Gulshan, KCB Jomo Kenyatta, DTB, Huzeifa Glass, Buxton Hosp, Jumia, Total Kenyatta Ave, Oilibya, Marigold Guest House, Carrefour Sea Angel, Adams Barbeque, Liwaza Lounge, Mash Poa, Tahmeed, Simba Coach, Dreamline, Mwembe Tayari na viungani make.

22/08/2025

Ati mashabiki wameenda wapi Mama Ngona?

Tunacheza mpaka asubuhi
22/08/2025

Tunacheza mpaka asubuhi

22/08/2025

Baooooo
πŸ‡°πŸ‡ͺKenya 1- 0 Mad'cr

Address

Likoni/Lungalunga Road, Kwale County
Kwale
1447DIANI

Telephone

+254114081046

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kisutu Digital Media, kenya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kisutu Digital Media, kenya:

Share