Mtemi Titus Sports HQ

Mtemi Titus Sports HQ Your one-stop destination for sports news, match updates and sharp analysis. For Sports Commentary services, call/text: 0791 204 426

🚨Ukuta Wa Arsenal....Karibu Ezri Konsa.
19/08/2026

🚨Ukuta Wa Arsenal....

Karibu Ezri Konsa.

Mwataka mniambie hii squad ya Manchester United, inaweza kuondoka mikono mitupu msimu huu??
19/08/2026

Mwataka mniambie hii squad ya Manchester United, inaweza kuondoka mikono mitupu msimu huu??





Fowadi wa Atletico Madrid, Julian Alvarez amepiga picha ya msimu mpya na timu hiyo yenye makaazi yake Metropolitano.Je, ...
19/08/2026

Fowadi wa Atletico Madrid, Julian Alvarez amepiga picha ya msimu mpya na timu hiyo yenye makaazi yake Metropolitano.

Je, mwamba abaki au aende Barca?

🚨 Bernardo Silva Ajivunia Kujiunga na Real Madrid 🇵🇹:🗣️ “Kuichezea klabu yenye mataji 15 ya Ligi ya Mabingwa Ulaya si ja...
19/08/2026

🚨 Bernardo Silva Ajivunia Kujiunga na Real Madrid 🇵🇹:

🗣️ “Kuichezea klabu yenye mataji 15 ya Ligi ya Mabingwa Ulaya si jambo ambalo kila mtu hupata fursa ya kulipitia. 🤍 Ninajivunia sana.”

Via: Real Madrid TV

Squad number ndo hiyo Joao Pedro sasa ni 9 wananguuuuu✌️
19/08/2026

Squad number ndo hiyo Joao Pedro sasa ni 9 wananguuuuu✌️

19/08/2026

Ryan Cherki's reaction after Manchester City's loss to Arsenal FC in the FA Community Shield.




Wanangu wa Arsenali jina la huyu mwamba ni nani....🫴
19/08/2026

Wanangu wa Arsenali jina la huyu mwamba ni nani....
🫴

🚨Hii ni Orodha ya Sajili tano Ghali msimu huu Premier League 🫴
19/08/2026

🚨Hii ni Orodha ya Sajili tano Ghali msimu huu Premier League 🫴

🚨Mchezaji wa Redstars Aomba Msaada wa KifedhaMchezaji wa Redstars ameomba msaada wa kifedha kwa ajili ya kupata vifaa mu...
19/08/2026

🚨Mchezaji wa Redstars Aomba Msaada wa Kifedha

Mchezaji wa Redstars ameomba msaada wa kifedha kwa ajili ya kupata vifaa muhimu vya kuchezea mpira, ikiwemo kiatu cha Nike Air Zoom chenye thamani ya KSh 5,000.

Kupitia ujumbe wake, mchezaji huyo amewaomba wadau na mashabiki wa soka kuchangia ili aweze kuendelea na safari yake ya kisoka bila changamoto ya ukosefu wa vifaa.

Kwa msaada na mawasiliano, ametaja namba 6818142, huku kwa mawasiliano zaidi akitumia 0740 831 434.

“Kila mchango unarudisha kiwanjani. Tumaini, Nguvu, Umoja.”


🚨Anko Dozer Aibua Maswali Kuhusu Hatma ya Kamoti Junior Super CupHuku mashabiki na wafuataji wa Kamoti Junior Super Cup ...
18/08/2026

🚨Anko Dozer Aibua Maswali Kuhusu Hatma ya Kamoti Junior Super Cup

Huku mashabiki na wafuataji wa Kamoti Junior Super Cup wakisubiri kwa hamu hatma ya mchezo wa nusu fainali kati ya Kaliangombe FC na Power FC, ambao ulitibuka na kusababisha mchezo huo kusimamishwa, maswali mapya yameibuka kuhusu k**ati inayoendesha mashindano hayo na mustakabali wa mashindano hayo kwa ujumla.

Kwa mujibu wa Anko Dozer, Malenga wa Rabai na mkereketwa wa soka, ameeleza kusikitishwa na kuhuzunishwa na kile alichodai kuwa ni kauli iliyotolewa hadharani na mwanak**ati wa Football inayoongozwa na Mdzomba, akiwa kwenye matangazo ya moja kwa moja kupitia mtandao wake.

Dozer anadai kuwa katika maelezo hayo, ilielezwa kwamba k**ati hiyo inayotarajiwa kutoa uamuzi kuhusu sakata la mchezo wa Power FC dhidi ya Kaliangombe FC haipo tena kwenye Kamoti Junior Super Cup, baada ya kujitoa katika mashindano hayo tangu hatua ya 16 bora.

Kauli hiyo imeibua maswali mengi miongoni mwa wadau na mashabiki wa soka Rabai, hasa ikizingatiwa kuwa bado kuna mvutano kuhusu uamuzi wa mchezo huo wa nusu fainali.

Akizungumzia suala hilo, Anko Dozer ameibua maswali kadhaa yanayohitaji majibu kutoka kwa wahusika, ikiwemo:

Je, sababu ya kujiondoa ni kwa kuwa kuna mwanasiasa ambaye hawamkubali?

Je, k**ati haikupewa kile ilichostahili?

Je, vilabu vinavyoshiriki mashindano hayo vinafahamu kuhusu kujiondoa kwa k**ati hiyo?

Je, wamejiondoa kwenye mashindano yote yajayo au ni Kamoti Junior Super Cup pekee?

Au wamejiona kuwa majukumu yao yanaingiliwa na k**ati ndogo ya Kamoti?

Na k**a suala la Power FC na Kaliangombe FC lisingetokea, je, mashindano yangeendelea hadi fainali bila mashabiki kufahamu kwamba k**ati hiyo ilikuwa imejiuzulu au kujiondoa tangu hatua ya 16 bora?

Kwa sasa, macho ya mashabiki wa Kamoti Junior Super Cup yanaendelea kuelekezwa kwa k**ati husika, wakisubiri ufafanuzi rasmi kuhusu hatma ya mchezo wa Power FC dhidi ya Kaliangombe FC pamoja na nafasi ya k**ati hiyo katika uendeshaji wa mashindano.

Maswali yaliyoibuliwa na Anko Dozer yameongeza mjadala miongoni mwa wadau wa soka Rabai, huku wengi wakisubiri kauli rasmi kutoka kwa k**ati ya maandalizi ili kuweka wazi hali halisi ya mambo na hatua zitakazofuata katika Kamoti Junior Super Cup, Toleo la Tatu.


Address

Lodwar
30500

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mtemi Titus Sports HQ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mtemi Titus Sports HQ:

Shortcuts

Share