Jante Madoller

Jante Madoller Time will tell✍️

10/03/2025

Matiti ikilala huwa inaangalia kwenye shida ilianzia🤣🤣👋👋

23/02/2025

Ukiona uko na hizi signs😭 wewe jua hufai kupumzika, hufai kulala hata, 😏......Ukiona

1) Unaswitch off security bulb ndo usave stima.🤣
2) Unatumwa tumwa Kwa gari wengine wakiwa starehe zao😅 amka nanii😏
3) Gari yako inasema kuna mlango imefunguka lakini haikuonyeshi ni mlango gani, so lazima kila mutu aanze kugongesha gongesha ndo uconfirm😂
4) Hoteli Unaenda hazina menu, ukiingia unauliza watu maswali k**a DCI aty "Nini munauza huku?"
5) K**a Huwa unaona kupanda ndege ni kuomoka, wakati wengine wanatumia as a fast mode of transportation🤣🤣
6) K**a kitanda chako Kiko na zile stands za net ya mbu😂hizo stands zinakwambia ustand uende ukajitume zaidi🤣
7) K**a birthday gift yako ni photoshoot🤣
8) k**a wazazi wako hawajui chenye unafanyanga🤣wanaonanga ukisurvive tu😏
9) kila tym unapewa duties Kwa family gatherings🤣k**a kuchonga waaru, mandizi, 🤣🤣we hujiurumii?
10) K**a festive holidays zote hukutembelewa🤣🤣
11) Unatumia bundles za usiku 😅 unalala asubuhi k**a soja
12) k**a nyumba yako Iko na mlango mmoja🫢tofauti yako na mfungwa ni vile tu uko na funguo😂😂




10/01/2025

Success is a journey from good to better to best.

09/01/2025

Wacha Na Heartbreak
Ushawai Blockiwa
Ukitype 🤔🙄💔😁

28/12/2024

Lakini si Buffalo ni Ng'ombe chokora 🙈🤔

😀😀
24/12/2024

😀😀

24/12/2024

Slow your pride watch porn🤣🙄🤣🖕and💦 learn how to moarn🤧😋

01/11/2024

Wazee Wa Sasa Wako Busy TikTok 😅😅😅😂😂🤣🤣🤣

I have reached 500 followers! Thank you for your continued support. I could not have done it without each of you. 🙏🤗🎉
17/10/2024

I have reached 500 followers! Thank you for your continued support. I could not have done it without each of you. 🙏🤗🎉

17/10/2024

Kuna Kausingizi flani huja baada ya second round 😂, Dah mtakuja Kufa Bila nguo nyinyi 😂😂.

Address

Kisumu Ndogo
Malindi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jante Madoller posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share