Radio Jahazi 87.7

Radio Jahazi 87.7 Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Radio Jahazi 87.7, Radio Station, Malindi.

 'Meneja katika ubora wake'  Media.Huyu Sasa ndio meneja wa Shampuz Media k**a ulikua humjui.Ma Style Deadly Deadly kuto...
27/07/2025


'Meneja katika ubora wake' Media.
Huyu Sasa ndio meneja wa Shampuz Media k**a ulikua humjui.
Ma Style Deadly Deadly kutoka kwa Photographer wa Shampuz Media Maingi Official hehehe๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜.
K**a unayepigwa picha hujaeka pose Kali, inabidi Sasa photographer ndiye anaeka Hilo pose. Yote hayo picha yako itokelezee vipoa.
Hongereni sana Wana maphoto kwa kazi poa๐Ÿ‘๐Ÿ‘.
Richie-the-boy

 .'MNDENGEREKO' Ndiyo Caption ambayo ameiweka  baada ya kupost picha ya pamoja na .Je kuna project mpya kati ya Hawa wan...
27/07/2025

.
'MNDENGEREKO' Ndiyo Caption ambayo ameiweka baada ya kupost picha ya pamoja na .
Je kuna project mpya kati ya Hawa wanna inaundwa?? Ndiyo swala Wana wanajiulizaga.
Mafundi wawili Hawa.
Richie-the-boy

 .Makofi ya Leo yanaenda kwa mwana Skubby Classic aka Mumba.Mwana ajajituma sana. Mbali na mziki yeye pia anazichapa san...
27/07/2025

.
Makofi ya Leo yanaenda kwa mwana Skubby Classic aka Mumba.
Mwana ajajituma sana. Mbali na mziki yeye pia anazichapa sana upande wa .
Wanna wakaniuliza hii Oysters ndio Nini Sasa.
Ajibu mwenyewe Hilo pia mm sijui ni biashara Gani๐Ÿ˜‚.
Lakini amewezaje ku balance Vyote hivi??
Mwenyewe anasema nikujituma tu, kuna muda wa studio na muda wa Oysters.
Wasanii chukueni mfano huo sio wewe ni Mwanamziki basi utegemee tu mziki, kua na ka Kazi mbadala ka kukuingizia pesa.
Congratulations ๐Ÿ‘ man.
Richie-the-boy

 .DOLA - Trilly Trillionaire Mwanamziki kutoka pwani ya Kenya Trilly Trillionaire akila Bata na mama wa kizungu.Trilly h...
27/07/2025

.
DOLA - Trilly Trillionaire
Mwanamziki kutoka pwani ya Kenya Trilly Trillionaire akila Bata na mama wa kizungu.
Trilly hivi karibuni amkeua akimpost sana wakiwa pamoja Hatua ambayo imewafanya waana wajiulize kapata jimama ama vipi.
Upande wake Bado hajaweka wazi k**a ni mpenzi wake.
Richie-the-boy

(((((((((On Air))))))))) na Richie-the-boy  .... Inakaladze Mwanna?? Hope uko poa kabisaa. Karibu Burudanini mpaka mida ...
27/07/2025

(((((((((On Air))))))))) na Richie-the-boy
.... Inakaladze Mwanna?? Hope uko poa kabisaa. Karibu Burudanini mpaka mida ya Badaye.
Mitaa Imetulea, Bado Inatudai...Lock maeneo Gani?

Ni mda wa BURUDANI na MICHEZOHii ni ShesheXtra Unategea ukiwa wapi?Captain Mafishy
26/07/2025

Ni mda wa BURUDANI na MICHEZO
Hii ni ShesheXtra
Unategea ukiwa wapi?
Captain Mafishy

26/07/2025

GUMZO LA SHULE

Serikali kuu imebaini kukosa uwezo wa kufadhili elimu ya vyuo vikuu, Je kauli yako ni ipi kutokana na swala hili?

 . .Nail cutter inaitwaje Kwa kiswahili?
26/07/2025

.
.
Nail cutter inaitwaje Kwa kiswahili?

Good morning!Kumekucha, unaamsha wangapi?
26/07/2025

Good morning!
Kumekucha, unaamsha wangapi?


25/07/2025

TABIA SINYE.
Ni tabia gani ungependa tuiadhibu hii Leo?

25/07/2025

Wataalamu wa afya wanahimiza kufua taulo/kanga baada ya kujipangusia mara mbili Ili kuepuka magonjwa ya ngozi, Je yako unaosha baada ya kutumia mara ngapi?

Kulingana na kugunduliwa tena Kwa maiti na manusura katika msitu wa Shakahola kaunti hii ya Kilifi, Je unadhani serikali...
25/07/2025

Kulingana na kugunduliwa tena Kwa maiti na manusura katika msitu wa Shakahola kaunti hii ya Kilifi, Je unadhani serikali na viongozi wa kidini wanawajibika vyakutosha kukomesha visa vya itikadi kali/dini potovu?

Address

Malindi

Telephone

+254798329612

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Radio Jahazi 87.7 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Radio Jahazi 87.7:

Share

Category