28/08/2026
Yoshua 1:9
[9]Je! Si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa BWANA, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako.
Mic check 1-2!!! Huku shwari! Kwenu vipi? Karibu kwa masaa matatu ya Baraka, burudani na kuelimisha. Nahodha ni Arkol. 📌Pin mtaa wako tukutambue?
Call& Sms:07 96 41 00 00. X/IG: