Radio Ashe Illeret

Radio Ashe Illeret Radio Ashe Illeret is a Christian station broadcasting from Maralal, Samburu County

09/12/2025

AwamuYaPili ndani ya
mjadala; maoni yako ni yapi kuhusiana na ushirikiano katika kutoa ushauri kwa vijana kuhusiana na mimba za utotoni, mihadarati na magonjwa ya zinaa?
Calls/Sms 0796410000
.

09/12/2025

Hujambo Msikilizaji! Karibu kwenye kipindi cha Let's talk kwa hisani ya kwa ushirikiano na . Je Unadhani Kanisa linapoungana Na Wanajamii Kutoa Elimu Ya Ngono Hili Litasaidia Kupunguza Mimba Za Utotoni? Call 07 12 000014 Sms 07 12 04 00 10 #03 Theme: Unite Campaign to stop digital abuse

08/12/2025

Hujambo Msikilizaji! Karibu kwenye kipindi cha Let's talk kwa hisani ya kwa ushirikiano na . Je unadhani ni sawa kwa msichana aliyepachikwa ujauzito kumshtaki kijana aliyehusika? Call 07 12 000014 Sms 07 12 04 00 10 #03 Theme: Unite Campaign to stop digital abuse

07/12/2025

Hujambo Msikilizaji! Karibu kwenye kipindi cha Let's talk kwa hisani ya UNESCO kwa ushirikiano na . Je unadhani kuna haja Ya Kuwafunza Vijana Elimu Ya ngono Na Hili Linaweza kukabiliana na Mimba Za Utotoni Katika Jamii Zetu? Call 07 12 000014 Sms 07 12 04 00 10 #03 Theme: Unite Campaign to stop digital abuse

06/12/2025

Karibu Sana Kwenye Awamu ya 2 ya Kwenye Kipindi Cha Let's Talk kwa Hisani Ya Shirika la na UNESCO.Je, Unadhani Ni Kwa Nini Ni Vingumu Jamii Ya Wafugaji Kurudisha Wasichana Wanaopata Mimba Kuendelea Na Masomo Yao Baada Ya Kujifungua? Call 07 12 000014 Sms 07 12 04 00 10

05/12/2025

Karibu sana kwenye Awamu ya 2 ya Kwenye Kipindi Cha Let's Talk kwa Hisani Ya Shirika la na UNESCO. Visa Vya Vijana Kutumia Dawa Za Kulevya Inaendelea Kuongozeka Katika Jamii Zetu? Je, Unadhani Ni Kitu Kipi Kinastahili Kifanywe Ili Kukabilina Na Jambo Hili? Call 07 12 000014 Sms 07 12 04 00 10

04/12/2025

Karibu sana kwenye Awamu ya 2 ya Kwenye Kipindi Cha Let's Talk kwa Hisani Ya Shirika la na UNESCO. Je, Unadhani tunaweza kuwasaidia vipi wasichana Wanapopata Mimba Za Utotoni? Call 07 12 000014 Sms 07 12 04 00 10

03/12/2025

Karibu sana kwenye Awamu ya 2 ya Kwenye Kipindi Cha Let's Talk kwa Hisani Ya Shirika la na UNESCO. Je, Unadhani Ni Kwa Nini Wasichana Wenye Umri Ndogo Hawatembelei Kwenye Kiliniki Wanapopata Mimba Za Utotoni? Call 07 12 000014 Sms 07 12 04 00 10

Karibu sana kwenye Awamu ya 2  ya    Kwenye Kipindi Cha Let's Talk kwa Hisani Ya Shirika la   na UNESCO. Je,Unadhani Ni ...
02/12/2025

Karibu sana kwenye Awamu ya 2 ya Kwenye Kipindi Cha Let's Talk kwa Hisani Ya Shirika la na UNESCO. Je,Unadhani Ni sababu zipi zinazochangia visa vya mimba za utotoni miongoni Mwa Wasichana Wetu Katika Jamii? Call 07 12 000014 Sms 07 12 04 00 10

  Mimba za mapema,unywaji wa pombe nk. Miongoni mwa vijana wadogo wa k**e na wakiume ni baadhi ya mambo ambayo yanazidi ...
01/12/2025


Mimba za mapema,unywaji wa pombe nk. Miongoni mwa vijana wadogo wa k**e na wakiume ni baadhi ya mambo ambayo yanazidi kushuhudiwa katika jamii. Unadhani malezi ya sasa ndio yamechangia kupotoka kimaadili kwa watoto katika umri mdogo na kujiingiza katika mapenzi na unywaji pombe?

Karibu sana kwenye awamu ya 2  ya     kwenye Kipindi cha Let's Talk kwa hisani ya shirika la   na UNESCO. Unadhani ni nj...
29/11/2025

Karibu sana kwenye awamu ya 2 ya kwenye Kipindi cha Let's Talk kwa hisani ya shirika la na UNESCO. Unadhani ni njia gani mwafaka tunaweza tukatumia ili kuzuia visa vya mimba za mapema na maambukizi ya HIV miongoni mwa vijana humu nchini?Call 07 12 000014 Sms 07 12 04 00 10

Address

Samburu County
Maralal

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Radio Ashe Illeret posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Radio Ashe Illeret:

Share

Category