Tune Fm

Tune Fm We Promote Local Music.

Ladies And Gentlemen,We Are Baack!This Sato Gonna Be Liiit 🔥🔥🔥Back To The Airwaves 📻📻📻Which Song You Vote In This Weeken...
09/10/2023

Ladies And Gentlemen,We Are Baack!
This Sato Gonna Be Liiit 🔥🔥🔥
Back To The Airwaves 📻📻📻
Which Song You Vote In This Weekend's
Comment The Song Down Below,Kindly Share This Post.

Kundi La Mziki Kutoka Pwani CSM wazito  Kuongeza Umaarufu Kwenye Mtandao Wa Boomplay!Baada Ya Kuachia Kazi Inayotamba Kw...
05/10/2023

Kundi La Mziki Kutoka Pwani CSM wazito Kuongeza Umaarufu Kwenye Mtandao Wa Boomplay!
Baada Ya Kuachia Kazi Inayotamba Kwa Jina I MISS YOU,Kundi Hilo Ambalo Linajumuisha Baila-Boy naye Innos Chatu Linaonekana Kupata Streams Zaidi Ya 7,125 Kwenye Boomplay. Skiliza Kazi Yao Hapa https://bit.ly/3RLw24s
Tupia Comments,Kuhusiana Na Usemi Wako!
Follow Us For More E-News Fm

New Music!!Produza  Hits Kwenye Sherehe Akimshirikisha  254 Skiliza Kwenye Boomplay https://bit.ly/3PFRepK📷  E-News
04/10/2023

New Music!!
Produza Hits Kwenye Sherehe Akimshirikisha 254
Skiliza Kwenye Boomplay https://bit.ly/3PFRepK
📷 E-News

Kati Ya Wakongwe Wa Mziki Pwani  Official Warudi Na Ujio Mpya Wakimshirikisha  C. Skiliza Nawaka Kwenye YouTube https://...
04/10/2023

Kati Ya Wakongwe Wa Mziki Pwani Official Warudi Na Ujio Mpya Wakimshirikisha C.
Skiliza Nawaka Kwenye YouTube https://bit.ly/3RL2806

📷 E-News

26/02/2023

Hello There? Have A Blessed Sunday! We Love You All.

Anaitwa masterKimbo , wamkumjua na ngoma gani? Unampatia  number gani kwenye list ya wasanii wa pwani?
26/11/2022

Anaitwa masterKimbo , wamkumjua na ngoma gani? Unampatia number gani kwenye list ya wasanii wa pwani?

11/11/2022

Kaa La Moto miezi iliyopita alitoa album yake ya "Leso ya Mekatilili" iliyo na nyimbo 12.Hayati Mekatilili ni shujaa pia vilevile mzalendo aliyepigania haki za jamii yake.

Je, Ishara hii inajitokeza vipi kwenye album yake? Mbona kaiita Leso ya Mekatilili. Maoni ya Tunefm ni haya, je yako ni yapi?.




"KIJICHO NDIO KINAMSUMBUA MPWANI" maneno ya P Day Hurrikane hayo.Ukweli wauma,ila p day anaonekana kutovumilia,,,kwa his...
08/11/2022

"KIJICHO NDIO KINAMSUMBUA MPWANI" maneno ya P Day Hurrikane hayo.

Ukweli wauma,ila p day anaonekana kutovumilia,,,kwa hisia anaelezea jinsi mpwani anavyosumbuka na kijicho ama kwa jina lingine tunaweza sema ni wivu.

Msanii nguli kutoka kilifi kaunti kaachilia ngoma mpya na jimbi KO Kenya , kibao kwa jina .

Je anasema kweli? Wapwani tunasumbuliwa na wivu unaoleta usaliti? Na mwishowe kuturudisha nyuma kimaendeleo hasa mziki?

Siku za nyuma msanii huyu ameonekana kumuunga mkono susumila na kuamini kuwa wengi wanoampatia majina mabaya hasa hili la mchawi , sio ukweli bali ni wivu wakutotaka kuona maendeleo ya mtu.

Sikiza ngoma hii kwa Boom play usikize madini na ustaa uliotumika baina ya Pday na K.O, tena kwa comment utujuze nani kamfunika mwingine.


08/11/2022

"Tusaidieni jameni" Yameg Gang waomba msaada.

Ruby kache anawarai👇👇"https://pwanigoldenawards.co.ke/Voting polls are now open.Category- comedian Ticktocker Vote for r...
07/11/2022

Ruby kache anawarai👇👇

"https://pwanigoldenawards.co.ke/

Voting polls are now open.
Category- comedian

Ticktocker

Vote for ruby kache🌹 mvote ndio mlale,waeza vote hata mara mia. Na mtume screen shot mana najua wengine mnasema mme vote na Badoo ama hamtaki nishindee,hamtaki msichana wa bamba ashinde? Vote basi alafu mtume screenshot" asema Ruby kache.

Let's Talk about Hiphop.Kwa wale wanaofuatilia sana mziki wa hiphop ukanda wa pwani ,msanii huyu kwa jina Jaykah Mtengwa...
07/11/2022

Let's Talk about Hiphop.

Kwa wale wanaofuatilia sana mziki wa hiphop ukanda wa pwani ,msanii huyu kwa jina Jaykah Mtengwa sio mgeni kwao.

Msanii huyu Nguli anayesimama na misingi yake ya hiphop ukilinganiza na wasanii wengi wa sasa, aghalabu anatumia mziki kuelimisha jamii na kuwapasha ukweli badala ya kuufanya k**a biashara

Ukifuatilia sana mziki wake, jaykah anaonekana kuwa mwanaharakati kwa njia moja ama nyingine.

Baadhi ya ngoma alizowahi kutoa ni pamoja na Vipi nitatoka, kibao alichokitoa miaka ya nyuma kikigusia jinsi sanaa imekuwa biashara badala ya kupitisha mafunzo ili kuelimisha jamii, kiwango cha kwamba wasanii wako tayari kujiita mabachelor ilhali wameoa wako na watoto, msingi tu wavutie wafuasi

Mumiliki huyu wa studio ya Jah Records amewahi kufanya collabo na wasanii mbalimbali wa hiphop ikiwemo Kaa la moto, Masterr Kimbo ,Lai. Na. Wasanii wengine.

Hivi majuzi kaachilia kibao kwa jina Sijulikani, Fika kwenye mtandao wake wa youtube ama facebook upate kusikiza kazi zake nyingi.

Address

1635
Mombasa
80100

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tune Fm posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Tune Fm:

Share

Category