The Fumigater DAILY Reports

The Fumigater DAILY Reports Bringing politics and other reports to your doorstep.

Maamuzi mazuri hapa binafsi nahisi Neto angenyoosha tu kombora tena ukizingatia kipa wa Barca alishasoge mbele kidogo il...
28/11/2025

Maamuzi mazuri hapa binafsi nahisi Neto angenyoosha tu kombora tena ukizingatia kipa wa Barca alishasoge mbele kidogo ili kupunguza ukubwa wa goli!🧐

USAJILI WA ESTEVAO KUTUA CHELSEA Dogo alijiunga na academy ya Palmeiras mwaka 2021 akiwa na umri wa miaka 14 pekee akito...
28/11/2025

USAJILI WA ESTEVAO KUTUA CHELSEA

Dogo alijiunga na academy ya Palmeiras mwaka 2021 akiwa na umri wa miaka 14 pekee akitokea Cruzeiro zote za uko uko nchini Brazil, baada ya kujiunga na Palmeiras alianza kuvishawishi vilabu vingi sana kutokana na ubora wake .

Mwaka 2023 akiwa na umri wa miaka 16 na miezi 6 alienda kuiwakilisha Brazil U17 kwenye kombe la dunia, alionesha kipaji kikubwa sana cha soka akazidi kuonekana kwenye macho ya wengi na apo ndipo alipoanzwa kuzungumzwa ulaya.

Dogo alipohojiwa alisema ndoto yake ni kujiunga na FC Barcelona kwasababu ndio klabu ya ndoto yake, vilabu vilivyokua vikimfatilia ni Bayern Munich, Chelsea na Real Madrid.

Barça walitamani sana kumsajili ila shida waliangalia uwepo wa Lamine Yamal kwenye klabu iyo na wote umri wao ni sawa pia wote wanacheza eneo moja ( namba 7 au 10 ) inaweza kumuathiri mmoja kati yake kiwango chake kikashuka kwasababu italazimika mmoja asubirie nje ili mwingine apate nafasi .

Real Madrid walimtaka sana ila dogo alikataa mwenyewe kujiunga na Madrid kutokana na mapenzi yake kwa FC Barcelona, Madrid wakapita na Endrick pekee.

Chelsea wakatia mguu na ikawa rahisi kwao kumsajili dogo kwasababu klabu ya ndoto yake isingeweza kumsajili, walimsajili mapema akiwa na miaka 16 akawa anasubiriwa afikishe umri wa miaka 18 ili apewe kubali cha kufanyia kazi ulaya .

Baada ya World Cup U17 dogo akaanza kupewa nafasi ya kuaminiwa ndani ya Palmeiras na baadaye akawa nyote wa klabu akiwa na umri wa miaka 17 pekee.

Akashinda tuzo ya mchezaji bora wa ligi kuu Brazil na mchezaji bora chipukizi.

Sifa nyingine ya dogo kwao ni watu wa dini sana na ata yeye ni mtu wa dini sana ndiomana ni ngumu kumuona kwenye maisha ya starehe.

Ako area Jumapili, Arsenal nawahurumia sasa
28/11/2025

Ako area Jumapili,
Arsenal nawahurumia sasa

Mjue historia hujirudia. 🤣🤣
28/11/2025

Mjue historia hujirudia.

🤣🤣

Man u wanafanya Hesabu hivi, Chelsea washinde Nao man u washinde crystal Palace. Watakuwa nyuma ya Arsenal na alama sita...
28/11/2025

Man u wanafanya Hesabu hivi,

Chelsea washinde
Nao man u washinde crystal Palace.

Watakuwa nyuma ya Arsenal na alama sita

Wueh hapa kuna kazi,

Kidubwedubwe jijini London Jumapili, Nani kusema, Ndovu lazima ashuke.
28/11/2025

Kidubwedubwe jijini London Jumapili,

Nani kusema,

Ndovu lazima ashuke.

28/11/2025

Caicedo moi ataweka Declan rice mfukoni mwake k**a jugu
28/11/2025

Caicedo moi ataweka Declan rice mfukoni mwake k**a jugu

Is Sunday, Ndovu lazima ashuke
28/11/2025

Is Sunday,

Ndovu lazima ashuke

28/11/2025

Wueh,
28/11/2025

Wueh,

BREAKING: Bukayo Saka ametoka soko na Tolami after romantic proposal
28/11/2025

BREAKING: Bukayo Saka ametoka soko na Tolami after romantic proposal

Address

Nairobi
Mombasa

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when The Fumigater DAILY Reports posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to The Fumigater DAILY Reports:

Share