DAAWA TV

DAAWA TV DAAWA TV NI CHANNEL YA KISLAM INAYO ZUNGUMZA MASWALA YA KIIMANI.

Mwanaume alimchunguza mke wake kwa siri mara baada ya kutoka nyumbani kwake, akamkuta akizuru kaburi la mume wake aliyef...
30/07/2025

Mwanaume alimchunguza mke wake kwa siri mara baada ya kutoka nyumbani kwake, akamkuta akizuru kaburi la mume wake aliyefariki.

Kwa mtazamo wako, hili linahesabika k**a usaliti au uaminifu?

19/07/2025

Hafla ya daarul arqam likoni mombasa

انا لله وانا اليه راجعون Allah alifanye kaburi lako ni bustani la jannah
10/07/2025

انا لله وانا اليه راجعون
Allah alifanye kaburi lako ni bustani la jannah

05/07/2025

Msikize mwamba akiongea kisha toa maoni yako au swali lolote katika hili najua wengi hawaelewi hili...

K**A UNACHO KIFANYA NI BORA ZAIDI KULIKO ALLAH UTAPITA BILA KUANDIKA . ALHAMDULILLAH
01/07/2025

K**A UNACHO KIFANYA NI BORA ZAIDI KULIKO ALLAH UTAPITA BILA KUANDIKA . ALHAMDULILLAH

DAAWA TV Rasmi imekamilisha muundo wake WA account ya tiktok kwajina la DAAWA TV Naenda ukasach na ujiunge...lkn pia ime...
27/06/2025

DAAWA TV

Rasmi imekamilisha muundo wake WA account ya tiktok kwajina la DAAWA TV Naenda ukasach na ujiunge...lkn pia imekamilisha uundwaji WA group la WhatsApp jina DAAWA TV
bofya linki hii itakupeleka moja KWA moja kujiunga
https://chat.whatsapp.com/GJzlp5IW4Ec7IAm1pR7Dgd

Jiepushe na mambo haramu ndani ya group utajipata uko nje...

SALAMA YA MJA KATIKA MAISHA NI KUFANYA IBADA....
26/06/2025

SALAMA YA MJA KATIKA MAISHA NI KUFANYA IBADA....

OSHA MOYO WAKO KABLA YA MWILI WAKO...
22/06/2025

OSHA MOYO WAKO KABLA YA MWILI WAKO...

الذنب الذي تصنعه وأنت تضحكستعذب به وأنت تبكي..DHAMBI UNAYOIFANYA UKIWA UNACHEKA BASI FAHAMU KUNA SIKU UTAADHIBIWA UKIWA ...
15/06/2025

الذنب الذي تصنعه وأنت تضحك
ستعذب به وأنت تبكي..
DHAMBI UNAYOIFANYA UKIWA UNACHEKA BASI FAHAMU KUNA SIKU UTAADHIBIWA UKIWA UNALIA....

Address

Likoni
Mombasa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DAAWA TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category