12/01/2026
السلام عليكم وحمة الله وبركاته
Ndugu zangu tumebahatika kua katika MWEZI wa Rajab..ambapo wanachuoni huutaja kua MWEZI wa kupanda mema kwaajili ya mavuno makubwa ya MWEZI mtukufu wa ramadhan..k**a ada yetu unapofika MWEZI huu tunaanza rasmi safari ya kuchangisha kwaajili ya iftari kwa ndugu zetu waislam
Wajane
Mayatima
Maskini.
Mchango wetu unaelemea zaidi katika nchi ya Kenya na Tanzania na Uganda lkn pia Dunia nzima
Mchango utaanza rasmi kesho tar 13/26
Na mipangilio yake itakua inawekwa katika group za DAAWA TV ikiwemo whatssap..unahimizwa kujiunga..
Na mchango ni kuanzia ksh100 kwenda juu..
Tsh1000
Ukitoa zaidi ni kheri
JIUNGE na GROUP.https://chat.whatsapp.com/GJzlp5IW4Ec7IAm1pR7Dgd
Namba za KUTUMIA..
Kenya...+254 743 945166.RAMADHAN NJAMA..
TANZANIA.+255711922422.RAJAB HOSENI.
TENGENEZA AKHERA YAKO.KIDOGO CHAKO NI KIKUBWA MBELE YA ALLAH...
mtangulizie mzazi wako na.na ndugu Yako na mgonjwa wako..KWANI swadaqa ni ponyo..
Shukran