DAAWA TV

DAAWA TV DAAWA TV NI CHANNEL YA KISLAM INAYO ZUNGUMZA MASWALA YA TikTok linik..

tiktok.com/.tv3

Whatssap group..link
https://chat.whatsapp.com/GJzlp5IW4Ec7IAm1pR7Dgd
+255711922422

SUBHANALLAH.HUYU MTOTO AMETUPWA KWA CHOO NA MAMAKE AKATOROKA . JAMANI KUNA WANAWAKE WANATAMANI WATOTO NA HAWAPATI SASA K...
13/10/2025

SUBHANALLAH.

HUYU MTOTO AMETUPWA KWA CHOO NA MAMAKE AKATOROKA . JAMANI KUNA WANAWAKE WANATAMANI WATOTO NA HAWAPATI SASA K**A WEWE UNAKUBALI MIEZI 9 UNALEA MIMBA ALAFU UTUPE MTOTO SURELY. WANAWAKE PLZ KUENI NA ROHO ZA HURUMA . SAI MTOTO YUKO HAI NA AMETOLEWA AKIWA MZIMA .BADAE UKASEME NI WAKO WEWEEE👉👉 .MAMA LEA HUYO MTOTO ATAKUSAIDIA BADAE.

Wanasayansi wamejikuta midomo wazi baada ya kugundua katika anga za mbali mbali mbali mno umbo ambalo lina ukubwa wa kut...
10/10/2025

Wanasayansi wamejikuta midomo wazi baada ya kugundua katika anga za mbali mbali mbali mno umbo ambalo lina ukubwa wa kutosha mamilioni ya jua letu!
Chanzo: AraGeek.

Mwisho watakubali tu k**a hii dunia ina mwenyewe

07/10/2025
INDIA..Ndege aina ya Boeing 787 Dreamliner iliyokuwa na watu 242 ilianguka muda mfupi baada ya kupaa na kusababisha vifo...
05/10/2025

INDIA..
Ndege aina ya Boeing 787 Dreamliner iliyokuwa na watu 242 ilianguka muda mfupi baada ya kupaa na kusababisha vifo vya watu wasiojulikana na kusababisha uharibifu mkubwa.

Video za mashuhuda zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zilinasa matukio ya mwisho ya ndege hiyo ilipoanguka kutoka angani.

Ilitoweka nyuma ya majengo kabla ya moto mkubwa kulipuka kwenye upeo wa macho, ikifuatiwa na safu ya moshi mweusi unaopanda.

05/10/2025

k**a wewe sio kiwete Wala mgonjwa basi mshukuru mungu na usambaze ujumbe huu kuonyesha neema ya mungu juu Yako.

YAARABBI SIKU NYENGINE TUNAKOMBA UTUNAWIRISHE KWA AFYA NA MSAMAAMEEN.
01/10/2025

YAARABBI SIKU NYENGINE TUNAKOMBA UTUNAWIRISHE KWA AFYA NA MSAMA

AMEEN.

HASARA ZA S*X KINYUME CHA MAUMBILESehemu ya haja kubwa haina mlango wa kuingilia uume zaidi ya kinyesi pekee Kesho utava...
24/09/2025

HASARA ZA S*X KINYUME CHA MAUMBILE

Sehemu ya haja kubwa haina mlango wa kuingilia uume zaidi ya kinyesi pekee Kesho utavaa pampers k**a uniform yako ya shule.
Utakua unajiandalia magonjwa hatari, kutembelea hospitali bila mwisho.
Hakuna mimba itakayopatikana kwa njia hiyo maana yake hakuna urithi utakao uzaa au kuuacha unapoteza muda wako na nguvu kazi tu.

Huwezi hata kujivunia kumtambulisha mpenzi wako mbele ya watu.

Majuto yako yatakuja Siku moja utaangalia na kukumbuka nyuma ulikotoka na kujiuliza, ‘Nilikuwa nikifikiria nini kufanya ule ujinga?’

Upweke Wa Uzee: Wengine wanapozungukwa na watoto na wajukuu, wewe unakuwa peke yako.

Kubwa zaidi unapata Laana Za Mwenyezi Mungu.

Tafadhali unaweza kuacha.

EEE MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI WASAIDIE WAJA WAKO WANAO DHULUMIKA KULE GAZA KWANI WW NI MWINGI WA MAJESHI.AMEEN
16/09/2025

EEE MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI WASAIDIE WAJA WAKO WANAO DHULUMIKA KULE GAZA KWANI WW NI MWINGI WA MAJESHI.AMEEN

NDOTO YA KILA MWANAMKE NI MWANAUME MWENYE NDEVU..JE HILI LIKONA ASLIMIA NGAPI.TUKUTANE KWENYE MAINI..
10/09/2025

NDOTO YA KILA MWANAMKE NI MWANAUME MWENYE NDEVU..JE HILI LIKONA ASLIMIA NGAPI.TUKUTANE KWENYE MAINI..

ULISHUHUDIA TUKIO HILI LA KUTISHA UKIWA WAPI..NA MAOMBI GANI ULIOMBA..TUJIBU TUPATE MANUFAA KUPITIA KWA...
08/09/2025

ULISHUHUDIA TUKIO HILI LA KUTISHA UKIWA WAPI..NA MAOMBI GANI ULIOMBA..TUJIBU TUPATE MANUFAA KUPITIA KWA...

MWEZI wa damu kuikumba baadhi ya maeneo Africa na Dunia mwendo wa saamoja Hadi saatatu Leo yarabbi tunakuomba utupe kher...
07/09/2025

MWEZI wa damu kuikumba baadhi ya maeneo Africa na Dunia

mwendo wa saamoja Hadi saatatu Leo

yarabbi tunakuomba utupe kheri

Assalam alaykum sheikBabangu ameritadi na kwetu tuko wanawake wote.je ninani anafaa kua walii Yani msimamizi WA ndoa yan...
25/08/2025

Assalam alaykum sheik
Babangu ameritadi na kwetu tuko wanawake wote.je ninani anafaa kua walii Yani msimamizi WA ndoa yangu?

Address

Likoni
Mombasa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DAAWA TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category