JIKO NA Sheriaze

JIKO NA Sheriaze CONTENT CREATOR| COMEDIAN|INFLUENCER| ACTOR| POET. Pata USHAURI wa NASAHA kuhusu maswala ya NA SHERIAZE.

18/07/2025
Pale DAYO Radio  leo mambo imekua vulai...k**a umaniskiza drop kakoment nkuekee za nyanya na tomato ukule food na chakul...
04/07/2025

Pale DAYO Radio leo mambo imekua vulai...k**a umaniskiza drop kakoment nkuekee za nyanya na tomato ukule food na chakula🤣
JIKO NA Sheriaze Jairus Summah

It was such an amazing opportunity and a very apecial one indeed.....My thanks to DAYO Radio  fratanity and my JNS famil...
04/07/2025

It was such an amazing opportunity and a very apecial one indeed.....
My thanks to DAYO Radio fratanity and my JNS family for the support.....
My big thanks to whomever has taken his or her time kuskiza kipindi.....
I say God bless you fam♥️🎉
Kuwakumbusha tu kwamba na wote wako kule youtube JIKO NA SHERIAZE TV na naomba kanisapotini...
Alaf hapa kwa hii page JIKO NA Sheriaze mnifollow plz my friends.

Follow Jairus Summah huyu ndo mwanasheria mkuu upande wa maswala ya na

Mazuri yaja....

02/07/2025

Ndio kutoka job sai ......wife ameniambia nmpelekee Tomato,nyanya,onions 2 na kitunguu ya mbao alaf na cabbage salad nusu yenye imekatwa....🤣🤣🤣

Follow DAYO Radio wakupe kiti ukae friday nko mjengoni kwao kwa ajili ya na



JIKO NA Sheriaze

02/07/2025

Unauza mpaka damu yako kumsupport afaulu ili akufae badae k**a mpenzi wako...lkn yeye Anaondokea kukusevu KWA SIMU YAKE.....
Ina maana kwmba hauma umuhimu wowote kwake....
Ak Earth is hard😭
Mapenz shikamooo😭


DAYO Radio ndo mpango mzima on 4/7/2025 @8:00am-10:am
na

27/06/2025

New gospel banger dubbed By Chipp Charly.It is such an amazing gospel music with a unique vibe ...kindly like,comment,subscribe amd share with your f...

25/06/2025
25/06/2025

Imagn unapatana na dem at the grassroot level.Unampenda,unamsomesha had anamaliza form 4,usichoke umpeleke college apate kaujuzi ili msaidiane badae now that dhamira yako n kumuoa awe mke wako....
Unamuombea huku unamsupport adi unafilisika alafu yeye on the other hand mambo yanaanza kumunyookea🎉.

Unashangaa all over a sudden anachange kummeet inakua had utume application na usubr response for about a month or so.....

Ile tu ameamua kukumeet unapata kachance unaperuz fon yake unapata AMEKUSEV, "MUUZA CHUPI"😭😭😭😭

Ingekua n wew unareact aje,unafanya maamuzi gan???

Assume n wew sas umefanya juhud izo zote then dem anakubadilika tu paaap......😭😭😭

Share your reaction as a man ata k**a wew n dem eb take this challange as a man.....

Hii inauma😭😭

MUUZA CHUPI PART 1

https://youtu.be/ADu3rg8rxlc?si=RNb4X7YXNIElEQAa

25/06/2025

Address

Mombasa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JIKO NA Sheriaze posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to JIKO NA Sheriaze:

Share