Showbuzz tv

Showbuzz tv Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Showbuzz tv, East africa, Mombasa.
(3)

🎬 Showbuzz TV
πŸ”₯ Your #1 plug for trending entertainment news
🎢 Music β€’ Celebrities β€’ Viral Stories
πŸ‡°πŸ‡ͺ Kenya | East Africa
πŸ“© DM for features & promotions WhatsApp +254792246538
Gossips | News | Interviews | Promotions | Digital marketing

Leo tunarudi nyuma kidogo kwenye kumbukumbu za muziki! Kwenye picha kuna kundi la Mak**anda πŸ’― lakini picha ya chini ni m...
14/05/2026

Leo tunarudi nyuma kidogo kwenye kumbukumbu za muziki! Kwenye picha kuna kundi la Mak**anda πŸ’― lakini picha ya chini ni mmoja wa wasanii waliotikisa ndani ya Mak**anda.
Je, unamfahamu? πŸ‘€
Mtaje kwenye comments tuone nani alikuwa shabiki wa kweli wa old school vibes 🎀πŸ”₯
Usisahau: πŸ‘ Like
πŸ’¬ Comment
πŸ”„ Share
Endelea kufollow Showbuzz TV kwa burudani, muziki na mastori moto moto kila siku πŸ’₯

πŸ”₯ MAKAMANDA WAFIKISHA 50K SUBSCRIBERS! πŸ”₯Kundi la Mak**anda linaendelea kufanya makubwa kwenye tasnia ya burudani baada y...
14/05/2026

πŸ”₯ MAKAMANDA WAFIKISHA 50K SUBSCRIBERS! πŸ”₯
Kundi la Mak**anda linaendelea kufanya makubwa kwenye tasnia ya burudani baada ya kufanikisha kufikisha subscribers 50K kwenye YouTube! πŸ‘πŸŽ‰
Kupitia ubunifu wao wa kipekee wa β€œsanaa shamba”, wameweza kuteka anga na kuvutia mashabiki wengi kutoka maeneo mbalimbali nchini na nje ya nchi. 🌍🎬
Mashabiki wamekuwa wakivutiwa na uhalisia wa kazi zao, vipaji vyao vya uigizaji pamoja na namna wanavyobeba maisha ya kawaida ya kijijini na kuyafanya burudani ya kiwango cha juu. πŸ’―
Zaidi ya hayo, taarifa zinazozidi kusambaa zinaonyesha kuwa collabo mpya kati ya Mak**anda na msanii mmoja kutoka Nairobi iko tayari kutoka muda wowote! πŸ”₯
Je, hii ndiyo project itakayowapeleka hatua nyingine kubwa zaidi? Mashabiki wanasubiri kwa hamu kuona nini kitafuata. πŸ‘€
Hongera sana kwa Mak**anda kwa hatua hii kubwa ya 50K subscribers. Kazi nzuri inaendelea kuonekana na kuungwa mkono na wengi kila siku. πŸ™Œ
πŸ“Œ Una maoni gani kuhusu mafanikio ya Mak**anda na collabo yao mpya? Tuambie kwenye comments.
**anda

Kaa la Moto ameamua kuwa coach wa street fighting πŸ˜‚ K**anda Pedeshe sasa ni mwanafunzi wa kazi! Ukimuona akikunja ngumi ...
13/05/2026

Kaa la Moto ameamua kuwa coach wa street fighting πŸ˜‚ K**anda Pedeshe sasa ni mwanafunzi wa kazi! Ukimuona akikunja ngumi mara mbili jua lesson zimeingia vizuri sana πŸ”₯πŸ‘Š
Baada ya mafunzo ya Kaa la Moto, Pedeshe sasa anatembea k**a mtu ako ready kwa round yoyote πŸ˜‚ Ukimsalimia vibaya unaweza jipata umehesabu nyota mchana 🌟🀣
Instagram imewaka moto baada ya Kaa la Moto kumfunza Pedeshe jinsi ya kujitetea πŸ˜‚ Sasa wasee wanashauriwa wasimjaribu ovyo ovyo juu anaonekana amegraduate vizuri πŸ‘ŠπŸ”₯
Kaa la Moto amesema β€œdefense ni muhimu” na Pedeshe akaamua kuchukua masomo serious kabisa πŸ˜‚ Saa hii ukileta mchezo unaweza geuzwa lesson ya bure 🀣
Pedeshe akiingia gym ya Kaa la Moto ni k**a movie ya action imeanza πŸ˜‚ Wasee wa mtaa sasa wanamuangalia kwa heshima mpya kabisa πŸ”₯πŸ˜‚
Kaa la Moto amemtrain Pedeshe hadi confidence imepanda πŸ˜‚ Ukimuona akitembea na kifua mbele usidhani ni bahati, ni mafunzo ya Instagram

β€œTausi Baya amesema: β€˜Mwanaume ambaye hana kubwa hawezi kunidate.’ πŸ‘€πŸ”₯Je, unaona kauli k**a hizi ni preference ya kawaida...
13/05/2026

β€œTausi Baya amesema: β€˜Mwanaume ambaye hana kubwa hawezi kunidate.’ πŸ‘€πŸ”₯
Je, unaona kauli k**a hizi ni preference ya kawaida kwenye mahusiano ama ni kudhalilisha wanaume?
Na wewe unaonaje mtu kuweka wazi vitu anavyotaka kwa partner wake hadharani?”

Kundi la   limeachia ngoma mpya inayozidi kufanya vizuri kwa mashabiki wa muziki wa mtaani. Track hiyo mpya inayojulikan...
13/05/2026

Kundi la limeachia ngoma mpya inayozidi kufanya vizuri kwa mashabiki wa muziki wa mtaani. Track hiyo mpya inayojulikana k**a imebeba vibe kali, beat safi, na bars za ukweli zinazowakilisha maisha ya streets k**a walivyozoea kufanya kwenye kazi zao nyingi. 🎢
Baada ya mafanikio ya ngoma k**a , , pamoja na collabo yao ya Noma akiwa na Bobby_Cee, Boom Gang wanaendelea kuonyesha consistency kwenye game ya muziki wa East Africa. Mashabiki wengi tayari wameanza kuipa support kubwa kupitia YouTube na platforms mbalimbali za streaming. πŸ”₯
K**a bado hujaicheki, hii ni nafasi yako ya kuskia moto mpya kutoka kwa Boom Gang.

Boom_Gang NISKIZE EastAfricanMusic BURUDANI HaronPromotionz Kisauni

🎢 JE, KUNA COLLABO LINAKUJA? πŸ‘€πŸ”₯Msanii Pelzy Never Mind ametangaza rasmi ujio wa wimbo wake mpya akiwa pekee yake, lakini...
13/05/2026

🎢 JE, KUNA COLLABO LINAKUJA? πŸ‘€πŸ”₯
Msanii Pelzy Never Mind ametangaza rasmi ujio wa wimbo wake mpya akiwa pekee yake, lakini mashabiki wameanza kupata maswali baada ya kuonekana akiwa studio pamoja na Simba Zee na Bobby Cee. πŸ€”πŸŽ€
Je, huu ni mchezo wa ku-promote ngoma mpya au kuna collabo kali inakuja ambayo bado haijawekwa wazi? Kwa picha na vibe walizoonyesha, wengi wanaamini kuna kitu kikubwa kinaandaliwa nyuma ya pazia. πŸ”₯
Pelzy Never Mind ameendelea kuonyesha juhudi kubwa kwenye muziki wake, na k**a kweli atawaunganisha Simba Zee pamoja na Bobby Cee, basi mashabiki wa burudani wanapaswa kutarajia moto wa hatari. πŸ’₯🎧
Unadhani kuna collabo inakuja au ni marafiki tu walikutana studio? Tuambie maoni yako hapo chini. πŸ‘‡

Tumpe maua yake dogo Kutoka mtaani mpaka kufanya vizuri kwenye charts, Mtalibani Halisi ameendelea kuonyesha kipaji chak...
13/05/2026

Tumpe maua yake dogo
Kutoka mtaani mpaka kufanya vizuri kwenye charts, Mtalibani Halisi ameendelea kuonyesha kipaji chake kupitia ngoma kali zinazotikisa kila upande πŸŽΆπŸ‘
Baadhi ya nyimbo zake zilizopendwa sana ni:
🎡 TOKA MAGETONI
🎡 WE SIO MWANA
🎡 WATANISEMA SANA
🎡 TUME UONA MWAKA
🎡 NISHATOKA NDOTONI
Leo kupitia Showbuzz TV tunataka kumpa maua yake 🌹 kwa kazi kubwa, juhudi, consistency na namna anavyoendelea kuipeperusha vizuri game ya muziki πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ”₯
Sasa tupe maoni yako πŸ‘‡
Ni wimbo gani wa Mtalibani Halisi uliokufanya ukawa shabiki wake kwa mara ya kwanza? ❀️🎀
Andika hapo comments tusupport kazi nzuri ya mmoja wa wasanii wanaofanya vizuri kwa sasa πŸ’―

Emkay64 mnyamaπŸ”₯🎢πŸ”₯ AFTER kufanya vizuri na Love Songs EP, msanii anayekuja kwa kasi Emkay64 amerudi tena na project mpya ...
12/05/2026

Emkay64 mnyamaπŸ”₯
🎢πŸ”₯ AFTER kufanya vizuri na Love Songs EP, msanii anayekuja kwa kasi Emkay64 amerudi tena na project mpya inayosubiriwa kwa hamu kubwa β€” β€œAnga Issues EP” πŸš€πŸ’Ώ
Kupitia kurasa zake za kijamii, Emkay64 amethibitisha kuwa EP hiyo mpya itatoka rasmi tarehe 1 mwezi wa 6, na tayari mashabiki wameanza kuonyesha support kubwa mtandaoni. πŸ™Œ
πŸ“€ Anga Issues EP itakuwa na jumla ya ngoma 6, na kutokana na vibe ambazo Emkay64 amekuwa akizitoa, wengi wanaamini project hii itakuwa another hit package kutoka kwa msanii huyo. πŸ”₯
Baada ya Love Songs EP kugusa hisia za watu wengi kupitia melodies tamu na lyrics zenye feelings, sasa fans wana hamu ya kuona Emkay64 ameandaa nini kwenye hii mpya project. πŸ‘€πŸŽ§
πŸ’¬ K**a wewe ni shabiki wa Emkay64, ni track gani ilikubamba zaidi kwenye Love Songs EP?
Na unategemea nini kutoka kwenye Anga Issues EP? πŸ‘‡πŸ”₯
BongoFlava NewMusicAlert

β€œSUSUMILA akubali history ya mapenzi kutoka kwa msanii Coast Boi (Mozze Official)” πŸ’”πŸ‘€Kauli hiyo imezua mjadala mkubwa mt...
12/05/2026

β€œSUSUMILA akubali history ya mapenzi kutoka kwa msanii Coast Boi (Mozze Official)” πŸ’”πŸ‘€
Kauli hiyo imezua mjadala mkubwa mtandaoni baada ya mashabiki wengi kuanza kuzungumzia uhusiano na historia iliyowahi kuwepo kati yao. Mozze Official ameendelea kuwa gumzo huku jina lake likiendelea kutrendi kwenye mitandao ya kijamii. 🎢πŸ”₯
Mbali na sakata hilo la mapenzi, Mozze Official pia ametangaza rasmi kuachia kazi nyingine mpya mwezi huu akimshirikisha Genius KE. 🎧✨
Ngoma hiyo mpya inaitwa β€œMi Amor” na tayari mashabiki wengi wanaisubiri kwa hamu wakiamini italeta vibe kali kutoka kwa mastaa hao wawili. πŸ’₯
Je, unaisubiri β€œMi Amor”? Na una maoni gani kuhusu kauli ya Susumila? πŸ€”πŸ‘‡
CoastBoi Trending News

Biashara Biashara  pamoja na   tutarajie hit nyingine ❀️πŸ”₯
12/05/2026

Biashara Biashara
pamoja na tutarajie hit nyingine ❀️πŸ”₯

12/05/2026

LEGENDARY KABISA WA MUZIKI EAST AFRICA NZIMA ANATUTHIBITISHIA KWAMBA MUZIKI MZURI UNAISHIπŸ™ŒπŸ‘‘
KING KIBA ZAIDI YA CHUO CHA MUZIKI HAINA MJADALA πŸ₯‚πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ˜€

Cc


Address

East Africa
Mombasa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Showbuzz tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Showbuzz tv:

Share