Kedu Media

Kedu Media Kedu Media Ltd. est. 2024. Real Talk โ€ข Real Vibes. Welcome Home,
Yedu Diwose !

 HABARI YA HIVI PUNDE:Mbunge wa Wundanyi Mheshimiwa Danson Mwashako Mwakuwona, atangaza rasmi azma yake ya kuwania Ugava...
12/01/2026


HABARI YA HIVI PUNDE:

Mbunge wa Wundanyi Mheshimiwa Danson Mwashako Mwakuwona, atangaza rasmi azma yake ya kuwania Ugavana wa Kaunti ya Taita Taveta! ๐Ÿ—ณ๏ธ


๐Ÿ“ŒPicha kwa hisani

๐ŸŽถ   Kutoka vilima vya Taita, Pesa Tupu anakuja na ladha halisi ya muziki wa asili! ๐Ÿ”ฅ  ๐ŸŽต Ngoma Mpya: Nkudo Taita  โžก๏ธ Taza...
12/01/2026

๐ŸŽถ
Kutoka vilima vya Taita, Pesa Tupu anakuja na ladha halisi ya muziki wa asili! ๐Ÿ”ฅ

๐ŸŽต Ngoma Mpya: Nkudo Taita
โžก๏ธ Tazama sasa kwenye YouTube: [http://www.youtube.com/](http://www.youtube.com/)
๐Ÿ“ฑ TikTok:

โœจ Usiache kumpa support โ€” Like, Comment, Share na Subscribe kwa updates za ngoma kali zaidi!

 KCSE 2025 TOP TEN PUBLIC SCHOOLS IN THE COAST REGION1. KWALE HIGH SCHOOL (KWALE COUNTY) - 9.3 B2. KENYATTA HIGH SCHOOL ...
10/01/2026


KCSE 2025 TOP TEN PUBLIC SCHOOLS IN THE COAST REGION
1. KWALE HIGH SCHOOL (KWALE COUNTY) - 9.3 B

2. KENYATTA HIGH SCHOOL (TAITA TAVETA) - 8.518 B

3. MAMA NGINA GIRLS HIGH SCHOOL (MOMBASA) - 8.2 B- MINUS

4. MATUGA GIRLS HIGH SCHOOL (KWALE) - 7.703 B- MINUS

5. KINANGO BOYS SECONDARY SCHOOL (KWALE) - 7.569 B- MINUS

6. BURA GIRLS NATIONAL SCHOOL (TAITA TAVETA) - 7.525 B- MINUS

7. BAHARI GIRLS HIGH SCHOOL (KILIFI) - 7.51 B- MINUS

8. SHIMO LA TEWA SCHOOL (MOMBASA) - 8.32 B-Minus

9. RIBE BOYS HIGH SCHOOL (KILIFI) - 7.1195 C+ PLUS

10. ST. MARY'S HIGH SCHOOL - LUSHANGONYI (TAITA TAVETA) - 6.867 C+ PLUS

Muuguzi mmoja katika jimbo la Georgia ameripotiwa kurudishwa nyumbani bila kulipwa baada ya wagonjwa kulalamikia mtindo ...
09/01/2026

Muuguzi mmoja katika jimbo la Georgia ameripotiwa kurudishwa nyumbani bila kulipwa baada ya wagonjwa kulalamikia mtindo wake wa nywele uliokuwa mrefu na wa kipekee, aliouelezea kuwa una umuhimu wa kitamaduni kwake.

Kwa mujibu wa taarifa, wasimamizi wa hospitali hiyo walitaja mtindo huo wa nywele kuwa hauna taaluma (unprofessional) na pia kuwa hatari ya kiusalama katika mazingira ya kitabibu. Uongozi ulidai kuwa mtindo huo unakiuka viwango vya mavazi ya kazini na unaweza kuathiri taswira ya hospitali mbele ya umma.

Hata hivyo, muuguzi huyo alipinga vikali uamuzi huo, akisisitiza kuwa nywele zake hazikuwahi kuingilia utoaji wa huduma kwa wagonjwa wala hazikukiuka kanuni zinazolinda nywele asilia kazini. Aliongeza kuwa alizingatia usafi na usalama k**a wafanyakazi wengine wote wa afya.

Tukio hilo lililotokea mapema Januari 2026 lilienea kwa kasi mitandaoni na kugawanya maoni ya wananchi. Baadhi ya watu waliona mitindo mikubwa ya nywele k**a hiyo inaweza kuhatarisha usafi au usalama hospitalini, huku wengine wakitaja tukio hilo k**a ubaguzi wa wazi, wakirejea Sheria ya CROWN ya Georgia, inayolinda watu dhidi ya ubaguzi unaohusiana na mitindo ya nywele inayohusishwa na rangi au utamaduni.

Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali, muuguzi huyo tayari ameajiri wakili na anatarajiwa kufungua kesi ya ubaguzi, huku mjadala ukiendelea kuhusu mipaka kati ya taaluma kazini na haki ya kujieleza kitamaduni.
Swali linaloendelea kugawa maoni ni:

Je, waajiri wake walikuwa sahihi kumrudisha nyumbani kwa kuzingatia usalama na taswira ya hospitali,,,,,,alaah jibu unalo
Picha Kwa hisani ya E.A news
media # kedu radio

๐Ÿ—ž๏ธ  โ€ขHabari za Kimataifa | Nicaragua  Uongozi wa Ndoa Rasmi: Ortega na Mkewe Marais Wawili!Katika hatua isiyo ya kawaida...
07/01/2026

๐Ÿ—ž๏ธ โ€ขHabari za Kimataifa | Nicaragua
Uongozi wa Ndoa Rasmi: Ortega na Mkewe Marais Wawili!

Katika hatua isiyo ya kawaida duniani, Bunge la Nicaragua limepitisha mabadiliko ya katiba ambayo sasa yanawafanya Rais Daniel Ortega na mkewe Rosario Murillokuwa marais wenza rasmi wa taifa hilo!

Rosario, ambaye alikuwa Makamu wa Rais tangu 2017 hadi 2025, alikataa kuendelea na nafasi hiyo na badala yake alipewa nafasi ya kuwa Rais Mwenza. Ortega, ambaye ameongoza Nicaragua kwa vipindi kadhaa tangu mwaka 1979, sasa anashiriki kiti cha juu cha uongozi na mkewe kisheria na nyumbani.

Kwa sasa, Nicaragua haina Makamu wa Rais, kwani marais hao wenza bado hawajateua mrithi. Hili limezua maswali mengi kuhusu ukiritimba wa madaraka, huku vyombo vya haki za binadamu na wapinzani wakilaani kile wanachokiita familia kuteka dola.

Wakosoaji wanasema huu ni ushahidi wa jinsi utawala wa Ortega unavyoendelea kudhoofisha taasisi za kidemokrasia na kuimarisha utawala wa kifamilia kwa kutumia nguvu za kisheria.

๐Ÿ” "Kila jamii hupata viongozi wanaowastahili," alisema mwanafalsafa Joseph de Maistre. Je, kauli hii inathibitishwa na yanayoendelea Nicaragua?

We remember.We appreciate.We honour BABAโค๏ธ  media # ni yedu diwose
07/01/2026

We remember.
We appreciate.
We honour BABAโค๏ธ
media # ni yedu diwose

๐Ÿ—ž๏ธ *Habari za Kimataifa | Nicaragua*  *Uongozi wa Ndoa Rasmi: Ortega na Mkewe Marais Wawili!*Katika hatua isiyo ya kawai...
06/01/2026

๐Ÿ—ž๏ธ *Habari za Kimataifa | Nicaragua*
*Uongozi wa Ndoa Rasmi: Ortega na Mkewe Marais Wawili!*

Katika hatua isiyo ya kawaida duniani, Bunge la Nicaragua limepitisha mabadiliko ya katiba ambayo sasa yanawafanya *Rais Daniel Ortega* na mkewe *Rosario Murillo* kuwa *marais wenza rasmi wa taifa hilo*!

Rosario, ambaye alikuwa Makamu wa Rais tangu 2017 hadi 2025, alikataa kuendelea na nafasi hiyo na badala yake alipewa nafasi ya kuwa *Rais Mwenza*. Ortega, ambaye ameongoza Nicaragua kwa vipindi kadhaa tangu mwaka 1979, sasa anashiriki kiti cha juu cha uongozi na mkewe โ€” *kisheria na nyumbani*.

Kwa sasa, Nicaragua haina Makamu wa Rais, kwani marais hao wenza bado hawajateua mrithi. Hili limezua maswali mengi kuhusu *ukiritimba wa madaraka*, huku vyombo vya haki za binadamu na wapinzani wakilaani kile wanachokiita *familia kuteka dola*.

Wakosoaji wanasema huu ni ushahidi wa jinsi utawala wa Ortega unavyoendelea kudhoofisha taasisi za kidemokrasia na kuimarisha utawala wa kifamilia kwa kutumia nguvu za kisheria.

๐Ÿ” *"Kila jamii hupata viongozi wanaowastahili,"* alisema mwanafalsafa Joseph de Maistre. Je, kauli hii inathibitishwa na yanayoendelea Nicaragua?



๐Ÿ“ŒPicha kwa Hisani

 MECHI YA KUSISIMUA! ๐Ÿคฏ Wundanyi Combined (DMM Select) walitoa kila kitu dhidi ya Junior FC, timu kutoka Ligi Daraja la P...
05/01/2026


MECHI YA KUSISIMUA! ๐Ÿคฏ Wundanyi Combined (DMM Select) walitoa kila kitu dhidi ya Junior FC, timu kutoka Ligi Daraja la Pili Kanda ya Kaskazini๐Ÿ”ฅ

Katika pambano la kusisimua lilofanyika Uwanja wa Dawson Mwanyumba, timu hizi mbili zilionyesha ari, burudani, na ustadi wa kimkakati! โšฝ๏ธ
Matokeo ya 1-1 hadi dakika 90 yalipelekea MUDA WA NYONGEZA... ambapo Junior FC walifunga goli la ushindi dakika za mwisho na kushinda 2-1, wakajinyakulia Ksh 100,000 ๐Ÿ’ธ

HONGERA kwa DMM Select kwa mchezo wa KIHISTORIA โ€” licha ya kufanya mazoezi kwa SAA 1 TU siku ya jana, waliipa Junior FC changamoto ya kweli ๐Ÿ’ช.
Pongezi pia kwa timu zote mbili kwa kuiburudisha jamii na kuonyesha uzalendo wa soka la hali ya juu. ๐Ÿ‘


๐Ÿ“ŒPicha kwa hisani.

02/01/2026

๐ŸŽ™๏ธ๐Ÿ”ฅ
Ungana nasi Kedu Media kwa habari motomoto, mahojiano ya kina, burudani safi na vipindi vya kipekee vinavyogusa maisha ya kila siku.

๐Ÿ“ฒ Tembelea kurasa zetu za Facebook kwa taarifa za papo kwa papo.
๐ŸŒ Fuatilia tovuti yetu kwa makala maalum, podcast, na maudhui bora ya kila wiki.Kedu Mediaia006
Usikose! Like, Follow na Share!
๐Ÿ“ โ€“ Ni Yedu Diwose!

02/01/2026

๐ŸŽ™๏ธ๐Ÿ”ฅ
Ungana nasi Kedu Media kwa habari motomoto, mahojiano ya kina, burudani safi na vipindi vya kipekee vinavyogusa maisha ya kila siku.

๐Ÿ“ฒ Tembelea kurasa zetu za Facebook kwa taarifa za papo kwa papo.
๐ŸŒ Fuatilia tovuti yetu kwa makala maalum, podcast, na maudhui bora ya kila wiki.

๐Ÿ‘‰ https://www.facebook.com/KeduMedia006
Usikose! Like, Follow na Share!
๐Ÿ“ โ€“ Sauti ya Wote!
Ni Yedu Diwose!

 Sudan yaweka historia ya kipekee katika AFCON!  Timu ya taifa ya Sudan imekuwa ya kwanza kufuzu hatua ya 16 bora ya Kom...
02/01/2026


Sudan yaweka historia ya kipekee katika AFCON!

Timu ya taifa ya Sudan imekuwa ya kwanza kufuzu hatua ya 16 bora ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) bila kufunga bao lolote. Bao lao pekee lilitokana na kujifunga kwa timu pinzani ,hali inayoifanya safari yao kuwa ya kipekee na ya kihistoria kwenye michuano hiyo ya bara.


Picha kwa hisani

01/01/2026

with Mtoto wa Mkuu

Address

Moi Avenue
Mombasa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kedu Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kedu Media:

Share