PWANI FM

PWANI FM Leading radio station in Kenya's coastal strip. Call Live:0706591362 or 0737699548

Msa/Kwale 103.1 Malindi/ Marereni 93.7 Taita Taveta 103.7 or listen online:www.kbc.co.ke/radio or KBC Digital App or www.pwanfm.kbc.co.ke.

Chama cha Wiper kimemteua aliyekuwa waziri Jamleck Kamau kuwa mwenyekiti wa chama hicho, mbunge wa Nyali Mohamed Ali aki...
07/08/2026

Chama cha Wiper kimemteua aliyekuwa waziri Jamleck Kamau kuwa mwenyekiti wa chama hicho, mbunge wa Nyali Mohamed Ali akiteuliwa k**a kuwa naibu kiongozi wa chama huku wakili Ndegwa Njiru amechaguliwa k**a msemaji wa chama cha Wiper.
Kinara wa chama hicho Kalonzo Musyoka amesema mabadiliko hayo yanalenga kuimarisha mikakati ya kusaka kura kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka 2027.

Baadae pale   ni Route Gani Ina matatu Kali hapa Pwani?
07/08/2026

Baadae pale
ni Route Gani Ina matatu Kali hapa Pwani?

  Ijumaa mbidzo asena karibuni hubundeni kipkwehu.
07/08/2026

Ijumaa mbidzo asena karibuni hubundeni kipkwehu.

Hii ni bendera ya Kaunti gani
07/08/2026

Hii ni bendera ya Kaunti gani

On Air Now To 2Pm  -Ongolewe na Qaswida na TK Timah Mshenga Kisasa na Colman Dida na ujifunze upishi wa mboga ya Kigwada...
07/08/2026

On Air Now To 2Pm
-Ongolewe na Qaswida na TK Timah Mshenga Kisasa na Colman Dida na ujifunze upishi wa mboga ya Kigwada.
- Sogea upate burudani tamu la Taarab hadi saa nane.
ukiwa wapi na nani?

  6am - 9am ukiwa nae Fundi Bengo aka Farouq kutoka Jeddah.Je ni sawa kumlipia kodi mama mtoto wako ambae ameingia kweny...
07/08/2026

6am - 9am ukiwa nae Fundi Bengo aka Farouq kutoka Jeddah.
Je ni sawa kumlipia kodi mama mtoto wako ambae ameingia kwenye mahusiano mengine?
Kumekucha.

VINI AIKWEPA ARSENAL. Vini Jr amwaga wino wakurefusha mkataba wake ndani ya Real Madrid kwa miaka 6 zaidi.Watu wa Arsena...
07/08/2026

VINI AIKWEPA ARSENAL.

Vini Jr amwaga wino wakurefusha mkataba wake ndani ya Real Madrid kwa miaka 6 zaidi.
Watu wa Arsenal maybe wasubiri Vini akiwa miaka 33 ndio wamsajili hapo atakua amemaliza mkataba na Madrid.

Mambo yamebadilika Old Trafford! Muundo mpya wa mishahara ndani ya Man United hauangalii tena kufuzu Ligi ya Mabingwa pe...
06/08/2026

Mambo yamebadilika Old Trafford! Muundo mpya wa mishahara ndani ya Man United hauangalii tena kufuzu Ligi ya Mabingwa pekee ili wachezaji waongezewe mshahara kwa 25%.
Sasa hivi ni KAZI TU NA UTENDAJI! 📉⚽
Wachezaji lazima wacheze angalau 60% ya dakika zote za klabu kwa msimu ndipo wapate nyongeza hiyo.
Msimu uliopita, Joshua Zirkzee hakufikisha kiwango hicho na hakupata nyongeza ya mshahara.
Hata Mason Mount naye asingestahili, kwani alicheza takribani 30% tu ya dakika zote za kikosi.
Sera hii mpya iliyoanzishwa tatizohilo imelenga kuwatuza wachezaji wanaojitolea na kucheza mara kwa mara uwanjani, badala ya kukaa tu kikosini!

👉 Wewe k**a shabiki wa United, unaunga mkono sera hii mpya ya uongozi?

Umejifunza nini kwa mzozo huu wa Familia ya (p square brothers) ?Mzozo wa familia ya akina Okoye umeendelea kuchukua sur...
06/08/2026

Umejifunza nini kwa mzozo huu wa Familia ya (p square brothers) ?

Mzozo wa familia ya akina Okoye umeendelea kuchukua sura mpya na kuwashtua mashabiki wengi ambao walikuwa wakitarajia maelewano ya kudumu kati ya mapacha hao.
Peter Okoye (Mr. P) alithibitisha kupitia video aliyoiweka kwenye mtandao kwamba kaka yao na aliyekuwa meneja wao, Jude Okoye, amefungua kesi mahak**ani ikilenga kumzuia yeye asipige wala kuperform nyimbo zilizotolewa chini ya kundi la P-Square. Hatua hii inazidisha mfululizo wa migogoro ya kisheria na ya kifedha inayowahusisha ndugu hao watatu, ikiwemo kesi za misingi ya mirabaha (royalties) na usimamizi wa mali za kundi hilo.
Mashabiki wengi wamekuwa wakionesha kusikitishwa na hatua hii, wakihisi kuwa mgogoro huo wa mara kwa mara unazika rasmi ndoto zote za kuona kundi hilo likiungana tena siku za usoni.

"Leo, nimefungua rasmi Toleo la 9 la Gasshuku ambayo ni  kambi ya mafunzo ya pamoja na zoezi la upandaji madaraja la Jap...
06/08/2026

"Leo, nimefungua rasmi Toleo la 9 la Gasshuku ambayo ni kambi ya mafunzo ya pamoja na zoezi la upandaji madaraja la Japan Karate Association (JKA) kwa kanda ya Afrika Mashariki, nikisisitiza tena dhamira ya Kenya ya kukuza ubora katika michezo, ushirikiano wa kikanda, na maendeleo ya vijana kupitia sanaa ya karate"~ rais wa chama cha karate nchini George Kithi.

Address

80100
Mombasa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PWANI FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category