PWANI FM

PWANI FM Leading radio station in Kenya's coastal strip. Msa/Kwale 103.1 Malindi 93.7 Taita Taveta 103.7 or listen online:www.kbc.co.ke/radio or KBC Digital App.

Call Live:0706591362 or 0737699548

16/01/2026

Zakunona anamtaka Mbunge wa Ganze Kenneth Tugule kutatua tatizo sugu la barabara eneo hilo haswa barabara ya Bamba -Kaloleni.
^RZ

16/01/2026

Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen amesema serikali imeweka mikakati ya kuwasaka walanguzi wa dawa za kulevya katika kanda ya Pwani.
^RZ

16/01/2026

Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen akemea kitendo cha maafisa wa polisi cha kuwapiga vijana huko Nandi waliokuwa wakicheza mchezo wa Pool.
^RZ

Unategemea Patashika na Joshua Chome ukiwa wapi?  ^RZ
16/01/2026

Unategemea Patashika na Joshua Chome ukiwa wapi?
^RZ

16/01/2026

MADINI YA MRIMA!
Gavana wa Kwale Fatuma Achani anashikilia kuwa mikutano yote inayoendelea kuhusu madini ya Mrima ni haramu.
^RZ

MADINI YA MRIMA!Waziri wa Madini Hassan leo amefanya mkutano na wajumbe wa Bunge la Kaunti ya Kwale na uongozi wa kaunti...
16/01/2026

MADINI YA MRIMA!
Waziri wa Madini Hassan leo amefanya mkutano na wajumbe wa Bunge la Kaunti ya Kwale na uongozi wa kaunti k**a sehemu ya ushiriki unaoendelea katika mradi wa uchimbaji madini wa Mrima.
^RZ

Katibu wa maswala ya vijana Fikirini Jacobs amethibitisha kuwa Kampuni ya Mombasa Cement imelipa karo ya mwaka wa pili k...
16/01/2026

Katibu wa maswala ya vijana Fikirini Jacobs amethibitisha kuwa Kampuni ya Mombasa Cement imelipa karo ya mwaka wa pili kwa Teddy katika Shule ya Upili ya Kitaifa ya Wavulana ya Shimo la Tewa.
^RZ

''Kaka yangu mdogo Teddy, unapofungua ukurasa mpya wa safari yako ya kielimu katika Shule ya Shimo La Tewa hebu mwanzo h...
16/01/2026

''Kaka yangu mdogo Teddy, unapofungua ukurasa mpya wa safari yako ya kielimu katika Shule ya Shimo La Tewa hebu mwanzo huu mpya utengeneze tabia yako, uimarishe akili yako, na ufungue milango kwa wakati ujao mzuri na wenye matumaini, k**a vile mama yako anavyoomba.''Fikirini Jacobs,PS Youth Affairs atimiza ahadi.
^RZ

Naibu Msemaji wa Serikali, Mwanaisha Chidzuga ndani ya Lamukani na Clavery Khonde kuzungumza kuhusu safari ya Singapore....
16/01/2026

Naibu Msemaji wa Serikali, Mwanaisha Chidzuga ndani ya Lamukani na Clavery Khonde kuzungumza kuhusu safari ya Singapore.
^RZ

Rolex Ndundi kutoka Tabasamu Band ndani ya Talanta za Pwani na DJ Tausi. ^RZ
16/01/2026

Rolex Ndundi kutoka Tabasamu Band ndani ya Talanta za Pwani na DJ Tausi.
^RZ

Serikali ya kitaifa imeanza ujenzi wa barabara ya Awamu ya Taveta–Njukini–Illasit, kuanzia Chala VTC hadi Mahandakini (D...
16/01/2026

Serikali ya kitaifa imeanza ujenzi wa barabara ya Awamu ya Taveta–Njukini–Illasit, kuanzia Chala VTC hadi Mahandakini (Dip).
^RZ

16/01/2026

Katibu wa idara ya kilimo kaunti ya Kilifi Agnetta Karembo amehimiza wakulima kukumbatia kilimo cha ufugaji nyuki badala ya kutegemea kilimo cha mimea ambacho kimekubwa na changamoto ya kiangazi.
^RZ

Address

80100
Mombasa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PWANI FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to PWANI FM:

Share

Category