PWANI FM

PWANI FM Leading radio station in Kenya's coastal strip. Msa/Kwale 103.1 Malindi 93.7 Taita Taveta 103.7 or listen online:www.kbc.co.ke/radio or KBC Digital App.

Call Live:0706591362 or 0737699548

"K**a mwanachama wa zamani wa Chama cha Kisiasa cha Jubilee nimekatishwa tamaa na matamshi ya kiongozi wa Chama Uhuru Ke...
26/09/2025

"K**a mwanachama wa zamani wa Chama cha Kisiasa cha Jubilee nimekatishwa tamaa na matamshi ya kiongozi wa Chama Uhuru Kenyatta kwa kujitangaza mwenyewe lakini aliacha machafuko ya nchi ambayo tunajaribu kurekebisha. Aliacha ufisadi, madeni ya zaidi ya shilingi trilioni 9, maendeleo yasiyo na usawa nchini, ukandamizaji wa mahak**a na utekaji nyara, CBC isiyofanya kazi na ukosefu wa chakula usioweza kuthibitiwa."Seneta Cherargei
^RZ

FACE BOOK STORYSwala Komavu……… Waziri wa elimu Julius Ogamba amesema serikali itasambaza chakula kwa shule ambazo ziliku...
26/09/2025

FACE BOOK STORY
Swala Komavu……… Waziri wa elimu Julius Ogamba amesema serikali itasambaza chakula kwa shule ambazo zilikuwa zikipokea chakula cha msaada kutoka kwa wahisani wa Krishna katika eneo bunge la Ganze.Tupe maoni yako.

Nicholas Kioko na Wambo Ashley wanatarajia mtoto wa tatu baada ya mapacha. ^RZ
26/09/2025

Nicholas Kioko na Wambo Ashley wanatarajia mtoto wa tatu baada ya mapacha.
^RZ

Cole Palmer atakosekana kwa muda wa wiki tatu akiuguza jeraha la kinena. Pigo kwa kocha Enzo Maresca na kikosi chake cha...
26/09/2025

Cole Palmer atakosekana kwa muda wa wiki tatu akiuguza jeraha la kinena. Pigo kwa kocha Enzo Maresca na kikosi chake cha The Blues.
^RZ

Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) imekosolewa vikali na Bunge kwa kushindwa kufuata matakwa ya kikatiba kuhusu utofauti...
26/09/2025

Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) imekosolewa vikali na Bunge kwa kushindwa kufuata matakwa ya kikatiba kuhusu utofauti na ushirikishwaji wa jamii zote wakati wa kuajiri wafanyikazi.
^RZ

"Hatutaburutwa katika kwaya ya 'mihula miwili' kabla ya wakati wake. Uamuzi wa 2027 unasalia mikononi mwa Ndugu yangu Ra...
26/09/2025

"Hatutaburutwa katika kwaya ya 'mihula miwili' kabla ya wakati wake. Uamuzi wa 2027 unasalia mikononi mwa Ndugu yangu Raila Odinga kuamua Kipindi!" ~Ruth Odinga asema.
^RZ

Ndugu wa Narok walionaswa kwenye video wakimpiga dada yao mjamzito kwa kukataa ndoa iliyopangwa ili kuolewa na mpenzi wa...
26/09/2025

Ndugu wa Narok walionaswa kwenye video wakimpiga dada yao mjamzito kwa kukataa ndoa iliyopangwa ili kuolewa na mpenzi wake aliyemchagua wamek**atwa.
^RZ

"Nitakuwa na sikitiko moja tu iwapo sitachaguliwa k**a mpeperushaji bendera ya upinzani.Nitakuwa nimekosa fursa ya kukab...
26/09/2025

"Nitakuwa na sikitiko moja tu iwapo sitachaguliwa k**a mpeperushaji bendera ya upinzani.Nitakuwa nimekosa fursa ya kukabiliana na Ruto kwenye mdahalo wa urais. Tukikutana kwa mjadala nitamkaanga."Rigathi Gachagua.
^RZ

Chama cha Jubilee kusalia Azimio, Uhuru Kenyatta atangaza.Uhuru amethibitisha kuwa chama cha Jubilee kitendelea kuwa mwa...
26/09/2025

Chama cha Jubilee kusalia Azimio, Uhuru Kenyatta atangaza.

Uhuru amethibitisha kuwa chama cha Jubilee kitendelea kuwa mwanachama wa muungano wa Azimio, licha ya mabadiliko makubwa ya uanachama wa muungano huo katika miaka ya hivi majuzi.
^RZ

Muigizaji wa filamu kutokea nchini Tanzania Mr Pimbi ameweka wazi kuwa kwasasa anavutiwa kumshabikia msanii Harmonize ba...
26/09/2025

Muigizaji wa filamu kutokea nchini Tanzania Mr Pimbi ameweka wazi kuwa kwasasa anavutiwa kumshabikia msanii Harmonize baada ya kupewa kiasi cha pesa za kimarekani dola 1200.

''Last week nilikutana na boss wangu wa zamani Harmonize_tz mkoani Ruvuma akanipa Dollar 1200 konde Boy bhana jamaa mjanja sana Ile dollar 1200 imeanza kunisuta nishaanza kumpost tayari nimeanza kuitumikia dollar 1200 aliyonipatia 🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌'' Ameandika -Mr Pimbi.
^RZ

"Mafanikio tuliyopata katika utawala wangu yamepotea.  Linda mama na mengine yamebadilishwa na mipango mipya ambayo haij...
26/09/2025

"Mafanikio tuliyopata katika utawala wangu yamepotea. Linda mama na mengine yamebadilishwa na mipango mipya ambayo haijajaribiwa.
^RZ

Wanasema wanawake wenye hunyoa hivi hukuwa na kiburi promax!  Nini kingine unajua kuwahusu? ^RZ
26/09/2025

Wanasema wanawake wenye hunyoa hivi hukuwa na kiburi promax! Nini kingine unajua kuwahusu?
^RZ

Address

80100
Mombasa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PWANI FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to PWANI FM:

Share

Category