PWANI FM

PWANI FM Leading radio station in Kenya's coastal strip. Msa/Kwale 103.1 Malindi 93.7 Taita Taveta 103.7 or listen online:www.kbc.co.ke/radio or KBC Digital App.

Call Live:0706591362 or 0737699548

Mwanaume mmoja huko Syokimau aamka kutoka usingizini na kumkuta fisi akiwa ndani ya nyumba yake.  ^RZ
29/07/2025

Mwanaume mmoja huko Syokimau aamka kutoka usingizini na kumkuta fisi akiwa ndani ya nyumba yake.
^RZ

HABARI ZA SASAKWS imetangaza kumuua Nyati aliyewajeruhi watu wawili leo katika eneo la Vidziyani huko Ruruma. ^RZ
29/07/2025

HABARI ZA SASA
KWS imetangaza kumuua Nyati aliyewajeruhi watu wawili leo katika eneo la Vidziyani huko Ruruma.
^RZ

29/07/2025

Aliyekuwa Mwakilishi Wadi ya Rurum Jana Tsuma, amewarai wazazi kuwalinda watoto wao dhidi ya mimba za mapema wakati huu wa likozo.
^RZ

Kesho saa nne asubuhi, Mwanambeyu Girls vs Madira Girls.Mabinti wa Kwale wataiwakilisha Pwani vyema?  ^RZ
29/07/2025

Kesho saa nne asubuhi, Mwanambeyu Girls vs Madira Girls.

Mabinti wa Kwale wataiwakilisha Pwani vyema?

^RZ

Shule ya Sekondari ya Jaribuni inatarajiwa kufanya majaribio ya soka tarehe 13 Agosti 2025 katika uwanja wa Jaribuni Boy...
29/07/2025

Shule ya Sekondari ya Jaribuni inatarajiwa kufanya majaribio ya soka tarehe 13 Agosti 2025 katika uwanja wa Jaribuni Boys Ground.
^RZ

29/07/2025

Mbunge wa Rabai Anthony Kenga, amesema mipango ya kuwezesha kina mama ni juhudi za kuhakikisha kuwa kina mama wanachangia katika jitihada za kuimarisha Elimu miongoni mwa watoto wao kwani basari pekee haiwezi kutatua tatizo la ukosefu wa karo.
^RZ

29/07/2025

Mwakilishi wadi ya Mwanamwinga kaunti ya Kilifi Edward Ziro amesema shilingi milioni 40 zimewekezwa katika kulikabili tatizo ya maji eneo Hilo.
^RZ

Mwanamke wa Githurai ambaye alikuwa kitandani kwa miaka 4 Millicent Maina amesema kuna wakati alifikiria kuwaua watoto w...
29/07/2025

Mwanamke wa Githurai ambaye alikuwa kitandani kwa miaka 4 Millicent Maina amesema kuna wakati alifikiria kuwaua watoto wake kwa kuwadunga sindano ya Insulin ili waepuke mateso wanayopitia.

“Nilikuwa nikifikiria kuwawekea sumu watoto wangu kwa kuwadunga sindano ya insulin na kujifanyia hivyo hivyo ili wasipate tabu nikiwa nimeondoka."Millicent.

Hata hivyo mtoto wake aligundua mpango huo na kumwambia mama yake kuwa kuna wakati kila kitu kitakuwa sawa.

“Mwanangu aliniambia hiki kitu unachotaka kufanya si kizuri mama siku moja mambo yatakuwa sawa na wanaotukosea heshima watatusalimia kwa heshima."Millicent amesema.

^RZ

29/07/2025

Kaunti ya Kwale imepokea tuzo kutoka kwa KEMSA k**a kaunti inayofanya bora kanda ya Pwani katika kufanya malipo ya wakati kwa mamlaka hiyo pamoja na uagizaji wa dawa.
^RZ

Hello Admin I need a connection, for celeb Beka Ruga please-Mohamed Munga.Beka Ruga   ^RZ
29/07/2025

Hello Admin
I need a connection, for celeb Beka Ruga please-Mohamed Munga.
Beka Ruga
^RZ

Manchester United imepiga marufuku mashabiki kumchapisha jina la Ronaldo 7 kwenye jezi zao mpya msimu huu.  ^RZ
29/07/2025

Manchester United imepiga marufuku mashabiki kumchapisha jina la Ronaldo 7 kwenye jezi zao mpya msimu huu.
^RZ

29/07/2025

Je ino shilingi ichere kuhumika kopkwenu ama uchenda nayo dhukani unaujwa nayo.

Address

Mombasa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PWANI FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to PWANI FM:

Share

Category