PWANI FM

PWANI FM Leading radio station in Kenya's coastal strip. Msa/Kwale 103.1 Malindi 93.7 Taita Taveta 103.7 or listen online:www.kbc.co.ke/radio or KBC Digital App.

Call Live:0706591362 or 0737699548

Mauritania imeipiga Burkina Faso na kuongeza nafasi ya kutinga hatua ya 8 bora.Kwa sasa wanashika nafasi ya 2 wakiwa na ...
13/08/2025

Mauritania imeipiga Burkina Faso na kuongeza nafasi ya kutinga hatua ya 8 bora.

Kwa sasa wanashika nafasi ya 2 wakiwa na alama 7 baada ya kusakata mechii 4.

^RZ

13/08/2025

Miili ya watu 5 waliofariki kwa ajali ya barabarani huko Nakuru na kuwasili mjini Malindi hapo jana leo imesafirishwa hadi kijiji cha GAHALENI kwa shughuli ya mazishi hapo kesho.
^RZ

PSG anazidi kukamuliwa na Spurs huku tayari akiwa amebandikwa goli 1-0 katika muda wa mapumziko. Nani aliroga PSG dhidi ...
13/08/2025

PSG anazidi kukamuliwa na Spurs huku tayari akiwa amebandikwa goli 1-0 katika muda wa mapumziko.
Nani aliroga PSG dhidi ya timu za Uingereza?
^RZ

MWANAMKE MWENYE TABIA HIZI NI NGUMU KUDUMU NAYE KWENYE MAHUSIANO-NEEMA WEHU1. Mwanamke mwenye mdomo-Umbea2. Anayeamini u...
13/08/2025

MWANAMKE MWENYE TABIA HIZI NI NGUMU KUDUMU NAYE KWENYE MAHUSIANO-NEEMA WEHU

1. Mwanamke mwenye mdomo-Umbea

2. Anayeamini uchawi-Ushirikina

3. Mwanamke anayependa hela

4. Mwanamke ambae mapenzi yake yako kwa baba yake-Kila kitu....daddy, ukimuudhi kdg..daddy

5. Mwanamke mlokole (hasa makanisa ya kiroho)-Hawa heshima yao kubwa iko kwa viongozi wao wa dini, atasikilizwa mchungaji kuliko wewe

6. Mwanamke anayependa kujirusha-Anataka outing,kuparty ,viwanja vyoote anavijua mpaka band anazijua

7. Mwanamke anayependa kushindana (Asiyepitwa)-Mwenzake kavaa wigi mpya na yeye anataka, simu mpya imetoka, anaitaka

8. Mwanamke asiyeridhika-Haridhiki kwenye mapenzi, au hata kipato au pesa

Huyu yuko sawa?

^RZ

W***y Paul amewataka wanaume kubadilisha vipaumbele vyao, akiwashauri kuzingatia mafanikio ya kifedha kabla ya kuendelez...
13/08/2025

W***y Paul amewataka wanaume kubadilisha vipaumbele vyao, akiwashauri kuzingatia mafanikio ya kifedha kabla ya kuendeleza uhusiano wa kimapenzi.

Katika chapisho la video kwa wafuasi wake mnamo Agosti 12, 2025, hitmaker huyo wa Umeme alisema kuwa ingawa hakuna ubaya kuwakimbiza wanawake, wanaume wanapaswa kuelekeza nguvu zao kwenye harakati na kujenga utajiri kwanza.

"Wanaume wenzangu, tafadhali, tuzingatie. Kufukuza wanawake sio mbaya, lakini tuwaweke pembeni tutafute pesa kwanza; wacha tusumbuke; tujikite,” alisema.
^RZ

'Ni kitu gani hata k**a umekasirika vipi ukipewa huwezi kataa?''Paula Kajala. ^RZ
13/08/2025

'Ni kitu gani hata k**a umekasirika vipi ukipewa huwezi kataa?''Paula Kajala.
^RZ

Hapo 8pm, Mauritania inashuka dimbani dhidi ya Burkina Faso. Nani atafinywa?  ^RZ
13/08/2025

Hapo 8pm, Mauritania inashuka dimbani dhidi ya Burkina Faso.

Nani atafinywa?

^RZ

UPDATE Madagascar 2-0 Central African Republic  ^rRZ
13/08/2025

UPDATE
Madagascar 2-0 Central African Republic
^rRZ

“Mume wangu ana wivu sana, haelewi kwamba mimi NIMEMSAHAU kabisa ex wangu Diamond Platnumz,” — Zari“Kusema ukweli, huend...
13/08/2025

“Mume wangu ana wivu sana, haelewi kwamba mimi NIMEMSAHAU kabisa ex wangu Diamond Platnumz,” — Zari

“Kusema ukweli, huenda nikaamua kuachana naye k**a hatabadilika. Kila mara ninapokwenda kumtembelea baba wa watoto wangu akiwa na watoto, yeye hupiga simu kila dakika. Cha kusikitisha zaidi ni pale ninapolazimika kulala. Sipendi mwanaume mwenye wivu wa kupindukia. Ni wakati wake kubadilika.” — Amesema Zari The Bosslady "Mama Tiffah"

Shakib afanyeje?

^RZ

Come as you are.No minimum balance when opening an Equity account.   ^RZ
13/08/2025

Come as you are.No minimum balance when opening an Equity account.
^RZ

Zinduka na Daktari Ruth Njoroge akieleza kuhusu Cleft Surgery na Fundi Bengo na Ibrahim Nyundo, 8am. ^RZ
13/08/2025

Zinduka na Daktari Ruth Njoroge akieleza kuhusu Cleft Surgery na Fundi Bengo na Ibrahim Nyundo, 8am.
^RZ

Address

80100

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PWANI FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to PWANI FM:

Shortcuts

  • Address
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share