07/08/2026
Chama cha Wiper kimemteua aliyekuwa waziri Jamleck Kamau kuwa mwenyekiti wa chama hicho, mbunge wa Nyali Mohamed Ali akiteuliwa k**a kuwa naibu kiongozi wa chama huku wakili Ndegwa Njiru amechaguliwa k**a msemaji wa chama cha Wiper.
Kinara wa chama hicho Kalonzo Musyoka amesema mabadiliko hayo yanalenga kuimarisha mikakati ya kusaka kura kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka 2027.