SYP Radio

SYP Radio SYP Radio ni redio iliyo na vibe ya kipekee nchini Kenya!
(1)

Katibu wa Elimu Prof. Julius Bitok asema Serikali ina fedha za kutosha kuendeleza ufadhili wa elimu ya msingi na Sekonda...
25/07/2025

Katibu wa Elimu Prof. Julius Bitok asema Serikali ina fedha za kutosha kuendeleza ufadhili wa elimu ya msingi na Sekondari kwani imetenga shilingi Bilioni 700. Asema kauli ya Waziri wa fedha John Mbadi kuhusu ufadhili ilinukuliwa kimakosa.

25/07/2025

"Mimi nawaomba kwa heshima, hiyo siasa yetu tuifanye kwa amani. Iwe siasa ya kushindana na agenda ya kusaidia wananchi...tusiweke siasa za uharibifu wa mali."
NAIBU WA RAIS PROF. KITHURE KINDIKI

Naibu wa Rais Prof. Kithure Kindiki amepuuzilia mbali wanaodharau zoezi la uwezeshaji ambalo amekuwa akiongoza kote nchi...
25/07/2025

Naibu wa Rais Prof. Kithure Kindiki amepuuzilia mbali wanaodharau zoezi la uwezeshaji ambalo amekuwa akiongoza kote nchini.

CHILL AND TALKMtu k**a Benja afanye nini  avumilie au ajitoe kabisa kwenye hesabu za familia?
25/07/2025

CHILL AND TALK
Mtu k**a Benja afanye nini avumilie au ajitoe kabisa kwenye hesabu za familia?

It's Friday, Karibu ndani ya   ukiwa na  Mzee Ally na , unasikiliza ukiwa wapi?
25/07/2025

It's Friday, Karibu ndani ya ukiwa na Mzee Ally na , unasikiliza ukiwa wapi?

Wakazi wa wadi ya Jaribuni kaunti ya Kilifi kwa mara ya kwanza wamepokea hundi ya asilimia moja ya mapato kutoka kwa waw...
25/07/2025

Wakazi wa wadi ya Jaribuni kaunti ya Kilifi kwa mara ya kwanza wamepokea hundi ya asilimia moja ya mapato kutoka kwa wawekezaji yanayotokana na madini yanayochimbwa eneo hilo.
Shughuli hiyo imeongozwa na waziri wa madini na uchumi wa majini maarufu blue economy Ali Hassan Joho na gavana wa Kilifi Gideon Mung'aro pamoja na katibu wa wizara ya madini Harry Kimutai miongoni mwa viongozi wengine kaunti ya Kilifi.

25/07/2025

Ukiona choo ndotoni usikitumie inasemwaje kikwenu馃

Evans Rono anatuchanua kuhusiana na nafasi mbadala za ajira hapa ndani ya
25/07/2025

Evans Rono anatuchanua kuhusiana na nafasi mbadala za ajira hapa ndani ya

SYP Dailies on 25/07/2025
25/07/2025

SYP Dailies on 25/07/2025

Anga zinasemaje huko? Sophia Abdhi
25/07/2025

Anga zinasemaje huko?
Sophia Abdhi

24/07/2025

Kocha Mkuu wa timu ya Taifa Harambee Stars Benni McCarthy akanusha Madai Kwamba Kuna Baadhi ya wachezaji wamekuwa Kambini licha ya Kutoitwa Katika Kikosi Cha timu ya taifa Cha Dimba la CHAN.

Address

Mombasa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SYP Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SYP Radio:

Share

Introduction

Sauti ya Pwani FM is a progressive radio station that was established in 2017 with frequencies in Mombasa 94.2FM having coverage in Mombasa, Kilifi and Kwale counties respectively. The core principle of Sauti Ya Pwani FM is based on Culture, Doctrine, Customs and Civilisation of the coastal people.

Sauti Ya Pwani FM seeks to:

路 Facilitate sustained growth and poverty reduction.