Baraka FM

Baraka FM #1 Urban Station at the Kenyan Coast. Your Home of RnB and African Pop. SHIKA-MO! www.barakafm.co.ke The biggest urban radio station in Coastal Kenya.
(6)

Plays you the freshest RnB & African-Pop hits. Twitter , Instagram

Maurice Ogeta, aliyekuwa msaidizi wa muda mrefu na mlinzi binafsi wa marehemu Raila Odinga, ameteuliwa kuwa Mshauri wa M...
08/01/2026

Maurice Ogeta, aliyekuwa msaidizi wa muda mrefu na mlinzi binafsi wa marehemu Raila Odinga, ameteuliwa kuwa Mshauri wa Masuala ya Usalama wa Kaunti ya Mombasa na Gavana Abdulswamad Sheriff Nassir.

Mombasa Governor Abdulswamad Sheriff Nassir has appointed Maurice Ogeta, a long-serving aide and former bodyguard to the late Raila Odinga, as the county’s Advisor on Security Affairs.

31/12/2025

Governor wa Mombasa County Abdulswamad Shariff Nassir akizungumza wakati wa mazishi ya Cyrus Jirongo huko Kakamega.

Naibu Kiongozi wa ODM Abdullswamad Sheriff Nassir asema miungano ya kisiasa si usaliti wa chama.
30/12/2025

Naibu Kiongozi wa ODM Abdullswamad Sheriff Nassir asema miungano ya kisiasa si usaliti wa chama.

ODM DPL Abdullswamad Sheriff Nassir says political coalitions are inevitable and insists dialogue strengthens, not weakens, party principles.

25/12/2025

Mwanabiashara wa Mombasa Abu Joho awahimiza vijana kujiandikisha k**a wapiga kura

Kaunti ya Mombasa imeimarisha usalama wakati wa Krismasi na Mwaka Mpya kwa kuweka doria za saa 24, ambulansi 11, na mahe...
25/12/2025

Kaunti ya Mombasa imeimarisha usalama wakati wa Krismasi na Mwaka Mpya kwa kuweka doria za saa 24, ambulansi 11, na mahema ya Red Cross katika maeneo ya umma na fukwe muhimu ikiwemo Nyali, Pirates, Shelly Beach na Mama Ngina Waterfront.

Department of Transport and Infrastructure Mombasa County. Oduor William Manyala Dan Mombasa County

Mombasa County has deployed 24hr security patrols and 11 ambulances at beaches and public spaces to ensure safety during Xmas and New Year.

22/12/2025

Spika Aharub Khatri akemea siasa za ukabila Mombasa

22/12/2025

Kocha wa Bandari Football Club Razak Siwa baada ya ushindi wao dhidi ya Mathare United.

21/12/2025

Kati ya Alpha001 Na Waziri Amadoh nani aliweza kwa pushups?

21/12/2025

Mkenya Michael Omolo dhidi ya Piyawat Masang kutoka Thailand. Kenya Tong-IL Moo-Do Federation

21/12/2025

Mashindano ya Tong-Il Moo-Do yaendelea katika shule ya Aga Khan Academy hapa Mombasa.

World Unseen 2.0 ya Canon inaleta matumaini mapya kwa uhifadhi wa matumbawe na ajira za jamii za Kilifi.
16/12/2025

World Unseen 2.0 ya Canon inaleta matumaini mapya kwa uhifadhi wa matumbawe na ajira za jamii za Kilifi.

Inside Canon’s World Unseen 2.0 project restoring coral reefs in Kilifi through community-led conservation and underwater imaging.

Mombasa imezindua kampeni ya mwezi mmoja ya kudhibiti mwendo wa magari baada ya ripoti mpya kuonyesha kuwa 27% ya madere...
12/12/2025

Mombasa imezindua kampeni ya mwezi mmoja ya kudhibiti mwendo wa magari baada ya ripoti mpya kuonyesha kuwa 27% ya madereva wanavunja sheria za mwendo.
Askari zaidi wamewekwa barabarani, vifaa vipya vya radar vimeletwa, na alcoblow itatumika wakati wote wa msimu wa sherehe.
Ujumbe ni mmoja: Punguza mwendo au ukabiliwe na sheria.
Department of Transport and Infrastructure Mombasa County. Manyala Dan Oduor William

Mombasa has launched a month-long speeding crackdown after new data showed 27% of drivers exceed limits. County deploys more officers, radar guns and alcoblow.

Address

87751
Mombasa
80100

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Baraka FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Baraka FM:

Share