Baraka FM

Baraka FM #1 Urban Station at the Kenyan Coast. Your Home of RnB and African Pop. SHIKA-MO! www.barakafm.co.ke The biggest urban radio station in Coastal Kenya.
(4)

Plays you the freshest RnB & African-Pop hits. Twitter , Instagram

🕌🤝⛪ Viongozi wa Kiislamu Wamkaribisha Askofu Mkuu Mteule Dominic Kimengich MombasaViongozi wa Kiislamu Mombasa wamemkari...
31/08/2026

🕌🤝⛪ Viongozi wa Kiislamu Wamkaribisha Askofu Mkuu Mteule Dominic Kimengich Mombasa

Viongozi wa Kiislamu Mombasa wamemkaribisha Askofu Mkuu Mteule Dominic Kimengich, wakiahidi kushirikiana naye kuimarisha amani, umoja na mshikamano wa kidini.

Katika hafla hiyo, Askofu Kimengich alisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa Waislamu na Wakristo katika kutatua changamoto za jamii kupitia mazungumzo.

Viongozi hao walimkabidhi nakala ya Qur’an na kusisitiza umuhimu wa kuheshimiana.

🗣️ “Umoja wetu ndio nguvu zetu,” amesema Munira F***j wa Coast Interfaith Council of Clerics.

👉 Soma habari kamili kupitia Baraka FM.

27/08/2026

United Democratic Alliance, UDA. Sec Gen Hassan Omar Hassan amewahiza watu kuchukua kura akisema hio ndio silaha yao katika uchaguzi mkuu mwaka ujao

27/08/2026

Maoni ya katibu mkuu wa chama cha United Democratic Alliance, UDA. Hassan Omar Hassan kuhusu ujenzi wa msikiti katika bustani wa treasury square Mombasa County

27/08/2026

🌱 Shade net: Kinga kwa mazao dhidi ya athari za mabadiliko ya tabia nchi

Mabadiliko ya tabia nchi yanaendelea kuwa changamoto kwa wakulima, Bwana Kiti Gambo anatuelezea jinsi matumizi ya shade net yanaweza kusaidia kupunguza baadhi ya athari hizi na mbona inamfaa mkulima wa pwani badala ya green house

☀️ Husaidia kupunguza joto kali na mionzi ya moja kwa moja ya jua,
💨 Hupunguza madhara ya upepo mkali kwa mimea,
💧 Husaidia kupunguza upotevu wa unyevu wa udongo,
🌱 Na kutengeneza mazingira bora kwa ukuaji wa mazao.

14/08/2026

Mohamed Juma aifungia Al Shifaa bao la pili kutoka kati kati ya uwanja katika finali ya Sisi Ni Dola Cup

14/08/2026

Leo ni finali ya , Al Shifaa watamenyana na Green Eagles kwa chance ya kushinda milioni moja. Tariq Dunga amesema watakaofika Mombasa Sports Club leo watapata kofia, T-shirt, Na reflector. Security pia itakuwa sawa

Serikali Yaweka Mikakati ya Kupanua Kilimo cha Bixa Pwani
04/08/2026

Serikali Yaweka Mikakati ya Kupanua Kilimo cha Bixa Pwani

Agriculture and Livestock Development Cabinet Secretary Mutahi Kagwe has unveiled a plan to significantly increase bixa production in Kenya by expanding the number of farmers growing the crop, with the aim of fully utilizing the country’s 3,000-tonne annual processing capacity. Speaking during a v...

Kaunti ya Mombasa Yazindua Kituo cha Kisasa cha ECDE na Daycare Maganda
04/08/2026

Kaunti ya Mombasa Yazindua Kituo cha Kisasa cha ECDE na Daycare Maganda

Mombasa County has opened the Mama Ida Odinga ECDE and Daycare Centre in Jomvu as Governor Abdulswamad Nassir says ECDE enrolment has grown to 13,131 learners.

03/08/2026

🔥 Nabadda FC yatinga robo fainali!

Baada ya sare ya mabao 2-2 dhidi ya Juve FC katika hatua ya 16 bora ya Sisi Ni Dola Cup, Nabadda FC imeibuka mshindi kwa mikwaju ya penalti 6-5 na kufuzu robo fainali.

🎥 Tazama video ya mikwaju ya penalti iliyotoa mshindi wa mchezo huu.

⏭️ Kesho ni zamu ya Fayaz Bakers kuvaana na Kombani Youth katika mchezo wa mwisho wa hatua ya 16 bora. Nani ataungana na wengine robo fainali?

Kocha wa Simba Apparel Awataka Maskauti Kufuatilia Vipaji vya Sisi Ni Dola Cup
02/08/2026

Kocha wa Simba Apparel Awataka Maskauti Kufuatilia Vipaji vya Sisi Ni Dola Cup

Simba Apparel assistant coach Raphael Omondi has urged coaches and scouts to attend the Sisi Ni Dola Cup, praising the tournament as a talent discovery platform after Nyundo FC's 3-0 quarter-final qualifying win.

Address

87751
Mombasa
80100

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Baraka FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share