Fred Mastory

Fred Mastory Kwani wanasemaje? A talented upcoming musician Based in Mombasa, Kenya.,

Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina, amevunja serikali inayoongozwa na Waziri Mkuu Christian Ntsay kufuatia maandamano y...
30/09/2025

Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina, amevunja serikali inayoongozwa na Waziri Mkuu Christian Ntsay kufuatia maandamano ya vijana wa kizazi cha “Gen Z” yaliyosababishwa na ukosefu wa huduma za msingi k**a maji na umeme. Maandamano hayo yaligeuka vurugu na kusababisha vifo pamoja na majeruhi, huku Rais akiahidi kuunda serikali mpya itakayoshughulikia malalamiko ya wananchi.

HABARI ZA KUTATANISHAKuna mwili wa kijana umepatikana stage ya Mwambegu Chokwe Tezo. Inasemekana ni bodaboda wa Ngerenya...
30/09/2025

HABARI ZA KUTATANISHA

Kuna mwili wa kijana umepatikana stage ya Mwambegu Chokwe Tezo. Inasemekana ni bodaboda wa Ngerenya. Pikipiki imeenda.

Polisi mjini Kilifi wamewaokoa watoto watano waliokua wamedhoofika katika kijiji cha Dera, Kilifi Kaskazini, na kumk**at...
28/09/2025

Polisi mjini Kilifi wamewaokoa watoto watano waliokua wamedhoofika katika kijiji cha Dera, Kilifi Kaskazini, na kumk**ata mchungaji mmoja kwa jina Kamanza Mwatela wa kanisa la Jesus Ministry, kwa madai ya kuwazuilia watoto hao na kuwalazimisha kufunga kula na kunywa.

Good morning
23/09/2025

Good morning

Activists have threatened to hold demonstrations across Mombasa County to compel the police to reveal the cause of his d...
19/09/2025

Activists have threatened to hold demonstrations across Mombasa County to compel the police to reveal the cause of his death.

Je, unafikiri ni vibaya au vizuri mwanaume kumfungua mkewe nywele?
19/09/2025

Je, unafikiri ni vibaya au vizuri mwanaume kumfungua mkewe nywele?

Je, unafikiri ni nini BWIII afanye, ili kuimarisha mziki wake na kupanua fanbase yake?
19/09/2025

Je, unafikiri ni nini BWIII afanye, ili kuimarisha mziki wake na kupanua fanbase yake?

19/09/2025

Hii ni video iliyonasa tukio moja la vijana wa vipanga huko Leisure, Mombasa waliovamia vijana wawili na kuwaibia, mwishowe wakaivunja na camera iliyowanasa....

15/09/2025

Our own Mulamwah in China... Anaitwa Baba Abraham! Huyu ni mwamba aiseh, anavyowavuruga sasa, duh!

Je unamfahamu huyu mwamba? Jina ni Chibo Dee, Mwanamziki rapper kutoka Kilifi, 003 kule kwa Kina Mung'aro gavana mchapa ...
15/09/2025

Je unamfahamu huyu mwamba? Jina ni Chibo Dee, Mwanamziki rapper kutoka Kilifi, 003 kule kwa Kina Mung'aro gavana mchapa kazi. Hivi, hii shati ni ya bei gani unahisi, ingawa katika mahojiano alisema thamani yake ni 1,650 ya Kenya. Bwaga bei yako kwenye comment.

Usiku mwema wana
15/09/2025

Usiku mwema wana

Address

Mombasa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Fred Mastory posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Fred Mastory:

Share