(((((((((((On Air)))))))))))⏰06AM-10AM
na Medza Mwangemi na Oscar Nyoha
...Good Morning!Kumekuchaje uliko?Karibu siku ya madiva tupepee pamoja.Unamcrushia nani? Unategea ukiwa wapi?
Twenzetu!
SMS: 23151 Phone No.
0798 995 995 || 0784 925 925 || 0786 995 995 || 0780 995 995 || 0783 995 995
SkizaOnline: https://bit.ly/2WrZZuHh
19/08/2025
Hivi ni kweli kuwa Bila Pesa hakuna mapenzi?
19/08/2025
Kamati ya ardhi katika bunge la seneti imempongeza mwakilishi wadi ya Ganda Oscar Wanje kwa kupigania haki za maswala ya ardhi kwa wakaazi wa eneo hilo.
19/08/2025
RAIS WILLIAM RUTO AMEWASILI NCHINI JAPAN
19/08/2025
Usimweke mpenzi rohoni
19/08/2025
🔥🔥((((On-Air)))
Lemmy Lito WA Sogohe na Bishop Michael Otieno
🕝6PM- 12AM
HATHA NI HOWAA🤣
Masaa mawili ya BUNGE LAKO, VUTA STOOL alafu ZIMA TAA
Unatusikiliza ukiwa wapi?
SkizaOnline:https: https://bit.ly/3P5WRvr📻
Studio Line: 0798 995 995
0784 925 925 || 0786 995 995 || 0783 995 995 || 0780 995 995
SMS: 23151
19/08/2025
((((OnAir))))) 🕝02pm - 06pm📻📻i🔥🔥
NA Mjukuu Wa Chirao na Baba Mkubwa Igwe
Mda ushafikaaa wa Burudani, Vicheko na Vitamu Vitamu!
Tumezima zote, ni hii tu🔥🔥😂
Nabii mmoja kutoka hapa nchini Kenya hivi majuzi ameshangaza wengi wakati alipokuwa katika ibada alipodai kwamba Mwenyezi Mungu huwa anamtumia jumbe kupia mtandao wa kijamii wa watsup.
Nabii huyo pia alitoa simu yake na kwaonyesha waumini jinsi ambavyo Mungu huwa anamtumia jumbe hizo na pia wakati anawaonyesha ghafla Mungu akaanza kumchatisha kudhihirisha uwepo wake.
19/08/2025
Mbunge wa Likoni Mishi Mboko,amewahimiza wakaazi wa Pwani kuhakikisha wanahudhuria maonyesho ya kilimo ya mwaka huu yatakayofanyika mapema mwezi ujao katika uwanja wa maonyesho ya kilimo wa Mkomani kaunti ya Mombasa.
Be the first to know and let us send you an email when Msenangu FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.