NYOTA TV

NYOTA TV Hapo ulipo twang'aa
(2)

17/11/2025

Serikali inapania kuanzisha likizo ya kodi kwa vijana wanaofanya biashara, hatua hiyo inalenga kupunguza vikwazo vya kisheria.

17/11/2025

Takwimu zaonyesha kuwa asilimia kubwa ya wakazi wa Elgeyo Marakwet wanaishi kwa umasikini, hali inayochangiwa na wanawake kutoshirikishwa kwa shughuli za kilimo.

17/11/2025

Msemaji wa serikali azuru eneo la ujenzi wa kiwanda cha dhahabu Kakamega, ameeleza umuhimu wa madini kwa taifa.

17/11/2025

Idadi ndogo ya vijana wamejitokeza katika usajili wa makurutu Busia licha ya zoezi hilo kuwa haki na huru.

17/11/2025

Wanachama katika kaunti ya Nandi waapishwa kuwa wanachama wa bodi ya huduma ya umma.

17/11/2025

Shughuli za kampuni ya kusaga miwa Sony Sugar zimesitishwa kwa mwezi mmoja kwa sababu ya ukarabati utakaoimarisha utendakazi na ubora wa sukari.

17/11/2025

EACC kushirikiana na idara ya polisi wakati wa usajili wa polisi. Usajili wa polisi kuanza rasmi leo kote nchini.

Address

Exe, Lukoye
Mumias

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when NYOTA TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to NYOTA TV:

Share

Black Monday at St.Mary’s Girls’ High School,Mumias.

Police have vowed to conduct investigations as soon as possible with one of the board managers confirming that the students have been forced to a mandatory break of a week.