Mary Njau

Mary Njau Humanity, charity and kindness
(1)

28/01/2025

With Blessing Mary KE – I've just made it onto their weekly engagement list by being one of their top engagers!

πŸ˜…Nakumbuka EX akiniambia.   bila mm haezi ishi..πŸ˜‚πŸ₯² vile hyo ghasiaa inatembea huko nje..πŸ˜‚πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”  .. shenzi kabisaaa.Follow...
30/03/2024

πŸ˜…Nakumbuka EX akiniambia. bila mm haezi ishi..πŸ˜‚πŸ₯² vile hyo ghasiaa inatembea huko nje..πŸ˜‚πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’” .. shenzi kabisaaa.Follow πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Mary NjauMary Njau

Nurses will spend 30 minutes looking for a blood vein when  a mosquito can locate it within 6 seconds in dark while sing...
30/03/2024

Nurses will spend 30 minutes looking for a blood vein when a mosquito can locate it within 6 seconds in dark while singing 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣followMary NjMary Njau

Nilikuwa nimesimama Kwa dirisha nikaona wagithomo mama akitoka Kwa duka na mkate nikasema Wacha niende nikamsalimie k**a...
26/03/2024

Nilikuwa nimesimama Kwa dirisha nikaona wagithomo mama akitoka Kwa duka na mkate nikasema Wacha niende nikamsalimie k**a good neighbor 😊 Nikaenda nikabisha akaniambia karibu, kuingia akaniambia nikae tukunyue chaiπŸ˜‹ akaniletea chai na thermos ,Ile kikombe kubwa na mkate yote akaniambia nijiserve ameenda Kwa tap kuosha vyombo.Mimi nikafungua mkate nikakula nikabakisha tu slice mbili juu hata haikuwa imepakwa jam na Kwangu hata sikulangi mkate plain😒chai nikakunyua vikombe mbili na nusu na hata nikujilazimisha juu haikuwa na Sukari plus maziwa ilikuwa kidogo,majani pia ilikuwa Kwa umbali can Yuu imagine. Wagithomo amekuja akapata namalizia akaniuliza mbona nimekula mkate yote,kugusa thermos chai ilikuwa imebaki nusu kikombe πŸ™† imagine amenivuruta na kunitoa nje 😭😭😭Sasa makosa yangu ni gani shually πŸ’”πŸ˜­πŸ˜­

Check first comment vile kumeenda 😭
-with Blessing MaBlessing Mary KE

21/03/2024

Niko na kiulizo:-
Sasa KENYA POWER ya TANZANIA inaitwa aje πŸ˜…πŸ’”πŸ™„

Address

Gatanga
Murang'a

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mary Njau posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share