Kaizari

Kaizari Writer || Certified Media Personality.

📨 [email protected]
(10)

Antoine Griezmann katika mechi zake 22 za La Liga hajafunga bao 🤔LaLiga iliachiwa timu mbili tu zishindanie mataji.
25/09/2025

Antoine Griezmann katika mechi zake 22 za La Liga hajafunga bao 🤔

LaLiga iliachiwa timu mbili tu zishindanie mataji.

Ekitike kupunguziwa mshahara kwa wiki mbili k**a adhabu kwa kosa la kizembe lililomsababishia kadi ya njano ya pili na n...
25/09/2025

Ekitike kupunguziwa mshahara kwa wiki mbili k**a adhabu kwa kosa la kizembe lililomsababishia kadi ya njano ya pili na nyekundu katika mechi yao dhidi ya Southampton.

Ballon d'Or ya mwaka ujao 2026 unahisi ni mchezaji yupi anaenda kuishinda.PREDICT
25/09/2025

Ballon d'Or ya mwaka ujao 2026 unahisi ni mchezaji yupi anaenda kuishinda.

PREDICT

Arsenal au Manchester United?Robin Van Persie: "Zote ni klabu kubwa, lakini kwangu mimi Manchester United ni nyumbani."
24/09/2025

Arsenal au Manchester United?

Robin Van Persie: "Zote ni klabu kubwa, lakini kwangu mimi Manchester United ni nyumbani."

Kutoka Instagram, Lamine Yamal na Ousmane Dembele ✍️
24/09/2025

Kutoka Instagram, Lamine Yamal na Ousmane Dembele ✍️

Alikuwa mmoja wa wachezaji bora, alishinda mataji na Barcelona ila hajawahi kushinda tuzo ya Ballon d'Or kwa sababu ya w...
24/09/2025

Alikuwa mmoja wa wachezaji bora, alishinda mataji na Barcelona ila hajawahi kushinda tuzo ya Ballon d'Or kwa sababu ya wakali hawa wa soka (Leo Messi na Cristiano Ronaldo).

Katika kizazi hiki cha sasa yeyote anaweza kuishinda tuzo hiyo ikilinganishwa na kipindi cha Neymar, ushindani ulikuwa wa Messi na Cristiano mara nyingi.

Wayne Rooney kuhusu tuzo ya Ballon d'Or:"Huu ni mzaha, kwa kweli. Inakuwaje Raphinha ak**aliza nafasi ya tano na Vitinha...
24/09/2025

Wayne Rooney kuhusu tuzo ya Ballon d'Or:

"Huu ni mzaha, kwa kweli. Inakuwaje Raphinha ak**aliza nafasi ya tano na Vitinha nafasi ya tatu?"

"Aliiongoza timu yake katika dakika muhimu, Kwangu mimi angepaswa kuwa nafasi ya kwanza."

Willian Pacho x Ousmane Dembele
23/09/2025

Willian Pacho x Ousmane Dembele

Donnarumma baada ya kushinda tuzo ya kipa bora:“Nataka kumshukuru Pep Guardiola na bodi ya man city kwa kuniamini."
23/09/2025

Donnarumma baada ya kushinda tuzo ya kipa bora:

“Nataka kumshukuru Pep Guardiola na bodi ya man city kwa kuniamini."

shabiki mmoja raia wa Brazil aliipasua TV yake baada ya Raphinha kutajwa katika nafasi ya 5 kwenye tuzo ya Ballon d'Or j...
23/09/2025

shabiki mmoja raia wa Brazil aliipasua TV yake baada ya Raphinha kutajwa katika nafasi ya 5 kwenye tuzo ya Ballon d'Or jana.

Hakutarajia hiki..

PSG walizomewa walipokuwa wakitoka kwenye uwanja wa Marseille baada ya kupoteza mchezo huo kwa 1-0.Achraf Hakimi alisiki...
23/09/2025

PSG walizomewa walipokuwa wakitoka kwenye uwanja wa Marseille baada ya kupoteza mchezo huo kwa 1-0.

Achraf Hakimi alisikika akimwambia shabiki mmoja wa Marseille:

"Mtamaliza wa pili, funga mdomo wako."

Address

Taveta
Nairobi West

Telephone

+254717912448

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kaizari posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kaizari:

Share