Kaizari

Kaizari Writer || Certified Media Personality.

📨 [email protected]
(12)

Ukurasa wa Instagram wa Benjamin Seško kabla na baada ya kujiunga na Manchester United.Kabla - 357kBaada - 1M
13/08/2025

Ukurasa wa Instagram wa Benjamin Seško kabla na baada ya kujiunga na Manchester United.

Kabla - 357k
Baada - 1M

Mashabiki wa Besiktas wamejaa kwenye ukurasa wa Instagram wa Jadon Sancho na Comments 5.3M wakimtaka ajiunge na timu yao...
13/08/2025

Mashabiki wa Besiktas wamejaa kwenye ukurasa wa Instagram wa Jadon Sancho na Comments 5.3M wakimtaka ajiunge na timu yao.

Comments nyingi zaidi ya likes.

Dogo aandae mpaka Camera yake ya siku na watake kumkatishia furaha ya kupiga picha na Mbappe.Alipitia wakati mgumu kabla...
12/08/2025

Dogo aandae mpaka Camera yake ya siku na watake kumkatishia furaha ya kupiga picha na Mbappe.

Alipitia wakati mgumu kabla ya kumfikia Mbappe ila baadae akafanikiwa.

Alexander Isak anasisitiza hatoichezea Newcastle tena.Hata k**a dirisha la uhamisho litafungwa bila kuondoka Newcastle U...
12/08/2025

Alexander Isak anasisitiza hatoichezea Newcastle tena.

Hata k**a dirisha la uhamisho litafungwa bila kuondoka Newcastle United, Isak na Newcastle kwisha. Klabu inasema hauzwi.

Pete ya Georgina Rodriguez ambayo ameshare kwenye mtandao wa Instagram akikubali ombi la Cristiano la kufunga ndoa, '15-...
11/08/2025

Pete ya Georgina Rodriguez ambayo ameshare kwenye mtandao wa Instagram akikubali ombi la Cristiano la kufunga ndoa, '15-Carat Oval Diamond' ina thamani ya Dollar 5M sawa na na Ksh 645M na Tsh 12.5B.

Georgina Rodriguez amekubali ombi la Cristiano Ronaldo la kufunga ndoa.Cristiano 💍Georgina
11/08/2025

Georgina Rodriguez amekubali ombi la Cristiano Ronaldo la kufunga ndoa.

Cristiano 💍Georgina

Michail Antonio atajiunga na TNT Sports k**a mchambuzi baada ya kuachiliwa na West Ham United.Hatutarajii kumwona uwanja...
11/08/2025

Michail Antonio atajiunga na TNT Sports k**a mchambuzi baada ya kuachiliwa na West Ham United.

Hatutarajii kumwona uwanjani akicheza msimu ujao.

Mario Balotelli: "Bado nina ndoto ya kutimiza. Kuichezea Real Madrid."Mwamba ana ndoto kubwa sana ya kutimiza 😂
11/08/2025

Mario Balotelli: "Bado nina ndoto ya kutimiza. Kuichezea Real Madrid."

Mwamba ana ndoto kubwa sana ya kutimiza 😂

Chupa ya Dean Henderson yenye majina ya wachezaji wa Liverpool na sehemu wanapopigaga penalti alimpa shabiki wa Crystal ...
11/08/2025

Chupa ya Dean Henderson yenye majina ya wachezaji wa Liverpool na sehemu wanapopigaga penalti alimpa shabiki wa Crystal Palace baada ya mchezo.

Ya Salah ilikuwa tofauti sana na hiyo ya Chupa.

Joan Laporta (Rais wa Barcelona): "Tuzo ya Ballon d'Or anastahili kushinda mchezaji wa Barcelona."Unakubaliana naye?
11/08/2025

Joan Laporta (Rais wa Barcelona): "Tuzo ya Ballon d'Or anastahili kushinda mchezaji wa Barcelona."

Unakubaliana naye?

Wasanii waliotazamwa sana kwenye mtandao wa YouTube Kenya na Tanzania mwaka 2025.Diamond Platnumz anaongoza Kenya naye H...
10/08/2025

Wasanii waliotazamwa sana kwenye mtandao wa YouTube Kenya na Tanzania mwaka 2025.

Diamond Platnumz anaongoza Kenya naye Harmonize anaongoza Tanzania.

Tanzania wanasubiri atayekuwa nafasi ya pili kwenye Kundi A kucheza naye robo fainali. Kenya inaweza kukutana na Tanzani...
10/08/2025

Tanzania wanasubiri atayekuwa nafasi ya pili kwenye Kundi A kucheza naye robo fainali. Kenya inaweza kukutana na Tanzania robo iwapo hiki kitatokea;

Kenya ikishindwa kuifunga Zambia na Morocco washinde mechi zao mbili, Harambee Stars watacheza na Tanzania jijini Dar es Salaam.

Hii haitawezekana kwa sababu hii; Kenya haiwezi kupoteza mechi yake dhidi ya Zambia.

Address

Nairobi West

Telephone

+254717912448

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kaizari posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kaizari:

Share