Kaizari

Kaizari Writer || Certified Media Personality.

📨 [email protected]
(9)

08/01/2026

Shabiki amzawadia IshowSpeed mchoro wenye picha yake na GOAT wake, Cristiano Ronaldo.

Mchoro huo una picha mbili sehemu moja, ukiupindua ni picha ya Cristiano Ronaldo, kwa upande mwingine ni IshowSpeed..

Dominik Szoboszlai kuelekea mchezo wao dhidi ya Arsenal leo:"Premier League sio rahisi... Haishindwi Januari.""Sidhani k...
08/01/2026

Dominik Szoboszlai kuelekea mchezo wao dhidi ya Arsenal leo:

"Premier League sio rahisi... Haishindwi Januari."

"Sidhani k**a tunacheza dhidi ya mabingwa, wanacheza dhidi ya mabingwa ..."

"Hatupaswi pia kusahau kuhusu Man City, kuhusu Villa, ambao wanafanya vizuri sana."

07/01/2026

Wanachojutia Athletic Bilbao ni kupeleka timu uwanjani, baada ya mchezo huu hawatakosa cha kuwasimulia wenzao..

Dakika ya 72
Barcelona 5-0 Athletic Bilbao.

07/01/2026

IshowSpeed akutana na Speed ‘fake’ katika ziara yake nchini Zimbabwe..

Koke (kiungo wa Atletico Madrid): "Atletico watajitolea maisha yao kuifunga Real Madrid na kucheza fainali ya Supercopa....
07/01/2026

Koke (kiungo wa Atletico Madrid): "Atletico watajitolea maisha yao kuifunga Real Madrid na kucheza fainali ya Supercopa."

"Tuna 'game plan' ya kucheza dhidi yao."

07/01/2026

Mwandishi baada ya kumuuliza mshambuliaji wa DR Congo na klabu ya Sunderland ipi siri ya mafanikio yake katika soka.

Jibu la Noah Sadiki: “BIBILIA”

07/01/2026

Kinachotengenezwa mitandaoni ni tofauti na maisha yao ya uhalisia. Ousmane Dembele 🤝 Lamine Yamal

MAADUI ❌
MARAFIKI ✅

07/01/2026

Ishowspeed dhidi ya mashabiki wa Lionel Messi nchini Botswana.

Mashabiki wa Messi dhidi ya shabiki mmoja wa Cristiano Ronaldo..

Gianluigi Donnarumma: "Nilitaka kuja hapa kwa sababu kila mtu alizungumza vyema kuhusu Manchester City na ukweli ni kwam...
07/01/2026

Gianluigi Donnarumma: "Nilitaka kuja hapa kwa sababu kila mtu alizungumza vyema kuhusu Manchester City na ukweli ni kwamba nimepata familia kubwa na nina furaha sana kuwa hapa."

"Nina furaha sana na ninajivunia kuwa sehemu ya kundi la City na familia hii kubwa."

Nico Williams amefunga mabao 3 katika mechi zote 21 alizocheza msimu huu.Atamenyana na Barcelona katika Nusu Fainali ya ...
07/01/2026

Nico Williams amefunga mabao 3 katika mechi zote 21 alizocheza msimu huu.

Atamenyana na Barcelona katika Nusu Fainali ya Super Cup usiku wa leo.

Ataongeza idadi ya magoli kupitia Barca au ni idadi ya mechi zitaishia kuongezeka bila kuongeza mabao?

07/01/2026

Mohammed Amoura wa Algeria alimdhihaki shabiki wa DR Congo, Michel Nkuka Mboladinga aliyesimama muda wote wa mechi za DR Congo kwa heshima ya Patrice Lumumba baada ya bao la Algeria dakika za mwisho (dakika ya 119)..

Leo Messi: "Sipendi kutoa ushauri kwa watu kwa sababu ninaamini kwamba kila mtu anapaswa kuishi maisha yake mwenyewe.""L...
07/01/2026

Leo Messi: "Sipendi kutoa ushauri kwa watu kwa sababu ninaamini kwamba kila mtu anapaswa kuishi maisha yake mwenyewe."

"Lakini kuna jambo moja: Usikate tamaa, jaribu kila wakati."

"Hivyo ndivyo maisha yanavyotaka mwishoni... Kuanguka, kuamka na kujaribu tena."

"Na ikiwa bado haikufanyika, angalau unasalia na hisia kwamba ulifanya kila kilichowezekana kujaribu kufikia ndoto zako."

Address

Taveta
Nairobi West

Telephone

+254717912448

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kaizari posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kaizari:

Share