Kaizari

Kaizari Writer || Certified Media Personality.

📨 [email protected]
(9)

10/06/2026

Mwamuzi wa FIFA, Omar Artan amerejea Somalia na kupokelewa k**a shujaa baada ya kunyimwa kuingia Marekani..

Michael Olise:"Hispania wana timu nzuri sana, lakini nadhani mpinzani mgumu ni Ureno kwa sababu ya safu yao ya kiungo."
10/06/2026

Michael Olise:

"Hispania wana timu nzuri sana, lakini nadhani mpinzani mgumu ni Ureno kwa sababu ya safu yao ya kiungo."

Ni nani anaweza kushangaza Kombe hili la Dunia?Balotelli: "Nigeria. Wana washambuliaji wakubwa k**a Osimhen na Lookman."...
09/06/2026

Ni nani anaweza kushangaza Kombe hili la Dunia?

Balotelli: "Nigeria. Wana washambuliaji wakubwa k**a Osimhen na Lookman."

Lakini Nigeria haikufuzu kwa Kombe la Dunia..

Balotelli: “Tangu lini?”

Tunaweza kuwaona Mateus Fernandes akiungana na Bruno Fernandes huko Man United?Pichani ni Mateus Fernandes na Bruno wali...
09/06/2026

Tunaweza kuwaona Mateus Fernandes akiungana na Bruno Fernandes huko Man United?

Pichani ni Mateus Fernandes na Bruno walipokuwa Sporting.

Bruno alikuwa mchezaji wa kikosi cha kwanza kabla ya kujiunga na Man United 2020... Mateus Fernandes baadae alijiunga na Southampton 2024 ikashushwa daraja, 2025 akajiunga na Westham ikashushwa daraja!

United wameripotiwa kuvutiwa na kiungo huyo wa West Ham.. Westham wanataka pauni milioni 85.

Florentino Perez alidai kuwa angetuma ofa kwa mchezaji wa kiwango cha Cristiano Ronaldo, Zidane, Figo, na Beckham!'Mchez...
09/06/2026

Florentino Perez alidai kuwa angetuma ofa kwa mchezaji wa kiwango cha Cristiano Ronaldo, Zidane, Figo, na Beckham!'

Mchezaji huyo alikuwa Julian Alvarez?

Nafikiri hiyo ilikuwa njia ya kufanya ‘campaign’ na kwa sababu hakutaka mashabiki waone kuwa alidanganya, akaamua kutuma kwa Atletico akijua kabisa haitowezekana, kwa sababu gani? Ni vigumu mchezaji kutoka Madrid akajiunga na Atletico au mchezaji kutoka Atletico kwenda Madrid.

Barcelona hawajashangazwa hata kidogo na ofa ya Real Madrid, wanaamini ni jaribio la kuyumbisha tu.Wanasisitiza kuwa bad...
09/06/2026

Barcelona hawajashangazwa hata kidogo na ofa ya Real Madrid, wanaamini ni jaribio la kuyumbisha tu.

Wanasisitiza kuwa bado lengo Lao kuu ni kumsajili Julian Álvarez kwa gharama yoyote.

Mwamuzi wa Somalia, Omar Artan alihojiwa kwa saa 11 kabla ya kukataliwa kuingia Marekani.Omar Artan: "Mimi ni mwamuzi ni...
09/06/2026

Mwamuzi wa Somalia, Omar Artan alihojiwa kwa saa 11 kabla ya kukataliwa kuingia Marekani.

Omar Artan: "Mimi ni mwamuzi ninayejaribu kuishi ndoto yangu kubwa; kwenda Kombe la Dunia.. kwa kweli, nimekatishwa tamaa. Nilikuwa na hati sahihi na visa sahihi. Nadhani wana tatizo na nchi yangu."

Cristiano Ronaldo:"Ninaweza kucheza kwa miaka 4 ijayo, na kushiriki Kombe la Dunia 2030."
09/06/2026

Cristiano Ronaldo:

"Ninaweza kucheza kwa miaka 4 ijayo, na kushiriki Kombe la Dunia 2030."

Ureno inasalia kuwa timu pekee kwenye Kombe la Dunia iliyouza tiketi zake zote za mechi ya hatua ya makundi.
09/06/2026

Ureno inasalia kuwa timu pekee kwenye Kombe la Dunia iliyouza tiketi zake zote za mechi ya hatua ya makundi.

08/06/2026

Mashabiki wa South Africa wametua Mexico tayari kuitazama mechi yao dhidi ya Mexico Alhamisi.

Wamebeba watu wa kila aina 😂

Address

Taveta
Nairobi West

Telephone

+254717912448

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kaizari posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kaizari:

Share