Kaizari

Kaizari Writer || Certified Media Personality.

📨 [email protected]
(7)

Comment ya Cristiano Ronaldo huko Instagram akimfariji Lionel Messi kufuatia kumpoteza baba yake⚽️🫂
12/08/2026

Comment ya Cristiano Ronaldo huko Instagram akimfariji Lionel Messi kufuatia kumpoteza baba yake⚽️🫂

Corinthians haitamuongeza mkataba Memphis Depay; klabu imethibitisha rasmi uamuzi huo.Uamuzi huo umefanywa kwa sababu za...
11/08/2026

Corinthians haitamuongeza mkataba Memphis Depay; klabu imethibitisha rasmi uamuzi huo.

Uamuzi huo umefanywa kwa sababu za kifedha.

AS MONACO IMEAMUA KUSITISHA MKATABA WA PAUL POGBA!!!Makubaliano ya kifedha yanatarajiwa kukamilishwa hivi karibuni, inga...
11/08/2026

AS MONACO IMEAMUA KUSITISHA MKATABA WA PAUL POGBA!!!

Makubaliano ya kifedha yanatarajiwa kukamilishwa hivi karibuni, ingawa mkataba wake ulikuwa unamalizika msimu ujao.

AS Monaco inataka kusitisha mkataba wake na Paul Pogba!
11/08/2026

AS Monaco inataka kusitisha mkataba wake na Paul Pogba!

Ousmane Dembélé anachukulia mechi za wiki hii; UEFA Super Cup na Trophée des Champions k**a mechi ambazo ni lazima azish...
11/08/2026

Ousmane Dembélé anachukulia mechi za wiki hii; UEFA Super Cup na Trophée des Champions k**a mechi ambazo ni lazima azishinde katika harakati zake za kuwania tuzo ya Ballon d'Or.

Dembélé amewaambia watu wake wa karibu kuwa anazichukulia mechi hizo zote mbili kwa uzito mkubwa sana.

Uhusiano wa Julián Álvarez na Atlético Madrid umefikia hatua mbaya sana.Mchezaji huyo amewajulisha watu ndani ya klabu h...
10/08/2026

Uhusiano wa Julián Álvarez na Atlético Madrid umefikia hatua mbaya sana.

Mchezaji huyo amewajulisha watu ndani ya klabu hiyo kuwa hatabadilisha msimamo wake na atashinikiza kwa nguvu uhamisho wa kwenda Barcelona. Inaripotiwa kuwa aliweka wazi msimamo wake: Atlético haipaswi tena kumtegemea.

Julián Álvarez alirejea katika uwanja wa mazoezi wa Atlético leo akitarajia kujadili mustakabali wake, lakini hakuwakuta Diego Simeone wala Mkurugenzi Mtendaji Miguel Ángel Gil Marín.

Hali hiyo ilimfanya Julián akasirike na kufadhaika sana, kwani alitaka kuwaomba uso kwa uso ushirikiano wao ili kufanikisha uhamisho wake kwenda Barca.

Ambaye hamwelewi Hansi Flick angefikiri hapa Barcelona walikuwa wanashambulia 😂‘HIGHLINE’ ya Flick!
10/08/2026

Ambaye hamwelewi Hansi Flick angefikiri hapa Barcelona walikuwa wanashambulia 😂

‘HIGHLINE’ ya Flick!

Kuna uwezekano Neymar kujiunga na Messi na Suarez huko Inter Miami mnamo Januari 2027![Jornal O Globo]
10/08/2026

Kuna uwezekano Neymar kujiunga na Messi na Suarez huko Inter Miami mnamo Januari 2027!

[Jornal O Globo]

Jumamosi katika mechi ya kirafiki;Ac Milan dhidi ya Manchester United ❌Kobie Mainoo dhidi ya Ruben Amorim ✅
10/08/2026

Jumamosi katika mechi ya kirafiki;

Ac Milan dhidi ya Manchester United ❌
Kobie Mainoo dhidi ya Ruben Amorim ✅

Barcelona wamemjulisha Julian Alvarez kuwa wako tayari kurejea na bora zaidi kwa ajili ya kumsajili.Barca watasubiri had...
09/08/2026

Barcelona wamemjulisha Julian Alvarez kuwa wako tayari kurejea na bora zaidi kwa ajili ya kumsajili.

Barca watasubiri hadi mshambuliaji huyo atakapokutana na Atlético Madrid leo kabla ya kuchukua hatua hiyo.

Wanataka uhakika kwamba pendekezo lao jipya litazingatiwa ipasavyo.

Address

Taveta
Nairobi West

Telephone

+254717912448

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kaizari posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kaizari:

Shortcuts

Share