Shujaaz Kenya

Shujaaz Kenya Shujaaz tuna-celebrate vijana na stori zao! All about Love, relationships, biz na doh! Kuna vijana wengi wanafanya vitu major zenye ziko chini ya maji.
(1)

Shujaaz tuna-celebrate hawa vijana wote. Cheki hizi stori, na u-share stori yako pia. No topic is too hot to handle.

...nmefanyiwa matharao na mamake adi kuzimiwa stima mchana na usiku na so many things..."am a big fan ..please hide my I...
30/11/2025

...nmefanyiwa matharao na mamake adi kuzimiwa stima mchana na usiku na so many things...
"am a big fan ..please hide my I'd...am a lady and have been in a relationship/come we stay for 5years now...nikona mtoi 4years na my baby dady is working outside... Shida kubwa ni aliniacha kwao...nmefanyiwa matharao na mamake adi kuzimiwa stima mchana na usiku na so many things.. Imefika place naskia nmechoka na familia yao but nki mwambia anasema na complain sana...my baby dady doesn't defend me during family case...now am exhausted and want to quit the relationship but am scared juu hatujakosana...shida ni ataki kurent na nafill haina hats tuendele kushi hivi...kindly advice team shujaaz"
Mnaeza advice huyu dem wadau?

"Hi shujaaz,hide my I'd..iko hivi mimi niko na watoto wawili nawalea mwenyewe but wako na mum nyumbani mimi niko town ku...
28/11/2025

"Hi shujaaz,hide my I'd..iko hivi mimi niko na watoto wawili nawalea mwenyewe but wako na mum nyumbani mimi niko town kutafuta unga..saa mimi kila kitu nyumbani ni mimi nd mii ndo second born.kuna time bro wangu aligonjeka mwenye ni firstborn mum alinipigia akaniambia nimtumie pesa aende hospitali,sikujali nikatuma.na usisahau nilikuwa nafanya kazi ya nyumba nilikuwa nalipwa 5k na wanataka kukula pia..saai tena akashikwa juu ya kununua pikipiki aina longbook na juu sikuwa na pesa wakanipigia wakaniambia nilipe 5k..nilikuwa nimebuy kuku wangu nyumbani nikwaambia wauze wapate hizo pesa na wakafanya ivyo..funny thing ni kila kitu ikifanyikia bro mkubwa wanataka pesa kutoka kwangu na nikikosa pesa ntatukanwa mara niendee watoto wangu nijue mahali napeleka😭😭😭maisha imekuwa ngumu kwangu juu sina pa kukaa na watoto inabidi nikipata pesa niwatumie zote..ata siezi endeleza maisha yangu..nipeni advice ahk stress sitaniua"
Huyu dem ako kwa situation sad na ngumu sana, mnaeza mjenga aweze kujitoa kwa hii ngori?

28/11/2025

naskia hii ndio bale inatafutwa na madem, wanaume mmeskia?

"Niaje hide id,,,i have a problem with my mother mimi ndo first but i have a mother i dont know whats the problem last y...
27/11/2025

"Niaje hide id,,,i have a problem with my mother mimi ndo first but i have a mother i dont know whats the problem last year alikua job poa ilikua inamlipa 20k akafanya 3months akasema ameenda kueka biz yake unfortunately biz yenye alieka ikafail,,,kulipa nyumba na kujilisha ni shida niko job na nko na wife na mtoi siwezi afford kumlipia keja na kumlisha na kwangu pia the same,,nikimpea option ya kuenda ushago nimtumiange pesa ya food anakataa infact anaambia kila mtu nimemtusi like she always demeans my advice usisahau mimi ni first born i have two sisters aliwapeleka kwa dad after wamedivorce its 6yrs now haajaiwaona am the one who still check on them,,,wenye mnajua hii situation si mni advice am very confused"
Hizi story za family msee anafaa kudeal nazo aje?

Hi admin niko na quandary kidogo.. baby mama anasema ananichukia sana but antaka mechi juu haezi enda kwa msee mgine mto...
27/11/2025

Hi admin niko na quandary kidogo.. baby mama anasema ananichukia sana but antaka mechi juu haezi enda kwa msee mgine mtoi atakua affected na mi sidai mechi na yeye coz nafeel siko emotionally attached to her.. ni ukweli mtoi atakua affected juu enyewe simfeel kabisa.. nsaidie kupata advice
Huyu boy hafeel vibe ya huyu dem, mnaeza mshow aje?

...akashow bestfriend yangu, anampenda.."Malkia, Bf yangu alikua anakatia bestfriend yangu but mi sikuamini beshte yangu...
26/11/2025

...akashow bestfriend yangu, anampenda..
"Malkia, Bf yangu alikua anakatia bestfriend yangu but mi sikuamini beshte yangu time aliniambia ju niliona anataka tu kuniharibia relationship. Sasa kuna siku beshte yangu nikiwa naye alinionyesha texts na pia voice note huyo kijana akimwambia vyenye anampenda na ati hanipendi ako na mimi ju tu huwa nampa pesa. Mimi ikabidi nimemuwacha na pia Boyffriend beshte yangu alim-block huyo kijana."
Ukiona mpoa wa beshte yako ana-cheat utamwambia ama?

Boy akiwa na body count kubwa ni flex but dem akiwa na body count kubwa anadharauliwa  na kutusiwa, mnadhani reason ni g...
26/11/2025

Boy akiwa na body count kubwa ni flex but dem akiwa na body count kubwa anadharauliwa na kutusiwa, mnadhani reason ni gani?

Ni kweli mtu akilose virginity analose value? Ju mi najua value haikui measured na virginity.
26/11/2025

Ni kweli mtu akilose virginity analose value? Ju mi najua value haikui measured na virginity.

Hello shujaazMimi na demu wangu tumekaa one year ,, tulikuwa naye campus but hatukudate after graduation we started to d...
25/11/2025

Hello shujaaz
Mimi na demu wangu tumekaa one year ,, tulikuwa naye campus but hatukudate after graduation we started to date and now we are in Nairobi Mimi Niko na job yangu pia yeye but siku amechange haniongeleshi, always anasema ako na stress and is tired .
Nikimuongelesha hataki kuongea,,nifanyaje nahisi maybe amepata mwingine nataka nimuachilie but nampenda
Mnadhani boy ako sawa ama ana overthink hi kitu?

"...huyu mwanaume ni wa ukoo yetu staki kumuache juu nampenda deeply, we're expecting a kid.."Hide identity So mimi the ...
25/11/2025

"...huyu mwanaume ni wa ukoo yetu staki kumuache juu nampenda deeply, we're expecting a kid.."
Hide identity
So mimi the past two year I've been dating with a guy tumedate tunapenda sana adi we we're both to have a child but nikamuscourage after ward our love continued sasa tumeitwa family gathering nika mwambia naenda home akaniambia ata yeye anafaa aende home sasa tukaenda misha and what shocked me atii shosho yangu anamjua and everyone else anamwambia tuu anepotea sasa huyu mwanaume ni wa ukoo yetu staki kumuache juu nampenda deeeply and unconditionally
Help me solve it out juu we're expecting a kid
Watu wangu, situation tricky hapa, mnaeza mshow aje?

...nikamwambia mimi na mtoi wangu ni one package so k**a hanitaki na pia mtoi hapati...“Mi nachukia huyu msee sana desig...
24/11/2025

...nikamwambia mimi na mtoi wangu ni one package so k**a hanitaki na pia mtoi hapati...
“Mi nachukia huyu msee sana design sitaki kumuona wala sitairuhusu aone mtoi wangu ju after kunipea ball aliniambia nisitoe tutalea. Immediately after kuzaa kwa hosi akakuja na mamake wakasema wao hawanidai mimi but watalea mtoto. Kijana akasema sijui yeye haezi nioa ju hanipendi but ako ready kulea mtoto. broo, hii si internship ya the best baby daddy! Nikamwambia mimi na mtoi ni bundle offer, hakuna kuchukua moja uache ingine. Mimi iliniuma na mambo ya kuwa baby mama ndo sikua nataka. Nikamwambia mimi na mtoi wangu ni one package so k**a hanitaki na pia mtoi hapati. Sa from there nilimake sure hatai ona mtoi. Huwa ananitafuta ananicall anasema turudiane but mi siezi.”
Wasee, huyu dem ako sawa kufanya hivi ama?

24/11/2025

Mnapigana character development huku nje heh! 😅

Address

Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Shujaaz Kenya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share