Shujaaz Kenya

Shujaaz Kenya Shujaaz tuna-celebrate vijana na stori zao! All about Love, relationships, biz na doh! Kuna vijana wengi wanafanya vitu major zenye ziko chini ya maji.
(1)

Shujaaz tuna-celebrate hawa vijana wote. Cheki hizi stori, na u-share stori yako pia. No topic is too hot to handle.

"Hae shujaaz,,I need a help please I have a boyfriend nampenda Sana na pia yy hunipenda but huwanga ananiongelesha vibay...
19/07/2025

"Hae shujaaz,,I need a help please I have a boyfriend nampenda Sana na pia yy hunipenda but huwanga ananiongelesha vibaya Sana sometimes ,, sometimes ananishw nimtumie pesa namtumia na ananidekeza Sana na kuniita majina matamu Sana but time sina pesa akinishw nimtumie nkimwambia sina pesa ananitusingi akinishw eti hataki kudate na mm tena na nampenda what should I do now na sitaki kuachana na yy"
Mbona mnadhani chali yake ana switch up on dem wake hivyo?

Ata mentor hujifunza along the way. Don’t wait ukue perfect , unaeza make a difference kwa maisha ya msee na story yako ...
18/07/2025

Ata mentor hujifunza along the way. Don’t wait ukue perfect , unaeza make a difference kwa maisha ya msee na story yako

Personal opinion yako about betting ni gani?
18/07/2025

Personal opinion yako about betting ni gani?

Times zingine uko na evidence ya toxic love adi unajua ni toxic lakini bado unabaki ukidhani ita get better. Healing hua...
17/07/2025

Times zingine uko na evidence ya toxic love adi unajua ni toxic lakini bado unabaki ukidhani ita get better. Healing huanza na kusema enough is enough

"Hey shujaaz ,,,, I have this man nilipata ball yake then akakaa kaa anakataa then after I gave birth ananiambia anataka...
17/07/2025

"Hey shujaaz ,,,, I have this man nilipata ball yake then akakaa kaa anakataa then after I gave birth ananiambia anataka tusettle do you think it's okay.."
Ujipate situation boy amekupea ball then anaikataa but after ujifungue, anataka m-settle in pamoja, unaeza do?

Mbona wasee huwa wanaogopa emotional commitment?
16/07/2025

Mbona wasee huwa wanaogopa emotional commitment?

"Ae shujaaz am a single mother at 20..so  nkn mtoi n sna job nlikosana n baba mtoi n nkarudi kwetu kuhustle bt vle maish...
15/07/2025

"Ae shujaaz am a single mother at 20..so nkn mtoi n sna job nlikosana n baba mtoi n nkarudi kwetu kuhustle bt vle maisha inanpeleka inabidi nimeitisha baba mtoi support y mtoi bt yy anasema atamsupport only if akinipea doo n lzm nkue nalala n yy wat i don't agree am confused nadai wanashujaaz wanisaidie kusolve ii shda n mwenye akn job aniitie nko machakos"
Huyu manz alipea dem ball, wakakosana akaenda kwao. Sahii anasema the only way atatunza huyo mtoi ni k**a huyu dem atalala na yeye. In such a situation utado?

14/07/2025

When a girl says "niko lost"🤷🏾‍♀️, don’t judge her. Skiza kwanza. Unaeza change life ya mtu for the better

"mkuu nkona swali umependana na dem alafu mkapiga mechi moja swafi  lakini juu ulimess unampea dooh akabuy p2 alafu afte...
14/07/2025

"mkuu nkona swali umependana na dem alafu mkapiga mechi moja swafi lakini juu ulimess unampea dooh akabuy p2 alafu after a few months anakushow ati haoni periods ukimuuliza rada anakushow alisahau kubuy p2 na huko ready kwa early marriage juu ww ni teenanger na stude man hii ni ngori unajitoa ajy juu mm man ni ngorii."
Hapa mnaeza jenga boyz advice gani?

Hizi fan art hubamba sana 🙌🏾Makali Man ni mkali man!! Cheki hizo drawing za DJ Boyie na Maria Kim 🙌🏾Kazi safi sana maste...
14/07/2025

Hizi fan art hubamba sana 🙌🏾

Makali Man ni mkali man!! Cheki hizo drawing za DJ Boyie na Maria Kim 🙌🏾
Kazi safi sana master, keep it up na tunakushuru for the support
Make sure mmecheki page yake tupee one of our own support

Cheki hii scenario, umejitolea yako yote kubamba msupa wako alafu unakam kujua ako na mtu mwingine on the side, unaeza f...
12/07/2025

Cheki hii scenario, umejitolea yako yote kubamba msupa wako alafu unakam kujua ako na mtu mwingine on the side, unaeza fanya nini?

11/07/2025

Mbona wasee hu-feel need ya kujichocha mbele ya mbogi?

Address

Maragwa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Shujaaz Kenya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share