Shujaaz Kenya

Shujaaz Kenya Shujaaz tuna-celebrate vijana na stori zao! All about Love, relationships, biz na doh! Kuna vijana wengi wanafanya vitu major zenye ziko chini ya maji.
(1)

Shujaaz tuna-celebrate hawa vijana wote. Cheki hizi stori, na u-share stori yako pia. No topic is too hot to handle.

11/06/2026

“Akaniambia nitulie mimi ni dame hakuna kitu najua kuhusu mechi” Guys,mechi inafaa kubamba msee mmoja ama mnafaa kujibamba nyinyi wote?

Unasomesha mtoi adi miaka tano anakupenda  na unampenda alafu unakuja kugundua si mtoi wako , unaendelea  kumtunza ama u...
11/06/2026

Unasomesha mtoi adi miaka tano anakupenda na unampenda alafu unakuja kugundua si mtoi wako , unaendelea kumtunza ama unaacha?

''Ebu niambie k**a nafanya vibaya kunyima mtoto wa jirani yangu chakula kwasababu the last time nilimpea mamake akasema ...
11/06/2026

''Ebu niambie k**a nafanya vibaya kunyima mtoto wa jirani yangu chakula kwasababu the last time nilimpea mamake akasema anaumwa na tumbo , na hua anatoka shule akiwa njaa na mamake anarudi late''

Rafiki yangu amepigwa na chali yake mara milioni k**a one thousand na bado hua hatoki😱🤦‍♂, bado atamsamehea tu, ebu niul...
10/06/2026

Rafiki yangu amepigwa na chali yake mara milioni k**a one thousand na bado hua hatoki😱🤦‍♂, bado atamsamehea tu, ebu niulizie mafans wako mbona hua waschana wanapigwa na watu wao wameshinda wanarudi tu huko hawa learn ?

''Kuna huyu mokoro amekua akinilipa fee kumbe sikujua anadai nimshughulikie hio masaa ingine, sa aliniekea condition asi...
09/06/2026

''Kuna huyu mokoro amekua akinilipa fee kumbe sikujua anadai nimshughulikie hio masaa ingine, sa aliniekea condition asinione na hawa waschana wadogo rika yangu , na mi nafeel na miss out na pia staki aache kunilipia school fee, nifanye aje''

08/06/2026

Kati ya ugonjwa na infertility gani uaogopa kuliko nyingine?

So I was selling njugu,  kumaliza nikaamua kutulia place kwa shed hivi,  all over sudden Mzee akona gari za prestige za ...
07/06/2026

So I was selling njugu, kumaliza nikaamua kutulia place kwa shed hivi, all over sudden Mzee akona gari za prestige za naks akakam penye niko akaanza risto za course nilifanya nikachapia nilifanya film production in general tukaendele na risto mzee aka niambia kuna mdem anaendea soo nipande hiyo mat tumwende then anirudishe place nilikua me ki friendly nika panda gari waaah kumbe things zilikwa zinachange mzee aka change topic aka anza risto za malele akaniambia ukitaka kusaidika na we ni boy unafaa u chapwe misumari za haga ndio ufaulu kwa hii life weee mzee alinishtua nikamshow aiwezi God help people in business if they work hard sa Mzee akaona siko na saik ya story zake akaanza kunishika kwa my thing kasusu I tried to persist nikatoka kwa hiyo gari swali yangu ni mtu anaweza make it in life akipigwa misumari ama?''
ebu mnisaidie kujibu na kuelewa

''Am in a marriage but I and my hubby are searching for a baby but suddenly some symptoms occur like vomiting like being...
07/06/2026

''Am in a marriage but I and my hubby are searching for a baby but suddenly some symptoms occur like vomiting like being in a situation of thinking the zygote is being formed but a month pass and l start being on my periods
Please help me with that 😭😭😭😭😭''

06/06/2026

Tunafanya nini ku hold leaders accountable while tuko kwa spaces zetu everyday

06/06/2026

Unaezatumia art yako aje ku reflect reality kwa ground

Address

Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Shujaaz Kenya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share