
19/07/2025
"Hae shujaaz,,I need a help please I have a boyfriend nampenda Sana na pia yy hunipenda but huwanga ananiongelesha vibaya Sana sometimes ,, sometimes ananishw nimtumie pesa namtumia na ananidekeza Sana na kuniita majina matamu Sana but time sina pesa akinishw nimtumie nkimwambia sina pesa ananitusingi akinishw eti hataki kudate na mm tena na nampenda what should I do now na sitaki kuachana na yy"
Mbona mnadhani chali yake ana switch up on dem wake hivyo?