Matibo band enter

Matibo band enter Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Matibo band enter, TV Channel, nairobi, Nairobi.

🏆🏆🏆Lakini kuoa bibi mrembo sana na wewe ni hustler ni shida tupu😢.Kuna jamaa🤓alienda kwa barbershop halafu akauliza kiny...
21/01/2025

🏆🏆🏆
Lakini kuoa bibi mrembo sana na wewe ni hustler ni shida tupu😢.

Kuna jamaa🤓alienda kwa barbershop halafu akauliza kinyozi,"before ifike uninyoe itatake how long?"Kinyozi akahesabu customers na akamjibu,"itachukua 3 hours,"

Jamaa akacheka😂😂 na akaenda pharmacy akanunua condom then akaenda🚶🚶.

Baada ya siku kadhaa huyo jamaa akarudi barbershop😉tena akakuta customers ni wengi akauliza kinyozi,"leo utachukua how many hours ndio umalize kunyoa hawa?"
Kinyozi akahesabu customers then akamwambia,"itanichukua 4hrs hivi😌."

Jamaaa akacheka😁then akaenda pharmacy akanunua condom na akaenda🚶.

Baada ya wiki👌moja huyo jamaa akarudi🚶 kwa barbershop k**a kawaida yake akapata kuna customers🙈kadhaa akuliza kinyozi tena,"leo utanyoa hawa watu kwa masaa ngapi kabla ifike zamu yangu🤔?"akamwangalia👀na kusema,"ooh ni wewe tena😒🙄itanichukua 2hrs nimalize kuwanyoa na k**a unataka nikunyoe keti kwa kiti upange laini k**a watu wengine"

Jamaa alimwangalia kisha akacheka😂na akaelekea pharmacy akanunua condom na kuenda zake😊🚶.Kinyozi alishangazwa na Tabia ya huyu jamaa🤔 ya kuja kuuliza maswali na kucheka na kuondoka🚶.Sasa aliambia rafiki yake amfwate🚶🏻 huyo jamaa🚶aangalie na ajue place anaendaga after kutoka kwa kinyozi.Baada ya 30 minutes kuisha rafiki ya kinyozi alirudi akicheka🤣 akishikilia matumbo juu ya kicheko😁?

Kinyozi alimwangalia na kuuliza "umemwona👀 ameenda wapi🤔?"rafiki yake akamjibu akiwa bado akicheka,"NIMEMFWATA NIKAONA AMEINGIA KWAKO NA BIBI YAKO AKAMHUG🤣🤣🤣🤣."

Kumbe jamaa ananyanduanga bibi ya kinyozi😢😢😢. Wanaume tutafteni pesa wangwana tunagusiwa murima🤣🤣🤣

For more jokes and stories follow me. Just click the follow button above the post and enjoy
MBE. ✅ ✅ ✅ ✅

🏆🏆🏆A DAY I WILL NEVER FORGET 😭😭😭😭😭So last Sunday ama tuanzie Sato usiku 🥰kuna mumamaz alikol akanishow aty amekuwa ameni...
21/01/2025

🏆🏆🏆
A DAY I WILL NEVER FORGET 😭😭😭😭😭
So last Sunday ama tuanzie Sato usiku 🥰kuna mumamaz alikol akanishow aty amekuwa amenicrashia for long na huwa anatamani Sanaa kuniona 😋sauti ilikuwa Ka ya mtu grown up so ilibidi niongee kiheshima ,

Haya mi na hii sauti yangu nikamuuliza penye ametoa number juu sikuwa na swali ingine 😂ndo akanishow aty alitoa online pale tiktok na amekuwa akinifwatilia Sanaa ata amejaribu kunitext but k**a vile mnanijua mi ni mlazy kuchat 😂😂

So tukabonga na akadai kunibeleka out Sunday wee ,,,mi sa cjaimwona simjui na ujue ni voice call so ata time ya kufikiria sikuwa nayo na from the way she was talking hakuwa mtu hivi hivi 😂 you gerit 🤞

Sa juu Sunday sikuangi na place ya kuenda after kufua ilibidi tuu nimekubali kumeet na yeye na akadai tumeet Ganjoni iko uko side za Mombasa town ,,,mi nae sikuwa na fare ya kufika kisii sa akanishow atanikujia tu from apa bamburi weee😊

So after apo akaniwish good night na nikalala🤞 so mrng mi nikaprepare kufua then around saa sita akanikol akanishow anakam mi nikatokea apo stage kidogo kidogo akakol kunishow amefika,,sa mi kuangalia around sikumwona kumbe ni yeye ndio alikuwa amesimama na range rover weee ,,,mi niliisha nguvu 😭

Sa akakuja akanihug weee na alikuwa mtu mature like she is in her 40s tukaongea one two na akanifungilia mlango ya range 😋nikakalia apo mbele 😊so tulitravel poa Ady apo ganjoni.

Kufika uko kumbe alikuwa ashapanga mambo eeeh nilitretiwa k**a prince .Nililetewa apo kajuice kangu na pizza 😋kando kuna Ka kuku na tumaji weee 🥰so nikiwa naenjoy tuu kajuice kangu nikaona...........

Kumalizia hii story weka follow. Gusa hiyo follow juu ya post upate full story.

26/12/2024
13/08/2024
Happy birthday Nyoxx wa Katta ❤️
13/08/2024

Happy birthday Nyoxx wa Katta ❤️

12/08/2024

Rip bishop Johanna. My condolences to family and friends 🙏🙏🙏
08/08/2024

Rip bishop Johanna. My condolences to family and friends 🙏🙏🙏

Pangani kuna mwizi ameiba simu📱 akakimbishwa 🏃🏿‍♂️akaingia police station.Wenye walikua wanamkimbiza nao wakachanga pesa...
19/07/2024

Pangani kuna mwizi ameiba simu📱 akakimbishwa 🏃🏿‍♂️akaingia police station.Wenye walikua wanamkimbiza nao wakachanga pesa💴 wakamlipia cash bail na wako hapa inje wanangoja akue processed aachaliwe😂😂😂

PesaCheck wewe.
17/07/2024

PesaCheck wewe.

Mpaka sasa hakuna nwanafunzi wa huyu trainer asiye na shepu 💥💥
24/06/2024

Mpaka sasa hakuna nwanafunzi wa huyu trainer asiye na shepu 💥💥

Cheza bana
24/06/2024

Cheza bana

22/05/2024

Garvins Royal Academy

Men will live happily like this and see no problem. Then the problem comes and changes everything 😅. Who is the problem?
17/05/2024

Men will live happily like this and see no problem. Then the problem comes and changes everything 😅.
Who is the problem?

12/05/2024

FULL HOUSE TV LAUNCHING AND TALENT SEARCH

12/05/2024

FULL HOUSE TV LAUNCHING AND TALENT SEARCH

12/05/2024

FULL HOUSE TV LAUNCHING AND TALENT SEARCH

“May is the month of expectation, the month of wishes, the month of hope.”   WISHES YOU  A HAPPY LABOUR DAY.
01/05/2024

“May is the month of expectation, the month of wishes, the month of hope.”
WISHES YOU A HAPPY LABOUR DAY.

From nothing to something
28/03/2024

From nothing to something

Address

Nairobi
Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Matibo band enter posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Matibo band enter:

Videos

Share

Category