19/09/2025
🔥 SECRETS 🔥
SEASON 32. EPISODE 8🔥
Nikacall hio number ya Stesh
Steve : Yes?
Me : Wako wengi sasa najua ni mgani?
Steve ; She's lightskin in her late 20s..28 i think ..amesuka braids za brown
Me : Kuna four ladies with the said appearance
Steve : She has dimples and a gap in her front teeth
Me : Waaah🙆
Hawa madem walikua wameweka sura ya kazi wamaserve watu nitajua nani ako dimples kwa hao wanne. So ikabidi nirudishe vitu kathaa kwanza. Nikaanza kuwapiga sampling wote wanne ju lazima wabonge ndo nione meno na maybe they should do something with their face nione dimples. Nikaanza na wa kwanza. Wase walikua wamejaa. Nikafika. Nikaweka toothpaste pale
"That's 200..do you have a card?"
Me : Yeah
Kuangali huyu hana gap kwa meno. Nikatoka nje nikarudi nikachukua toothbrush, nikaenda kwa next sasa. Nilikua nachukua portable things ndo nirudi ndani😂
"That's 100"
Me : Unaweza niwekea kwa carrier bag?..na silipi😂
"Sasa toothbrush unaweka aje kwa carrier bag😂"
Akacheka. Dimples ndo hizo manze kuangalia mdomo ako na gap kwa meno😂. She's the one . Enyewe Steve ni wa kuogopewa
Me : Nice dimples tho
"Thanks😂..i get that alot"
Me : Can i maybe get your number😂...we can grab a drink someday
"Nope😂..hebu toka watu wanangoja kwa line"
Me : I'll trace you😂
So akajua niko ithaa yake hajui I'm trying to save my life😂. Sasa sijui hua wanatoka sangapi. Nikafika nje kwa mlango
Me : Niaje
Soldier : Poa sana
Me : Naweza pata kazi kwa hii supermarket?
Soldier : Hio sasa maybe uulize manager unajua mimi nimeandikwa na kampuni tofauti ya security
Me : Ooh poa..wacha I'll talk to the manager..na hua wanatoka sangapi..staki kazi ya kutoka late
Soldier : 6.30-7pm hapo
Me : Poa
So nikatoka nikaishia
Me : Found her
Steve : Baas that's why i knew this task fits you..sasa wewe make sure amekushow place Tresh ako..she's our ticket to Mike
Me : Okay..can you maybe give them food now that you trust me?.. Stesh na mtoi
Steve : I will never trust you Carl but wacha wapewe food waoge kiasi
Me : Thanks
So nikatoka nikapiga shuguli zangu nikitegea tu majioni
Steve alikua amekuja vibaya na i swear i was going to die with him
Yeye ndo my biggest enemy hata kushinda mike na i had to do something. Jioni pale nikatoka. Nikapata bado supermarket inarun.
Nilitegea nje hadi nikaona Wameanza kufunga. Wakaanza kutoka. Huyo dem alitake sometimes ndo akatoka. Akaingia taxi sh.iet💔. Nikachukua nduthi
Me : Tufate hii gari ya black
"Tunaenda nayo hadi wapi"
Me : Si mbali wewe twende before ipotee
Tukafata hio dinga. Ikafika mahali ikasmama. Huyu manzi akatoka ndani.
"Bro hio itakua punch"
Me : Punch kwani umebeba maiti ama mtu?"
"Weka 300"
Nikamjenga nikafata huyo manzi mbio. Akaingia corridor flani. Akafika. Kuangalia nyuma akaniona. Akaongeza speed nikaona huyu anaweza piga nduru nishikwe
TO BE CONTINUED 🔥