Carlymax

Carlymax Best storyteller 2020-2021 Ace awards🏆
Funny storyteller||Creative writer🎭
(291)

03/11/2025

🔥 SECRETS 🔥

SEASON 36. EPISODE 10

Nikachange bearing nikahepa njia nikaingia kwa mashamba sasa. Nililala kwa shamba flani pale nikaamka 5 nikatoka. Ndevu ilikuabimejaa black jack nakaa fala😂. Nikajiunda unda pale nikitembea. Nikapunguza ndevu kaisi nikue na a different look ju hii iko kila mahali nasakwa. Nikafika kwa main road. Sasa hata sijui huku ni wapi. Nilitembea hadi nikachoka. Nikaona lorry kwa umbali. Nikawave ikasmama

Me : Yooh man si unirushe tao maze
Driver : Hii njia naijua sana..hua mnasema ivi then mnaingia mnatuibia
Me : Mzee siwezi fanya kitu k**a hio
Driver : Unaita nani mzee?..mimi ni babako?
Me : Pole..maze niokolee tu I'm wounded
Driver : Hapana.. last year kwa hii njia nilifanywa mambo mbaya sana just wait for someone else..

Jamaa akaishia. Nilitembea manze sifiki bana💔..eiii. mbona sishikwi na mbona sikufi? Huyo mathe aliniokolea sana walahi. Nikaona pick up. Sasa kisubmarine hata sikusmamisha ju nilijua hawezi kubali. Kidogo naona amesmama

"Utatembea utafika sangapi kalia nyuma"
Me : Thanks manze umeniokolea sana

Nikaruka nyuma ya pickup nikakaa na makondoo hapo nyuma tukafika tao. Na ilikua mbali walahi hapa singemanage na kaguu😂💔. Afternoon ikanipata hii tao yao adi sikujua ni wapi.

Me : Hapa ni wapi
"Kwani umetoka wapi..hapa kunaitwa paper mint
Me : Ooh

So nikapiga hesabu kutoka hapa mint hadi kwa Stesh ni kitu k**a 5 hours. Nikategea zile lorry heavy commercial nikadandia moja nyuma. Nilifika usiku maze. Nikafika kwa Stesh.

Soldier : And who are you?
Me : Ni ule jamaa alikua na Stesh Stesh
Soldier : Ooh ni wewe.. Stesh alihama jana
Me : Ooh okay..sasa si wacha nijiwekelee ju ni late niamke kesho
Soldier : Hakuna kitu imebaki kwa hio nyumba
Me : Najiwekelea tu
Soldier : Mkubwa is everything okay?
Me : Yeah everything is okay
Soldier : Okay

Akafungua nikaingia. Nikafika kwa hao manze iko empty kabisa💔. Nikaokota boxes pale kwa floor nikazipanga nikalala. Mlango ikabishwa.

TO BE CONTINUED 🔥

01/11/2025

🔥 SECRETS 🔥

SEASON 36. Episode 9

Kofi ikalia

Police : Haahaa ulithani tumeenda sindio?..unasafirisha mwili kwa giza umekua mganga?..
Cliff : Hapana Afande
Police : Mwenzako ako wapi

Kofi ikalia

Mathe : Enda enda sasa enda before waingie
Me : What have you done😳💔

Nilijivuruta nikaruka nje na hio back door k**a nimeingia kwa shamba ya waru. Nilizienda mbaya sana💔. Cliff finally ameshikwa na sahi ameshikwa na mse amekufa sasa hapo alikua amepeanwa💔😂. Kisubmarine huyo nikajua amegonga ukuta. Nilijivuruta nikalemewa huko mbele nikakaa place kwa shamba ya mse.

"Mwiiiziiii...mwiziii"

Mzee flani pale akaanza nduru akiniita mwizi. Area mzima ikaamka

"Shika mwiziii"
"Ndo huyo anatoroka"

Manze nilikua nakanyaga njia ni k**a tuko Paris Olympics💔. Nilikua ready kuuwawa lakini kumbe kifo haitaki kihere here. Nilikua nakula njia ungeniona ungethani ni jini😂💔. Kupotea kupotea. Kuna jamaa flani alikua amejituma ako tu na mimi. Alikua amebeba panga flani ilikua tu inashine kwa giza. Huyo akinifikia mimi nimeisha. Kifo ilikua inanitafuta kila kona. Nikaona huyu jamaa haniwachi na mimi nimekimbia hadi kidonda imefungua zile u*i zimekatika💔. Speed ikapungua nikaona siwezi make it kukimbia. Nikashika emergency namna hii akajipiga kwangu akafikiria amegongana na Suzuki . Alijilima kwangu akajipiga chini kidogo akalie panga yake ikue su***de.

TO BE CONTINUED

Pale second year nakumbuka i brought one fine babes kejani but things didn't go as planned. Before nimlete nilikua sure ...
01/11/2025

Pale second year nakumbuka i brought one fine babes kejani but things didn't go as planned.

Before nimlete nilikua sure leo sehemu telezi itateleza hadi friction imalize lubricant tuanze sasa kutumia k**asi k**a nyoka ya mganga. Nikakimbia pale pharmacy;

"Nipee studded cond.m with strawberry flavour"

Nikafika kejani kwanza nikararua moja ikae ready ndo just incase nipewe chance nisianze kupiga kelele na hizo sachets hua nafeel ni unnecessary.

Manzi akanicall;

"Ulisema naingia na njia gani?"

Hio swali ilifanya mrija ikajaa kwa bocer hadi toja ikakua fupi. Toja ni baggy lakini ikageuka kinyasa ya CBC. Nilichomoka mbio hadi stage nikamleta. Kwa hii ploti ni mimi tu nilikua sijai leta manzi so leo ilikua first time na lazima ningeongea na nguvu tukiingia kila mse ajue mimi si mchache pia.

Those days I used to cook first before welcoming my 'kitoweo' ndo akifika we just eat and start what brought her there. Tukadishi pale nilikua nimebuy beef ya 500 na some other stuffs nikahire mama flani akanipikia pilau.

Sikua na system so kuna mse pia nimeomba kwake only for 3 hours ju ni mse wa SDA na ilikua Friday so lazima nirudishe after those hours askize zile choir zao.

Manzi alikua amechangamka ananipea story but suddenly after kudishi nikajipata najiongelesha. Ujue huyu ni manzi tunapatana first time ju hata number yake nilitoa group flani ya campus yetu. Manzi macho iko glued kwa simu.

Nikashindwa hapa napull aje "babe sasa si ukuje tuchill kwa bed". Sina lapy so there no way nitamshow ati kam tuwatch.

Nilivumilia pale nikipiga hesabu vile namleta kwa bed and that moment chuma iko boiling point adi siwezi simama one bad move inapasuka mara mbili ka smokie.

Mambo ilinichemkia pale kwa bed nikaamaua kujituma physically. Nikamka nikamshika mkono

"Babe si ukam tuchill kwa bed tukiwatch tiktok?"
"Hapana mimi niko sawa hivi actually hata sikai nataka kutoka.. si utanipush?"

Nilifeel ni k**a shingo imekua fupi. Nikasema hapana wacha nijaribu kuforce issues maybe she's just playing hard to get. Tuli struggle pale finally manzi akaingia bed. Nikajaribu kumtoa toja. I used one hour kumtoa toja ju ilikua imemkaba design flani k**a ngozi ya miti.

Kumbe kuna second layer ndani. Hio sasa ni k**a niko second floor. Manzi amevaa kinyasa flani hivi hardcover material flani ngumu kushinda jeans. Tukasaidiana na yeye kumtoa hio kinyasa nilisweat two good hours haitoki. Finally ikatoka. Chuma ilikua sasa iko ICU , nikidelay kidogo inarudi kwa tumbo na ni hivo game itakua imeharibika until next time.

Nikava CD pale mbio mbio. Kusema nifike pale west pokot nikapata tight security ya kasongo fraternity, the green Barrett. Sasa amevaa kitu k**a bicker shot ya jeans.

Mlango ikagongwa. Nikatoka kuangalia ni nani;

"Bro nadai hio speaker choir members wamekuja practice kesho tuko na event kwa kanisa and I'm the choir master"

System ikachora. Sasa kumtoa hako kakinyasa nikafikia panty. Finally i was there. Kupiga mkono pale k**ariny stadium nikashika liquid.

"Mbona haungenishow unanyesha na vile nimewaste time yangu?"

"Sikutaka ujam. I knew nikikuambia ungejam. Nilianza kunyesha jana"

Chuma ilichoka na maisha hadi CD ikajitoa ikaanguka chini

Sharon we ni umb.waa sana😭😭💔

Maverick Aoko I'm ready🥲
31/10/2025

Maverick Aoko I'm ready🥲

31/10/2025

🔥 SECRETS 🔥

SEASON 36

EPISODE 8

Kisubmarine makarao wakamwagika area k**a siafu

Mathe : Hello afande
Police : Mamaa abari yake
Mathe : Mzuri sana
Police : Sasa sisi iko patrol wewe usiogope..so kuna watu tunatafuta hapa ndo hii picha yao tho huyu wa pili yeye haonekani vizuri huyu wa ndevu mingi k**a Osama..so k**a wewe umeona hii watu mahali tuambie ju hawa ni majambazi sugu, ni wezi, wakora na wako na silaha hatari..inasemekana hao walionekana mwisho hii area

Mathe akanyamaza 💔. Mimi huko ndani nilikua hadi sipumui💔

Police : Na hii boma iko na mzee kweli?

Mathe akanyamaza. Hapa atatuuza. I think mathe alikua anataka kutuseti but anakumbuka vile Cliff amefinya ule doc anaogopa💔. But akinyamaza bado atatuuza. Wakijipiga huku ndani kwanza waone maiti mimi nimeisha

Police : Mamaa we mekua bubu?.
Mathe : Hapana
Police : Mzee wa nyumba ako wapi

Mathe akanyamaza. Nilikua nafeel nitoke nimpee kofi mbaya sana. Mzee alikua amesweat toja inatoka tu maji💔. Akajaribu kutoka cliff akamlima kidevu akajiuma ulimi💔

Tukaskia footsteps💔. Karao moja akakuja hadi kwa mlango ya hii bedroom. Akamsmama hapo k**a one minute..akatembea tembea huko ndani akarudi. Wakatoka wakaishia. I think walithani mathe amenyamaza ju amewaona akaogopa. So tukatulia

Mathe : Wameenda🥺
Cliff : Ulifanya vizuri kunyamaza..ungeongea ningekumaliza mamaa mimi si umeona sina huruma..so mzee nisaidie kubeba hii mwili
Mzee : Tunapeleka wapi?
Cliff : Wewe ndo utaniambia
Mathe : Baba Brian usijiingize kwa hii mambo💔..mimi ukishika hio mwili ama kutake part ku*ika usirudi kwa nyumba yangu we have kids
Cliff : Sasa wewe😂..si mwili nimeua kwa nyumba yako already hata k**a ni laana itabaki hapa
Mathe : Sijaongea na wewe mjinga wewe

Cliff alislap mathe Kofi ya mashavu mate ikanirukia kwa uso💔. Wakabeba mwili na mzee wakatoka nje. I think ilikua almost 10pm hapo. Mathe akakuja immediately

Mathe : Uko ready?..na unaenda wapi sasa aki na vile umeumia?
Me : Mimi bora tu nitoke nje niko sawa..siko mbaya sana so wewe niangalilie k**a wanarudi mimi nitoke..give me your number nitakutafuta nikupee kakitu you have really helped me
Mathe : Poa

Akaniandikia number yake. Nikataka kutoka

Mathe : Wait..
Me : Why?..kuna nini tena🤔

Akatoa key akafungua ile mlango ya nyuma💔. Na alinichocha ati imefungwa permanently na nje😂💔

Me : What's happening?..so it's working
Mathe : Sikukua nakutrust mara ya kwanza but nimeona wewe hauna roho mbaya k**a mwenzako that's why i have decided to help you because he's going to jail
Me : Whaat?..jail?

Kidogo naskia mtu ametimuka huko nje💔. Alaa

Police : Kijana dunga magoti chini kichwa chini kichwa chini

TO BE CONTINUED 🔥
Weka like tukisomga

If you're built like this send me your account number😂
30/10/2025

If you're built like this send me your account number😂

30/10/2025

🔥 SECRETS 🔥

SEASON 36. EPISODE 7

Zikaletwa. Jamaa akakuja sasa. Alikua ananikata pale naskia uchungu ingie mbaya sana. Jamaa alinichimba wound ungethani anachinja ng'ombe. Kisubmarine sasa hio risasi kimakosa ikaskumwa na wire ikaingia ndani kabisa💔. Nilipiga nduru ingine hapo mbaya sana

Cliff : Waah, hata staki kuona wacha niko nje mtaniita waah🤔💔

Cliff akaishia nje.

Doctor : Baba Brian si ukuje unisaidie hapa
Mzee : Sasa wapi na damu imejaa kila mahali

Huyo vet alifanya kazi hapo hadi nikamhurumia💔. Ak**anage kuitoa lakini alikua amefanya kazi

Doctor : Waah..sasa itabidi ushonwe..we will just use a normal needle

Wakanishona pale kienyeji kienyeji akatoka nje

Mzee : Kijanaa..mama ameniambia ripoti yako..so I'm working on it tuone k**a usiku we can help you
Me : Utakua umenisaida sana..this guy wants to kill me achukue pesa zangu..hata hizo pesa heri niwapee nyinyi ju mumenisaidia
Mzee : Wacha tungoje usiku

Kidogo naona doctor anakujia mgongo na ameinua mikono juu💔

Cliff akaingia na bunde

Cliff : Doctor, thank you so much for your service..but since umeniona sura na unajua tuko hapa I won't trust you

Cliff ff akapiga doctor risasi ya kichwa

Me : Cliff no😭.. Cliff what has gotten into you man..mbona unaua innocent people?.. this is someone's father manze🥺
Cliff : Carl..nilichoka maisha ya kubembelezana

Ule mathe alianguka chini akafaint💔. Akapigwa first aid pale

Cliff : Mzee, hii mwili by usiku tunatoa ku*ika
Mzee : Kwa boma ya nani🥺💔..i regret helping you💔🥺
Cliff : Wewe ndo next

Hio mwili ya doc ililala hapo kando yangu nilikua tu natokwa na machozi💔. Samoja usiku on dot wakakuja na mzee wakainua hio mwili. Mathe akakuja

"Kuna curfew💔..maskari wako kwa area"

Cliff : Carl we need to leave
Cliff aliniinua hapo chini kusmama nilifeel ni k**a nimebeba tuktuk💔. Kifua ilikua mzito k**a mawe💔. Akanishikilia tutoke

Mathe : Wako nje💔
Cliff : Whaat?..wamefika?
Mathe : Yeah🥺

Kukanyamaza. Mzee akatoka aishie kuona Cliff akamshika mkono

Cliff : 🤫 shh kaa hapa

Police : Iko watu hii boma kweli

TO BE CONTINUED 🔥

30/10/2025

Najaribu kusafisha page nigonge monetisation lakini wananitaftia makosa haiko😂💔.

Hizi pesa za huyu mzungu ku*ikula bila kushare nud.eees ni ngumu itabidi muanze kunichangia sasa

29/10/2025

🩶 SECRETS 🤍

SEASON 36. EPISODE 6

Mzee : Sasa hio ni shida kubwa sana
Cliff : We need a doctor..mtu anaweza weka siri
Mzee : Sijuani na daktari yeyote..my son knows a certain doctor alikuja hapa kunitibu last year lakini sahi my son ako college haishi hapa💔
Cliff : Mzee kindly do something
Mzee : Maybe tuite veterinary hunitibia mifugo lazima he knows a doctor
Cliff : Muite sahi
Mzee : Sawa

Cliff akarudi ndani

Cliff : Carl..mimi pesa nimekua nazo zimeishia kwa huyu mzee..daktari akikuja atataka pesa mob ju anajua tuko desperate na tunatafutwa.. for the last time..how are we reaching your money Carl 💔..maisha yako inadepend sasa.. it's either uongee ama ukufe

Mimi kisubmarine sikukua naongea. Nimeona ya kutosha. Nilikaa hapo tu. Cliff akachomoka sijui alienda wapi. Wife ya huyu mzee akaniletea painkillers

Me : Mum I need your help
Mathe : Gani
Me : Huyu jamaa niko na yeye anataka kunimaliza.. kindly help me..si umemuona kwa news?
Mum : Yes
Me : Me so nataka unisaidie
Mum : Nakusaidia aje kijanaa aki?..huyu mtu wa bunduki si ataniua🥺
Me : Hawezi..nataka unisaidie nitoroke
Mum : Aki hata huezi simama utatoroka aje?
Me : Hii mlango yako ya nyuma inafanya kazi?
Mum : Hapana..mzee aligonga na nje so haiwezi funguka since hata hatukukua tunaitumia akaamua kublock
Me : Naweza pitia mbele
Mum : Huyo mtu amekaa huko kwa bench💔.. maybe niongee na mzee tukutoe usiku
Me : Kindly fanya ivo..sitawasahau.. I'll make sure nimewapea kakitu you'll give me your number

Kuguza guza mfuko sina simu💔. Ndo nikakumbuka ilibaki kwa ile dinga💔..waah kisubmarine hapa kutoboa itakua noma. So nilikua tu nategea usiku huyu mathe wajue vile wananitoa hapa. Cliff, mzee na jamaa flani pale wakaingia

Mzee : Doctor hebu muangalie uone k**a unaweza tusaidia
Doctor : Okay

Akanitoa tushow akaangalia wound

Doctor : Waah hapa sioni k**a nitafaulu..unajua mimi ni vet daktari wa ng'ombe/livestock tu si binadamu..i thought ni kidonda tu ndogo
Cliff : Lazima uko na basic understanding ya hii..basi jaribu tu tumtoe hio risasi kindly
Doctor : Ni sawa wacha niendee tools
Cliff : Hapana..tools utatumia za hapa
Doctor : Gani sasa
Mzee : Wacha nilete makasi sijui k**a itasaidia
Doctor : Okay pia k**a unaweza leta wembe na wire..pia spirit ukue

29/10/2025

Kumbe jaba hukua na hangover 💔. Sitarudia tena

28/10/2025

🩶 SECRETS 🤍

SEASON 36. EPISODE 5

Mzee : Was it really an accident?
Cliff: Yeah
Mzee : Accident ya risasi?..this is a gunshot wound hata k**a sijasoma sana i can see it
Cliff : Mzee tulia si nilikulipa
Mzee : Sijakataa lakini huyu hapa anaweza kufia kwangu iniletee shida ju hata siwajui

Mathe flani akatokea kwa mlango

'Baba Brian hebu kuja kidogo "

Mzee akaishia

Cliff : Carl don't worry you gonna be alright..so nataka unishow penye Stesh ameeka pesa ama penye ako niendee pesa nikusakie daktari

Sikukua nabonga ju hata ningeanza aje na sauti hata kwa throat haipiti. Nikamshow na sign anipee maji ya kunywa. Nikakunywa. Ule mzee akatokea huko akatupia Cliff 3k kwa uso

Cliff : Whaat?..mzee shida iko wapi😳
Mzee : Get out of my house🤔.. iko kwa news, mambo yenu..mumeua watu na bunduki mkangonga mtu..an innocent soul💔..majambazi sugu...
Cliff : Cheki mzee ni k**a unatufananisha kidogo
Mzee : My wife has called me iko kwa TV kwa news kwanza picha yako iko mbele.. wakora..toka kwngu na huyu maiti wako ama niite majirani

Cliff akarukia huyu mzee na akamuekea bunde kwa shingo. That was a lam.e move ju mzee k**a huyu haifai umuogopeshe hivo. Ni kufanya vile amesema ama kumshow atulie but kumuogopesha hapo sasa nikajua Cliff ametumaliza💔. Hata k**a niko kwa news mimi niko safe ju ndevu zitaniokoa

Cliff : Mzee skiza na uskize kwa makini..najua hapa kwako..ukinifkuza nitarudi niwaue nyinyi wote..nimeona you have kids..watakufa k**a hao watu umeoma kwa news, unaksia?
Mzee : Naskia yes nimeskia😭🙏

Mzee kanyamazishwa

Cliff : Sasa fanya ivi..utatushugulikia hadi siku tutatoka hapa and no one should know that we are here..tell your wife akijaribu kuropokwa she dies too
Mzee : Please don't touch my family😭
Cliff : I will usipofanya vile nataka..na kuanzia leo utakua unakaa na sisi huku na unalala kwa hii room pia..if you try anything funny mnakufa

Mi nilikua nimenyamazia tu pale chini ni kudedi na dedi. Mzee akatulia. Usiku wife yake akaleta food akilia pale 😭. Ju mzee alikua ameshow huku ni k**a si kuzuri. Akaleta maji moto akaniosha hio wound pale. Tukalala. Kuamka morning ni k**a sasa wound yangu ilikua inaoza

Mzee : Hii sasa inakua worse..mwenzako atakufia hapa kijana

Wakatoka nje na cliff. Nikaskia wakiongea pole pole

Cliff : Mzee, wewe naona maisha yako si mzuri saana, you are a farmer
Mzee : Yes
Cliff : I can make you rich..unaona Huyo jamaa amelala hapo..that guy has millions of money..wewe just stay put siwezi kuwacha bure naona pia uko na watoto wa shule..fee yao yote italipwa, utaongeza ng'ombe kathaa and you'll open a business for your wife
Mzee : Unasema ukweli kijana?.. unajua mimi maisha yangu iko hatarini ju mkijulikana mko hapa what will i do
Cliff : Usishtuke mzee sahi wangekua wametufikia..unajua kidonda ya huyu inaoza ju hakutolewa risasi, bado iko kwa mwili💔

TO BE CONTINUED 🔥

Hii sasa ni mambo gani bana. Anaenda ama amefika😂💔
28/10/2025

Hii sasa ni mambo gani bana. Anaenda ama amefika😂💔

Address

Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Carlymax posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Carlymax:

Share