ASILI YETU - Back to the Roots

  • Home
  • ASILI YETU - Back to the Roots

ASILI YETU - Back to the Roots Katika ukurasa huu utajifunza mitindo ya maisha ya asili ya kiafrika na namna ya kutatua changamoto.

MATUMIZI YA MMEA WA MZIWAZIWAMmea huu huitwa mziwaziwa kwa sababu hutoa utomvu mweupe unaofanana na maziwa ukiukata shin...
08/08/2023

MATUMIZI YA MMEA WA MZIWAZIWA
Mmea huu huitwa mziwaziwa kwa sababu hutoa utomvu mweupe unaofanana na maziwa ukiukata shina au jani lake. Leo ninakuletea matumizi muhimu kabisa ya mmea huu k**a ifuatavyo:

1.KUTIBU MACHO
Ukiwa na matatizo ya macho k**a vile kuuma, kuwasha, kuvimba, kuwa mekundu kupita kiasi au kutoa matongotongo kata vishina kazaa vya mmea huu na kisha dondoshea utomvu huo ktk macho hadi utakapoona tatizo hilo limekoma.

2.KUTIBU VIDONDA VYA TUMBO
Ng'oa huo mmea pamoja na mizizi yake uoshe vizuri, kisha upondeponde baada ya hapo weka kwenye maji na uchemshe mpaka ibadilike rangi iwe k**a chai kisha, iache ipoe na utakunywa kikombe kimoja asubuhi,mchana na jioni kwa siku 7 tu
Hakikisha kila siku unatengeneze dawa mpya sio kurudia majani yale yale

3.KUTIBU U.T.I NA FANGASI
Uchemshe na kunywa k**a ilivoelezwa kipengele No.2

4.KUJIFUNGUA KWA WAJAWAZITO
Hapa anaetakiwa kutumia mmea huu ni mama mjamzito ambae siku zake za matazamio ZIMEPITA, yaani kwa yule ambae mimba yake imepitiliza miezi 9 bila kujifungua. Jinsi ya kutumia rejea kipengele No.2 hapo juu
ANGALIZO: Kwa mama mwenye ujauzito wa chini ya mie 9 haruhusiwi kutumia mmea huu.

5.KUTIBU UGUMBA
Kwa wanawake ambao hawashiki ujauzito watumie mmea huu husaidia kupevusha mayai ya k**e na kuleta ute zile siku za kupevuka kwa yai, kwa wale wasiopata ute.Jinsi ya kutumia rejea kipengele No.2 hapo juu

6.KUONGEZA MAZIWA KWA MAMA ANAENYONYESHA.
Kwa wamama wanaojifungua na ikatokea maziwa hayatoki au yanatoka kidogo sana basi watumie mmea huu huongeza uzalishaji maziwa kwa kasi.
Jinsi ya kutumia rejea kipengele No.2 hapo juu

MAMBO USIYOJUA KUHUSU VITUNGUUMbali na kutumika k**a kiungo kwenye vyakula kitunguu maji kina faida  lukuki ktk mwili wa...
04/08/2023

MAMBO USIYOJUA KUHUSU VITUNGUU

Mbali na kutumika k**a kiungo kwenye vyakula kitunguu maji kina faida lukuki ktk mwili wa binadamu na hutumiwa kwa namna tofauti. Baadhi ya faida zake nyingine ni k**a ifuatavyo:

1.KUFUKUZA MBU
K**a unasumbuliwa na mbu ndani ya nyumba chukua maganda ya kituu yaloweke kwe bakuli au kikombe chenye maji weka chubani kwako mbu wote watakimbia. Pia unaweza kuchoma hayo maganda kwenye moto mbu watakimbia.

2.KULETA USINGIZI
Acheni kutumia kahawa au milungi hivyo husabaisha magonjwa ya moyo. K**a hupati usingizi chukua vitunguu vitatu vikatekate viweke kwenye maji chemsha kwa dakika 5 kunywa iyo supu utalala usingizi murua kabisa. Au tafuna tuu kitunguu kibichi

3.KUTULIZA KIKOHOZI, MAFUA NA HOMA
K**a mtu mzima au mtoto anasumbuliwa na mafua makali au kikohozi pamoja na homa chukua kitunguu kata katikati kiweke chini ya unyayo kibane kwa soksi wakati ukienda kulala. Mafua na homa vitapungua kabisa na utalala vizuri.

4.HUTUMIKA K**A UVUMBA/UBANI/UDI
Wakatoliki na waprotestant baadhi hutumia BANA ktk ibada zao kwa imani kua mashetani hukimbia harufu ya uvumba/ubani/udi. Jambo hilo ni dhahiri wala si upotofu wa imani k**a wapentekoste wanavodai.
Ili kuvutia mambo mema/baraka ktk nyumba yako na kuondosha nuksi/mikosi choma maganda ya vitunguu ndani ya nyumba yako kila mara pepo wabaya hukimbia harufu hiyo.

5.HUTUMIKA K**A ANTIBAYOTIKI
Vitunguu hufanya kazi ya kuua bakteria na vimelea wengine ndani ya mwili na nje ya mwili k**a kwenye ngozi n.k . Katakata vitunguu viloweke kwenye maji au chemsha kidogo kunywa asubuhi na jioni tumbo likiwa wazi.

6.HUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA.
Chemsha kwenye maji kunywa

7.MAUMI YA HEDHI
Chemsha kunywa.

USICHOKIJUA KUHUSU MKOJO WAKO.Kikawaida mkojo ni takamwili lakini kuna jamii kadhaa kutoka maeeneo mbalimbali duniani hu...
24/07/2023

USICHOKIJUA KUHUSU MKOJO WAKO.
Kikawaida mkojo ni takamwili lakini kuna jamii kadhaa kutoka maeeneo mbalimbali duniani hutumia MKOJO k**a tiba kutibu matatizo mbalimbali ya kiafya.
MIFANO.
~Nchini China inakadiriwa kuwa watu 100,000 hutumia mkojo k**a tiba kila siku.
~Nchini India, waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo Morarji Desai aliwahi kutoa ushuhuda kuwa yeye alikua akinywa mkojo wake wa asubuhi kila siku k**a tiba na ndicho kilichomwezesha kuishi miaka mingia akiwa na afya njema.
Hivyo basi leo nimekuandalia kwa ufupi jinsi gani unaweza kutumia mkojo wako k**a tiba:

1.TEZI DUME
Kunywa mkojo wako wa asubuhi hadi utakapohisi tatizo limeisha.

2.MAGONJWA YA NGOZI
K**a unasumbuliwa na chunusi usoni nawa uso wako kwa kutumia mkojo wako wa asubuhi baada ya mda kido uajisuuza kwa maji na sabuni. Fanya ivo mpaka tatizo liishe. K**a tati la upele mwili mzima jipakae mkojo wako wasubuhi mwili mzima baada ya dk 30 nenda kaaoge kwa maji safi na sabuni

3.MACHO & MASIKIO.
K**a unaumwa macho au sikio angushia matone kadhaa ya mkojo wako wa asubuhi mpaka shida hiyo iishe.

4.MAUMIVU AU UGONJWA USIOJULIKANA.
Inawekana ukawa unapata maumivu ya mwili ambayo hujui chanzo chake au unaumwa na hakuna ugonjwa unagundulika kwenye vipimo hospitali. Kunywa mkojo wako wa asubuhi kila siku mpaka utakapoona shida yako imeisha.

5.VIDONDA/MAJERAHA
Endapo utapata jeraha kubwa mwilini mwako iwe kujikata au ajali na ikapelekea damu ivuje kwa wingi kojoa mkojo wako na uweke ktk jeraha hilo ili kuzuida damu isiendelee kumwagika(Blood clotting) kisha nenda hospitali kwa matibabu zaidi.

MATUMIZI MENGINE YA MKAA Mbali na kutumika k**a chanzo cha nishati, mkaa unaweza kutumika kwa matumizi mengine k**a ifua...
23/07/2023

MATUMIZI MENGINE YA MKAA
Mbali na kutumika k**a chanzo cha nishati, mkaa unaweza kutumika kwa matumizi mengine k**a ifuatavyo:

1.KUONDOA HARUFU MBAYA
~Kiatu chako kinatoa harufu mbaya chukua kipande cha mkaa weka ndani ya kiatu harufu itakata
~Friji yako inanuka uvondo weka humo vipande kadhaa vya mkaa vitaondoa harufu hiyo.
~Chumba au choo chako kinatoa harufu mbaya dondosha humo vipande kadhaa vya mkaa vitaondo hiyo harufu.
~Mwili wako/kwapa zinatoa harufu mbaya saga mkaa upate unga upakae sehemu husika baada ya mda flani jisuuze kwa maji umemaliza.
~Umepika nyama ya mchuzi au maharage vika chacha, weka humo kipande cha mkaa chemsha pamoja ipua kula uchachu utakua umepotea.

2.KUONDOA SUMU (Antidote)
~Ukizidisha dozi/Overdose koroga unga wa mkaa kwenye maji kunywa itapunguza makali yote ya dawa.
~Ukilewa kupita kiasi koroga unga wa mkaa kwenye maji kunywa itapungunguza pombe na ukiwa na Hang'iova ya pombe fanya hivo pia kujiweka sawa.
~Mtu akinywa sumu au ukameza kitu chenye sumu kwa bahati mbaya koroga unga wa mkaa kwenye maji kunywa k**a huduma ya kwanza kisha nenda hospitali
~Ukihisi viungo k**a nyanya,hoho, au mboga majani vimepuliziwa sumu ziloweke kwenye maji kisha dumbukiza humo vipande kadhaa vya mkaa baada ya masaa 6-12 sumu itakua imeisha.

3.AFYA YA KINYWA/MENO
~Saga unga wa mkaa changanya na maji ya limau tumia kusukutua meno yako, hung'arisha meno na kuondoa harufu mbaya kinywani.

4.KUTIBU MAGONJWA YA TUMBO
~Una vidonda tumbo chukua unga wa mkaa changanya na asali mbichi lamba asubuhi na jioni kabla ya kula inasaidia sana k**a utatumia kwa mda mrefu.
~Tumbo likijaa gesi au umevimbiwa koroga unga wa mkaa kwa maji kunywa
~Unaharisha, una Amiba koroga unga wa mkaa kwa maji kunywa.

5.AFYA YA NGOZI
~Una chunusi au upele tengeneza uji mzito wa unga wa mkaa na maji jipake baada ya masaa kadhaa jisafishe, fanya ivo hadi utakapoona tatizo limeisha.
~Hiyo pia husaidia ngozi yako kuwa nyororo.

MATUMIZI MENGINE YA MCHELEMbali na kutumika k**a chakula wali/pilau/ubwabwa/uji mchele unaweza kutumika kwa matumizi men...
21/07/2023

MATUMIZI MENGINE YA MCHELE
Mbali na kutumika k**a chakula wali/pilau/ubwabwa/uji mchele unaweza kutumika kwa matumizi mengine k**a ifuatavyo:
1.KUTIBU VIKOJOZI
Kwa watoto wadogo au watu wazima wenye tatizo la kujikojolea usiku wakiwa wamelala kunywa maji yaliyooshewa mchele itakusaidia kukomesha tatizo hilo.
2.KUFYONZA UNYEVU
K**a maji yakiingia kwenye chombo ambacho umeweka sukari au chumvi weka humo punje kadhaa za mchele zitafyonza maji yote na kuacha vitu ivo vikavu kabisa.
Pia k**a simu yako ikitumbukia kwenye maji izamishe kwenye chombo chenye mchele mwingi.Iache ikae humo angalau masaa 24 mchele utafyonza maji yote ndani ya simu
3.KUZUI KUHARISHA
K**a unaharisha kunywa maji yaliyooshewa mchele au saga mchele na unga wake uweke kwenye maji baridi kunywa itakusaidia kuzuia kuharisha
4.KULETA BARAKA.
Hii ipo kiimani zaidi, chukua mchele kwenye kiganja chako asubuhi, fumba kiganja alafu nuia maneno unayotaka k**a vile mafanikio, kuondokana na mikosi n.k baada ya hapo utawanye nje ya nyumba yako ambapo panafikikiwa na kuku, njiwa au ndege wowote wa mwitu.Endapo utaokotwa na ndege hao yale uliyonuia yatatimia.

UYOGA AINA YA "MKIA WA BATAMZINGA"(TURKEY TAIL MUSHROOM).Huu ni uyoga ambao hupatika karibu katika kila nchi hapa dunian...
19/07/2023

UYOGA AINA YA "MKIA WA BATAMZINGA"
(TURKEY TAIL MUSHROOM).
Huu ni uyoga ambao hupatika karibu katika kila nchi hapa duniani ukiwa na mwonekano tofauti tofauti kulingana na hali ya hewa ya eneo husika.
NAMNA YA KUUTAMBUA
1.Huota kwenye miti iliyokauka/kuoza
2.Unakua na umbile linaloelekeana na Mduara au Nusu duara.
3.Kwenye hilo umbile lake mistari ya rangi tofaiti iyozunguka mithiri ya mkia wa batamzinga aliyesambaza mkia wake.
MATUMIZI KATIKA TIBA
Uyoga huu unatumiwa sana hivi sasa na nchi zilizoendelea ikiwemo Marekani, China na Canada k**a sehemu ya tiba kwa magonjwa tishio na yasiyo ya kuambukiza. Hii ni SAYANSI HALISI si jambo la dawa za kienyeji tena. Wanazayansi wmefanyia utafiti uyoga huu nawa wakatoa matokeo ya awali na pia wanaendelea kufanya utafiti wenye matokeo makubwa zaidi juu ya uyoga huu. Hata kabla ya utafiti huo baadhi ya jamii kutoka maeneo mbali mbali hapa duniani zilikua zikitumia uyoga huo k**a dawa ya asili/mitishamba. Mfano Wachina wamekua wakitumia uyoga huo k**a dawa ya kuongeza KINGA YA MWILI kwa karne nyingi hadi hivi sasa. Hivyo yafuatayo ni MATUMIZI ya uyoga huu katika tiba kulingana na utafiti wa kisayansi pamoja na desturi za baadhi ya jamii kutoka maeneo mbalimbali.
1.KUTIBU SARATANI(KANSA)
Hadi hivi sasa tasiisi ya FDA ya nchini Marekani imetoa kibali cha awali kwa uyoga huu kutumika kutibu kansa kwa wagonjwa mahospitalini.
2.KUTIBU KISUKARI
Uyoga huu pia husaidia kupunguza kiasi cha sukari kwenye damu na husaidia homoni ya insulini kufanya kazi vizuri.
3.KUTIBU UGONJWA WA INI
Pia uyoga huu hutumiwa na wenye matatizo ya inni na umeonesha matokeo mazuri.
4.KUTIBU MAGONJWA YA MFUMO WA UPUMUAJI (PUMU n.k)
Katika jamii niliyo kulia tumetumia pia uyoga huu kutibu pumu hata kwa wanyama k**a ng'ombe wa kulima(maksai)
5.KUONGEZA KINGA YA MWILI
Wachina hutumia uyoga huu kuongeza kinga ya mwili.
NAMNA YA KUTUMIA
Kausha utwange uwe unga, weka kwe supu au kachumbari kula au chemsha kwenye maji kunywa.

Mtu asiejua historia, chimbuko na utamaduni wa jamii yake ni sawa na mti ambao hauna mzizi.Follow/Like ukurasa huu ili u...
17/07/2023

Mtu asiejua historia, chimbuko na utamaduni wa jamii yake ni sawa na mti ambao hauna mzizi.

Follow/Like ukurasa huu ili ujifunze mambo mengi juu ya asili zetu k**a waafrika ikiwemo chakula, dawa/Tibalishe na mitindo ya maisha ambayo ni rafiki kwa afya yako na jamii zetu. Usishahu pia ku share ukurasa hu kwa marafiki na jamaa ili nao wapate elimu juu ya masuala mengi yahusuyo jamii zetu.

Tumia ndevu za mahindi kutatua changamoto mbalimbali za kiafya k**a ifuatavyo:1.Kukojoa kitandani: ~Hili ni tatizo sana ...
15/07/2023

Tumia ndevu za mahindi kutatua changamoto mbalimbali za kiafya k**a ifuatavyo:
1.Kukojoa kitandani:
~Hili ni tatizo sana kwa watoto wadogo na baadhi ya watu wazima. Kutibu tatizo hili chemsha ndevu za mahindi kunywa k**a chai. Unaweza kunywa asubuhi mchana na jioni.
2.Shinikizo la Damu(Presha)
~Choma ndevu za mahindi upate majivu yake kisha changanya na asali. Tumia vijiko kadhaa vya chakula asubuhi, mchana, jioni.
3. Kisukari
~Chemsha ndevu za mahindi kunywa k**a chai
4.UTI na Mawe kwenye figo
~Chemsha ndevu za mahindi tumia k**a chai.

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ASILI YETU - Back to the Roots posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share