30/08/2023
CONFESSION:
Part 1 of 3
๐๐๐๐คฃ saseni cute guyz๐๐ป๐๐ป, kuna siku niliona mtu amepost mahali akiuliza eti k**a kuna mtu ameshawahi kulala na mtu mwingine usiku yioooooooote bila kufanya kitu/kufanya tabia mbaya sijui nzuri๐, ama kukulana/ku have siegs na yeye๐คฆ๐คฆ, mmh, huyo mtu ni mimi hapa๐๐ป๐๐ป๐๐, but hakuwa bestee, lakini a total stranger!๐ถ๐ Sasa iko hivi lovely gals๐๐, I was stranded huko Kitale town๐ akaniokolea nyumba. Mnakumbuka zile enzi za corona curfew? So nilikuwa Kitale masaa nne za usiku, very stranded๐๐ฝ๐๐ฝ. Kila mtu alikuwa anaenda๐ถ๐ถzake, maduka๐ฌ๐ข yanafungwa yote, magari๐๐๐๐ yote yanafunga job, Kitale district hospital iko a bit far from town na barabara ya kuelelea huko haina street lights na iko somehow bushy na imejaa forest ๐ฒ๐ฒ๐ณ๐ฑ๐ตโ na wanyama wa pori ๐๐ฆ๐ฆ๐
๐๐ฆ๐ฆ๐ธ in between, na pia kulikuwa na giza๐๐๐๐ tororo. Msiseme eti ningeenda police station, hapo naye wangenishika wanitupe cell na kunishtaki wanisingizie eti sikuwa na mask๐ท๐๐ซ๐ฉ๐จ. So kuna hoteli ilikuwa bado imefunguliwa, nikaamua kwenda kuuliza hapo iwapo watauza mpaka asubuhi ndio at least nikae hapo๐ค, wakaniambia hapana, hata wamechelewa kufunga๐๐ฝ๐๐ฝ. Katika hiyo harakati kuna mwanamume alihappen kuwa hapo kando tukiongea, akaniambia ako na nyumba๐ tu hapo town๐ฌโช๐๐ฃ, ningoje kiasi atani accommodate for the night. Nilikuwa desperate sana gals๐๐จ, imagine being alone on the deserted streets at night๐ฑ๐ณ, na hawa street boys, thugs..., you name them all, nikaogopa sana. Ilibidi nikubali tukaenda kwa nyumba yake. Ngojeni nirarue sembe๐๐ฅฆ๐ฅ๐ฅ๐ฅ narudi kuendelea๐๐ถ๐ถ