Bullemq FM Online Radio

Bullemq FM  Online Radio HABARI NA TAARIFA ZA KUAMINIKA.

NEWS NOW: A 12-year-old boy, Chris Hassan, tragically took his own life today by hanging himself on the balcony of their...
02/06/2025

NEWS NOW: A 12-year-old boy, Chris Hassan, tragically took his own life today by hanging himself on the balcony of their home in Kajajini, Malindi. Reports suggest that the incident followed a misunderstanding with his mother.

Now
, Malindi

MCHUNGAJI POTOVU AZUILIWA MALINDI. Mchungaji tata huko Chakama, eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi alikamatwa hiyo ...
25/04/2025

MCHUNGAJI POTOVU AZUILIWA MALINDI.

Mchungaji tata huko Chakama, eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi alikamatwa hiyo Jana kwa madai ya kuwapotosha waumini wake na hata kusababisha maafa miongoni mwa baadhi ya waumini.

Abel Kahindi Gunga, mchungaji wa Kanisa la New foundation amekuwa akitumia " Mti wa Uzima" ulioko kando ya Kanisa Hilo kuwatoa waumini wake mapepo yanayowatatiza.

Akizungumza na vyombo vya habari , Abel Mwenye umri wa miaka 48, alitetea nguvu za mti huo akisema kwamba ni wengi waliosaidika na mti huo mara tu walipoupanda.

Hata hivyo ameitaka Serikali kuendelea na uchunguzi wa Kwa kina ili kubaini ukweli wa Kesi inayolikumba kanisa lake.

Akiongoza kikosi cha oparesheni hiyo, Naibu Kamishana wa Kilifi Kaskazini alitangaza kufungwa kwa kanisa Hilo mara Moja, uchunguzi ukiendelea.



WAFULA CHEBUKATI ASALIMU AMRI...Aliyekuwa mwenyekiti wa IEBC, Wafula Chebukati amefariki usiku wa kuamkia Leo katika hos...
21/02/2025

WAFULA CHEBUKATI ASALIMU AMRI...

Aliyekuwa mwenyekiti wa IEBC, Wafula Chebukati amefariki usiku wa kuamkia Leo katika hospitali Moja jijini Nairobi alikokuwa akipokea matibabu.

Kulingana na Ripoti ni kwamba Chebukati aliaga Dunia mwendo wa saa Tano usiku akiwa amelazwa katika kitengo cha wagonjwa walio hali mahututi.

Chebukati atakumbukwa sana haswa kwa kushiriki katika usimamizi wa Kura za mwaka 2017 na 2022 kabla ya kustaafu kwake.



Chebukati

Pigo Zito kwa wafanyikazi wa kiserikali Shirika la Hospitali Binafsi nchini RUPHA likitangaza kusitisha huduma zao kuanz...
20/02/2025

Pigo Zito kwa wafanyikazi wa kiserikali Shirika la Hospitali Binafsi nchini RUPHA likitangaza kusitisha huduma zao kuanzia wiki ijayo ya tarehe 24 mwezi huu kutokana na kutolipwa Kwa deni lao la Bilioni 30 na Serikali kuu.

Hatua hii inatajwa kuwaathiri walimu wa kiserikali, maafisa wa polisi na wote wanaotumia bima ya SHA.




16/02/2025

KALONZO MUSYOKA IN MWINGI

16/02/2025

MIC TEST

11/02/2025

LIVE:NGALA SYA UTONGOI MBUNGENI

09/02/2025

RIGATHI GACHAGUA BIG ANNOUNCEMENT

SAFARI YA MTANGAZAJI MKONGWE YAFIKA KILELE...Aliyekuwa mwanahabari wa kituo Cha Tadio Taifa, Leonard Mambo Mbotela amepe...
07/02/2025

SAFARI YA MTANGAZAJI MKONGWE YAFIKA KILELE...

Aliyekuwa mwanahabari wa kituo Cha Tadio Taifa, Leonard Mambo Mbotela amepeana heshima yake ya mwisho huko jijini Nairobi akiwa na miaka 85.

Mbotela atakumbukwa sana na wengi kwa kipindi chake maarufu nchini, "JE HUU NI UNGWANA?"


ZA SASA
MAMBO MBOTELA

AJALI YA NDEGE, MALINDIWatu watatu wahofiwa kufa kwenye Ajali ya Ndege iliyotokea alasiri ya Leo  huko Malindi, Kaunti y...
10/01/2025

AJALI YA NDEGE, MALINDI

Watu watatu wahofiwa kufa kwenye Ajali ya Ndege iliyotokea alasiri ya Leo huko Malindi, Kaunti ya Kilifi.


za sasa

MAPENZI YA VISASI MICHEZONIBeki wa Klabu ya Real Madrid, Eder Militao kwa sasa anatoka kimapenzi na aliyekuwa mke wa Mum...
07/12/2024

MAPENZI YA VISASI MICHEZONI

Beki wa Klabu ya Real Madrid, Eder Militao kwa sasa anatoka kimapenzi na aliyekuwa mke wa Mume wa Aliyekuwa mke wake...

Vipi Hali hii waizungumziaje??



DOUGLAS KANJA KUCHUKUA USAKANI WA INSPEKTA GENERALIBunge la kitaifa Nchini limepitisha Jina la  Douglas Kanja kuwa Inspe...
18/09/2024

DOUGLAS KANJA KUCHUKUA USAKANI WA INSPEKTA GENERALI

Bunge la kitaifa Nchini limepitisha Jina la Douglas Kanja kuwa Inspekta Generali wa polisi.

Kanja Sasa anasubiri uteuzi rasmi kutoka kwa Rais ili kuchukua nafasi hiyo ambayo kwa sasa inashikiliwa na Gilbert Masengeli.


of content
General

Address

Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bullemq FM Online Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category