Guidance313

Guidance313 GUIDANCE,QURAN AND REMINDER
SPEECH FROM VARIOUS SHEIKHS, SCHOLARS AND ELDERS AROUND
EAST AFRICA

14/08/2026

Iko wapi heshima ya swala?!...





14/08/2026

Ni jinsi gani mabinti wa kiislamu wamepuuza na kuwacha sitara katika jamii yetu ya sasa....





14/08/2026

"Mkono wa kulia unapotoa,mkono wa kushoto haufai ujue"
Je hili linapatikana kweli katika jamii yetu ya hivi sasa?!...





13/08/2026

Ziko wapi maadili hizi katika jamii yetu k**a waislamu?...





Kuna baadhi ya maumivu hakuna aiskiaye zaidi ya mjehuriwa,Kwa hiyo,Hakuna anayeweza kupambana kwa niaba yako...
13/08/2026

Kuna baadhi ya maumivu hakuna aiskiaye zaidi ya mjehuriwa,Kwa hiyo,Hakuna anayeweza kupambana kwa niaba yako...





13/08/2026

HESHIMU NDOA YAKO...





12/08/2026

Matembezi ya amani katika kumuenzi na kumkumbuka Bwana Mtume Muhammad saww,sawa na siku aliofariki,tarehe 28,mwezi wa safar,mwaka wa 11 hijiria,
Ni mengi sana ya kujifunza kutoka kwa Bwana huyu mtukufu ila sheikh wetu,kiongozi wetu,sheikh Hemed Jalala anatukumbusha tu baadhi ya mambo muhimu ya kujifunza na kuiga kulingana na hali ya hivi sasa,...





12/08/2026

Ukarimu wa Bwana Mtume Muhammad (saww)...





12/08/2026

Fahamu hoja na sababu kwanini fani ya elimu katika miji zetu haiwezi kupiga hatua...





11/08/2026

On this sorrowful day, the 28th of Safar, we mourn the departure of the Seal of the Prophets, Muhammad al-Mustafa (s.a.w.w.). Our condolences to the Ahlul Bayt (a.s.) and their followers. we ask Allah to grant us the intercession of the one who never forgot his Ummah, even in his last breath."





Address

Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Guidance313 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share