Guidance313

Guidance313 GUIDANCE and REMINDER speech from various sheikhs and elders around east africa

13/06/2026

Ili kumpata mwanadamu mcha Mungu,ni lazima katika malezi yake,pindi anapokuwa mdogo,tumkuze na kumlea na uchaMungu ndipo atakapo kuwa mkubwa anakuwa na urahisi...





12/06/2026

K**a ambavyo ndoa ina upendo na furaha,vivo hivo ndoa kukasirikiana,kugombana na kununiana mara kwa mara,...





12/06/2026

Inchi za kiafrika twapaswa tuamke na tuwe na mfumo huru,mfumo tegemezi hitotufikisha wala kutupigisha hatua...





11/06/2026

vipi tutajifunza kuongoza, sisi k**a viongozi, kutokana na uongozi wa shahidi sayyid...





11/06/2026

Ni ipi msimamo na maana ya maendeleo katika uislamu kuhusu maendeleo....





10/06/2026

Watakao kuhoji katika haya baada ya kukufikilia ilimu hii waambie: Njooni tuwaite watoto wetu na watoto wenu, na wake zetu na wake zenu, na sisi wenyewe na nyinyi wenyewe, kisha tuombe kwa unyenyekevu tutake laana ya Mwenyezi Mungu iwashukie waongo.

10/06/2026

Tambua historia za madhehebu za asili Afrika mashariki na ni vipi kulikua na umoja baina yao...





09/06/2026

Moja ya makosa waliyoyafanya maadui ni kudhani kuwa kwa kumuua Sayyid khamenei(qs) dawla ya iran itaanguka...





09/06/2026

Swali ambalo wengi wamekua wakijiuliza ni kuwa,ni kwa namna gani sayyid mujtaba khamei alichukua uongozi baada ya babake,baadhi wakawa na fikra kuwa uenda ikawa ni urithi k**a ambavyo baadhi ya dawla zinavyofanya,
sikiliza wachambuzi wanavyoielezea hali ilivyokuwa adi kuchaguliwa kwa Sayyid mujtaba Khamenei...





08/06/2026

Moja kati ya sababu lililowapa wairani ushindi si itikadi yao ya kidini pekee,bali pia ustaarabu wao k**a wafursi wa muda mrefu umechangia pakubwa...





Address

Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Guidance313 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share