SIFA FM Hekima - "Sauti Ya Busara"

SIFA FM Hekima - "Sauti Ya Busara" We serve the greater Garissa County, parts of Wajir and the northern part of Tana River County. Email : [email protected] Slogan: Sauti ya Busara!

At Sifa Fm Hekima we are committed to bring out the socio-economic-development issues that are unique to this vast region. Hekima FM is a TWR-Kenya station that broadcasts to the Somali people of Kenya. We transmit in Garissa (101.1), Wajir (101.7) and Mandera (100.7) via streaming. Vision: An informed and empowered society living a wholistic life. Mission: To transform attitudes, beliefs and be

havior, bringing about lasting change. Goal: To broadcast and produce quality programmes that addresses the spiritual, Gospel and development issues in North and North Eastern regions of Kenya.

Mzee mzima   ndani ya   ikiwa ni siku ya tbt, wakati k**a huu unakumbuka nini kilikuwa kinatokea pale nyumbani kando na ...
18/12/2025

Mzee mzima ndani ya ikiwa ni siku ya tbt, wakati k**a huu unakumbuka nini kilikuwa kinatokea pale nyumbani kando na usafi wa nyumba?




17/12/2025

K**a uliikosa ndani ya iskize na kuitazama tena🥳🥳

Kadri mwaka unavyokaribia kuhitimishwa, tunamshukuru Mungu kwa uaminifu wake na kusherehekea msaada thabiti wa washirika...
17/12/2025

Kadri mwaka unavyokaribia kuhitimishwa, tunamshukuru Mungu kwa uaminifu wake na kusherehekea msaada thabiti wa washirika wetu wanaofanikisha huduma hii, pamoja na nguvu ya jamii tunazoshirikiana nazo kote Kenya na kwingineko.

Toleo hili jipya la jarida letu linaangazia simulizi zenye kugusa mioyo, maisha yaliyobadilika, familia zilizoimarishwa, na jamii zilizoinuliwa kupitia utangazaji unaozingatia imani na programu za maendeleo za Trans World Radio Kenya na SIFA FM. Kila hatua ya mafanikio inaakisi kujitolea kwa timu yetu na imani ya washirika wanaotembea nasi katika safari hii.

Kuanzia Kakuma na Lodwar hadi Marsabit, Garissa, Wajir, Mandera, Voi na Lamu, ushirikiano wenu unawezesha ujumbe wa tumaini kufika kuvuka mandhari na mipaka.

Karibu utembee nasi tunapoendelea kusambaza tumaini, utangazaji mmoja kwa wakati mmoja.
📖 Soma au Pakua Jarida kupitia

As we draw this remarkable year to a close, we are deeply encouraged by the faithfulness of God . This issue captures powerful stories of transformation, testimonies of lives changed, families restored, and hearts strengthened through the ministry of Trans World Radio Kenya and SIFA FM.

Ndani ya   mgeni wetu   atakuwa anasimulia safari yake ya kimziki kaa ange upate uhondo
17/12/2025

Ndani ya mgeni wetu atakuwa anasimulia safari yake ya kimziki kaa ange upate uhondo




https://youtu.be/qF0WpJVPGaU
16/12/2025

https://youtu.be/qF0WpJVPGaU

President William Ruto has outlined a long-term development vision often referred to as the “Singapore-style plan” , a roadmap aimed at transforming Kenya in...

Mpango mzima wa Rais William Ruto wa kubadilisha Kenya.
16/12/2025

Mpango mzima wa Rais William Ruto wa kubadilisha Kenya.

K**a kijana unakabiliana vipi na pressure zinazotoka kwa mitandao ya kijamii?Sema naye   ndani ya kipindi nambari moja  ...
15/12/2025

K**a kijana unakabiliana vipi na pressure zinazotoka kwa mitandao ya kijamii?
Sema naye ndani ya kipindi nambari moja



Wikendi yenye mseto wa habari-Tunazama ndani ya Darubini ya Jumatatu kukutaarifu uliyoyakosa.  na Lion Obimbo
15/12/2025

Wikendi yenye mseto wa habari-Tunazama ndani ya Darubini ya Jumatatu kukutaarifu uliyoyakosa.
na Lion Obimbo

HABARI ZA KUSIKITISHA: Aliyekuwa Mbunge wa Lugari Cyrus Jirongo afariki katika ajali mbaya ya barabarani leo asubuhi mwe...
13/12/2025

HABARI ZA KUSIKITISHA: Aliyekuwa Mbunge wa Lugari Cyrus Jirongo afariki katika ajali mbaya ya barabarani leo asubuhi mwendo wa saa 3:00 asubuhi.
Ripoti zinaonyesha kuwa kiongozi huyo wa zamani wa Vijana wa KANU -YK92 alikuwa akielekea nyumbani kwake kijijini Lugari wakati gari lake lilipogongana ana kwa ana na basi la abiria.

President William Ruto, speech highlights, during Jamhuri Celebrations.
12/12/2025

President William Ruto, speech highlights, during Jamhuri Celebrations.

Siku hii ya tarehe 12/12/2025, tunasherehekea nguvu, umoja na maendeleo ya taifa letu zuri. Na tuendelee katika roho ya ...
12/12/2025

Siku hii ya tarehe 12/12/2025, tunasherehekea nguvu, umoja na maendeleo ya taifa letu zuri. Na tuendelee katika roho ya amani, upendo, na umoja ambayo mababu zetu walihubiri. Heri ya Siku ya Jamhuri.

Address

Nairobi

Opening Hours

Monday 04:00 - 19:00
Tuesday 04:00 - 19:00
Wednesday 04:00 - 19:00
Thursday 04:00 - 19:00
Friday 04:00 - 19:00
Saturday 04:00 - 19:00
Sunday 06:00 - 19:30

Telephone

+254701709596

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SIFA FM Hekima - "Sauti Ya Busara" posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SIFA FM Hekima - "Sauti Ya Busara":

Share

Category