SIFA FM Hekima - "Sauti Ya Busara"

SIFA FM Hekima - "Sauti Ya Busara" We serve the greater Garissa County, parts of Wajir and the northern part of Tana River County. Email : [email protected] Slogan: Sauti ya Busara!

At Sifa Fm Hekima we are committed to bring out the socio-economic-development issues that are unique to this vast region. Hekima FM is a TWR-Kenya station that broadcasts to the Somali people of Kenya. We transmit in Garissa (101.1), Wajir (101.7) and Mandera (100.7) via streaming. Vision: An informed and empowered society living a wholistic life. Mission: To transform attitudes, beliefs and be

havior, bringing about lasting change. Goal: To broadcast and produce quality programmes that addresses the spiritual, Gospel and development issues in North and North Eastern regions of Kenya.

Askari Klinzy Barasa ajipata pweke kortini kuhusiana na mauaji wakati wa maandamano Edung Ethekon na wenzake sita mabosi...
11/07/2025

Askari Klinzy Barasa ajipata pweke kortini kuhusiana na mauaji wakati wa maandamano

Edung Ethekon na wenzake sita mabosi wapya wa IEBC wakisubiri uapisho.

Matiang'i akunja mkia na kukosa kuukwea mlima Riggy G akila zake bata marekani.


0701709596

Huwezi ukampenda Baba ukamuelewa mama.Wosia wako ni upi kwa matamshi ya Rais?Je, hii ndiyo njia bora ya kukabiliana na m...
10/07/2025

Huwezi ukampenda Baba ukamuelewa mama.
Wosia wako ni upi kwa matamshi ya Rais?

Je, hii ndiyo njia bora ya kukabiliana na machafuko nchini?


0701709596

 :Kama kazi ni kazi,basi kwa nini baadhi ya kazi hudharauliwa?Hakuna Kazi ndogo,kila jasho lina thamani!Tupe maoni yako ...
08/07/2025

:Kama kazi ni kazi,basi kwa nini baadhi ya kazi hudharauliwa?

Hakuna Kazi ndogo,kila jasho lina thamani!

Tupe maoni yako kupitia calls/sms:0701709596


@top fans

Hali Tete:Mustakabal wa Taifa ndani ya   0701709596
08/07/2025

Hali Tete:Mustakabal wa Taifa ndani ya

0701709596

Sifa fm Hekima Mahali ambapo watoto wanaongea,watu wazima wanajifunza!Usikose kucheka,kujifunza na kusafiri na watoto ki...
05/07/2025

Sifa fm Hekima Mahali ambapo watoto wanaongea,watu wazima wanajifunza!

Usikose kucheka,kujifunza na kusafiri na watoto kila siku ya Jumamosi saa nne kamili hadi saa saba mchana naye .



SMS/CALLS:0701709596
@top fans

Sanaa na Buridani.Mzuka tunaupandisha hadi mawingu ya saba kila Ijumaa.Unaipata hii ukiwa wapi?0701709596.   na Lion Obi...
04/07/2025

Sanaa na Buridani.Mzuka tunaupandisha hadi mawingu ya saba kila Ijumaa.

Unaipata hii ukiwa wapi?
0701709596.

na Lion Obimbo

Goodmorning.Changamka Breakfast na Lion Obimbo  hewani sasa ivi,Muziki wa siku za jana,Mada zilizoshamiri na zaidi sana ...
03/07/2025

Goodmorning.
Changamka Breakfast na Lion Obimbo hewani sasa ivi,Muziki wa siku za jana,Mada zilizoshamiri na zaidi sana Makala spesheli ya Afya Yako.

Unaipata hii ukiwa wapi?
0701709596

Yaliyomo Magazetini.   na Lion Obimbo Maandamano yametosha vijana wajipange 2027.Kwa mtazamo wako,vijana wataweza kubadi...
02/07/2025

Yaliyomo Magazetini.
na Lion Obimbo

Maandamano yametosha vijana wajipange 2027.Kwa mtazamo wako,vijana wataweza kubadili mawimbi ya siasa na kuwa na ushawishi kwa uongozi mpya?

0701709596

01/07/2025
Boniface Kariuki alipigania uhai wake kwa wiki mbili baada ya kupigwa risasi na polisi ila mauti yakamwita,tutaonana baa...
01/07/2025

Boniface Kariuki alipigania uhai wake kwa wiki mbili baada ya kupigwa risasi na polisi ila mauti yakamwita,tutaonana baadaye.

Madaktari na wateja waungana kuonyesha SHA giza,Waziri Duale aona vumbi kwenye idara yake

DCI: Mtego wetu utanasa wafadhili wote wa ghasia,lakini hiyo ya Ndirangu'i sisi hatujui msituwekelee.

Trump aagiza Israel na Hamas waache kupigana.


0701709596

Polisi kwa Murkomen;mjomba utatupeana mambo yako hatutakiFamilia ya Boniface Kariuki yasubiri pumzi zake za mwishoNjaa y...
30/06/2025

Polisi kwa Murkomen;mjomba utatupeana mambo yako hatutaki

Familia ya Boniface Kariuki yasubiri pumzi zake za mwisho

Njaa yanukia katika jeshi serikali ikiondoa mlo wa bei nafuu

RADI KALI YA GEN Z - Siasa za Kenya zimeanza kufuata mkondo tofauti kutokana na ujio wa vijana

Gavana Guyo hana bahati

Mstakabali wa CBE shuleni.


0701709596

Address

Nairobi

Opening Hours

Monday 04:00 - 19:00
Tuesday 04:00 - 19:00
Wednesday 04:00 - 19:00
Thursday 04:00 - 19:00
Friday 04:00 - 19:00
Saturday 04:00 - 19:00
Sunday 06:00 - 19:30

Telephone

+254701709596

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SIFA FM Hekima - "Sauti Ya Busara" posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SIFA FM Hekima - "Sauti Ya Busara":

Share

Category