SIFA FM Hekima - "Sauti Ya Busara"

SIFA FM Hekima - "Sauti Ya Busara" We serve the greater Garissa County, parts of Wajir and the northern part of Tana River County. Email : [email protected] Slogan: Sauti ya Busara!

At Sifa Fm Hekima we are committed to bring out the socio-economic-development issues that are unique to this vast region. Hekima FM is a TWR-Kenya station that broadcasts to the Somali people of Kenya. We transmit in Garissa (101.1), Wajir (101.7) and Mandera (100.7) via streaming. Vision: An informed and empowered society living a wholistic life. Mission: To transform attitudes, beliefs and be

havior, bringing about lasting change. Goal: To broadcast and produce quality programmes that addresses the spiritual, Gospel and development issues in North and North Eastern regions of Kenya.

25/09/2025

Ndani ya kipindi maridadi

25/09/2025

Unahisi nini kinachangia utovu wa nidhamu pale mtaani kwako hasa miongoni mwa vijana?
sema naye

Ndani ya   naye   siku ya   inakubambia wapi?Alafu huyo classmate wenu noise maker anafanya nini sai wangu ni pastor😂😂😂 ...
25/09/2025

Ndani ya naye siku ya inakubambia wapi?

Alafu huyo classmate wenu noise maker anafanya nini sai wangu ni pastor😂😂😂 ata ameniombea asubuhi wako yuko wapi?
Nasoma ujumbe wako





Newton Catalyst

Maseneta wameitaka Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) kupanua uchunguzi wake katika kaunti ya Trans Nzoia il...
25/09/2025

Maseneta wameitaka Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) kupanua uchunguzi wake katika kaunti ya Trans Nzoia ili kufidia ukusanyaji wa mapato, wakitaja wizi mkubwa ndani ya mfumo huo.

Polisi mjini Murang’a wameanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha kutatanisha cha mwanamke ambaye mwili wake ulifikishwa katika Kituo cha Polisi cha Kangari na dereva wa teksi ambaye alilaghaiwa kuusafirisha k**a kifurushi.

Kiongozi wa Chama cha Demokrasia kwa Wananchi (DCP) Rigathi Gachagua amezindua mpango kabambe wa kupata angalau kura milioni saba kutoka Mlima Kenya katika Uchaguzi Mkuu wa 2027, akionya kwamba ni wagombea tu walio tayari kuafiki matakwa makali watapata kuungwa mkono na kambi hiyo.

mivutano katika upinzani inazidi kuongezeka baada ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Fred Matiang’i kufanya mikutano na viongozi kutoka pande zinazohasimiana, na hivyo kuzua hofu miongoni mwa chama cha Rigathi Gachagua cha Democratic Change (DCP) kwamba hatua zake huenda zikavuruga umoja wao kabla ya 2027.

Happy WCW!!!🥳Leo ndani ya   nipo tayari kukuletea mazungumzo yenye kutia moyo na kuburudisha.Karibu tuandike ukurasa mwi...
24/09/2025

Happy WCW!!!🥳Leo ndani ya nipo tayari kukuletea mazungumzo yenye kutia moyo na kuburudisha.

Karibu tuandike ukurasa mwingine wa jioni hii.



call/sms:0701709596

24/09/2025

Kwenye lisaa letu la mwisho ndani ya naye unamshauri vipi huyu mwanadada?


24/09/2025
24/09/2025

Unamshauri vipi huyu mkaka?

Ndani ya naye




Newton Catalyst

  tayari ndani ya kipindi nambari moja   Happy    Newton Catalyst
24/09/2025

tayari ndani ya kipindi nambari moja
Happy


Newton Catalyst

23/09/2025

Vizuizi na diplomasia vinagongana katika huku utambuzi wa Palestina ukiongezeka,mkutano wa kosa ladha shinikizo zikizidi dhidi ya Kuiheshimu Upalestina na Gaza.Rais Willian Ruto pia anahudhuria.


Tayari ndani ya kipindi nambari moja   na   Newton Catalyst
23/09/2025

Tayari ndani ya kipindi nambari moja na


Newton Catalyst

Address

Nairobi

Opening Hours

Monday 04:00 - 19:00
Tuesday 04:00 - 19:00
Wednesday 04:00 - 19:00
Thursday 04:00 - 19:00
Friday 04:00 - 19:00
Saturday 04:00 - 19:00
Sunday 06:00 - 19:30

Telephone

+254701709596

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SIFA FM Hekima - "Sauti Ya Busara" posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SIFA FM Hekima - "Sauti Ya Busara":

Featured

Share

Category