
08/07/2025
πππππ πππ ππππ πππππππ πππππππ
ππππ π Neema is back kwa ndoa yake!
wAAwa! Huku kwa Mark mambo si mazuri...Inasemekana Mark anaeza kuwa retained for 1 month. Wacha sasa Amani akuje,mamake akamuuliza babako ako aje? Amani amejam,akamwambia mum,what do you expect,ju ya huyu mwanamke babangu ako ndani. Neema akamwambia Iam sorry iam feeling guilty pia but Amani akamwambia nyamaza ng'ombe, ungetumia tu akili badala ya moyo,sai hatungekua hapa. Amani anaambia Neema hata kujifanya unatake care of my mum hosi ilikua tu show off lakini Neema akamwambia yoh! Enough,lakini Joseph amekuja juu sana,alikelelesha Neema vibaya sana.
Jojo aliambia mamake,Amani amereact ju ya hasira tu.
Woiye Mark atafanya nini,yuko ndani na hopes za kutoka hamna unless Neema aamue kurudiana na Eddy ndio Eddy adrop charges.
Ona Mark kwanza ameekwa kwa room moja na mfungwa mwingine achunge sana asijigonge ukuta.
On one side,Rachael ameshika jacket ya Mark anaiwekelea kwa kifua anaifeel tu na side ingine,Eddy ameshika picha ya Neema.
Mark waliletewa chakula huku ndani but hana appetite akapea huyo mzae mwingine akule,jamaa alidish chakula mbaya mbovu lakini kimungu Mungu,Mark akakuja akaitwa,akaambiwa ushaachiliwa. Mark akashindwa wait,how fast?
Kumbe Neema,manze aliamua kuenda kwa Eddy na ndio maana Mark ameachiliwa,wah! Makosa sana. Neema ilibidi afanye uamuzi mgumu sana pasina nafsi yake ndio Mark aachiliwe,in the name of love,she is going back to Eddy ili Mark awe huru, ati anarudiana na Eddy k**a mguzi ma mguziano,noo,its for the same of her kids and Mark's freedom. But shida ni,will Mark trust Neema akiwa na Eddy and will Neema trust Mark akiwa na Rachael same roof? Ungekua wewe,ungefanyaje ju kumbuka the owner of the well doesnt que!
ππππ π
Neema ashamake deal hadi amuone Mark ndio yeye atoke huku aende kwa Eddy. Kila kitu packed hadi Jojo akitoka, Amani akamuuliza yoh mapema hii mnaenda wapi? Jojo akamwmabia tunaenda,tunaenda kukaa na baba yetu.
Eddy ashapanga kila kitu kwake,rooms ziko sawa na akaambia house manager,nataka uunde breakfast mzuri sana yenye Neema anapenda.
Neema, Ian and Jojo ni kuienda wanaenda. Amani alikuja akaomba msamaha akamwambia sorry kwa chenye nilisema jana but Neema akamwambia usijali,you were tight.
Mark kufika nyumbani anakutana na bags kwa mlango,akashindwa whats happening here? Rachael wakaondoka wakaacha Neema na Mark hapo, Neema akamuuliza babe bags za what? Neema akamwambia Iam sorry,I had to do it,the reason umetoka ndani,ni ju tumemake deal na Eddy,naenda kuishi na yeye ndio maana uko uhuru. Mark alitaka kulia,akamwambia please don't do this to me but Neema akamwambia that was the only condition ya wewe kutoka jela,Mark akamwambia naeza rudi jela I won't mind but ishakua hivyo. Mark aliambia Neema I can't live without you,no matter the years. Sasa wakati wanaongea,Rachael na Joseph wanasikiza na wamesikia Mark akiapa,hata k**a Neema hatakua hataaacha kungoja na kumpenda. Hii ina maana,hata k**a Neema ameenda,Rachael bado hana lake π€£π€£π€£
Kwa barabara,Neema analia tu,hadi Ian akamuuliza mum,mbona unalia? Neema akamwambia ni venye nitamiss tu uncle Mark.
Mark alirudi kwa room yake akapata kuna kabarua hapo Neema amemuandikia. Neema amemwambia nimeenda ndio na najua itakuuma sana but I have made this decision for the sake of Ian but for us I will be back,nakupenda sana and don't give up on us. You are my man na kupenda nakupenda but don't give up on us.
Sharon na yeye hana memory,alikuja akauliza Isabelle,huyu Dan nampenda kweli,ju mbona alitoka akaenda after wedding yetu?π€£π€£π€£ Isabelle akamwambia wee pona tu utakua sawa,kisha anamuuliza mbona Neema hajakuja kuniona after nimepata ajali,ama nilimkosea π€£π€£
Hawa wakinywa chai huku chini,wanasikia tu huko juu Mark akilia. Amani anaambia mamake utakua na time ya kuwa na dad sasa. Huku juu Mark ju ya hasira amegonga ngumi ukuta vibaya sana. Joseph alikuja akamwambia dad,shida ni nini but Mark alikasirika akaambia Amani just leave me alone. Mark hadi mkono unatoka damu.
Ona Eddy kufungua fungua mkono amekuja kulaki familia yake. Ian na Jojo wako happy but Neema ameshtunya sana.
Eddy amefurahi sana but will they stay happy together? Tutaona!
Follow Weldy Brian