IBUKA FM RADIO

IBUKA FM RADIO Ibuka FM ni redio ibuka katika shirika la Popular News MEDIA ambayo itakujuza masuala yote ibuka, ikufahamishe, ikuelimishe na ikupe burudani tosha!

This page is specifically designed for matters as encouragement, empowering and motivation. No insults or hate speech.

17/09/2025

Henry The Band Support him in his new project

13/09/2025

Walimu hao wamesikika wakiimba huku wakimshukuru Rais kwa hatua za kuwaajiri walimu zaidi.

BREAKING// Kwa mujibu wa ripoti ya familia, Charles Omuga aliaga dunia Agosti 11, 2025, baada ya kuugua kwa muda mrefu.K...
12/08/2025

BREAKING// Kwa mujibu wa ripoti ya familia, Charles Omuga aliaga dunia Agosti 11, 2025, baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Kabisae alitoka Nyamasaria katika Kaunti ya Kisumu.

MTULIZE TU BALL!~Rais wa Kenya William Ruto azidi kuwapa wachezaji wa Timu ya Kitaifa The Harambee Stars motisha kwa kuw...
11/08/2025

MTULIZE TU BALL!~Rais wa Kenya William Ruto azidi kuwapa wachezaji wa Timu ya Kitaifa The Harambee Stars motisha kwa kuwaahidi kitita cha milioni 2.5M iwapo wataipiku Zambia mnamo Jumapili. Pia Rais huyo amewaahidi masurufu ya milioni moja zaidi pamoja na Nyumba ya Vyumba viwili katika eneo atakalochagua mchezaji mwenyewe.

NDIYE HUYU- Gavana huyo wa Siaya alikuwa ametoweka machoni pa umma huku wengi wakijiuliza alikokuwa. Amejumuika Leo kati...
08/08/2025

NDIYE HUYU- Gavana huyo wa Siaya alikuwa ametoweka machoni pa umma huku wengi wakijiuliza alikokuwa. Amejumuika Leo katika hafla ya matanga katika kaunti ya Homabay pamoja na Rais William Ruto akiwa na Kinara wa ODM Raila Odinga.

For quality and guaranteed warranty on Computer accessories. Just call.  Networks Revlon professional plaza 2nd Floor, T...
05/08/2025

For quality and guaranteed warranty on Computer accessories. Just call. Networks Revlon professional plaza 2nd Floor, Tubman road, opposite total petrol station, near Jamia mall. Nairobi.

BREAKING// Ndoto ya Hayati Kibaki itaota? Ndilo suala nyeti
25/07/2025

BREAKING// Ndoto ya Hayati Kibaki itaota? Ndilo suala nyeti

Hospitali zipewe ulinzi mkali? Jamaa anayeshukiwa kumuuwa mgonjwa katika hospitali ya Kenyatta amebambwa na kitengo cha ...
18/07/2025

Hospitali zipewe ulinzi mkali? Jamaa anayeshukiwa kumuuwa mgonjwa katika hospitali ya Kenyatta amebambwa na kitengo cha DCI. Kwa mujibu wa taarifa zao, mhusika ameishi hospitalini humo tangu 2024 hadi alipotekeleza uovu huo. Haijabainika wazi ni ugonjwa upi amekuwa akiugua wala sababu ya kuamua kumtoa uhai mgonjwa mwenzake! Hili limewawacha wengi na maswali ya balagha huku wakiuliza iwapo umefika wakati ambapo wadi za hospitalini zitalindwa na polisi waliojihami?

 //Binti ambaye ni yatima kutoka katika kijiji cha Lwandeti eneo bunge la Lugari kaunti ya Kakamega aomba wasamaria wema...
14/07/2025

//Binti ambaye ni yatima kutoka katika kijiji cha Lwandeti eneo bunge la Lugari kaunti ya Kakamega aomba wasamaria wema kumsaidia ili asipoteze nafasi ya kujiunga na Chuo Kikuu cha Bomet. Msichana huyo mja Mungu ana imani kuwa Mola atawatuma wafadhili kwani hata sasa hajui namna atakavyosafiri hadi huko mnano tarehe 18/8/2025.

Anza siku yako kwa kupata uhondo kutoka magazetini.
04/07/2025

Anza siku yako kwa kupata uhondo kutoka magazetini.

Jaji huyo ameonekana kuwa mwenye msimamo mkali mapema leo.
01/07/2025

Jaji huyo ameonekana kuwa mwenye msimamo mkali mapema leo.

Address

Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IBUKA FM RADIO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to IBUKA FM RADIO:

Featured

Share