IBUKA FM RADIO

IBUKA FM RADIO Ibuka FM ni redio ibuka katika shirika la Popular News MEDIA ambayo itakujuza masuala yote ibuka, ikufahamishe, ikuelimishe na ikupe burudani tosha!

This page is specifically designed for matters as encouragement, empowering and motivation. No insults or hate speech.

11/12/2025

//LABDA NI MTOTO WAKO NDIYE AMEONGOZA KJSEA NCHINI?//Hivi ndivyo utajua.

11/12/2025

//LIVE KJSEA RESULTS 2025

//Amevunja rekodi hiyo saa 12.45 leo mchana.
11/12/2025

//Amevunja rekodi hiyo saa 12.45 leo mchana.

11/12/2025

//USILOJUA KUHUSU MATOKEO YA KJSEA NDILO HILI ! Wazazi, walimu na wanafunzi wasubiri kwa hamu.

WATASOMA WANAFUNZI BORA AU LA?  >>SINTOFAHAMU YAENDELEA KUHUSU UTARATIBU WA KUTANGAZA MATOKEO YA KJSEAHuku taifa likisub...
10/12/2025

WATASOMA WANAFUNZI BORA AU LA? >>SINTOFAHAMU YAENDELEA KUHUSU UTARATIBU WA KUTANGAZA MATOKEO YA KJSEA

Huku taifa likisubiri kwa hamu kutangazwa kwa matokeo ya mtihani wa Kenya Junior School Education Assessment (KJSEA), maswali yanaibuka kuhusu namna sherehe rasmi ya kutangaza matokeo hayo itakavyoendeshwa na iwapo majina ya wanafunzi bora yatawekwa hadharani.
Taarifa za awali zinadokeza kuwa katika mfumo mpya wa mtaala wa Umilisi (CBE), awali ukijulikana k**a CBC, wanafunzi wataorodheshwa kwa viwango tofauti kulingana na makundi ya masomo. Kila kaunti ndogo inatarajiwa kutambua wanafunzi sita bora katika kitengo cha STEM, watatu bora katika Social Sciences, na wawili bora katika Arts and Sports. Wanafunzi watakaong’ara zaidi KITAIFA wanadaiwa kuhakikishiwa nafasi katika shule walizozichagua.
Hata hivyo, hatua ya iwapo majina ya wanafunzi hao bora yatasomwa hadharani bado haijawekwa paruwanja na imeibua mjadala mpana.
Daudi, ambaye ni mwanahabari, mwalimu na mhariri katika kituo cha Ibuka FM, anapendekeza kuwa serikali iwasikilize washikadau na kuwatambua wanafunzi bora namna ilivyokuwa tu katika mtaala wa 8.4.4. ili kuwapa motisha. Anasema kutowataja wanafunzi bora kwa majina, shule na hata kaunti watokazo kutawanyima hamasa, hasa ikizingatiwa kuwa wao ndio kizazi cha kwanza kupitia mtaala mpya wa Umilisi.
Kenya ina jumla ya kaunti 47 na kati ya kaunti ndogo 290 hadi 295. Kwa mujibu wa wachambuzi, kutambua mwanafunzi bora kitaifa, kisha watatu bora na hatimaye kumi bora, kutasaidia kuweka rekodi za kwanza za kihistoria za mfumo huu mpya.
Wakati uongozi wa elimu ukisubiriwa kutoa mwelekeo, inaaminika kuwa vyombo vya habari vitakuwa na jukumu kubwa la kusaka na kutangaza orodha pana zaidi, ikiwemo mia bora au hata orodha za wanafunzi waliofanya vyema katika kila kaunti ndogo.
゚viralシfypシ゚

05/12/2025

゚viralシfypシ゚

//HADI WAFANYIKAZI WA MORTUARY WALILIA SANA! }Wapendwa hao wanane waliaga dunia wakiwa katika safari ya kuhudhuria mazis...
05/12/2025

//HADI WAFANYIKAZI WA MORTUARY WALILIA SANA! }Wapendwa hao wanane waliaga dunia wakiwa katika safari ya kuhudhuria mazishi ya nyanya yao mkongwe.

05/12/2025

//Wakenya wasisimuliwa na ulimbwende na miondoko ya desnsi ya Kiungu kwa Bwana harusi aliyeonekana akwenye video akiwa mchangamfu mno. Wengi wameombea ndoa hiyo idumu. a good thing

04/12/2025

🌟 LIVE VIRTUAL WORKSHOP! 🌟
Attention Senior & Junior School Parents!
Don’t miss out on this insightful and eye-opening conversation happening LIVE right here on the Ibuka FM page on Saturday, 6th December 2025 2pm-5.30pm.

You’ll also have a chance to join the discussion and be heard LIVE via a Google Meet link!

🎓 Senior School Transition is a timely and important topic—
So let’s talk, let’s interact, let’s ask questions, and let’s get guided!

👉 Mark your calendars!
👉 Invite other parents!
👉 Be part of the conversation!

04/12/2025

Yesu haya ni matendo yako ゚viralシfypシ゚viralシalシ

HAWAKO!// Fununu za upungufu wa walimu katika shule za ngazi ya Senior umezua  tumbo joto huku wataalam katika elimu wak...
04/12/2025

HAWAKO!// Fununu za upungufu wa walimu katika shule za ngazi ya Senior umezua tumbo joto huku wataalam katika elimu wakipendekeza kwamba mfumo unaotumika katika vyuo — yaani kuhudumia masomo kwa zamu au part-time — uingizwe katika shule za “senior school” hasa katika masomo maalum k**a sayansi (STEM), kazi za ufundi na sanaa — ambapo walimu wenye ujuzi wa kuhudumia masomo haya ya kitaalamu ni wachache, Hii itaruhusu walimu/wahadhiri wenye ujuzi maalum (mfano katika STEM, mandarin, sanaa, ufundi, michezo na maudhui ya vocational.) kushiriki masomo bila hitaji la ajira kamili. Wataalam hao pia wameonya kuwa kuwalazimisha walimu wa kawaida au waliohitimu hivi karibuni kufundisha masomo mengi kwa wakati mmoja kutaathiri ubora wa elimu na utekelezaji kamili wa mkondo wa Senior School. Duru zimedokeza kuwa tayari kuna uhaba wa aghalabu walimu elfu 58,590 katika shule za ngazi ya 'Senior School nchini.

//UTALIPA UMALIZE NA ULIPE TENA HALAFU UPOTEZE! Malamishi kuhusu mikopo ya shylock yazua wasiwasi na maswali mengi.  Map...
03/12/2025

//UTALIPA UMALIZE NA ULIPE TENA HALAFU UPOTEZE! Malamishi kuhusu mikopo ya shylock yazua wasiwasi na maswali mengi. Mapema leo, Mahak**a ya Nairobi ilitoa hukumu ya kihistoria dhidi ya wakili aliyeuawa Mathew Kyalo Mbobu, na kutangaza kuwa mkataba wa mkopo wenye viwango vya riba kinyume cha sheria na kuamuru kurejeshwa kwa mali yake iliyonyakuliwa na wakopeshaji

Address

Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IBUKA FM RADIO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to IBUKA FM RADIO:

Share