19/09/2023
HIGHSCHOOL COMRADEπ€
1)Nilikuwa nalala juu ya form four flani, sasa time ya kugeuka ananiambia nishuke chini nigeukie huko alafu nirudi tena juu....saitaan!ππππ
2)Nilifungiwa chooniπ, alafu nikaambiwa niombe k**a paulo na sila hadi milango zifunguke!πππππππππ.
3)Siku ya admission kuna form 4 alikam ameng'ara akaniambia yeye ni bursarπ, nikampatia pocket money aniekee alafu nkampatana naye jioni akitoka DHπππππππππππ...cruel cruel!
4)mimi nliambiwa nipande mifupa kwa mchanga imee nyama π€...Alafu kuna beshte yangu alishikwa akitoka dining hall na ugali madondo akaambiwa afinye hiyo ugali itoshee kwa mfuko alafu madondo aweke kwa mfuko ya shatiπππππππ
This is just sadπͺ.
5)Then a guy came with a cup nimgawie sukari βΊπ......akaniwachia ile nilimuwekea kwa cup akaenda na ya paper ....irony is huyu jamaa alikua anaitwa Roho safiππππππππππππππ...such irony.
6)Mimi nakumbuka nikiambiwa nikatie box yangu mpaka niingie ndaniππππ.
7)Si tulikua tunapangwa k**a radio kasette kuna play,forward,rewind,stop na speakers on both sides. So the bully would hit play kwa kichwa speaker wanaimba, akigonga forward wanaimba fasterπ«, akigonga stop ngoma inasimamaπ¬, usitake ona akigonga rewind kila mtu anaanguka kicheko including wenye tunateswaπππππππππ
π
π
π
π
.
8)Niliambiwa nipande mti ya ovacadoπ€, nilipofika juu nikaambiwa ni-hang alafu nianguke k**a ovacado imeiva.........mpaka sahi mkono yangu inakuanga komboπππ.
9)Niliambiwa nichore mandazi ikimwaga utamππ.
10) And this one just made the rest of my year, bed mate wangu wa form four aliniambia nikue namwamsha akiskia kwenda choo usiku ππππππ
π₯ follow me