Dennis putin kenyatta

Dennis putin kenyatta 1.Ukurasa wa habari za michezo
2.pata ratiba
3.matokeo na
4.Tetesi za soka barani ulaya
(12)

30/07/2025

Big shout out to my newest top fans! Shafii Mkwayu, Onesime Nkurunziza, Daniel Aloyce, Dominick Mollel, Eddy Kenzo, Køsh Ïbär Gazø, MrJam Pacome, Eriksen Anda'mbi, Jenmmii Alvarez, Strong Boy, Susan Wairimu, German Feeler Kim, Xhadow Paragon, Benedict TrueMchelsea Ofiro, Beltod Ommy Timanyika, Saimon Mgohach, Nick Baba, Dem Zø Kane, Thokozani Neverson, Nathanael Benjamin Karalogue, Lädñ Römäñy, C'est Fidel Walubila Mg, John Byaese Sadiki, Evans Smasher, NK Kaleba Emmanuel, Amazone Baùlù Levi's Kileme, Mar Ticha Lovely Boy, Abuu Mkawa, Norbert Tonny Jr Ndayizeye, Esther Kihara, Mar Asad, Linet Sichei Sichei, Janta Kuzu, Ramos Abdhallah, Alfred Le Grand, Godfrey Elzeus, Nikodemus Owuor Ogembo, Aron Alan, Vivi Vichou, Fathy Boy, Chriss Buju, Emma Emmanuel, Ruwa Benard, Ernest Lingard, Gabriel B Nyongesah, Joseph Ochiil, Suleman Mbeto, Jolly Manyasa Aholi, Edgar Daves Fidelis, Iem Kligger Ezhem

🚨Manchester United wanatarajiwa kupokea takriban pauni milioni 7.5 (karibu shilingi bilioni 15 za Kitanzania) kutoka Pre...
29/07/2025

🚨Manchester United wanatarajiwa kupokea takriban pauni milioni 7.5 (karibu shilingi bilioni 15 za Kitanzania) kutoka Premier League. Hii ni kwa sababu klabu hiyo ina umaarufu mkubwa na mashabiki wengi duniani, hivyo inaleta mapato makubwa kwa ligi. 👹💷

ℹ️Kwa mujibu wa MailSport.

🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨 OFFICIAL Man City imethibitisha kukamilisha Usajili wa Golikipa wa Burnley James Trafford kwa ada ya €27m na mk...
29/07/2025

🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨 OFFICIAL Man City imethibitisha kukamilisha Usajili wa Golikipa wa Burnley James Trafford kwa ada ya €27m na mkataba hadi June mwaka 2030. 🔐

🔴BREAKING!!Jezi za usajili mpya wa Arsenal  Viktor Gyökeres zimevunja rekodi ya mauzo ndani ya klabu ya Arsenal. Awali V...
29/07/2025

🔴BREAKING!!

Jezi za usajili mpya wa Arsenal Viktor Gyökeres zimevunja rekodi ya mauzo ndani ya klabu ya Arsenal.

Awali Viktor alitaka kuvaa namba 9, lakini tayari inamilikiwa na Gabriel Jesus basi akaomba namba 14, aliyowahi kuvalia gwiji wa kifaransa Thierry Henry.

Japo hawajaweka wazi kiasi au idadi ya jezi zilizouzwa kwa kuwa bado data zinachambuliwa kupata idadi kamili.

Vyanzo vinadai kuwa Uhitaji ulikuwa mkubwa kiasi kwamba tovuti rasmi ya duka la klabu ilisimama kwa muda.

Source.The Athletic

Mshambuliaji mpya wa Arsenal Viktor Gyökeres ameonekana mazoezi leo hii ikiwa ni mazoezi yake ya kwanza toka atambulishw...
29/07/2025

Mshambuliaji mpya wa Arsenal Viktor Gyökeres ameonekana mazoezi leo hii ikiwa ni mazoezi yake ya kwanza toka atambulishwe rasmi k**a mchezaji wa Arsenal.

Naam!

Mshambuliaji wa Athletic Club, Iñaki Williams, amezungumza kwa hasira kuhusu tetesi za mdogo wake Nico Williams kutosaji...
29/07/2025

Mshambuliaji wa Athletic Club, Iñaki Williams, amezungumza kwa hasira kuhusu tetesi za mdogo wake Nico Williams kutosajiliwa na FC Barcelona:

🗣“Ndugu yangu kutokwenda Barça? Mengi yaliyozungumzwa kuhusu Nico ni uongo... Wameendesha kampeni ya kisiasa kupitia vyombo vya habari wakidhani itawasaidia. Wamechafua mambo mengi hawajui tu.”

Kauli hii imeibua mjadala mkubwa kuhusu jinsi vilabu vikubwa na vyombo vya habari vinavyotumia propaganda kuathiri maamuzi ya wachezaji.

Source. News Insider]

Luis Alberto Suárez Diaz mshambuliaji hatari kabisa aliyewahi kukipiga klabu za Liverpool,Fc Barcelona na sasa Inter Mia...
29/07/2025

Luis Alberto Suárez Diaz mshambuliaji hatari kabisa aliyewahi kukipiga klabu za Liverpool,Fc Barcelona na sasa Inter Miami alikuwa moja ya washambuliaji hatari kabisa mbele ya lango na makipa wengi walijawa na hofu pindi wanapokutana nae.

Sasa Suarez ana matukio yake mengi tu kisoka ila tukio kubwa na la kihistoria ni la kung'ata wachezaji pinzani hali hii ilikiwa ikiwashangaza wengi sana na kwa mujibu wa wataalamu hali hiyo inaitwa Impulse Control Disorder (Tatizo la Kudhibiti Msukumo),hali ya kushindwa kudhibiti hasira na si kung'ata tu wengine hurusha vitu hata kumpiga mtu.

mnamo mwaka 2010 Suarez alimng'ata Otman Bakkal wakati Ajax ikicheza dhidi ya PSV kipindi Suarez yupo PSV hali iliyopelekea Suárez kufungiwa mechi 7 kwa kitendo hicho.

Mwaka 2013 alimng'ata aliyekuwa beki wa Chelsea Branislav Ivanović siku hiyo Chelsea ilikuwa ikicheza dhidi ya Liverpool akapigwa adhabu ya kusimamishwa mechi 10, ingawa refa hakuliona tukio wakati wa mechi.

2014 timu ya taiafa ya Uruguay ikicheza dhidi ya Italia mashindano ya Kombe la Dunia alimng'ata tena beki wa Italia Giorgio Chiellini
FIFA ikamfungia mechi 9 za kimataifa na akawekewa marufuku ya miezi 4 ya kutojihusisha na shughuli yoyote ya soka.

Yeye mwenyewe suarez kwenye moja mahojiano alinukuliwa akisema:

🗣️ “Ninajuta sana… Nimeomba msamaha kwa wachezaji wote. Ni kitu cha aibu kwa familia yangu na mashabiki.”

Hii ilikuwa baada ya tukio la kumng'ata Chiellini mwaka 2014.

Naam!!!

Follow Us

🚨 Wachezaji Waliowahi kucheza Brighton miaka ya Hivi karibuni ambao kwa sasa wanafanya Vizuri. 🔥.
29/07/2025

🚨 Wachezaji Waliowahi kucheza Brighton miaka ya Hivi karibuni ambao kwa sasa wanafanya Vizuri. 🔥.

🚨 BREAKING: Liverpool imefikia makubaliano kamili ya msharti ya kibinafsi na Alexander Isak kusaini mkataba wa miaka mit...
29/07/2025

🚨 BREAKING: Liverpool imefikia makubaliano kamili ya msharti ya kibinafsi na Alexander Isak kusaini mkataba wa miaka mitano hadi June mwaka 2029. 🔐

Liverpool sasa imeanda ada ya £100m na nyongeza ya £20m na wanaimani Newcastle United watakubali.

Source Sacha Tavolieri

🚨 Alejandro Garnacho bado yuko wazi kuwa tayari kuisubiri Chelsea kumsajili kwenye Dirisha hili kubwa. Source Laurie Whi...
29/07/2025

🚨 Alejandro Garnacho bado yuko wazi kuwa tayari kuisubiri Chelsea kumsajili kwenye Dirisha hili kubwa.

Source Laurie Whitwell

🙏 🚨 Karibu Nyumbani Viktor Gyokeres.  🔴🇸🇪🤝🔫
29/07/2025

🙏 🚨 Karibu Nyumbani Viktor Gyokeres. 🔴🇸🇪🤝🔫

💰🚨 Timu tano bora za muda wote kwenye Dirisha la Usajili wanaoongoza kwa kutoa Pesa nyingi Duniani.🔵 Chelsea - €4.18bn🔵 ...
29/07/2025

💰🚨 Timu tano bora za muda wote kwenye Dirisha la Usajili wanaoongoza kwa kutoa Pesa nyingi Duniani.

🔵 Chelsea - €4.18bn

🔵 Man City - €3.23bn

⚪️ Juventus - €3.18bn

🔴 Man United - €3.02bn

⚪️ Real Madrid - €2.90bn

Source Transfer Market

Address

30036_00100
Kileleshwa
33004

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dennis putin kenyatta posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dennis putin kenyatta:

Share

Category