Dennis putin kenyatta

Dennis putin kenyatta 1.Ukurasa wa habari za michezo
2.pata ratiba
3.matokeo na
4.Tetesi za soka barani ulaya
(11)

Nani anastahili kusimama ampishe Haaland?๐Ÿ˜๐Ÿ˜
26/12/2025

Nani anastahili kusimama ampishe Haaland?๐Ÿ˜๐Ÿ˜

CHELSEA NDANI YA AFRIKA!Klabu iliyofanikiwa kuiteka mioyo watu wa Africa kwa kipindi kifupi sana kuliko klabu yoyote ile...
26/12/2025

CHELSEA NDANI YA AFRIKA!

Klabu iliyofanikiwa kuiteka mioyo watu wa Africa kwa kipindi kifupi sana kuliko klabu yoyote ile duniani. Chelsea kwa upande wa Africa sio tu klabu, Ni tamaduni kwenye baadhi ya jamii hasa watu wanaotokea pande za magharibi wa Africa.

Ukiiondoa klabu ya Manchester United, Chelsea ni klabu ya pili kutoka Uingereza kuwa na mashabiki wengi sana barani Africa wanaokadiriwa kufikia hadi milioni 250.

Hii ni rekodi kubwa ukizingatia kuna baadhi ya vilabu vilivyoitangulia Chelsea kwa zaidi ya miaka 50 lakini bado havikuweza kujikusanyia mashabiki wengi hivyo kutoka Afrika.

Kwanini Chelsea? Ripoti mbalimbali zinasema moja kati ya kishawishi kikubwa kilichopelekea Chelsea kupendwa zaidi barani Africa ni desturi yao ya kusajili watu wenye asili hiyo lakini pia kuwathamini sana pasipokuwa na ubaguzi wa aina yoyote.

Moja kati ya majina yanayotajwa kuongeza idadi ya mashabiki wengi wa Chelsea barani Africa ni jina la Legend, Didier Drogba. Sio siri, karibia asilimia 50 ya mashabiki wa Chelsea huku Africa wamezaliwa kutokana na mchezaji Drogba.

Miongoni mwa mataifa yanayoongoza kuwa na mashabiki wengi wa Chelsea hapa Afrika ni pamoja na;
1.Nigeria (Sio tu Afrika, ni dunia nzima wakiwa takribani mashabiki milioni 30.)
2.Ghana
3. Ivory coast
4.Kenya

Tukirudi upande wako, Nii kitu gani kilikushawishi kuishabikia Chelsea?

Waah! Wanangu nimetokwa na mate k**a fisi ๐Ÿฅบ
26/12/2025

Waah! Wanangu nimetokwa na mate k**a fisi ๐Ÿฅบ

25/12/2025

shukrani kwa wote wanaoniamini kwa taarifa zangu Merry Christmas everyone mungu awabariki ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™

B๐Ÿ˜ณ๐Ÿ’” Mke wa zamani wa Achraf Hakimi, Hiba Abouk, amedaiwa kuomba msamaha na kusema anajuta kuwasilisha talaka ๐Ÿ˜ณ Vyanzo vi...
25/12/2025

B๐Ÿ˜ณ๐Ÿ’” Mke wa zamani wa Achraf Hakimi, Hiba Abouk, amedaiwa kuomba msamaha na kusema anajuta kuwasilisha talaka ๐Ÿ˜ณ

Vyanzo vinadai kuwa alisema alipotoshwa na marafiki na alitenda kwa mihemko, na sasa anamwomba Hakimi amrudishe ๐Ÿ’”๐Ÿฅฒ

Lakini hapa kuna njama kila mtu anazungumza ๐Ÿ‘€๐Ÿ‘‡

Inasemekana kwamba msamaha huu utakuja mara baada ya PSG kumuongezea mkataba Hakimi, na kuongeza mshahara wake kutoka pauni milioni 10 hadi milioni 28 kwa mwaka ๐Ÿ’ฐ๐Ÿ”ฅ

Na k**a hapo awali ... ๐Ÿ‘‰ Pesa zake zote bado zinaingia moja kwa moja kwenye akaunti ya MAMA ๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ‘

Wanaume wapendwa, linda amani yako, linda mali yako, na siku zoteโ€ฆ KAA KIHAKIMI ๐Ÿ˜ฌ

FOLLOW US

Nani anapaswa kusimama ili Michael Arteta Martinez aweze kukaa kukaa?โ€ ๐Ÿ‘€
25/12/2025

Nani anapaswa kusimama ili Michael Arteta Martinez aweze kukaa kukaa?โ€ ๐Ÿ‘€

Baadhi tu ya maswali ya leo usiku ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
25/12/2025

Baadhi tu ya maswali ya leo usiku ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Nani anapaswa kusimama ili  Emiliano Martinez aweze  kukaa?โ€ ๐Ÿ‘€
25/12/2025

Nani anapaswa kusimama ili Emiliano Martinez aweze kukaa?โ€ ๐Ÿ‘€

Wanangu nimekwama kutoka jana jamani ๐Ÿ˜ข
25/12/2025

Wanangu nimekwama kutoka jana jamani ๐Ÿ˜ข

Kundi E and F Afcon 2025
25/12/2025

Kundi E and F Afcon 2025

๐Ÿšฉ MATOKEO YA MECHI ZA JANA AFRICA: Africa Cup of Nations Standings13:30 Burkina Faso 2-1 Equatorial Guinea16:00 Algeria ...
25/12/2025

๐Ÿšฉ MATOKEO YA MECHI ZA JANA

AFRICA: Africa Cup of Nations Standings
13:30 Burkina Faso 2-1 Equatorial Guinea
16:00 Algeria 3-0 Sudan
18:30 Ivory Coast 1-0 Mozambique

ASIA: AFC Champions League 2 Standings
17:00 Al Ahli Doha (Qat) 2-0 Andijan (Uzb)
17:00 Al-Muharraq (Bhr) 0-3 Esteghlal F.C. (Irn)
17:00 Al Nassr (Sau) 5-1 Al Zawraa (Irq)
17:00 Al Wasl (Uae) 2-1 Al Wehdat (Jor)
17:00 Arkadag (Tkm) 1-0 Al Khalidiyah (Bhr)
17:00 Goa (Ind) 1-2 Istiqlol Dushanbe (Taj)

ASIA: Gulf Club Champions League Standings
16:30 Tadamone Hadramout (Yem) 0-1.Al Nahda (Oma)
18:00 Al Qadisiya (Kuw) 2-1 Sitra (Bhr)

EGYPT: League Cup Standings
16:00 Kahrabaa Ismailia 1-1 Al Ittihad
16:00 Pharco 2-1 Enppi
19:00 Arab Contractors 0-0 El Gaish

TURKEY: Turkish Cup Standings
11:00 Igdir FK 2-2 Aliaga
13:30 Boluspor 0-0 Fethiyespor
16:00 Keciorengucu 3-1 Beyoglu Yeni Carsi
18:30 Samsunspor 2-1 Eyupspor

๐ŸšจMcheza Ngumu Maarufu Dunia Francis Ngannou ameweka kiasi cha โ‚ฌ320,000 Zaidi ya Milioni 900 za Kitanzania Akitabili Came...
25/12/2025

๐ŸšจMcheza Ngumu Maarufu Dunia Francis Ngannou ameweka kiasi cha โ‚ฌ320,000 Zaidi ya Milioni 900 za Kitanzania Akitabili Cameroon Atachukua Ubingwa wa AFCON 2025.๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ

Address

30036_00100
Nairobi
33004

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dennis putin kenyatta posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dennis putin kenyatta:

Share

Category