Dennis putin kenyatta

Dennis putin kenyatta 1.Ukurasa wa habari za michezo
2.pata ratiba
3.matokeo na
4.Tetesi za soka barani ulaya
(12)

🚨 Arsenal imepanga kumsafirisha mshambuliaji wao mpya Viktor Gyokeres hadi Singapore katika Ziara yao kisha kufanyiwa Vi...
23/07/2025

🚨 Arsenal imepanga kumsafirisha mshambuliaji wao mpya Viktor Gyokeres hadi Singapore katika Ziara yao kisha kufanyiwa Vipimo vya afya. 🇸🇪✈️

Arsenal imepanga Kabla ya Wikendi hii Gyokeres awe tayari kakamilisha taratibu zote za Kujiunga na Arsenal na Wiki Ijayo ajiunge na Kikosi kabla ya Mchezo wa Kirafiki dhidi ya Tottenham Hotspur.🔴

Source Independent

💰🚨Alexander Isak anataka mshahara wa £300k kwa Wiki Ili kusaini mkataba mpya na Newcastle.Source Talk Sports
23/07/2025

💰🚨Alexander Isak anataka mshahara wa £300k kwa Wiki Ili kusaini mkataba mpya na Newcastle.

Source Talk Sports

🚨 OFFICIAL  - AS Roma imekamilisha Usajili wa mshambuliaji wa Brighton Evan Ferguson kwa mkopo wenyewe kipengele cha kum...
23/07/2025

🚨 OFFICIAL - AS Roma imekamilisha Usajili wa mshambuliaji wa Brighton Evan Ferguson kwa mkopo wenyewe kipengele cha kumsajili €40m.

🚨Chelsea bado wanaendelea na mazungumzo na Xavi Simons ili kufikia makubaliano ya kibinafsi..Xavi Simons yuko tayari kuj...
23/07/2025

🚨Chelsea bado wanaendelea na mazungumzo na Xavi Simons ili kufikia makubaliano ya kibinafsi..

Xavi Simons yuko tayari kujiunga na Chelsea na Tayari kaishaifahamisha RB Leipzig kuwa anataka kuondoka bado hakuna mazungumzo ya Vilabu.🇳🇱

Source Fabrizio Romano

23/07/2025

Big shout out to my newest top fans! Shafii Mkwayu, Daniel Aloyce, Dominick Mollel, Eddy Kenzo, Køsh Ïbär Gazø, MrJam Pacome, Eriksen Anda'mbi, Jenmmii Alvarez, Strong Boy, Susan Wairimu, Abuu Debryne, Ibrahim Adamu, German Feeler Kim, Xhadow Paragon, Benedict TrueMchelsea Ofiro, Beltod Ommy Timanyika, Saimon Mgohach, Nick Baba, Dem Zø Kane, Onesime Nkurunziza, Thokozani Neverson, Nathanael Benjamin Karalogue, Lädñ Römäñy, C'est Fidel Walubila Mg, John Byaese Sadiki, Evans Smasher, NK Kaleba Emmanuel, Amazone Baùlù Levi's Kileme, Abuu Mkawa, Esther Kihara, Mar Asad, Linet Sichei Sichei, Janta Kuzu, Ramos Abdhallah, Alfred Le Grand, Godfrey Elzeus, Nikodemus Owuor Ogembo, Aron Alan, Vivi Vichou, Fathy Boy, Chriss Buju, Emma Emmanuel, Ruwa Benard, Ernest Lingard, Gabriel B Nyongesah, Joseph Ochiil, Suleman Mbeto, Jolly Manyasa Aholi, Edgar Daves Fidelis, Iem Kligger Ezhem

🏟 MECHI ZA LEO ZA KIRAFIKI 🏟 14:30 - AC Milan 🇮🇹 ⚔️ Arsenal FC 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🏟 20:30 - Galatasaray 🇹🇷 ⚔️ Cagliari FC 🇮🇹 🏟 21:00...
23/07/2025

🏟 MECHI ZA LEO ZA KIRAFIKI

🏟 14:30 - AC Milan 🇮🇹 ⚔️ Arsenal FC 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

🏟 20:30 - Galatasaray 🇹🇷 ⚔️ Cagliari FC 🇮🇹

🏟 21:00 - Valencia CF 🇪🇸 ⚔️ Laganes 🇪🇸

🏟 21:30 - Girona CF 🇪🇸 ⚔️ Espanyol 🇪🇸

🏟 22:00 - Al Ittihad FC 🇸🇦 ⚔️ Fenerbahce FK 🇹🇷

🚨 Arsenal sasa imetumia zaidi ya €200m katika usajili wa wachezaji wapya msimu huu, huku wakiwa wamevuna €8m ty kutokana...
23/07/2025

🚨 Arsenal sasa imetumia zaidi ya €200m katika usajili wa wachezaji wapya msimu huu, huku wakiwa wamevuna €8m ty kutokana na Mauzo.💰

🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Noni Madueke €55m
🇸🇪 Viktor Gyokeres €73m
🇩🇰 Christian Nørgaard €11m
🇪🇸 Kepa Arrizabalaga €5m
🇪🇸 Christian Mosquera €25m
🇪🇸 Martin Zubimendi €70m

⏳️ Eberechi Eze - €68m 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

🔴BREAKING: Liverpool Imefanya mazungumzo na WASIMAMIZI wa winga wa Real Madrid Rodrygo.Uhitaji wa Winga huyu unazidi kuo...
23/07/2025

🔴BREAKING: Liverpool Imefanya mazungumzo na WASIMAMIZI wa winga wa Real Madrid Rodrygo.

Uhitaji wa Winga huyu unazidi kuongezeka kutoka na FC Bayern Wanazidi kunishikiza kutaka kumsajili Winga Luis Diaz.

Hugo Ekitike 🇫🇷 akiwa ndani ya U*i wa Liverpool wa Mkongwe Steven Gerrard 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Baada ya kukamilisha vipimo vya afya n...
23/07/2025

Hugo Ekitike 🇫🇷 akiwa ndani ya U*i wa Liverpool wa Mkongwe Steven Gerrard 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Baada ya kukamilisha vipimo vya afya na klabu ya Liverpool.

Soon ni utambulishwaji rasmi na Liverpool official alafu mambo mengine yata fuata.

🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨 Bayer Leverkusen na Juventus zinavutiwa na Raheem Sterling Lakini Chelsea wako tayari kwa biashara ila Thamani ...
23/07/2025

🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨 Bayer Leverkusen na Juventus zinavutiwa na Raheem Sterling Lakini Chelsea wako tayari kwa biashara ila Thamani ya Raheem Sterling ni £20m.

Source Ben Jacobs

🚨Mshambuliaji Alexander Isak anataka mshahara wa £15.6M kwa mwaka ili kuongeza mkataba wa kuendelea kubakia Newcastle Un...
23/07/2025

🚨Mshambuliaji Alexander Isak anataka mshahara wa £15.6M kwa mwaka ili kuongeza mkataba wa kuendelea kubakia Newcastle United. 💰🇸🇪🔐.

Source Alex Cook

🚨 BREAKING Tottenham sasa wameingia kwenye Kinyang'anyiro cha kumsajili Winga Rodrygo Goes. Fahamu Kwenye Kinyang'anyiro...
23/07/2025

🚨 BREAKING Tottenham sasa wameingia kwenye Kinyang'anyiro cha kumsajili Winga Rodrygo Goes.

Fahamu Kwenye Kinyang'anyiro cha kuwania saini ya Rodrygo wako Liverpool Bayern na Arsenal..👀

Source Football Coverage

Address

Kileleshwa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dennis putin kenyatta posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dennis putin kenyatta:

Share

Category