HPE FILMS MEDIA

HPE FILMS MEDIA Capturing moments Creating legends

Happy Madaraka day from us
31/05/2026

Happy Madaraka day from us

Do you want to join our teamfollow us and share our videos.
13/05/2026

Do you want to join our team
follow us and share our videos.

Good morning from this side , Have you watched LUCID SERIES it's now on YouTube.
09/05/2026

Good morning from this side , Have you watched LUCID SERIES it's now on YouTube.

what did you learn from this scene. Lucid Series
01/05/2026

what did you learn from this scene.
Lucid Series

Behind the scenes. Lucid series you can now get it on YouTube at HPE FILMS PRODUCTION
30/04/2026

Behind the scenes.
Lucid series
you can now get it on YouTube
at HPE FILMS PRODUCTION

Sehemu ya Kwanza ya LUCID Series sasa inapatikana kwenye YouTube.Imetayarishwa na HPE Films Production,  hii ni mwanzo w...
29/04/2026

Sehemu ya Kwanza ya LUCID Series sasa inapatikana kwenye YouTube.

Imetayarishwa na HPE Films Production, hii ni mwanzo wa mfululizo mpya wenye mvuto, uliojaa fumbo, drama na simulizi yenye nguvu.

Tazama sehemu kamili kupitia YouTube na usisahau kushiriki maoni yako nasi. Msaada wako ni muhimu sana tafadhali like, comment na share ili kufikia watazamaji wengi zaidi.

Endelea kufuatilia kwa sehemu zijazo.

16/04/2026

Follow us to watch the full story and get inspired.
this story is also available on youtube pulse escapade

  Baada ya ushindi wake mkubwa katika pambano kali la ndondi lililofanyika Kasarani dhidi ya Mbavu Destroyer, ambapo ali...
06/04/2026


Baada ya ushindi wake mkubwa katika pambano kali la ndondi lililofanyika Kasarani dhidi ya Mbavu Destroyer, ambapo alijinyakulia kitita cha zaidi ya KSh 3.3 milioni, Mkenya maarufu k**a Majembe sasa amegeuka gumzo kote nchini.

Majembe alionyesha uwezo wa hali ya juu ulingoni na kufanikiwa kuibuka mshindi katika pambano hilo lililovutia maelfu ya mashabiki. Ushindi huo si tu ulimletea heshima bali pia fedha taslimu ambazo zimebadilisha maisha yake kwa kiwango kikubwa.

Hata hivyo, pamoja na pongezi na shangwe nyingi kutoka kwa Wakenya, baadhi ya wananchi sasa wanatoa wito kwa Majembe kurejea shuleni. Wengi wanapendekeza kuwa ajisajili k**a mwanafunzi wa kujitegemea (private candidate), wakikumbusha kuwa aliacha masomo akiwa kidato cha pili.

Kwa maoni ya wengi, mafanikio yake katika ndondi ni ya kupongezwa, lakini kuongeza elimu kutamfungulia milango zaidi na kumsaidia kupanga maisha yake ya baadaye kwa uthabiti mkubwa.

Je, Majembe atazingatia ushauri huu na kurudi darasani, au ataendelea kuwekeza nguvu zake zaidi katika taaluma yake ya ndondi?


Address

Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when HPE FILMS MEDIA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share