Team Habari motomoto

Team Habari motomoto Home of news

Zuchu amekita mizizi na kushadidi hususani katika eneo la Afrika Mashariki.Baada ya wimbo wake sukari alipata umaarufu m...
18/03/2021

Zuchu amekita mizizi na kushadidi hususani katika eneo la Afrika Mashariki.Baada ya wimbo wake sukari alipata umaarufu mno na kushabikiwa na wengi,jina sukari lilikuwa salamu za waamkaje wa asubuhi,hujambo ya mchana na umeshindaje ya jioni.Nduru za kuaminika zilishamiri na kusheheni na kusemekana ya kwamba alijituma na kulala na Diamond platinumz ili apate umaarufu lakini akapinga na kusema yote yalikuwa udaku.

Zuchu amekita mizizi na kushadidi hususani katika eneo la Afrika Mashariki.Baada ya wimbo wake sukari alipata umaarufu mno na kushabikiwa na wengi,jina sukari lilikuwa salamu za waamkaje wa asubuhi…

Kwa takriban miezi tatu iliyopita nyimbo za gengetone hususan za mbogi genje zimechipuka kwani wamekuwa wakifanya vyema ...
08/03/2021

Kwa takriban miezi tatu iliyopita nyimbo za gengetone hususan za mbogi genje zimechipuka kwani wamekuwa wakifanya vyema kwa kuachilia ngoma zao ambazo huwa na mvuto wa aina yake kwa lugha ya 'sheng'............'rieng ni kuwamochoo'...........'ngumi mbwegze' ni majina ambayo yameigwa na wengi kutokana na ustaarabu wa kikundi hiki. Nduru za kuaminika zinahinikiza hewani na kuenea kwa fununu zinazosema ya kwa Mbogi genje watazidi achilia ngoma zilizogonga ndipo na zilipowahi skuli.Ngoma zao ziliishia kuvutia viongozi wengine k**a aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko.....Je MBOGI GENJE watazidi chipuka?

Kwa takriban miezi tatu iliyopita nyimbo za gengetone hususan za mbogi genje zimechipuka kwani wamekuwa wakifanya vyema kwa kuachilia ngoma zao ambazo huwa na mvuto wa aina yake kwa lugha ya & #8216…

Hivi karibuni mejja amekuwa akichipuka kwa mlipuko wa aina yake na nyimbo zake kupendwa na wengi.Inaaminika ya kwamba us...
02/03/2021

Hivi karibuni mejja amekuwa akichipuka kwa mlipuko wa aina yake na nyimbo zake kupendwa na wengi.Inaaminika ya kwamba ustaarabu ambao hutumia ndio huasa wengi na kupenda nyimbo zake ambazo huhinikiza hewani kila uchao.Baada ya kibao chake "nikikupea utawezana" aliishia kupata umaarufu na akatiwa moto wa ilhamu ndani yake na kuachilia kibao kwa jina siskii...kamote. Mtindo wa Mejja ambao ni wa aina yake ndio hufanya apendwe na wengi na ndiposa duru za kuaminika zilikuwa zinasema ya kwamba kikundi cha Wasafi kutoka Tanzania kilimuauni afanye collabo na Diamond platinumz by Njogu Wa Kamau

Hivi karibuni mejja amekuwa akichipuka kwa mlipuko wa aina yake na nyimbo zake kupendwa na wengi.Inaaminika ya kwamba ustaarabu ambao hutumia ndio huasa wengi na kupenda nyimbo zake ambazo huhiniki…

Address

Samuelnjogu065@gmail. Com
Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Team Habari motomoto posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share