IMELA SHOW

IMELA  SHOW Imelashow is a gospel show which brings together all its audience together as a family.

  is a gospel show which bring together all its funs and other people together as a family. IMELA means thank you God i therefore invite you for this wonderful show every Sunday from 7pm to 10pm.

The Bible describes a true friend as someone who loves unconditionally, sticks with you through difficult times, and hel...
01/11/2025

The Bible describes a true friend as someone who loves unconditionally, sticks with you through difficult times, and helps you grow in character. True friends are like a brother in times of adversity, offer heartfelt advice, and sharpen each other's spirit like iron sharpens iron. They are also righteous and choose their friends carefully, avoiding those who lead to wrongdoing.
Characteristics of a true friend
Loyal and present in adversity: A true friend "loves at all times" and is especially there for you in times of trouble. They are described as a "brother born for adversity" and are a treasure when life is difficult.
A source of honest counsel: They provide genuine, heartfelt advice that can be difficult to hear but is ultimately trustworthy. The Bible contrasts this with the "kisses of an enemy," which are deceitful.
Encourages spiritual and personal growth: True friends, like "iron sharpens iron," help bring out the best in each other and encourage each other to "love and good works".
Careful in their choices: The righteous are warned to choose friends carefully, as the "way of the wicked leads them astray".
A source of support and encouragement: A true friend is someone who helps you up when you fall, and provides support when you are alone.
A reflection of Christ's example: Jesus calls his followers friends and showed sacrificial love by laying down his life for them, setting the ultimate example for how we should love our friends.
Someone who brings you closer to God: A good friend will encourage you to seek and follow God above all else.
How to be a true friend
Be a friend to others: The Bible states, "A man who has friends must himself be friendly".
Practice virtues: As outlined in Colossians, strive to clothe yourself with "compassion, kindness, humility, gentleness and patience," and forgive one another.
Offer encouragement: Make it a point to encourage one another, especially as you see "the Day drawing near".
Follow Jesus's example: A true friend follows Jesus's example by showing selfless and sacrificial love.

12/10/2025

Ni jioni ya baraka na shukrani
Kwa umbali huu Mungu ametufikisha, na tunaamini ataendelea kutushika mkono. Hapa tunamwambia Bwana, usiache kutembea nasi.

Karibu ndani ya , nami mtangazaji wako Kevin Keitany, nikikusindikiza kuanzia 6pm hadi 9pm hapa hapa ndani ya kituo chako cha .

Leo ni jioni ya kumshukuru Mungu kwa wema wake, tukipumzika na kusifu pamoja.
Upo wapi na unatufuatilia kutoka wapi? Tutumie ujumbe wako – maana wewe ndiye unafanya familia hii ya iwe ya kipekee.

🎢 Mziki wa kusifu na kuabudu upo tayari, moyo wako uko tayari?
Basi tuanze safari hii ya baraka

Ni wakati wa  Hapa tunamshukuru Mungu kwa umbali ametufikisha, na tunaomba azidi kutuongoza katika safari ya imani.Mimi ...
05/10/2025

Ni wakati wa
Hapa tunamshukuru Mungu kwa umbali ametufikisha, na tunaomba azidi kutuongoza katika safari ya imani.
Mimi ni Kevin Keitany, nipo pamoja nawe kuanzia 6pm hadi 9pm, tukisafiri pamoja kwenye mawimbi ya Radio Domus FM – Sauti ya Amani.
Unabarikiwa ukiwa wapi? Hebu tujulishe!

fans

05/10/2025

Celebrating my 9th year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. πŸ™πŸ€—πŸŽ‰

π™ˆπ™π™‰π™‚π™ π˜Όπ™‰π˜Όπ™π™ƒπ˜Όπ™ˆπ™„π™‰π™„ 𝙐𝙏𝙄𝙄 π™†π™π™‡π™„π™†π™Š 𝙆𝙄𝙏𝙐 𝙆𝙄𝙉𝙂𝙄𝙉𝙀 π˜Ύπ™ƒπ™Šπ˜Ύπ™ƒπ™Šπ™π™€:1 Samweli 15:22[22]"Naye Samweli akasema,je! BWANA huzipenda sadaka z...
05/10/2025

π™ˆπ™π™‰π™‚π™ π˜Όπ™‰π˜Όπ™π™ƒπ˜Όπ™ˆπ™„π™‰π™„ 𝙐𝙏𝙄𝙄 π™†π™π™‡π™„π™†π™Š 𝙆𝙄𝙏𝙐 𝙆𝙄𝙉𝙂𝙄𝙉𝙀 π˜Ύπ™ƒπ™Šπ˜Ύπ™ƒπ™Šπ™π™€:

1 Samweli 15:22
[22]"Naye Samweli akasema,
je! BWANA huzipenda sadaka za kuteketezwa na dhabihu Sawasawa na kuitii sauti ya BWANA?
Angalia, kutii ni bora kuliko dhabihu, Na kusikia kuliko mafuta ya beberu. "

Litukuzwe jina lipitalo majina yote kwa kulituma somo hili adhimu leo...
Maandiko matakatifu hapo juu ni mazungumzo kati ya Samweli nabii wa Mungu kwa Mfalme Sauli aliyekuwa anatawala Israel na Yuda nyakati hizo...
Kwa ufupi ni kwamba Sauli aliagizwa na Mungu akaangamize kila kitu........
Lakini Sauli akaacha kuangamiza mfalme na wanyama walionona kwa kigezo kwamba atakwenda kumtolea Mungu sadaka...

Sauli alikiuka maagizo ya Mungu akiamini kwamba atamfurahisha Mungu kupitia kumtolea sadaka na dhabihu. Lakini Mungu alichukizwa na kitendo cha Sauli kuasi maagizo yake,

Ndipo sasa akamtuma nabii Samweli kwenda kumwambia sauli kwamba kwasababu hukunitii nilichokuagiza kuanzia sasa hutakuwa mfalme tena juu ya watu wangu Israel. Jambo hili lilimfadhaisha mfalme Sauli..

Nini Mungu anatufundisha hapa??
Mungu anataka kutuambia kwamba kutii maagizo yake ni bora kuliko kitu kingine chochote chini ya jua. Mambo mengi yanamchukiza Mungu lakini hili la kutotii maagizo yake ni kero kwa Mungu

Wengi wetu leo hii tumekuwa watu wazuri sana kwenye idara ya kumtolea Mungu sadaka lakini hatuko vizuri kwenye kutii maagizo ya Mungu.
Hatufuati nini Mungu anataka tufanye lakini tunatoa sadaka tukiamini kupitia kufanya hivyo Mungu atasamehe kirahisi dhambi na maovu yetu...
Yaani tunatumia sadaka k**a kigezo cha kujisafisha huku tukiamini kupitia kufanya hivyo Mungu anasamehe...
Ukweli wa neno la Mungu ni kwamba Mungu anavutwa zaidi na Mtu anayemtii kuliko anayemtolea sadaka...

Roho Mtakatifu anafanya kazi na watiifu. Ili sadaka zako zipate kibali machoni pa Mungu ni lazima uanze kutii kwanza. Ukishindwa kutii lakini ukatoa sadaka, hizo sadaka za Mtu asiyetii ni chukizo na si kitu machoni pa Mungu.

Mithali 15:8
[8]Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA;
Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.
Mithali 21:27
[27]Sadaka ya wasio haki ni chukizo;
Si zaidi sana ailetapo mwenye nia mbaya!

Na utii unaozungumziwa hapa si tuu kupuuza neno la Mungu lakini pia kule kushindwa kuitii sauti ya roho wa Mungu inayotusemesha ndani yetu.
Mara nyingi Roho amekuwa akituambia rohoni usifanye hiki, acha hivyo, nyamaza, usichukue, usitukane, n.k. lakini tumekuwa wakaidi, tunapuuza na kufanya tunayotaka sisi...
Huyu ni Mungu anatusemesha tunapokaidi tunamkosea aliyetuumba

Kuna mambo mengi sana leo tunahangaika nayo kwasababu tulipuuza sauti ya Mungu ndani yetu
Kuna vitu vingi vibaya yameota na kuketa madhara kwenye maisha yetu kwasababu ya hatukutii maagizo ya Mungu.
Kutokumtii Mungu kumeleta anguko kwenye utumishi, ndoa, uchumi, afya, vifo, kukataliwa, kupoteza, nuksi, nk

Kuna watu wanadhani unaweza kumtii Mungu kwenye mambo fulani na mengine ukayapuuza....
Mungu anaanza kupima uaminifu wa mwanadamu kwa mambo yanayodhaniwa kuwa madogo madogo sana ndipo sa anaanza kukuamini kwa viwango vikubwa. Ukishindwa kuwa mwaminifu kwenye mambo madogo huwezi kauminiwa kwenye mambo makubwa

Luka 16:10
[10]Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo dogo, huwa dhalimu katika lililo kubwa pia.

Je ni wapi ambapo unashuhudiwa nafsini mwako kwamba unatakiwa kutiiii??
Basi omba rehema
Msihi Mungu akusamehe na amua kubadilika, anza kumtii Mungu na kuyaishi maagizo yake. K**a neno la Mungu lisemavyo;

Yakobo 4:7
[7] "Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia.

Kwa watumishi wa Mungu, kabla hujawahimiza waumini wako kutoa sadaka, wafundishe kwanza kuwa watii, maana utii ni chanzo cha mema yote chini ya jua.

24/08/2025

Usisahau kuomba,kusoma Neno la Mungu, kuombea Wengine na kujitolea matendo ya Upendo! Yatakupa

Address

Kerarapon, Ngong
Nairobi
00505

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IMELA SHOW posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to IMELA SHOW:

Share