08/07/2025
๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
Kabla uanze kusomaโฆ please usisahau kueka like ๐
๐๐๐๐ ๐
Neema ndo alikuwa anamaliza call na Richard. Kumbe Mark anaweza baki ndani for a while. Rachael akauliza, โSo what next?โ Neema akamshow, โTukiangukia jaji mkali, Mark ataona dust juu criminal record yake ni mbaya.โ Rachael akaanza kupanic kiasi.
Joseph akafika home, jamaa amechemka mbaya. Neema akajaribu kuuliza vile baba yake ako, Joseph akamshow โHii ni juu yako! K**a ungetumia akili hatungekuwa kwa hii mess.โ Rachael akajaribu kutuliza situation but Amani akamwaga ugali kabisa. Akamshow Neema, โAta ile kusaidia mum kwa hosi ilikuwa kujifanya, ulikuwa unaroll tu kututesa. Na ile idea ya mum kuja hapa ni yako tu.โ
Jojo alikuwa kimya, anaskia tu. Neema akajaribu kumwambia Jojo hakuwa na nia mbaya, Jojo akamjibu, โUsijali mum, Amani ako emotional tu.โ
Mark akiwa seli, ako lost in thoughts. Neema naye amekaa tu akitazama picha yao na Mark, hadi machozi yanamtoka. Rachael pia anashika shati ya Mark anaihug akiangua kilio. Eddy naye anabusu picha ya Neema k**a mvulana wa Form 2 aliyecrushiwa ๐
Neema aliingia room ya Jojo akakaa hapo kimya. Jojo akashtuka kidogo kusikia mum yake ameingia.
Kwa seli Mark hachakuli ata, anakata food apewe mfungwa mwenzake. Gafla polisi anafika akamwambia, โUko free bro, umetolewa.โ Mark anabaki ameshangaa hadi polisi anataka kumtoa na nguvu.
Asubuhi imefika, Neema na Jojo wanapack bags. Ian akaingia, Neema akamshow, โJiandae, tunaenda kwa daddy.โ Jojo akauliza, โSai?โ Neema akamwambia, โNiliambia Eddy mpaka nione Mark ndio tuende kwake. Sasa since Eddy ameachilia Mark, tunaenda.โ
๐๐๐๐ ๐
Jojo ametoka na bags zake chini, Amani na Rachael wanashangaa nini inaendelea. Jojo akawashow, โTunaenda kuishi kwa dad. Mark akifika tu, sisi tunatoka.โ
Kwa Eddy kila kitu kiko ready, vyumba safi, chakula iko. Eddy akamwambia house girl apike scrambled eggs na Irish potatoes โ favorite ya Neema.
Neema naye ameshuka, anakutana na Rachael. Amani akamwambia Neema, โPole k**a mnaenda juu ya vile nilisema jana.โ Neema akamwambia, โAcha tu, uko hapa kwa ajili ya dad yako.โ
Mark akaingia, Ian akamshika mkono โDaddy uko wapi?โ Mark akamjibu โNimekuwa busy tu.โ Jojo akasema, โGood to see you back.โ Neema akamwambia Jojo, โBeba bags, ziweke kwa gari.โ Jojo akamjibu, โWacha nipick kitu room.โ Amani akatoka na mum yake kidogo.
Mark akauliza, โMbona mmepack?โ Neema akamshow, โPole, lazima tuende kwa Eddy.โ Mark akabaki shocked. Neema akamwambia alikubali hiyo deal ya kuhamia Eddy ndio Mark aachiliwe. Mark akasema, โHii k**a ni hivyo bora nirudi seli.โ
Kumbe Rachael na Amani wanaskiza kila kitu. Mark akaambia Neema, โSiwezi survive bila wewe hapa.โ Neema akasema, โNitakuja tu. Ningoje.โ Mark akamjibu, โAta k**a itachukua miaka 1000, I will wait.โ
Kwa gari, Ian akauliza Neema, โMbona unalia?โ Neema akamwambia, โNitakosa ile nyumba ya Mark.โ
Kwa Mark, ako room, Amani anataka kuingia kumcheck, Rachael akamwambia, โWacha apumue.โ
Neema aliacha letter:
โPole kwa kuvunja moyo wako, nilifanya hivi juu ya watoto. Nitakurudia. Usinichoke. From your love, Neema.โ
Sharon anamwambia Isabelle, โNilikosea kuolewa na Dan?โ Isabelle anashangaa. Sharon anasema, โAngalia, nimetoka hosi, hayuko, honeymoon ata haikunipeleka!โ
Rachael ako lowkey down, Amani akamwambia, โUsiniambie umejam juu ya Neema na Mark?โ Rachael akasema, โNi maumivu ya separation. Naelewa.โ Amani akamwambia, โSasa ndio chance yako ya kuwa na dad. Tumia hiyo chance.โ Rachael akasema, โHaiwezekani. Dad wenu hanitaki.โ
Mark akakasirika, akaanza kuvunja vitu. Amani akaingia akapata Mark ameumia mkono. Akajaribu kumsaidia, Mark akamwambia, โNiache tu.โ
Kwa Eddy, kina Neema wamefika. Eddy akaongea k**a mwenye nyumba, โWelcome home family yangu.โ
Wamekaa kwa meza ya chakula, kila mtu anakula isipokuwa Jojo. Eddy akauliza, โShida gani?โ Jojo akasema, โNinaenda shule.โ Eddy akamwambia, โMwambie Dan akusupport,โ Jojo akasema, โNitapanda mathree.โ
Eddy akauliza Ian, โHizo game zako bado ziko moto?โ Ian akasema, โNitakufunga mbaya sana ๐โ
Neema ako kimya tu, mawazo yote kwa Mark.
๐ถ Sina neema ๐ถ
Na wewe bado hujanifollow? Click hapa ๐ DAN alafu bonyeza follow ama like page yangu upate updates za NEEMA mapema ๐ฅ
You wana know when neema will end? I got you
_________________________________________________________________________________________________
๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐
๐๐๐๐๐ โ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
Before you continue reading, please tap that like button ๐
Neema is a series packed with drama, betrayal, and above allโrevenge. Neema is constantly battling one challenge after another. Some viewers say theyโre getting bored due to the never-ending revenge plot, while others are still loving every twist and turn.
So, where do you stand? Are you still hooked on the show?
Many of you have been asking if Neema is finally coming to an endโand Iโve got you covered.
Hereโs an exclusive sneak peek at the final episode of Neema.
Will the revenge come to an end?
Will peace finally be restored?
Will love conquer all?
Who will die?
Whoโs getting married?
All these questions and more will be answered when you click the link below ๐๐ป
Full details of the Neema Citizen TV series season finale are just one tap away!
https://youtu.be/92rtL3TZrRA