DAN

DAN Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from DAN, Nairobi.
(312)

WRITER_CONTENT CREATOR_DIGITAL MARKETER_GRAPHICS DESIGNER
0792181715 WHATSAPP ONLY
CHURCHBOY πŸ™
ARSENAL FAN β€οΈπŸ˜‰
FROM MERU
STUDENT - COOPERATIVE UNIVERSITY OF KENYA

Huyu sasa yani hataki kusukumia afende gari πŸ˜‚πŸ˜‚ real definition of minding your business πŸ˜‚
16/05/2026

Huyu sasa yani hataki kusukumia afende gari πŸ˜‚πŸ˜‚ real definition of minding your business πŸ˜‚

15/05/2026

From Nairobi to Thika 150.
From Nairobi to Juja 70
From Juja to Thika 30.

Make a wise decision.

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ–π“π‡ πŒπ€π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏Shinda yenu ni kutolike 😫 si ulike before usome. Annaliza ameshtuka kuona Kefa a...
15/05/2026

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ–π“π‡ πŒπ€π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Shinda yenu ni kutolike 😫 si ulike before usome. Annaliza ameshtuka kuona Kefa amefika. Akamwambia sikiza,ni utoke ama niite polisi lakini Kefa akamwambia relax,sina ubaya babe,I just want us talk. Annaliza akamwambia usiniite babe,iam not your babe we divorced na iliisha hivyo. Kefa alimwambia sikiza na unisikize vizuri,ushawai jiuliza mbona nilikubali kusign nitoke jela? To teach you a lesson for betraying na mambo ni mawili, its either uwe wangu or nobody will have you,kaa ukijua hilo. Annaliza alimwambia sikiza bro,hutanitishia mimi,naolewa na Robert na ukitaka I will invite you.

Kefa alitoka akakuja akapata Robert hapo. Robert kumuona akamshika tai akamuuliza unafanya nini? Kefa akamwambia hii ni hosi,nimekuja kutibiwa alah🀣🀣🀣Robert karibu amvae vae Kefa but Annaliza akakuja akamwambia babe,dont create a scene.

Robert alimuuliza Annaliza huyu gaidi anataka nini? Annaliza akamwambia hata yeye hajui,amekuja tu kwa ofisi yangu akaanza kusema ati sijui ooh bado mimi ni wake. Robert akamwambia basi, ndio ajue tuko serious tunaoana very soon infact closer ndio ajue tuko serious.

Tyrone na yeye,aligundua Sabina hayuko happy akamuuliza,si umeambiwa umepona,mbona hauko happy? Sabina akadanganya akasema ni venye Tinah wangu hayuko hapa so hata siezi furahia. Tyrone akamwambia dont be soo hard on yourself,ingia twende home lakini Sabina akamwambia acha tu nitembee wee enda nakuja. Si ati Sabina anataka kutembea,anataka kurudi adeal na huyu daktari mbona amlipe na amcheze πŸ˜‚πŸ˜‚

Tyrone kuenda tu hivi,Sabina akarudi kwa yule daktari,akamuuliza si tulikua na deal,mbona umenibeba ujinga? Lakini daktari akamwambia sikiza,yes ulinipea pesa but mimi ni daktari I have my stand na siezi nunuliwa na pesa ju ya ujinga wako mwanamke mzima k**a wewe,unadhani 300k zinaeza ninunua? Na k**a ni pesa zako unataka ndio hizi,alah! Sabina akarudishiwa pesa zake na akaambiwa kanyaga nje.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Baadaye Robert alikuja akaambia Tyrone,we had plans tufanye wedding pamoja but venye mambo inaendelea seems kwako itadelay so sisi tulikua tumeona tuoane mapema mapema as you try to fix your family. Tyrone alimwambia haina shida,its still ok.

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Tufike mtaa wa Kibra, na sasa hapa ndio nataka mfungue macho vizuri sana. Huku ni kibera na huku ndio Tinah alitekwa nyara amefungiwa huku. Kamefungwa miguu,kisha sasa,nani huyo amesimama kando yake? Sabina! Makosa. Sabina alimteka nyara mtoto wake kutumia yule gaidi beshte wa Ray ,alafu makosa ni Tinah hakuli,but Sabina aliambia gaidi wake sikiza,make sure she eats na atakaa huku until I get what I want,. Its Sabina guys!

Report ilifika kwa kina Tyrone na Robert inasemekana Brayson has been bailed out...walishtuka sana lakini chenye kiliwashtua zaidi after kuambiwa mwenye alimbail out, Saida. Tyrone aliisha tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sabina ndio anarudi nyumbani anajifanya stressed but deep down ako sawa. Pale juu Saida alikuja akamwambia sikiza mama,now that umepona nataka uondoke kwangu lakini punde si punde,Tyrone akafika akawambia Saida njoo we need to talk haraka sana.

Tyrone alikuja akamuuliza Saida, what kind of nonsense,mbona unambail Ray? Saida akamwambia naamini he is innocent na ndio maana nikamtoa. Tyrone akamuuliza,mbona hukuniuliza? Saida akamuuliza nikuulize k**a nani? Saa ngapi na kila saa uko na Sabina? Tyrone alimwambia sikiza, si ati hauko kwa akili yangu ni venye niko na mambo mingi but yoh,mi bado nakupenda Saida ama unataka nifanye nini ndio ujue nakupenda? Hata Saida hakufikiria alimwambia Sabina umtoe kwa hii nyumba na Ray umpe nafasi ingine.

Kylian na yeye akiwa ametulia alipigiwa simu na Kefa. Kylian akamuuliza unataka nini? Ama unataka kunitishia? Kefa akamwambia relax,nataka kukusaidia,nasikia sister yako amekua kidnapped,niambie kila kitu unajua I can help. Kylian akamwambia sijui mengi but nasikia mwisho alikua na Ray,...punde si punde,Annaliza akafika akamuuliza Kylian unaongea na nani? Kylian akadanganya akasema ni beshte yangu tu. Wakamwambia incase Kefa anakucall usijaribu kushika simu. Kylian akasema siezi shika kabisa,saa hiyo ndio Kefa mwenyewe amekua anaongea na yeye.

Will Kefa help? Kwa leo ni,tuachie hapo.. goodnight everyone

Follow DAN

π€π˜π€ππ€ π‚πˆπ“πˆπ™π„π 𝐓𝐕 πŒπŽππƒπ€π˜ πŸπŸ–π“π‡ πŒπ€π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒Ready for updates? Weka like πŸ‘Written updates 9:30PMWatch updates videos...
15/05/2026

π€π˜π€ππ€ π‚πˆπ“πˆπ™π„π 𝐓𝐕 πŒπŽππƒπ€π˜ πŸπŸ–π“π‡ πŒπ€π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒

Ready for updates? Weka like πŸ‘
Written updates 9:30PM

Watch updates videos using the link below πŸ‘‡

https://pewauhondo.com/2026/05/15/ayana-citizen-tv-18th-may-2026-monday-part-1-and-part-2-full-episode-combined/

Usisahau kunifollow for early updates

15/05/2026

Umewai date mtu alafu unaskia rumors aty anakuanga na ukendiπŸ’”πŸ’”

Guardian Angel asione hii..... ficheni huyu kabisaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
15/05/2026

Guardian Angel asione hii..... ficheni huyu kabisaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ“π“π‡ πŒπ€π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏Nik**a drama ndio inaanza sasa, but before that please weka like.Ray alipelekwa ...
14/05/2026

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ“π“π‡ πŒπ€π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Nik**a drama ndio inaanza sasa, but before that please weka like.
Ray alipelekwa kotini,lakini kufika hapo akaangalia Sabina akamwambia tafadhali,sikukidnap mtoto wako hadi akaangalia Asha,akamuita empress,pia wewe huniamini? Unajua siezi fanya kitu k**a hiyo. Asha aliangalia kando,ishara ya kuwa,sikuamini. Ray akaangalia Tyrone akamwambia mzee,niokolee,I swear hakuna kitu k**a hiyo nimefanya. Hakuna mwenye anaamini Brayson. Apart from Saida.

Ray alipelekwa ndani manze.

Kumbe Saida akitoka ju kila mtu hakua aliambia Nura aangalie kwa room ya Sabina aone k**a atapata ile mizimu yake. Nura alitafuta lakini wapi,hakupata.

Annaliza ndio anarudi nyumbani akapata Kylian hajatulia,akamuuliza ni nini son? Kylian akamwambia anataka kuenda kwa mansion aone venye story ya sister yake kuwa kidnapped inaendelea. Annaliza akamuuliza,uko sure ni story ya Celestine ama ni Nura unaenda kuonaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Saida,Asha na akina Mathew washarudi nyumbani. Hapo nyuma Asha alimuita Mathew akamuuliza kwani kuliendaje Ray akakusugua ngumi ya mapua,and what did he say after amekulima? Mathew akamwambia hakuna kitu alisema alinigonga tu na akaenda na sijui huwa unadate mtu aina gani huyo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sabina na yeye amejam,sasa anamlaumu Tyrone kwa kumpea Ray second chance. Imagine hata hamjui nani alikidnap Tinah but lawama ishaenda kwa Ray na deep down Sabina knows where Tinah is...imagine kanajuaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Asha aliambia Mathew yeye alikua ashaamini Ray wake amebadilika. Punde si punde Kylian pia akafika hapo,na macho k**a mwizi,akauliza Asha,surely kwani wee unadate mtu aina gani,anakidnap sister yangu? I wish aozee jela huyo. Mathew aliambia Kylian makosa si ya Asha,ni venye jamaa alimdanganya akamwambia amechange,so she is also a victim of circumstances.

Kylian kalikua kanataka kukojoa kakaambia Asha aende akaonyeshe penye kuna vyoo vya wasio wenyeji.

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Saida akiwa ametulia anafikiria venye anaeza ataexpose Sabina lakini punde si punde akapigiwa simu na new number. Akashika lakini alishtuka kusikia ni sauti ya nani? Ray.

Alimuuliza wee,kwani uko wapi? Ray akamwambia niko rumande nimeomba simu lakini hiyo si important,cha muhimu nataka usaidizi wako. Nimepewa cash bail ya pesa like 30k nataka unisaidie nitoke lakini Saida anamwambia Tinah ni mtoto wa kisonko unaona itakua rahisi? Lakini Ray akamwambia aje, mtaa yetu wananijua sana na k**a kuna mtu angekua amekidnapiwa ni Asha but mbona Tinah awe kidnapped? Ni ju mwenye alimkidnap ni mtu alitumwa si mtu wa mtaa yangu ju wa mtaa yangu wananielewa vizuri sana. Saida akaona this makes sense,akaamua kutumana bail Ray atoke ajue who kidnapped Tinah...baaas!

Huku kwa mansion, Mathew akiwa amekaa hapo,aliletewa juice na Nura huku Nura anamwambia pole Mathew naelewa unapitia makubwa but utakua sawa. Kumbe Kylian alikua anachungulia akaona venye hawa wanaongea akajileta hapo. Alafu anakuanga fala,alifika hapo akasimama. Mathew akaona acha ajitoe aache hawa waongee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kylian akauliza Nura,so hauna time yangu but ukona time ya wanaume wengine sindio πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Nura alimwambia sikiza,k**a umekuja kuniletea mambo yako sina muda na wewe kwa sababu nilikuambia kwa simu venye nakupenda na hukusema kitu...Kylian akamuuliza saa ngapi? Ile wakati Kylian alienda akaacha simu ndio wakati Nura alifunguka kwake,shida ni Kylian hakusikia.

Saida alikuja kwa Asha,akamuuliza mbona hukuja kusupport Ray kotini leo? Ama humpendi? Asha akamwambia mbona nikuje na mbona nisimame na yeye,nilishamwambia akiendelea na uhuni wake tushaachana. Saida akamwambia mbona mimi nimuamini? Asha akamwambia kwa sababu ulimbrain Ray na ndio maana ashakua adui wa Tinah na Sabina. Saida akamwambia enyewe hauna akili,ni wewe unakua brainwashed na Sabina. Asha akamwambia mamake sikiza,si kila ako k**a wewe kufanya lolote ju ya pesa. Saida alijam akataka kukafunika kofi but Nura na Kylian wakaingia...Asha alibakisha tu kido,awekelewe kofi.

On other side, Sabina walikuja hosi wakapimwa na kumbuka alikua ashalipa yule daktari aseme hajapona. Wakiwa wanangoja matokeo hapo,daktari alikuja akasema aje "Good News Sabina wewe ushapona sasa" Tyrone alifurahi,lakini Sabina akashtuka,akaangalia daktari,akashindwa ngombe hii,si wewe tuliongea useme sijapona niendelee kukaa kwa Tyrone hadi Sabina anamfinyia macho but madam ako serious akamwambia wewe ushapona and you should be happy 🀣🀣🀣Sabina amechezwa.

Robert alikuja kazini akapata Annaliza hapo na akamwambia amepitia kwa mtaa wa Ray but information amepata ni tofauti sana. Annaliza akauliza mbona? Robert akamwambia huko mtaa ya Ray wanamuogopa vibaya sana na hakuna mtu anaeza jaribu kukidnap mtu akiwa na Ray. So k**a kuna mtu alifanya hivyo that person is more powerful than Ray. Hadi Annaliza pia akasema hadhani ni Ray so kuna mtu.

Saa cheki,Robert after ameongea na Annaliza ameenda,hata dakika haikusha tena mtu akafungua ofisi ya Annaliza,na Annaliza ju ako busy akajua tu ni Robert akamuuliza kwani babe umesahau kitu tena ama? Lakini alishtuka,wakati sauti ilimuita "my love" ni sauti ya Kefa. Wah! Kunoma sasa. Robert ameenda,Annaliza yuko peke yake,na sasa gaidi amefika. Mako! Makosa.

Selestine Nyagah aka 'Neema' with her beautiful daughter πŸ’•β€οΈ
14/05/2026

Selestine Nyagah aka 'Neema' with her beautiful daughter πŸ’•β€οΈ

π€π˜π€ππ€ π‚πˆπ“πˆπ™π„π 𝐓𝐕 π…π‘πˆπƒπ€π˜ πŸπŸ“π“π‡ πŒπ€π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒Ready for updates? Weka like πŸ‘Written updates 9:30PMWatch updates videos...
14/05/2026

π€π˜π€ππ€ π‚πˆπ“πˆπ™π„π 𝐓𝐕 π…π‘πˆπƒπ€π˜ πŸπŸ“π“π‡ πŒπ€π˜ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒

Ready for updates? Weka like πŸ‘
Written updates 9:30PM

Watch updates videos using the link below πŸ‘‡

https://pewauhondo.com/2026/05/14/ayana-citizen-tv-15th-may-2026-friday-part-1-and-part-2-full-episode-combined/

Imagine hii hasara yote πŸ˜«πŸ’”
14/05/2026

Imagine hii hasara yote πŸ˜«πŸ’”

Address

Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DAN posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share