20/10/2025
πππππ ππππ ππππ ππππππ πππππππ πππππππ
Tumerudi tena wakuu,kumbuka kuweka LIKE tukisonga.
ππππ π
Dr. Robert akidhani Tyran anataka vita,but noo,Tyran aliambia Saida,iam sorry,umefanya kazi poa sana kumlea Asha and I cant take it for granted ni venye sikujua tuna mtoto. Saida akaona haya,so unamaanisha umekubali mtoto wako?
Tyran aliambia Asha,iam sorry,pole kwa kulelewa bila baba but sikua najua and from now,mamaa,I want to be part of your life. Saida akauliza Tyran,mbona ulituongelesha vibaya wakati tulikuja kwa ofisi yako,ama ulidhani tulikuja kutafuta pesa. Saida aliambia Tyran sikiza, siamini hii mauongo zako za matakata,lakini ajabu ni kuwa,Asha akatoka huko akamhug babake kwa furaha sana ππππmakosa ikawa, someone was recording them,na video ukatumiwa Sabina....makosa!
Sabina hajawai jam hivyo...
Tyran alikaa chini an watu wake,ubeshte an Robert ikarudi and yph! Such a happy family has just happenedππhadi Robert anafeel kawivu anaambia Tyran manze nafutrahia sana hata k**a sina familia yangu.
Selina ashajua babake amekutana na Asha an Saida hadi anauluiza mamake,hakuna kitu utafanya mum? Sabina alimwambia its not that easy daughter. Lakini Selina akamwambia sikiza, mzae alijua,he knew Asha ni wake but hakukuambia so ukiendelea kukaa hivi,watakuja hapa na tutafukuzwa huku so mum lets not wait for them bring the war here,lets get the war to them,
Sabina na Selina wakadeclare war,against Saida na Asha na wachunge,huyu Asha huyu,anakuanga umeme ππalafu uongeze wazimu wa mamake? Hatari sana.
Huh! Imagine Tyran alilala nje hadi morning,wacha sasa afike nyumbani,Sabina amejam sana hadi anamuuliza so unamistreat Selina ju unajua uko na backup daughter sindio? Tyran alicheka tu, na venye Sabina alimuonyesha ile video,still alicheka tu.
Kisha Tyran akafungua mlango wa gari,ashakuja na Asha already, "hatujifichi" kisha akawaambia meet my daughter Asha,she is my joy and happiness na atakaa huku na sisi. Kuna mwenye anapinga? "she is not welcomed here" Sabina akamwambia Tyran lakini Tyran akawaambia yoh yoh! My house,my rules,ole wenu mumguze nione,ghai! Nawameza wazima wazima π€£π€£π€£π€£anaitwa Tyran.
ππππ π
Sabina amejam sana na Tyran hadi anamuuliza so mimi bibi yako my opinion haikuhusu sindio,unaniletea stranger kwangu? Tyran akamwambia sijafukuza mtu,si nimemleta tu as part of my family. Sabina akamwambia Asha kukaa huku I never wanted that lakini Tyran akamwambia whether you like it or not,Asha na Selina are sisters na watakaa pamoja na please hiyo imeisha,nisijirudie tena.
Woiye Saida, ni kweli Asha ameenda kwa babake,but amemzoea sana hadi anajipata analia tu kukaa bila Asha wake.
Asha yuko starehe,wanakula kwanza amekaa karibu na babake,furaha si furaha na Selina akiona hivyo,anajam sana hadi akaamka kwa meza akaenda π€£π€£π€£enemies are suffering.
Selina alikuja akamcall mtu wake but babake akamfuata akamwambia mum, Asha hajakuja kukureplace,she is your sister and love her as your sibling. Selina aliambia babake,no amount of excuses can make up the disresect you have caused to me and my mum..Tyran akamwambia chunga sana mdomo yako,I havent disres[ected anyona na uchunge mdomo yako msichana. Selina kako na kiburi hadi akaambia babake toka tu kwa room yangu uende.
Sabina alimcall Robert,akamuuliza, why Robert,mbona ukanifanyia hivi? Robert akamwambia si kwa ubaya nilishindwa cha kufanya. Sabina akamwambia please kuna kitu nataka unifanyie and let me come to youe place so that I can clear my mind.... mbona Sabina aende kwa Robert kuclear her mind kwa sababu,yeye na Robert wamekua wakinini,ile kitu ya watu wazima yeah..lakini makosa ikawa,kumbe Tyran alisikia kila kitu,,wah! Balaa sasa
Huo usiku,hata Tyran hakulala kwa room yake,alikesha akiwa amekaa kwa kiti kwa room ya Asha huku Sabina na yeye pia hakulala kwa room yao alikesha kwa room ya Selina ππ
Saida alimcall Asha akamuuliza walilala aje? Asha akamwambia mum,huku nimelala vizuri sana. Saida akamwambia haya basi binti yangu,mimi kesho nasafiri.
Tyran alisikia Asha akiongea na mamake akamwambia haya my daugter jipange nitakupeleka uona mamako ndio turudi.
Sabina amejam sana anaambia Selina usijali,Asha will not spend one more night huku. Sabina anasema hivi kwa sababu anajua ako na mipango na Robert,but chenye hajui ni, Tyran ashajua.
Asha aliletwa na babake akaona mamake hadi Tyran akamuuliza mbona hutaki kukaa sana Nairobi unataka kuenda Mombasa? Saida akamwambia ni venye biashara zangu sitaki ziharibike. Asha akaambia babake na hata tena amefungiwa nyumba πππHivyo ndio Asha kaliokolea mamake. Punde si punde, Tyran akapigiwa simu kazini mbio mbio.
Kumbe Sabina na yeye,amekuja kwa Dr. Robert,akamuuliza mbona unaniignore Robert,we were something mimi na wewe,mbona sai unaniassume as if hatujai lala na wewe,ama hunipendi tena? Lakini kiiiiiiiidogo hivi...ikaishia hapo,tukutane kesho πππ
Follow DAN