DAN

DAN WRITER
CONTENT CREATOR
DIGITAL MARKETER
GRAPHICS DESIGNER
0792181715 WHATSAPP ONLY
CHURCHBOY πŸ™
ARSENAL FAN β€οΈπŸ˜‰
(320)

π€π˜π€ππ€ πŸπŸπ’π“ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π’πŸŽπŸπ„πŸŽπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Tumerudi tena wakuu,kumbuka kuweka LIKE tukisonga.𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Dr. Robert akidhani Tyra...
20/10/2025

π€π˜π€ππ€ πŸπŸπ’π“ 𝐉𝐔𝐍𝐄 π’πŸŽπŸπ„πŸŽπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Tumerudi tena wakuu,kumbuka kuweka LIKE tukisonga.
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Dr. Robert akidhani Tyran anataka vita,but noo,Tyran aliambia Saida,iam sorry,umefanya kazi poa sana kumlea Asha and I cant take it for granted ni venye sikujua tuna mtoto. Saida akaona haya,so unamaanisha umekubali mtoto wako?

Tyran aliambia Asha,iam sorry,pole kwa kulelewa bila baba but sikua najua and from now,mamaa,I want to be part of your life. Saida akauliza Tyran,mbona ulituongelesha vibaya wakati tulikuja kwa ofisi yako,ama ulidhani tulikuja kutafuta pesa. Saida aliambia Tyran sikiza, siamini hii mauongo zako za matakata,lakini ajabu ni kuwa,Asha akatoka huko akamhug babake kwa furaha sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚makosa ikawa, someone was recording them,na video ukatumiwa Sabina....makosa!

Sabina hajawai jam hivyo...

Tyran alikaa chini an watu wake,ubeshte an Robert ikarudi and yph! Such a happy family has just happenedπŸ˜‚πŸ˜‚hadi Robert anafeel kawivu anaambia Tyran manze nafutrahia sana hata k**a sina familia yangu.

Selina ashajua babake amekutana na Asha an Saida hadi anauluiza mamake,hakuna kitu utafanya mum? Sabina alimwambia its not that easy daughter. Lakini Selina akamwambia sikiza, mzae alijua,he knew Asha ni wake but hakukuambia so ukiendelea kukaa hivi,watakuja hapa na tutafukuzwa huku so mum lets not wait for them bring the war here,lets get the war to them,

Sabina na Selina wakadeclare war,against Saida na Asha na wachunge,huyu Asha huyu,anakuanga umeme πŸ˜‚πŸ˜‚alafu uongeze wazimu wa mamake? Hatari sana.

Huh! Imagine Tyran alilala nje hadi morning,wacha sasa afike nyumbani,Sabina amejam sana hadi anamuuliza so unamistreat Selina ju unajua uko na backup daughter sindio? Tyran alicheka tu, na venye Sabina alimuonyesha ile video,still alicheka tu.

Kisha Tyran akafungua mlango wa gari,ashakuja na Asha already, "hatujifichi" kisha akawaambia meet my daughter Asha,she is my joy and happiness na atakaa huku na sisi. Kuna mwenye anapinga? "she is not welcomed here" Sabina akamwambia Tyran lakini Tyran akawaambia yoh yoh! My house,my rules,ole wenu mumguze nione,ghai! Nawameza wazima wazima 🀣🀣🀣🀣anaitwa Tyran.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Sabina amejam sana na Tyran hadi anamuuliza so mimi bibi yako my opinion haikuhusu sindio,unaniletea stranger kwangu? Tyran akamwambia sijafukuza mtu,si nimemleta tu as part of my family. Sabina akamwambia Asha kukaa huku I never wanted that lakini Tyran akamwambia whether you like it or not,Asha na Selina are sisters na watakaa pamoja na please hiyo imeisha,nisijirudie tena.

Woiye Saida, ni kweli Asha ameenda kwa babake,but amemzoea sana hadi anajipata analia tu kukaa bila Asha wake.

Asha yuko starehe,wanakula kwanza amekaa karibu na babake,furaha si furaha na Selina akiona hivyo,anajam sana hadi akaamka kwa meza akaenda 🀣🀣🀣enemies are suffering.

Selina alikuja akamcall mtu wake but babake akamfuata akamwambia mum, Asha hajakuja kukureplace,she is your sister and love her as your sibling. Selina aliambia babake,no amount of excuses can make up the disresect you have caused to me and my mum..Tyran akamwambia chunga sana mdomo yako,I havent disres[ected anyona na uchunge mdomo yako msichana. Selina kako na kiburi hadi akaambia babake toka tu kwa room yangu uende.

Sabina alimcall Robert,akamuuliza, why Robert,mbona ukanifanyia hivi? Robert akamwambia si kwa ubaya nilishindwa cha kufanya. Sabina akamwambia please kuna kitu nataka unifanyie and let me come to youe place so that I can clear my mind.... mbona Sabina aende kwa Robert kuclear her mind kwa sababu,yeye na Robert wamekua wakinini,ile kitu ya watu wazima yeah..lakini makosa ikawa,kumbe Tyran alisikia kila kitu,,wah! Balaa sasa

Huo usiku,hata Tyran hakulala kwa room yake,alikesha akiwa amekaa kwa kiti kwa room ya Asha huku Sabina na yeye pia hakulala kwa room yao alikesha kwa room ya Selina πŸ˜‚πŸ˜‚

Saida alimcall Asha akamuuliza walilala aje? Asha akamwambia mum,huku nimelala vizuri sana. Saida akamwambia haya basi binti yangu,mimi kesho nasafiri.

Tyran alisikia Asha akiongea na mamake akamwambia haya my daugter jipange nitakupeleka uona mamako ndio turudi.

Sabina amejam sana anaambia Selina usijali,Asha will not spend one more night huku. Sabina anasema hivi kwa sababu anajua ako na mipango na Robert,but chenye hajui ni, Tyran ashajua.

Asha aliletwa na babake akaona mamake hadi Tyran akamuuliza mbona hutaki kukaa sana Nairobi unataka kuenda Mombasa? Saida akamwambia ni venye biashara zangu sitaki ziharibike. Asha akaambia babake na hata tena amefungiwa nyumba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hivyo ndio Asha kaliokolea mamake. Punde si punde, Tyran akapigiwa simu kazini mbio mbio.

Kumbe Sabina na yeye,amekuja kwa Dr. Robert,akamuuliza mbona unaniignore Robert,we were something mimi na wewe,mbona sai unaniassume as if hatujai lala na wewe,ama hunipendi tena? Lakini kiiiiiiiidogo hivi...ikaishia hapo,tukutane kesho πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Follow DAN

Go well Rao .πŸ•ŠοΈ
19/10/2025

Go well Rao .πŸ•ŠοΈ

Heartbreaking scenes in Kisumu today 😭
18/10/2025

Heartbreaking scenes in Kisumu today 😭

BABA had beautiful Granddaughters ❀️
18/10/2025

BABA had beautiful Granddaughters ❀️

KDF plane carrying Raila Odinga's body has touched down in Kisumu.
18/10/2025

KDF plane carrying Raila Odinga's body has touched down in Kisumu.

Raila's bodyguard Maurice Ogeta has stood with him up to his last breath. Here, Ogeta is still guarding his boss even in...
17/10/2025

Raila's bodyguard Maurice Ogeta has stood with him up to his last breath. Here, Ogeta is still guarding his boss even in death. He is not leaving Raila's side. Even with the military around his boss, he still feels he must be there for his safety.

Pure definition of loyalty !!!

17/10/2025

Exactly 5:00AM early birds k**a umeamka salama unaona hii post wave πŸ‘‹

Yani Unamalizwa Ukiomboleza....Jameni!😫R.I.P to everyone that lost their life this morning Raila Odinga
16/10/2025

Yani Unamalizwa Ukiomboleza....Jameni!😫
R.I.P to everyone that lost their life this morning Raila Odinga

MEET THE CAPTAIN WHO BROUGHT BABA  home. She looks so sadπŸ₯Ή good job baby girl,
16/10/2025

MEET THE CAPTAIN WHO BROUGHT BABA home.

She looks so sadπŸ₯Ή good job baby girl,

No Kenyan Will Skip Raila Amollo Odinga πŸ˜­πŸ’”
16/10/2025

No Kenyan Will Skip Raila Amollo Odinga πŸ˜­πŸ’”

RAILA AMOLO ODINGA1945 – 2025THE PEOPLE’S PRESIDENT – BABABornJanuary 7, 1945 – Maseno, Kisumu DistrictParentsJaramogi O...
15/10/2025

RAILA AMOLO ODINGA
1945 – 2025
THE PEOPLE’S PRESIDENT – BABA

Born
January 7, 1945 – Maseno, Kisumu District

Parents
Jaramogi Oginga Odinga & Mary Juma Odinga

Education
Maranda High School
Technical University of Magdeburg – MSc in Mechanical Engineering

---

A Life of Courage, Vision & Service

Detained for six years fighting for multiparty democracy.

Founder of Orange Democratic Movement (ODM).

Served as Prime Minister of Kenya (2008–2013).

Key architect of the 2010 Constitution that brought devolution.

Contested for the presidency five times with unmatched resilience.

---

Legacy
A tireless champion for justice, democracy, and equality.
He inspired generations to believe in a freer, fairer Kenya.
Forever remembered as a father of reform and a voice of the people.

Usiende bila R.I.P

π€π˜π€ππ€ πŸπŸŽπ“π‡ πŽπ‚π“ π’πŸŽπŸπ„ππŸŽπŸ“ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 So far good,thanks for your LIKES on Ayana Updates. It motivates.𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Dr. Tyran...
09/10/2025

π€π˜π€ππ€ πŸπŸŽπ“π‡ πŽπ‚π“ π’πŸŽπŸπ„ππŸŽπŸ“ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
So far good,thanks for your LIKES on Ayana Updates. It motivates.
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Dr. Tyran in as much as anasema hataki story za Asha,she is a very disturbed man,anashinda ataanzia wapi. Ni saa tatu ya usiku hajalala na hata supper hawajakula. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Asha na yeye pia, anatembea tembea tu huku tao,peke yake. Woiye Saida,amelia sana anashindwa mtoto wake ameenda wapi.

Kwa Tyran wakikula,Selina aliuliza babake, is she your daughter? Tyran akamwambia how I wish hii nguvu ungeeka kwa maisha yako kuliko kuweka mapua kwa mambo hayakuhusu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Selina akamuuliza unamaanisha nini? Tyran akamuuliza ukiiba mtihani ulikua unafikiria nini? Selina akaamka akaambia babake usiniongeleshe kuhusu failure...Tyran akajam akamwambia young lady siezi kuwa nakuongelesha na unakaa, SEAT DOWN! Lakini Selina akauliza babake,nisipo kaa? Utadu? I thought so...wah! Kichwa ngumu k**a ya PaulohπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Masaa yanasonga Asha hajapatikana,mamake amelia hadi karibu afaint lakini punde si punde,Asha akafika. Kalijileta kenyewe.

Sabina alikuja akaambia bwanake come on, Selina is our daughter,and yes she has failed but hii issue ya Asha inaaffect mtoto wetu pia. Tyran akauliza mkewe, are you proud of Selina na chenye alifanya? Tyran alimwambia iam hurt,I gave her everything,I considered her as a friend but ona inafika pahali ananiongelesha k**a mtu wa mutura. Hii yote, Selina ama Tinah,ama Celestine ako hapo nje anasikia.

Robert aliambia akina Saida,finally Tyran amekubali kufanya DNA tuone matokeo lakini Saida akamwambia nawajua,mtafanya janja janja mseme Asha si wake sio? Robert akamwambia,I will do my best to get real results.

Siku iliyofuata,Selina ndio anajoin wazazi wake kunywa chai lakini kufika hapo,akawasalimia,ni mamake tu alijibu but for Tyran aliamka akaenda. πŸ˜‚πŸ˜‚kisha Selina akauliza mamake, unaamini dad kuhusu hii story ya Asha? Sabina akamwambia kind of ju yeye huwa hanifichi anything.

Asha na yeye akauliza mamake,by the way mum,what if matokeo itoke negative? Mamake akamuuliza so unajaribu kumaanisha nini,like sijui babako ama? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Saida alimwambia huyo daktari hakutaki hata matokeo ikiwa sawa haitabadilisha jambo so jiandae turudi Mombasa.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Vita za Bobo na Beka bado tu..Bekaa alikuja akapata Bobo anafunga nyumba ya akina Asha,akamuuliza wee vipi,mbona ufungie watu nyumba? Bobo akamwambia k**a wajiona una pesa mlipie basiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kumbe Asha alimkataa Bobo ndio maana.

Beka alimcall Asha,akamuuliza mamaa,mbona ulienda ukaniacha hata bila kwaheri na naona Bobo amefunga nyumba? Asha akamwambia si wewe una Nura,nenda kwa Nura,mimi achana na mimi. Beka akamwambia mamaa,pesa za nyumba nitatafuta niwalipie. Asha akamwambia usijipe shida,achana na mimi,nenda kwa Nura πŸ˜‚πŸ˜‚

Robert ashachukua samples za Asha akaletea Tyran apime mwenyewe lakini Tyran akamuuliza mwenzake,what if iwe positive? Robert akamwambia si ndio hiyo sasa,you will be her father πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Tyran anashindwa atakua baba wa mtoto hajajua for 20yrs? But all in all, Tyran akakubali kufanya DNA test...

Ewooo...kwani Selina anadate watu wangapi...apart from Chris mwenye tuliona jana yule married man,kuna kaboys kengine hapa kanaitwa Mathew kalikuja kumtembelea. Selina is dating Mathew and Chris.

Asha alikuja akaambia mamake,Beka anasema tumefungiwa nyumba. Saida akasema heri hivyo sasa at least vitu zetu salama salimini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kumbe Beka na yeye amekuja kuchukua savings zake,aende kulipia akina Asha nyumba lakini punde si punde Nura akafika..kumbe Bobo ashaambia Nura kuwa Beka anataka kulipa nyumba ya akina Asha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nura alifika akapata Beka anahesabu pesa akamwambia sasa sikiza, mimi ndio nitakua nakaa na pesa ju mimi ndio mkeo.πŸ˜‚πŸ˜‚mapenzi wewe.

On other side, Sabina aliitisha mkutano na jamaa fulani akamwambia story kuhusu Asha na akamwambia nataka kujua kila kitu kuhusu huyu msichana,every details,nataka kuzijua before I do anything else.

Kumbe Mathew,huwa anatuma watu kumfuata Selina na ashajua juzi ameenda club huko Kiambu lakini makosa Mathew amefanya ni kuuliza Selina. Selina akamwambia sikiza, ningetaka bodyguard ningepata but ju wee umeamua kunifuata fuata na uko hapa kwetu, kindly toka. Mathew akidhani ni jokes aliambiwa ni utoke morio alahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Selina alifukuza morio wake akakuja kuongea na Dr. Rober,ju she is soo intrested kujua k**a Asha ni wa Tyran....Hii sasa itabidi niwaambie kesho ju for now.acha tungoje DNA results. Adios.

Address

Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DAN posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share