Radio Waumini 88.3FM

Radio Waumini 88.3FM Radio Waumini is a project of the Kenya Conference of Catholic Bishops. (KCCB)
(545)

11/01/2026

msikilizaji mpendwa...hujambooo?? Tumsifu Yesu Kristu. Karibu mwaka mpya 2026 kwenye makala yetu ya Tumshangilie Bwana. Kwa wema wa Bwana ningali yule yule Maurice Otsieno...au kwa ufupi..Niite Kaka Muritsi Wakusinyo.

Swali letu la siku:
Je, sakramenti ya ubatizo ni wa ngapi kwa mkristo mkatoliki? ARAFA/ SMS 0712 223385.

 . #๐ฐ๐จ๐ซ๐ฌ๐ก๐ข๐ฉ๐ก๐จ๐ฎ๐ซ.๐‡๐ฎ๐ฃ๐š๐ฆ๐›๐จ ๐ง๐š ๐ค๐š๐ซ๐ข๐›๐ฎ ๐ฌ๐š๐ง๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ค๐š๐ฅ๐š ๐ฆ๐ž๐ง๐ ๐ข๐ง๐ž ๐ก๐š๐๐ข ๐ฆ๐ฐ๐ข๐ฌ๐ก๐จ๐“๐€๐…๐€๐Š๐€๐‘๐ˆ; ๐–๐ž๐ฐ๐ž ๐” ๐Œ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ๐ฎ๐จ๐ง๐š๐ฒ๐ž(๐Œ๐ฐ๐š๐ง๐ณ๐จ ๐Ÿ๐Ÿ”; ๐Ÿ๐Ÿ‘)๐‘น๐’‚๐’‡๐’Š๐’Œ๐’Š ...
11/01/2026

.
#๐ฐ๐จ๐ซ๐ฌ๐ก๐ข๐ฉ๐ก๐จ๐ฎ๐ซ.

๐‡๐ฎ๐ฃ๐š๐ฆ๐›๐จ ๐ง๐š ๐ค๐š๐ซ๐ข๐›๐ฎ ๐ฌ๐š๐ง๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ค๐š๐ฅ๐š ๐ฆ๐ž๐ง๐ ๐ข๐ง๐ž ๐ก๐š๐๐ข ๐ฆ๐ฐ๐ข๐ฌ๐ก๐จ

๐“๐€๐…๐€๐Š๐€๐‘๐ˆ; ๐–๐ž๐ฐ๐ž ๐” ๐Œ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ๐ฎ๐จ๐ง๐š๐ฒ๐ž(๐Œ๐ฐ๐š๐ง๐ณ๐จ ๐Ÿ๐Ÿ”; ๐Ÿ๐Ÿ‘)
๐‘น๐’‚๐’‡๐’Š๐’Œ๐’Š ๐’š๐’‚๐’๐’ˆ๐’–, ๐’Œ๐’–๐’๐’‚ ๐’๐’š๐’‚๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š ๐’•๐’–๐’Ž๐’†๐’˜๐’‚๐’›๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’‹๐’Š๐’–๐’๐’Š๐’›๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’‰๐’‚๐’๐’ˆ๐’‚๐’Š๐’Œ๐’ ๐’š๐’†๐’•๐’– ๐’š๐’‚๐’๐’‚๐’‡๐’‚๐’‰๐’‚๐’Ž๐’Š๐’Œ๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐‘ด๐’–๐’๐’ˆ๐’– ๐’๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’๐’‹๐’Š๐’‚ ๐’›๐’‚๐’Œ๐’† ๐’›๐’‚ ๐‘ฒ๐’Š๐’Žu๐’๐’ˆ๐’– ๐’๐’‚ ๐’›๐’‚ ๐’Œ๐’Š๐’‘๐’†๐’Œ๐’†๐’† ๐’‚๐’๐’‚๐’‹๐’Š๐’‡๐’–๐’๐’–๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’†๐’•๐’–.
Hadithi ya Hagari katika mwanzo 16 inaashiria maisha ya wengi wetu wakati labda tumepitia, โ€˜rejection, lonineliness, dhulma, uoga na mengine ambayo yamo mioyoni mwetu. Rafiki nakukumbusha tu kwamba hakuna wakati tumekuwa kitendawili ama fumbo lisiloeleweka kwa Mungu na huwa anawatuma malaika wake kutulinda na kutuongoza. Wakati na wa machungu na Maumivu kuna matumaini yaliyokuwa yakitarajiwa lakini yamechelewa.
Wakati wa kukosa tunalohitaji k**a Sarai huwa tuna uchungu . Sara alipitia na labda ikamfanya kumtesa mwenzake Hagari
โ€ข Maumivu na machungu ya kwamba Mungu hajajibu maombi au amechelewa kujibu maombi
โ€ข Maumivu na machungu ya aibu kujulikana k**a mwanamke aliye tasa au mgumba na asiyezaa katika jamii
โ€ข Maumivu na machungu ya kumlaumu Mungu k**a asiyejali maumivu yake na mateso yake

Hata hivyo katika mateso yake Hagari tunaona Mungu akimtumia malaika kumuonyesha uhalisia na uhakika wake. Mungu mwenyewe huhusika na mahitaji ya wanadamu anaona na anajua kila kitu na kila njia na aina ya mateso tunayoyapitia. hakuna mtu maalumu kwa Mungu, Mungu ni wa watu wote, Mungu anataka kumponya na kumganga na kumuhudumia kila mmoja wetu, Unaweza kuteswa, kunyanyaswa, kuonewa na kufanyiwa mabaya lakini liko Jicho lenye nguvu linalochungulia ulimwenguni na kuitafuta haki ili kuona ikitendeka na k**a haitendeki, huingilia kati na kutokezea njia yeye ni Mungu aonaye.
Mungu aonaye ๐‰๐ž๐ก๐จ๐ฏ๐š๐ก ๐‘๐จ๐ก๐ข ๐‘š๐‘Ž๐‘โ„Ž๐‘œ ๐‘ฆ๐‘Ž๐‘˜๐‘’ ๐‘ฆ๐‘Ž๐‘˜๐‘œ ๐‘˜๐‘–๐‘™๐‘Ž ๐‘š๐‘Žโ„Ž๐‘Ž๐‘™๐‘– โ„Ž๐‘Ž๐‘ค๐‘’๐‘ง๐‘– ๐‘˜๐‘ข๐‘ฃ๐‘ข๐‘š๐‘–๐‘™๐‘–๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘œ๐‘›๐‘Ž ๐‘ข๐‘›๐‘Ž๐‘ก๐‘’๐‘ ๐‘’๐‘˜๐‘Ž ๐‘š๐‘๐‘Ž๐‘˜๐‘Ž ๐‘ข๐‘›๐‘Ž๐‘™๐‘–๐‘Ž ๐‘›๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘ข๐‘”๐‘ข๐‘Ž ๐‘Ž๐‘ข ๐‘˜๐‘ข๐‘โ„Ž๐‘Ž๐‘”๐‘ข๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘“๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘˜๐‘œ ๐‘˜๐‘ข๐‘–๐‘ โ„Ž๐‘–, ๐‘ค๐‘Ž๐‘˜๐‘Ž๐‘ก๐‘– ๐‘š๐‘Ž๐‘ก๐‘’๐‘ ๐‘œ ๐‘ฆ๐‘Ž๐‘˜๐‘œ ๐‘ฆ๐‘Ž๐‘›๐‘Ž๐‘๐‘œ๐‘ง๐‘–๐‘‘๐‘– ๐‘˜๐‘ข๐‘๐‘–๐‘ก๐‘Ž ๐‘ข๐‘ค๐‘’๐‘ง๐‘œ ๐‘ค๐‘Ž๐‘˜๐‘œ, ๐‘ค๐‘Ž๐‘˜๐‘Ž๐‘ก๐‘– ๐‘š๐‘Ž๐‘ก๐‘’๐‘ ๐‘œ ๐‘ฆ๐‘Ž๐‘˜๐‘œ ๐‘ฆ๐‘Ž๐‘›๐‘Ž๐‘๐‘œ๐‘˜๐‘Ž๐‘Ÿ๐‘–๐‘๐‘–๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘˜๐‘ข๐‘ก๐‘ข๐‘๐‘Ž ๐‘›๐‘—๐‘’, ๐‘ข๐‘›๐‘Ž๐‘๐‘œ๐‘˜๐‘Ž๐‘ก๐‘Ž ๐‘ก๐‘Ž๐‘š๐‘Ž๐‘Ž ๐‘ฆ๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘–๐‘ โ„Ž๐‘– ๐‘˜๐‘ข๐‘š๐‘๐‘ข๐‘˜๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘ค๐‘Ž ๐‘€๐‘ข๐‘›๐‘”๐‘ข ๐‘˜๐‘ข๐‘๐‘–๐‘ก๐‘–๐‘Ž ๐‘š๐‘ค๐‘Ž๐‘›๐‘Ž๐‘ฆ๐‘’ ๐‘Œ๐‘’๐‘ ๐‘ข ๐‘Ž๐‘š๐‘๐‘Ž๐‘ฆ๐‘’ ๐‘›๐‘– ๐‘€๐‘ค๐‘œ๐‘˜๐‘œ๐‘ง๐‘– ๐‘Ž๐‘ก๐‘Ž๐‘˜๐‘ข๐‘ก๐‘’๐‘ก๐‘’๐‘Ž ๐‘Ž๐‘ก๐‘Ž๐‘ โ„Ž๐‘ข๐‘˜๐‘Ž ๐‘›๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘–๐‘›๐‘”๐‘–๐‘™๐‘–๐‘Ž ๐‘˜๐‘Ž๐‘ก๐‘– ๐‘›๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘˜๐‘ข๐‘Ÿ๐‘’๐‘—๐‘’๐‘ โ„Ž๐‘Ž ๐‘˜๐‘ค๐‘’๐‘›๐‘ฆ๐‘’ ๐‘“๐‘ข๐‘Ÿ๐‘Žโ„Ž๐‘Ž ๐‘ฆ๐‘Ž๐‘˜๐‘œ ๐‘›๐‘Ž๐‘ค๐‘’ ๐‘ข๐‘ก๐‘Ž๐‘ ๐‘–๐‘š๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘Ž ๐‘š๐‘Ž๐‘ก๐‘’๐‘›๐‘‘๐‘œ ๐‘ฆ๐‘Ž๐‘˜๐‘’ ๐‘š๐‘Ž๐‘˜๐‘ข๐‘ข ๐‘›๐‘–๐‘š๐‘’๐‘š๐‘ข๐‘œ๐‘›๐‘Ž ๐‘ฆ๐‘’๐‘ฆ๐‘’ ๐‘Ž๐‘œ๐‘›๐‘Ž๐‘ฆ๐‘’.

๐Œ๐€๐–๐ˆ๐˜๐Ž ๐˜๐€ ๐’๐ˆ๐…๐€!!Ni Sherehe ya Ubatizo wa Bwana..Karibu ndani ya kipindi. Uko nami   -10am๐Œ๐€๐’๐Ž๐Œ๐Ž: ๐ˆ๐ฌ๐š๐ฒ๐š ๐Ÿ’๐Ÿ:๐Ÿ-๐Ÿ’, ๐Ÿ”-๐Ÿ•; ๐Œ๐š๐ญ๐ž...
11/01/2026

๐Œ๐€๐–๐ˆ๐˜๐Ž ๐˜๐€ ๐’๐ˆ๐…๐€!!
Ni Sherehe ya Ubatizo wa Bwana..Karibu ndani ya kipindi. Uko nami -10am
๐Œ๐€๐’๐Ž๐Œ๐Ž: ๐ˆ๐ฌ๐š๐ฒ๐š ๐Ÿ’๐Ÿ:๐Ÿ-๐Ÿ’, ๐Ÿ”-๐Ÿ•; ๐Œ๐š๐ญ๐ž๐ง๐๐จ:๐Ÿ๐ŸŽ:๐Ÿ‘๐Ÿ’-๐Ÿ‘๐Ÿ–;๐Œ๐š๐ญ๐ก๐š๐ฒ๐จ ๐Ÿ‘:๐Ÿ๐Ÿ‘-๐Ÿ๐Ÿ•
Leo ni sherehe ya ubatizo wa Bwana na kwa ubatizo huu, Bwana Yesu aliisimika Sakramenti ya Ubatizo. Kupitia ubatizo, tunafanyika watoto Mungu na wa Kanisa.
Sauti ya Baba wa mbinguni ilisikika ikisema: โ€œHuyu ni Mwanangu mpendwa.โ€ Huu ulikuwa ni utambulisho rasmi wa Yesu k**a Mwana wa Mungu. Ni baada ya tukio hili la ubatizo ndipo Yesu alianza kazi yake ya utume hapa duniani.

Mbarikiwa,vivyo hivyo, nasi kwa ubatizo wetu, tumebarikiwa na kutambulishwa k**a wana wa Mungu. Tumepewa hadhi mpya na jukumu la kumshuhudia Kristo na kulihubiri Neno la Mungu kwa watu wote kupitia maisha yetu.

Leo, Mungu anatualika tena kumsikiliza Mwanae Mpendwa na kuyatekeleza majukumu yetu ya Kikristo kwa uaminifu na upendo.
Je, unajivunia ubatizo wako?
๐“๐ฎ๐ฆ๐ฌ๐ข๐Ÿ๐ฎ ๐˜๐ž๐ฌ๐ฎ ๐Š๐ซ๐ข๐ฌ๐ญ๐จ!

Weekend Connection!!Aaalright! It's my prayer that you started the year well and you are ready for the first cruise of t...
10/01/2026

Weekend Connection!!

Aaalright! It's my prayer that you started the year well and you are ready for the first cruise of the Weekend Connection 2026 with me Lady Zion Kate Ods!!!

Uko vipi?
Welcome we make it colourful...

10/01/2026

Hujambo mwanaspoti karibu kwenye makala ya kwanza ya zinga la spoti mwaka wa 2026 nami Dan Maiche...Uhali gani mwanaspoti?
Kila za heri za mwaka mpya
Je nani unapigia upatu kushinda kombe la AFCON 2025?
Sms 0712 223 385

Ni sato! Hii ndio masaa yetu.Mambo? Karibu ndani ya   ya Vijana na Stacus Haron.  Wishes za sato smart ziendee kwa kina ...
10/01/2026

Ni sato! Hii ndio masaa yetu.Mambo? Karibu ndani ya ya Vijana na Stacus Haron. Wishes za sato smart ziendee kwa kina nani...
11:30 amโ€“2pm
SMS/WhatsaAp: 0712 223385

10/01/2026

MDAHALO WA UTAWALA NA

JUMAMOSI 10 JANUARI 2026

MADA: UTEUZI WA GRADE 10

Kumekuwa na hali ya sintofahamu na mkanganyiko mkubwa kuhusu uteuzi wa wanafunzi wa gredi ya Kumi nchini. Kote nchini, wazazi wenye wasiwasi wanaendelea kufurika katika shule za sekondari za ngazi ya juu wakijaribu, kwa dakika za mwisho, kuhakikisha watoto wao wanapata nafasi. Kwingineko Maelfu ya wazazi wanaiomba Wizara ya elimu ifanyie marekebisho uteuzi wa wanafunzi wa kujiunga na shule za sekondari za ngazi ya juu hasa kutokana na umbali wa shule ambazo wanafunzi wameteuliwa kujiunga nazo, usalama na masomo ambayo wanafunzi wamechaguliwa.

SWALI: Je, mfumo wa uteuzi wa wanafunzi wa gredi ya 10 unafanya kazi kwa uwazi na haki?

  TULIVU 10TH JAN 2026Hujambo,u hali gani natumai u buheri wa afya na mwenyezi mungu amekuhifadhi wiki nzima ,twahimzwa ...
10/01/2026

TULIVU 10TH JAN 2026

Hujambo,u hali gani natumai u buheri wa afya na mwenyezi mungu amekuhifadhi wiki nzima ,twahimzwa kuendelea kupalilia wito wetu na kumtumainia mungu muumba wetu,kongole kwa wanafunzi wote wa kidato cha nne mmefanya vyema,we soldier on to the next face,tusemezane naitwa chris nikisema karribu !!!

sms 0712 223385
www.radiowaumini.co.ke
zuku 978

Bustani Ya Waumini!09/1/2026Kifungu: Zaburi 34:8-9Jaribuni mwone Mwenyezi Mungu alivyo mwema. Heri mtu anayekimbilia usa...
09/01/2026

Bustani Ya Waumini!
09/1/2026

Kifungu: Zaburi 34:8-9
Jaribuni mwone Mwenyezi Mungu alivyo mwema. Heri mtu anayekimbilia usalama kwake. Mcheni Mwenyezi Mungu enyi watakatifu wake; maana wenye kumcha hawatindikiwi kitu.

Happy Friday mpendwa! Hujambo?
Karibu Bustanini tumalizie wiki kwa baraka... Tabibu (24/7) Kate Oduor kwenye mpango hadi tamati...

Ikiwa ni siku ya kumshukuru Mungu..unafungua wikendi na request ipi? Sema nami

Ijumaa siku ya  ๐Ÿฅ๐Ÿ’ƒNiite #๐๐š๐ฅ๐จ๐ณ๐ข๐–๐š๐’๐ญ๐ฎ๐๐ข๐จ ๐‰๐ž๐ง๐ง๐ฒโ˜‘   umek**ata position? # ๐๐š๐ซ๐ข๐ณ๐ข๐๐š๐–๐š๐ฎ๐ฆ๐ข๐ง๐ข  -8pm
09/01/2026

Ijumaa siku ya ๐Ÿฅ๐Ÿ’ƒ
Niite #๐๐š๐ฅ๐จ๐ณ๐ข๐–๐š๐’๐ญ๐ฎ๐๐ข๐จ ๐‰๐ž๐ง๐ง๐ฒโ˜‘ umek**ata position?
# ๐๐š๐ซ๐ข๐ณ๐ข๐๐š๐–๐š๐ฎ๐ฆ๐ข๐ง๐ข -8pm

09/01/2026

.

CAUTION !
This stream may contain copyrighted music. We do not own the rights to the music and are not claiming ownership. It is used under the principles of fair use for entertainment purposes.

Kindly like,share & Subscribe to Radio Waumini 88.3FM
What's app 0712223385 .

Address

Thika Road Opposite Safari Park Hotel P. O. Box 1373/00606
Nairobi
254

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Radio Waumini 88.3FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category