11/01/2026
.
#๐ฐ๐จ๐ซ๐ฌ๐ก๐ข๐ฉ๐ก๐จ๐ฎ๐ซ.
๐๐ฎ๐ฃ๐๐ฆ๐๐จ ๐ง๐ ๐ค๐๐ซ๐ข๐๐ฎ ๐ฌ๐๐ง๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฆ๐๐ค๐๐ฅ๐ ๐ฆ๐๐ง๐ ๐ข๐ง๐ ๐ก๐๐๐ข ๐ฆ๐ฐ๐ข๐ฌ๐ก๐จ
๐๐๐
๐๐๐๐๐; ๐๐๐ฐ๐ ๐ ๐๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ๐ฎ๐จ๐ง๐๐ฒ๐(๐๐ฐ๐๐ง๐ณ๐จ ๐๐; ๐๐)
๐น๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐, ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐ด๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐ ๐ฒ๐๐u๐๐๐ ๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐.
Hadithi ya Hagari katika mwanzo 16 inaashiria maisha ya wengi wetu wakati labda tumepitia, โrejection, lonineliness, dhulma, uoga na mengine ambayo yamo mioyoni mwetu. Rafiki nakukumbusha tu kwamba hakuna wakati tumekuwa kitendawili ama fumbo lisiloeleweka kwa Mungu na huwa anawatuma malaika wake kutulinda na kutuongoza. Wakati na wa machungu na Maumivu kuna matumaini yaliyokuwa yakitarajiwa lakini yamechelewa.
Wakati wa kukosa tunalohitaji k**a Sarai huwa tuna uchungu . Sara alipitia na labda ikamfanya kumtesa mwenzake Hagari
โข Maumivu na machungu ya kwamba Mungu hajajibu maombi au amechelewa kujibu maombi
โข Maumivu na machungu ya aibu kujulikana k**a mwanamke aliye tasa au mgumba na asiyezaa katika jamii
โข Maumivu na machungu ya kumlaumu Mungu k**a asiyejali maumivu yake na mateso yake
Hata hivyo katika mateso yake Hagari tunaona Mungu akimtumia malaika kumuonyesha uhalisia na uhakika wake. Mungu mwenyewe huhusika na mahitaji ya wanadamu anaona na anajua kila kitu na kila njia na aina ya mateso tunayoyapitia. hakuna mtu maalumu kwa Mungu, Mungu ni wa watu wote, Mungu anataka kumponya na kumganga na kumuhudumia kila mmoja wetu, Unaweza kuteswa, kunyanyaswa, kuonewa na kufanyiwa mabaya lakini liko Jicho lenye nguvu linalochungulia ulimwenguni na kuitafuta haki ili kuona ikitendeka na k**a haitendeki, huingilia kati na kutokezea njia yeye ni Mungu aonaye.
Mungu aonaye ๐๐๐ก๐จ๐ฏ๐๐ก ๐๐จ๐ก๐ข ๐๐๐โ๐ ๐ฆ๐๐๐ ๐ฆ๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐โ๐๐๐ โ๐๐ค๐๐ง๐ ๐๐ข๐ฃ๐ข๐๐๐๐๐ ๐๐ข๐๐๐ ๐ข๐๐๐ก๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐ข๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐ข๐ข๐๐ข๐ ๐๐ข ๐๐ข๐โ๐๐๐ข๐ ๐๐ข๐๐ ๐๐ข๐๐๐๐ ๐๐ข๐๐ โ๐, ๐ค๐๐๐๐ก๐ ๐๐๐ก๐๐ ๐ ๐ฆ๐๐๐ ๐ฆ๐๐๐๐๐๐ง๐๐๐ ๐๐ข๐๐๐ก๐ ๐ข๐ค๐๐ง๐ ๐ค๐๐๐, ๐ค๐๐๐๐ก๐ ๐๐๐ก๐๐ ๐ ๐ฆ๐๐๐ ๐ฆ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ข๐๐ข๐ก๐ข๐๐ ๐๐๐, ๐ข๐๐๐๐๐๐๐ก๐ ๐ก๐๐๐๐ ๐ฆ๐ ๐๐ข๐๐ โ๐ ๐๐ข๐๐๐ข๐๐ ๐๐ข๐ค๐ ๐๐ข๐๐๐ข ๐๐ข๐๐๐ก๐๐ ๐๐ค๐๐๐๐ฆ๐ ๐๐๐ ๐ข ๐๐๐๐๐ฆ๐ ๐๐ ๐๐ค๐๐๐๐ง๐ ๐๐ก๐๐๐ข๐ก๐๐ก๐๐ ๐๐ก๐๐ โ๐ข๐๐ ๐๐ ๐๐ข๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ก๐ ๐๐ ๐๐ข๐๐ข๐๐๐๐๐ โ๐ ๐๐ค๐๐๐ฆ๐ ๐๐ข๐๐โ๐ ๐ฆ๐๐๐ ๐๐๐ค๐ ๐ข๐ก๐๐ ๐๐๐ข๐๐๐ ๐๐๐ก๐๐๐๐ ๐ฆ๐๐๐ ๐๐๐๐ข๐ข ๐๐๐๐๐๐ข๐๐๐ ๐ฆ๐๐ฆ๐ ๐๐๐๐๐ฆ๐.