KOCH FM Radio

KOCH FM Radio Koch FM is a Community Based Organization in the peoples' settlement of Korogocho, Nairobi, Kenya.

Mtoto wa kiume wa marehemu Betty Bayo akisoma tribute kwa mazishi ya mamake 💛🕊️
20/11/2025

Mtoto wa kiume wa marehemu Betty Bayo akisoma tribute kwa mazishi ya mamake 💛🕊️

DP Kindiki and President Ruto donate KSh10 million to support the late Betty Bayo’s two children ❤️🎓👧👦
20/11/2025

DP Kindiki and President Ruto donate KSh10 million to support the late Betty Bayo’s two children ❤️🎓👧👦

MSANII BETTY BAYO KUZIKWA LEO.
20/11/2025

MSANII BETTY BAYO KUZIKWA LEO.

‎Baadhi ya wateja wa safaricom katika eneo la Mradi, Embakasi waliyojishindia zawadi kochokocho katika msafara wa Safari...
19/11/2025

‎Baadhi ya wateja wa safaricom katika eneo la Mradi, Embakasi waliyojishindia zawadi kochokocho katika msafara wa Safaricom Shangwe@25.

@25 @25

Crowd engagement  on ground at Embakasi Mradi.   @25  @25‎
19/11/2025

Crowd engagement on ground at Embakasi Mradi. @25 @25

Safaricom shangwe @25 Caravan getting ready at Mradi,Embakasi Nairobi.    @25
19/11/2025

Safaricom shangwe @25 Caravan getting ready at Mradi,Embakasi Nairobi. @25

Geoffrey Mosiria ahamishwaGeoffrey Mosiria amehamishwa kutoka wadhifa wa Afisa Mkuu wa Mazingira hadi Idara ya Huduma kw...
19/11/2025

Geoffrey Mosiria ahamishwa
Geoffrey Mosiria amehamishwa kutoka wadhifa wa Afisa Mkuu wa Mazingira hadi Idara ya Huduma kwa Wateja katika mabadiliko mapya yaliyotangazwa na Gavana Sakaja.

Kumekucha!!! Tayari tupo ndani ya   na Peter Kimanthi Peekay Gooooood Morning 🌞
19/11/2025

Kumekucha!!! Tayari tupo ndani ya na Peter Kimanthi Peekay

Gooooood Morning 🌞

Safaricom PLC inaadhimisha  miaka 25 kupitia  Shangwe @25.‎Kwa sasa msafara umepiga Kambi Mwiki Sokoni.karibu ujinyakuli...
18/11/2025

Safaricom PLC inaadhimisha miaka 25 kupitia Shangwe @25.
‎Kwa sasa msafara umepiga Kambi Mwiki Sokoni.
karibu ujinyakulie zawadi kemkem kupitia greenbox of wonder.

Ni bundle gani unahisi inakupa value for money kweli Daily, Weekly, au Monthly?Toa jibu kwenye 0798812522 ili kupata Air...
18/11/2025

Ni bundle gani unahisi inakupa value for money kweli Daily, Weekly, au Monthly?

Toa jibu kwenye 0798812522 ili kupata Airtime

Uchunguzi umebaini kuwa polisi wa vyeo vya chini wanalazimishwa na wakubwa wao kukusanya hongo kutoka kwa waendesha ndut...
18/11/2025

Uchunguzi umebaini kuwa polisi wa vyeo vya chini wanalazimishwa na wakubwa wao kukusanya hongo kutoka kwa waendesha nduthi, madereva wa matatu na wamiliki wa baa, kati ya shilingi 200 hadi 1,000 kila siku.
Inadaiwa kuwa maafisa wanaokataa kufanya hivyo hutishiwa kufutwa kazi au kusingiziwa makosa.

Suluhusho litaanzia wapi kwa polisi wenyewe, serikali, au wananchi?

Umeamkaje Asubuhi ya Leo ? Karibu kwenye    na Peter Kimanthi Peekay
18/11/2025

Umeamkaje Asubuhi ya Leo ? Karibu kwenye na Peter Kimanthi Peekay

Address

Community Lane, Off Kamunde Road
Nairobi
00100

Telephone

+254745608505

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KOCH FM Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to KOCH FM Radio:

Share

Category