27/05/2026
Tulikuwa na mahojiano muhimu sana pamoja na Xolani Women of Hope kuhusu reality ya climate change na jinsi inavyoendelea kuathiri jamii zetu kila siku hasa kina dada.
Kuanzia floods katika informal settlements, joto kali kupita kawaida, ukosefu wa maji, kupanda kwa bei ya chakula hadi changamoto za afya climate change sio tena tatizo la kesho bali ni jambo linalotokea sasa katika maisha yetu ya kila siku.
Majadiliano pia yameonyesha jinsi wanawake, watoto pamoja na vulnerable groups wanavyoathirika zaidi wakati wa floods, droughts na changamoto nyingine za mazingira.
Pia tumezungumzia umuhimu wa:
✅ Climate awareness
✅ Proper waste management
✅ Ushirikishwaji wa kinadada
✅ Kujenga resilience katika households na communities
Asanteni sana kwa wote mlio tune in, kutuma comments, maswali pamoja na kushare experiences zenu wakati wa kipindi.
Kumbuka:
“Climate change sio tu kuhusu mazingira ni kuhusu maisha ya watu, dignity, na justice kwa kila community.” 🌍
Xolani Women of Hope