KOCH FM Radio

KOCH FM Radio Koch FM is a Community Based Organization in the peoples' settlement of Korogocho, Nairobi, Kenya.

“Though they stumble, they will never fall.” — Psalm 37:24Huenda uliwahi kushindwa, kupoteza nafasi au kuumia. Lakini ha...
29/05/2026

“Though they stumble, they will never fall.” — Psalm 37:24

Huenda uliwahi kushindwa, kupoteza nafasi au kuumia. Lakini hadithi yako bado haijaisha. Mungu bado anaweza kubadilisha maumivu kuwa ushuhuda na kushindwa kuwa ushindi.

Wasichana zaidi ya Elfu moja waliokusanyika katika Ukumbi wa St John’s Catholic Junior Secondary School, Korogocho, wame...
28/05/2026

Wasichana zaidi ya Elfu moja waliokusanyika katika Ukumbi wa St John’s Catholic Junior Secondary School, Korogocho, wameadhimisha Siku ya Hedhi Duniani 2026 kwa kuhamasisha elimu kuhusu afya ya hedhi na usafi.

Shirika(MANNA MINISTRIES) linaloongozwa na Maurice Odhiambo linasema lengo ni kusaidia wasichana wanaokosa s**o za kujikinga na kuondoa aibu pamoja na unyanyapaa kuhusu hedhi katika jamii.

Walimu, wazazi na wakazi waliohudhuria hafla hiyo wamepongeza juhudi hizo huku wakitoa wito kwa serikali na mashirika mbalimbali kusaidia wasichana wa shule kwa mahitaji muhimu ya afya ya hedhi.

“Wavulana wanapaswa kufundishwa kuhusu menstruation shuleni? 𝐓𝐎𝐀 𝐌𝐀𝐎𝐍𝐈.”Child Space Organization
28/05/2026

“Wavulana wanapaswa kufundishwa kuhusu menstruation shuleni? 𝐓𝐎𝐀 𝐌𝐀𝐎𝐍𝐈.”

Child Space Organization

Leo Magazetini
27/05/2026

Leo Magazetini

Tulikuwa na mahojiano muhimu sana pamoja na Xolani Women of Hope kuhusu reality ya climate change na jinsi inavyoendelea...
27/05/2026

Tulikuwa na mahojiano muhimu sana pamoja na Xolani Women of Hope kuhusu reality ya climate change na jinsi inavyoendelea kuathiri jamii zetu kila siku hasa kina dada.

Kuanzia floods katika informal settlements, joto kali kupita kawaida, ukosefu wa maji, kupanda kwa bei ya chakula hadi changamoto za afya climate change sio tena tatizo la kesho bali ni jambo linalotokea sasa katika maisha yetu ya kila siku.

Majadiliano pia yameonyesha jinsi wanawake, watoto pamoja na vulnerable groups wanavyoathirika zaidi wakati wa floods, droughts na changamoto nyingine za mazingira.

Pia tumezungumzia umuhimu wa:
✅ Climate awareness
✅ Proper waste management
✅ Ushirikishwaji wa kinadada
✅ Kujenga resilience katika households na communities

Asanteni sana kwa wote mlio tune in, kutuma comments, maswali pamoja na kushare experiences zenu wakati wa kipindi.

Kumbuka:
“Climate change sio tu kuhusu mazingira ni kuhusu maisha ya watu, dignity, na justice kwa kila community.” 🌍

Xolani Women of Hope

Kina mama na watoto wanaathirika vipi zaidi wakati wa floods na ukame?Usipitwe na mazungumzo    pamoja na Xolani Women o...
26/05/2026

Kina mama na watoto wanaathirika vipi zaidi wakati wa floods na ukame?

Usipitwe na mazungumzo pamoja na Xolani Women of Hope

Kina mama na watoto wanaathirika vipi zaidi wakati wa floods na ukame?Usipitwe na mazungumzo kesho   pamoja na Xolani Wo...
25/05/2026

Kina mama na watoto wanaathirika vipi zaidi wakati wa floods na ukame?

Usipitwe na mazungumzo kesho pamoja na Xolani Women of Hope

“Polisi wa Kenya waliwaruhusu mashabiki wa Arsenal kukusanyika na kutawanyika kwa amani, lakini vijana hao hao hawaruhus...
25/05/2026

“Polisi wa Kenya waliwaruhusu mashabiki wa Arsenal kukusanyika na kutawanyika kwa amani, lakini vijana hao hao hawaruhusiwi kuandamana dhidi ya serikali bila baadhi yao kuuawa.” — Larry Madowo 👀

Mnakubaliana na kauli yake? 🤔

Unatazana Timu yako ikicheza Ukiwa Upande Gani wa Dunia...?
24/05/2026

Unatazana Timu yako ikicheza Ukiwa Upande Gani wa Dunia...?

Arsenal fans paint Nairobi CBD red as they celebrate club’s English Premier League victory
24/05/2026

Arsenal fans paint Nairobi CBD red as they celebrate club’s English Premier League victory

Address

Community Lane, Off Kamunde Road
Nairobi
00100

Telephone

+254745608505

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KOCH FM Radio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to KOCH FM Radio:

Share

Category