Babi Report

Babi Report CONNECTING COMMUNITIES
Be informed | Be engaged | Make a difference.

Klabu ya Manchester City imeonyesha nia ya kumsajili kiungo Paul Pogba k**a mchezaji huru. Japokuwa Pogba hajaonyesha ut...
14/12/2024

Klabu ya Manchester City imeonyesha nia ya kumsajili kiungo Paul Pogba k**a mchezaji huru. Japokuwa Pogba hajaonyesha utayari wa wazi wa kujiunga na Manchester City kutokana na historia yake ya kuwahi kuitumikia Manchester United.


🚨 BREAKING NEWS 🚨Klabu ya Mamelodi imeichana rasmi na aliekuwa kocha wa kikosi hicho Manqoba Mngqithi na kumtangaza koch...
10/12/2024

🚨 BREAKING NEWS 🚨
Klabu ya Mamelodi imeichana rasmi na aliekuwa kocha wa kikosi hicho Manqoba Mngqithi na kumtangaza kocha wa zamani wa Esperance Miguel Cordoso.
Steve Komphela na Kenney Mweene watasalia kwenye benchi la ufundi.

FT; Azam 2-1 Singida black stars,Singida amekubali kichapo cha bao 2-1  dhidi ya azam fc, uwanja wa azam complex Chamazi...
28/11/2024

FT; Azam 2-1 Singida black stars,
Singida amekubali kichapo cha bao 2-1 dhidi ya azam fc, uwanja wa azam complex Chamazi.

Kamati kuu CHADEMA imepanga kufanya kikao cha dharura mnamo kesho Nov 29, 2024 kujadili uchaguzi wa serikali za mitaa ul...
28/11/2024

Kamati kuu CHADEMA imepanga kufanya kikao cha dharura mnamo kesho Nov 29, 2024 kujadili uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Nov 27, 2024.

Taarifa imetolewa na mkurugenzi wa itifaki, mawasiliano na mambo ya nje wa chadema John Mrema, amesema kuwa kikao hicho kitajadili agenda maalumu yaliyojiri kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa Nov 27, 2024.

Azam FC wapo tayari kuwakabili Singida black stars kwenye mchezo wa ligi kuu utakaopigwa leo Nov 28, 2024,
28/11/2024

Azam FC wapo tayari kuwakabili Singida black stars kwenye mchezo wa ligi kuu utakaopigwa leo Nov 28, 2024,




02/09/2024

Salah 🏹

Klabu ya Azam fc imefikia uamuzi wa kuachana na benchi lake lote la ufundi lililokuwa likiongozwa na kocha Youssouph Dab...
31/08/2024

Klabu ya Azam fc imefikia uamuzi wa kuachana na benchi lake lote la ufundi lililokuwa likiongozwa na kocha Youssouph Dabo.

Xavi ataendelea kusalia Barcelona  k**a kocha wa timu hiyo kwa msimu ujao.Hayo yamethibitika baada ya makubaliano ya kin...
25/04/2024

Xavi ataendelea kusalia Barcelona k**a kocha wa timu hiyo kwa msimu ujao.
Hayo yamethibitika baada ya makubaliano ya kina baina ya Kocha huyo na raisi wa klabu Joan Laporta pamoja na director wa klabu Deco.

08/03/2024

CONNECTING COMMUNITIES
Jiunge Sasa✊

Anthony Martial bado anataka kusalia Manchester United, mpaka mwisho wa msimu huu.Martial ameonyesha nia hiyo baada ya k...
10/01/2024

Anthony Martial bado anataka kusalia Manchester United, mpaka mwisho wa msimu huu.
Martial ameonyesha nia hiyo baada ya kukataa ofa mbalimbali alizopokea kutoka Fenerbahce, Marseille na Saudi Arabia.

CARLO ANCELOTTI amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuifundisha Real Madrid mpaka 2026,..Miezi kadhaa iliyopita Rais wa B...
30/12/2023

CARLO ANCELOTTI amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuifundisha Real Madrid mpaka 2026,..
Miezi kadhaa iliyopita Rais wa Brazil Ednaldo alitangaza kuwa Ancelotti atakuwa ndie kocha Ajae wa timu ya Brazil, Licha ya utambulisho huo wa awali, Ancelotti ataendelea kusalia Madrid.

Address

Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Babi Report posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share