Auntie Tabby

Auntie Tabby Journalist l Mother l Wife

29/09/2025

Rose Achala kutoka Ruben Centre Special Unit ni mgeni wetu studioni akizungumza kuhusu haki za watu walio na ulemavu. Una swali,maoni au mchango;
Call/SMS/WhatsApp 0797146710

Happy     to all Gents!  10:00am-2:00pmRuben FM Tabby Tabitha Njambi Gumzo;Jamaa amemlazimisha mkewe kuacha kazi aliyoaj...
29/09/2025

Happy to all Gents!
10:00am-2:00pm
Ruben FM
Tabby Tabitha Njambi
Gumzo;
Jamaa amemlazimisha mkewe kuacha kazi aliyoajiriwa akiahidi kumtinizia mahitaji yake yote.Unadhani ni kwanini wanaume wengi hawapendi wake zao wapate pesa zao?
Call/SMS/WhatsApp 0797146710

26/09/2025




Kuna hawa wazazi wanakupenda tu wakati uko na pesa.Kama hauna pesa hawataki Stori zako. Shida iko wapi?

26/09/2025

Esther Mwikali ni Mgeni wetu studioni akizungumzia Sheria za kulinda watoto.
Hivi,unadhani ni kwanini watoto bado wanaendelea kudhulumiwa ijapokuwa kunasheria ambazo zinawalinda watoto katika Katina yetu ya Kenya?
Call/SMS/WhatsApp 0797146710
ndani ya

Wadau,NJ Furahidei wikendi imeanza! Wiki yako imekuwa vipi?  10:00am-2:00pmRuben FM Tabby Tabitha Njambi Gumzo;Mwanadada...
26/09/2025

Wadau,NJ Furahidei wikendi imeanza! Wiki yako imekuwa vipi?
10:00am-2:00pm
Ruben FM
Tabby Tabitha Njambi
Gumzo;
Mwanadada mmoja mja mzito achapwa na nduguze watatu kwa kukataa kuolewa na jamaa ambaye hao ndugu walikuwa wamemtafutia na badala yake akaolewa na jamaa mwingine. Maoni yako?
Call/SMS/WhatsApp 0797146710

25/09/2025

Studioni nina wageni kutoka TICAH wakizungumza kuhusu young mother's and family.Kuna umuhimu upi wakati young mothers wanapanga uzazi?
Call/SMS/WhatsApp 0797146710

Wadau, it's  !  10:00am-2:00pmRuben FM Tabby Tabitha Njambi Gumzo;Walimu wa Kenana primary wawaaibisha dada wawili kwa k...
25/09/2025

Wadau, it's !
10:00am-2:00pm
Ruben FM
Tabby Tabitha Njambi
Gumzo;
Walimu wa Kenana primary wawaaibisha dada wawili kwa kwenda shuleni bila kuvaa chupi. Maoni yako? Ushawahiaibishwa na mwalimu shuleni? Ilikuaje?
Call/SMS/WhatsApp 0797146710

24/09/2025

If this is true,then Kenyans are not okay..not really. Etti amesema mshipi anezatumia 'kujinyonga'woooii.
Not my original 📷

24/09/2025




Mbona wanaume hawapendi wanawake ambao wako na pesa?

24/09/2025
24/09/2025

Hesbon Maikala ni daktari mkuu katika kituo cha Ruben Centre . Leo anazungumza kuhusu magonjwa yanayosababishwa na kutumia/kupika/kunywa maji chafu(waterborne diseases).
Una swali kwake,
Call/SMS/WhatsApp 0797146710
ndani ya

Good morning! Happy     to all Ladies!  10:00am-2:00pmRuben FM Tabby Tabitha Njambi Gumzo;Amelipa SHA lakini hospitalini...
24/09/2025

Good morning! Happy to all Ladies!
10:00am-2:00pm
Ruben FM
Tabby Tabitha Njambi
Gumzo;
Amelipa SHA lakini hospitalini anaambiwa alipe cash. Afanyeje? Umeskia kisa k**a hiki? Ilikuaje?
Call/SMS/WhatsApp 0797146710

Address

Nairobi
20094-00200

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Auntie Tabby posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share