Bahari Fm

Bahari Fm The coastal market woke up in September 2008, to a new station from Royal Media Services. Bahari FM’s tag line is Nuru ya Roho’

The word “Bahari” is the Kiswahili term for ocean, giving the station an immediate identity to the coastal people.

Half Time ngoma draw...Unahisi nani atashinda Kipindi cha pili?
08/01/2026

Half Time ngoma draw...
Unahisi nani atashinda Kipindi cha pili?

Tunajua Krisi ulifurahia na familia na marafiki, na January mfuko imefinyika.Whether unarudisha watoto shule ama ndio un...
08/01/2026

Tunajua Krisi ulifurahia na familia na marafiki, na January mfuko imefinyika.
Whether unarudisha watoto shule ama ndio una-resume job, jipange mapema.
Kupitia Bima Life Insurance Agency, unapata
3rd Party Motor Vehicle Insurance at Ksh 1,000 per month.
Cover iko ready, na certificate inakuja instantly
kwa email na WhatsApp.
👉 Get covered instantly at
https://www.mybimalife.com/motor-insurance-journey.php

08/01/2026
😂Hii kiburi ya Arsenali itaisha leo...eti wanaagalia game juu ya meza😂
08/01/2026

😂Hii kiburi ya Arsenali itaisha leo...eti wanaagalia game juu ya meza😂

Umeshindaje!?Songea tukamilishe siku pamoja katika  Roselyne Kakinda
08/01/2026

Umeshindaje!?
Songea tukamilishe siku pamoja katika
Roselyne Kakinda

08/01/2026

WIMBI LA BAHARI SAA MOJA JIONI

Chama cha UDA katika kaunti ya Kilifi, kimejitosa kwenye kinyanga’anyiro cha kuwania kiti cha ubunge eneo la Kaloleni ka...
08/01/2026

Chama cha UDA katika kaunti ya Kilifi, kimejitosa kwenye kinyanga’anyiro cha kuwania kiti cha ubunge eneo la Kaloleni katika uchaguzi mkuu ujao.Kwenye mazungumzo ya kipekee na bahari fm, Lauzi Matano mkaazi na mzaliwa wa Mariakani na mmoja wa viongozi wa chama hicho tawi la Kilifi ameelezea rasmi azma yake ya kuwania wadhifa huo ambao unashikiliwa na mbunge wa sasa Paul Katana

Karibu tumumunye utamu santhimaaa ndani ya Twatuliza na Samweli Hakika
08/01/2026

Karibu tumumunye utamu santhimaaa ndani ya Twatuliza na Samweli Hakika

Gavana Nassir ameeleza kuwa Maurice Ogeta ana uzoefu mkubwa na uelewa mpana wa masuala ya taasisi za kitaifa, kikanda na...
08/01/2026

Gavana Nassir ameeleza kuwa Maurice Ogeta ana uzoefu mkubwa na uelewa mpana wa masuala ya taasisi za kitaifa, kikanda na kimataifa, ikiwa ni pamoja na kuhudumu kwa muda mrefu chini ya aliyekuwa Kiongozi wa chama cha ODM Hayati Raila Odinga.

Mahakama imeelezwa kuwa Novemba 25 mwaka jana, katika mtaa wa Majengo Mapya, eneo bunge la Mvita, kaunti ya Mombasa Mzee...
08/01/2026

Mahakama imeelezwa kuwa Novemba 25 mwaka jana, katika mtaa wa Majengo Mapya, eneo bunge la Mvita, kaunti ya Mombasa Mzee Mustafa alikula njama na afisa wa KDF, Peter Kipng’etich Tonui, katika wizi wa mihadarati hiyo kinyume cha sheria makosa ambayo ameyakana.

Baadhi ya viongozi wa wanawake na vijana wa jamii ya mijikenda kutoka eneo la Pwani wameunga mkono na kueleza matumaini ...
08/01/2026

Baadhi ya viongozi wa wanawake na vijana wa jamii ya mijikenda kutoka eneo la Pwani wameunga mkono na kueleza matumaini makubwa kufuatia kuanzishwa kwa muungano wa Umwenga Wehu, wakisema umoja huo utasaidia kuleta mshikamano na maendeleo jumuishi kwa jamii hiyo.

08/01/2026

WIMBI LA BAHARI SAA KUMI JIONI

Address

Nairobi

Telephone

+254713600931

Website

http://baharifm.co.ke/?q=bah#, http://www.youtube.com/kenyacitizentv

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bahari Fm posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share