Bahari Fm

Bahari Fm The coastal market woke up in September 2008, to a new station from Royal Media Services. Bahari FM’s tag line is Nuru ya Roho’

The word “Bahari” is the Kiswahili term for ocean, giving the station an immediate identity to the coastal people.

16/12/2025
Wakristo husherehekea tarehe 25 Desemba k**a siku ya kuzaliwa kwa Yesu, sherehe huambatana na nyimbo na ibada za kanisa
16/12/2025

Wakristo husherehekea tarehe 25 Desemba k**a siku ya kuzaliwa kwa Yesu, sherehe huambatana na nyimbo na ibada za kanisa

Utafiti wa Mtandao unaojihusisha na urembo Nchini Marekani wa  Dove unaeleza kuwa wanawake wanaojikubali kuwa ni warembo...
16/12/2025

Utafiti wa Mtandao unaojihusisha na urembo Nchini Marekani wa Dove unaeleza kuwa wanawake wanaojikubali kuwa ni warembo ni 4% pekee duniani kote, wengine huwa hawajiamini hata wakisifiwa kuwa wao ni warembo.

Huku 11% pekee ya wanawake duniani wakiwa na uthubutu wa kujisifia mbele za watu kuwa wao ni warembo, wengine hata wakijikubali kuwa warembo hukosa ujasiri wa kujisifia hadharani kuwa wao ni wanawake wenye mvuto.80% ya wanawake wanakubali kuwa kila mwanamke ana kitu cha kipekee kinachomfanya avutie lakini mwenyewe hakioni.

Afisa mkuu wa Idara ya Watoto gatuzi dogo la Malindi, Sabastian Muteti, amesema wazazi watakaokiuka sheria watachukuliwa...
16/12/2025

Afisa mkuu wa Idara ya Watoto gatuzi dogo la Malindi, Sabastian Muteti, amesema wazazi watakaokiuka sheria watachukuliwa hatua za kisheria

Polisi wamesema operesheni hiyo ilifanyika bila majeruhi wowote, huku vilipuzi hivyo vikichukuliwa kwa uchunguzi wa kima...
16/12/2025

Polisi wamesema operesheni hiyo ilifanyika bila majeruhi wowote, huku vilipuzi hivyo vikichukuliwa kwa uchunguzi wa kimaabara ili kubaini chanzo na nia ya tukio hilo

16/12/2025

Kila mtu ana umuhimu wake,na kila umuhimu wa mtu una wakati wake

Mpango huu unatarajiwa kutekelezwa katika kaunti zote 47, ukiwalenga Wakenya waliojiajiri, kundi linalokadiriwa kufikia ...
16/12/2025

Mpango huu unatarajiwa kutekelezwa katika kaunti zote 47, ukiwalenga Wakenya waliojiajiri, kundi linalokadiriwa kufikia asilimia 65 ya idadi ya wananchi

Ni mida yetu ya kutuliza ndani ya  .
16/12/2025

Ni mida yetu ya kutuliza ndani ya .

Address

Nairobi

Telephone

+254713600931

Website

http://baharifm.co.ke/?q=bah#, http://www.youtube.com/kenyacitizentv

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bahari Fm posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share