Bahari Fm

Bahari Fm The coastal market woke up in September 2008, to a new station from Royal Media Services. Bahari FM’s tag line is Nuru ya Roho’

The word “Bahari” is the Kiswahili term for ocean, giving the station an immediate identity to the coastal people.

26/09/2025
Ni FurahiiiiDeiii 😎 Karibu tujiachie ndani ya  ..Manahodha ni -Emma Na  5-9am
26/09/2025

Ni FurahiiiiDeiii 😎 Karibu tujiachie ndani ya ..Manahodha ni -Emma Na 5-9am

Tafiti za kisaikolojia zinaonyesha kuwa wanandoa wengi wanaotengana au kuachana hawaanzi kwa ugomvi mkubwa, bali kwa uki...
25/09/2025

Tafiti za kisaikolojia zinaonyesha kuwa wanandoa wengi wanaotengana au kuachana hawaanzi kwa ugomvi mkubwa, bali kwa ukimya wa kihisia.
Mmoja anapoanza kujitoa polepole na kuacha kuwekeza moyo wake kwa mwenzake hupelekea upweke wa kihisia (EMOTIONAL LONELINESS).Hali ya kuwa karibu kimwili, lakini mbali kiakili na kiroho.
Watafiti katika Journal of Social and Personal Relationships waligundua kuwa,wanandoa wanaoishi kwenye mahusiano bila ukaribu wa kihisia huathirika zaidi kisaikolojia kuliko wale walioko peke yao bila mwenza

25/09/2025

Address

Nairobi

Telephone

+254713600931

Website

http://baharifm.co.ke/?q=bah#, http://www.youtube.com/kenyacitizentv, https://www.tiktok.co

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bahari Fm posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Featured

Share