Mkuu wao

Mkuu wao Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mkuu wao, Digital creator, Nairobi.

Natafuta kazi ya udereva wa Lory k**a inaweza kuwa mahali na unaitaji dereva mahali hulipo k**a unasikia mutu ana itaji ...
23/10/2024

Natafuta kazi ya udereva wa Lory k**a inaweza kuwa mahali na unaitaji dereva mahali hulipo k**a unasikia mutu ana itaji dereva ukinitafuta Kwa hii number 0757213566 ukinitafuta ata ikue muchana ama usiku utanipata

30/05/2024

Follow Easy English πŸ‘ˆ

22/05/2024
Hii nae ndio gani
22/05/2024

Hii nae ndio gani

hii nayo ndio nyoka style ama ni gani tena πŸ˜±πŸ‘€πŸ™†πŸΏβ€β™€οΈπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸƒπŸΏπŸ¦Ÿ

20/05/2024

You pushed us all the way, Gooners.

A journey to remember. This is just the beginning.

20/05/2024

Until next season! πŸ₯±

20/05/2024

Kwisha!
FT
Arsenal 2-1 Everton.

20/05/2024

Kaka mimi sina malezo marefu, kuna Kaka nimekutana naye ni mzungu. Nilikutana naye kwenye mtandao mmoja hivi wa Tinder, basi tukaanza kuchart akawa ananijali tunaongea video call ni mzungu kabisa na nampigia naona mpaka nyumbani kwake.

Nilimuambia kua mimi sijaoelwa nina watoto watatu, akawa anawapenda wanangu zawadi ananitumia na sasa hivi anataka niende huko ile ya moja kwa moja. Nilimuambia nataka kwenda mimi kwanza kuwajua lakini yeye ananiambia anataka niende na wanangu.

Kaka mimi nimeolewa, ndoa yangu haina shida yoyote lakini nataka kwenda kuishi na huyo mwanaume kwani kanihakikishia kuwa hajaoa na ananipigia simu usiku tunaongea, ana nyumba kubwa sana anishi na wafanyakazi wake tu, ni mtu ana hela zake kwani alishanitumia k**a Euro 2000 mpaka sasa.

Ninachotaka kujua tu ni utaratibu, nataka niwatoroshe wanangu bila mume wangu kujua. Nimewaza mpaka nimechanganyikiwa, ninamna gani nitaondoka na wanangu bila mume wangu kujua. Kaka nataka tu unipa utaratibu wa kupaat Pasport za watoto yaani natakiwa nifanye mchakato wote huu wanangu wakiwa likizo ili niweze kuaga naenda nyumbani kusalimia nimtoroke mume wangu.

Nisaidie k**a nifanye nini, mimi nafanya kazi lakini kaniahidi nikifika kule nitasimamia biashara zake na kuapata uraia wa huko. Nimeshaandika barua ya kuacha kazi mwisho wa mwezi huu na bosi wangu kashaleta mtu mwingine namfundisha kazi ili achukue nafasi yangu niko siriasi najua mume wangu atachanganyikiwa ila nahitaji kuondoka Kaka nisaidie.

20/05/2024

Next year naongezea Itigo girls trophy ya handball.

Address

Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mkuu wao posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share