Cjay Maru KE

Cjay Maru KE digital creator

unasemanga luku unakosea
05/02/2025

unasemanga luku unakosea

Ushawahi ingia choo za kanjo kweli🤗. Yani unajipta unacheka badala ya kushughulikia haja😃. Ukiface ukuta unasoma maandis...
22/01/2025

Ushawahi ingia choo za kanjo kweli🤗. Yani unajipta unacheka badala ya kushughulikia haja😃. Ukiface ukuta unasoma maandishi ya kiajabu k**a😎:
1. Umerudi tena?😇 Wah, si unapenda kukunia😅😅.
2.Unafunga mlango nan amekuambia anataka kuiba mavi yako☺.
3. Wewe endelea tu kukunia tu watu wengine wakitafuta pesa uko nje🤔🤔.
4. Unakunjia nani sura? Nani alikuambia kula githeri inakaa kokoto lunch🙂.
5. Aiii! 🤕Ata wew umezidi, kwani huchokangi kukunia.
6. Ungetia bidii hivyo ukiwa shuleni si ungekuwa mbali aki😑.
7. Na si unajua kupima 90° ndani😕, ungefanya hivyo hesabu kwa shule ungekuwa unatembea na gari sai.
8. Kwani unaenda na mboga kwa choo ama hiyo majani ni ya nini chooni?😁😃



Leo usiku stima imepotea then nikaenda shop naked.... after nishaapewa candle nagoja change stima ikarudi pap 😄😄😄😄😄 weuh...
21/01/2025

Leo usiku stima imepotea then nikaenda shop naked.... after nishaapewa candle nagoja change stima ikarudi pap 😄😄😄😄😄 weuh kumbeee nakuaga na mbio hivo 😂😂😂😂😂🙆😂😂

Makofi 👏👏👏👏👏👏

Ati makofi 👏👏👏👏

Alf mtu akasema shika huyo mchawi 😂😂😂😂😂😂 makofi 👏👏👏👏 ya kuongeza speed 😹usipige makofi kwanza,, mkombochi kunichapa mapaja k**a nyaunyo nikidhani nmefatwa😹😹😹😹nilikimbia kuliko nduthi walai😅😅😅😅😅😅Kufika Kwa ploti jama wangu anapika chakula,kuniona pa Kwa nyumba,aky mungu ni nani 😛 wakidhani ni mchawi,,
Ilibidi chakula npeleke kwangu 😛

Gojeeni nivae nguo niwaambie what happened 😂😂😂😂😂

Sasa Dem🧕yangu caroo ameniita date😋😋Leo mi nae ni nani nikampeleka Kwa beshtie yangu brayoo apo ndio nilikosea Sasa tuki...
20/01/2025

Sasa Dem🧕yangu caroo ameniita date😋😋Leo mi nae ni nani nikampeleka Kwa beshtie yangu brayoo
apo ndio nilikosea
Sasa tukiwa tuna romance Kwa 🛏️🛏️ ya brayoo caroo akaniambia "na uchunge hii kitanda mguu Moja imevunjika"sasa nikashindwa huyu Dem🧕 amejuaje😳😳
anyway tukaendelea so vile ilikua Kwa mlango ya 🥒🥒🍯 kitanda nayoo tukajipata tunaumana maskio uko chini
So kitu najiuliza inaeza kua huyu Dem alijuaje hiyo bed 🛏️ mguu Moja Iko na shida🤔🤔🤔

So Baada ya kutafuta nyumba Kwa muda mrefu 🤔Jana niliangukia Moja smart😌💯ushawahi ingia nyumba Hadi ukiitishwa rent ya 5...
20/01/2025

So Baada ya kutafuta nyumba Kwa muda mrefu 🤔Jana niliangukia Moja smart😌💯ushawahi ingia nyumba Hadi ukiitishwa rent ya 50k inabidi umetoa tu?💪😂yaani nyumba niliingia, kale kajoto kalikuwa ndani kakafanya nitamani kukaa ndani tu😢ukuta za hiyo nyumba zilikuwa very smooth, kitchen ilikuwa safi, 😌💯mwenyewe akaniambia nikitaka naeza tumia clitocurrency.. ama nikitaka naeza lipa next month kwanza niitest.😌 Hiyo nyumba kusema ukweli ilikuwa well mentained, na ningehamia huko ni vile Iko Kwa msitu, na hakuna stima, huko ni giza tupu.😢 Sijui mbona inakuanga ngumu kupata keja safi😢 yaani lazima kukuwe na kashida😢😂sikutaka caretaker ajue Sina interest nayo, so nilimwambia hiyo keja Iko fine na nitarudi niingie ndani tena,,,😂nikichoka Sasa nitaachia caretaker za macho alafu nirudi nitulie kwangu.

Another thing, nyumba kubwa huonekana Kwa umbali, na wezi wanaeza kuja kukuibia😢tafuta kanyumba simple and precice, kenye budget Iko low, rent ka ya Thao ivo, hata k**a ni ka mabati, 😌utaupgrade pole pole. Nyumba kubwa hata kuoshwa saa zingine haioshangwi vizuri, juu ni kubwa, na maji hupotea. 😂 Kadogo hata unaeza panguza na kakuwe best,😂😂💪😌 kadogo tena hata ukikaa ndani wiki Moja bila kuosha, katakuwa tu sawa.k**a unaona naongelea nyumba potelea mbali😆 Dem ako na haga ni Mali ya umma😂😂

😢😢😭 Leo vile niliamka nilienda choo kikaniramba😂   Hadi nikashindwa nilikuwa naamkia choo hiyo mapema yote why😭😭niliingi...
20/01/2025

😢😢😭 Leo vile niliamka nilienda choo kikaniramba😂 Hadi nikashindwa nilikuwa naamkia choo hiyo mapema yote why😭😭niliingia nikapata kuna mzee alifanya mambo yake hapo kando,, maharagwe mix na mapera 💩😞😞

Juh nayo huwa sipendi ujinga, nikaamua sitajisaidia tena nikapostpone hadi hata kesho ikiwezekana. kufungua mlango ndo nitoke, nikakutana na crush wangu akingoja nitoke aingie 😂🙆😥🙆

Saii niko huku nimeshikilia mlango pia sitaki Aingie ataeza Dhani ni mimi💪😂 Me niko ready hata k**a ni DNA ya hiyo mafi💩 tufanye😂😂😂 kesho nitawaambia venye kulienda 😛😛


Uko  kazini  umeacha🚶  familia🫂  yako  nyumbani 🛖  mara  ghafla  unapigiwa  simu  kutazama  unakutana  na   🆕 number 🔢 n...
20/01/2025

Uko kazini umeacha🚶 familia🫂 yako nyumbani 🛖 mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na 🆕 number 🔢 na kuamua kuipokea 📩 ndipo unakutana na Sauti ya msichana ya kuvutia lakini kabla hajasema 🗣️shida yake anaamua kukata simu 📱
Unashikwa 😏 na hamu ya kujua😱 ni nani 🙊Tamaa ya umalaya😼 inakukujia ghafla na kuamua kuipiga ile contacts tena kwa mara nyingine inakuwa haipatikani😿
Siku🌞 hiyo hiyo usiku ukiwa umelala🛌 chumba kimoja na mke wako message 📩 inaingia tena kwenye simu 📱 yako kwa ile namba iliyokupigia mchana🌝 ikikuomba umpigie na kusisitiza kuwa ana hamu ya kukufahamu🙀. kila ukimtumia message ya kumdanganya uko sehemu mbaya hasikii🙉 anakujibu mara nyingi.
Uzalendo unakushinda, unamuangalia pembeni mkeo amelala fofofo 💤 amejifunika shuka hadi usoni 🗣️
Unaamua kuondoka🚶 kwa kunyata mbaka sebuleni kwenda kuipiga Ile namba kwa lengo la Kumwambia🗣️ kesho mkutane 👥
Unafika sebuleni na kuanza kuipiga 🤙 ile simu📱 kumbe ni bibi👨‍❤️‍💋‍👨 yako ametumia new number kukupima🙈 halafu anakuambia😄 "Beb rudi kwa nyumba tulale na upunguze umalaya🤪 Nikazirai🤣🤣🤣
Ushikwapo shik**ana 🤣

call me

na hii uchimi 😭🤣🙆
19/01/2025

na hii uchimi 😭🤣🙆

😂Sasa leo after nimekunywa bangi, nikapigiwa simu😂😂👩her  : hi😘.👨me : hi too 😊.🤦Her. Unaitwa? 😉Me : na nani? 🤔👩her: i mea...
18/01/2025

😂Sasa leo after nimekunywa bangi, nikapigiwa simu😂😂
👩her : hi😘.
👨me : hi too 😊.
🤦Her. Unaitwa?
😉Me : na nani? 🤔
👩her: i mean unaitwa nani?
👨me :ohh naitwa Man daya 😛
🤦Unatoka wapi?
👨me : kutoka kitambo🙂.
👩her : i mean unakaa wapi?
👨me : nakaa kwa nyumba Kwa kiti☺.
👩her : gaii side gani?
👨me : side ya corner😮.
👩her : ni k**a hunielewi nini..
👨me : maybe 🙄.
👩her : unaishi wapi ?😫
👨me : c naishi kwa nyumba ama unafikiri naishingi nje?🤓
👩her : waah sawa😐, nilipewa number na beshte yako.
👨me : ukimaliza nayo, shughuli mrudishie🤗
👩her : huh anyway naitwa Sarah😛
👨me :Nani amekuita, ukimaliza kuitwa rudi kwenu 🤣🤣🤣 sipendi ujinga 🚶🚶🚶💍💎
follow me for more jokes

🏆🏆🏆Unambeleka dem wako kwa keja🥰🥰, unampea hugs♥️♥️ na kisses💋💋, unamtolea shati na bra, unamtolea skirt, unamtolea pant...
17/01/2025

🏆🏆🏆
Unambeleka dem wako kwa keja🥰🥰, unampea hugs♥️♥️ na kisses💋💋, unamtolea shati na bra, unamtolea skirt, unamtolea pantii💝💝, unamlalisha kwa bed, unampanua vizuri💖💖. Kidogo kidogo unaskia alarm ati ni 5:30 ndoto itaniua🤣🤣🤣🤣🤣 ikabidi nimeamka niende mjengo🙆🙆🙆
pamoja tuangamize usherati

Kupata jokes zangu mingi gusa hiyo follow juu ya post yangu apo ✅ ✅ ✅ ✅

Address

Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Cjay Maru KE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share