07/10/2025
πππππ πππ πππ π
ππππ πππππππ πππππππ πππππππ
Ndio kuanza wakuu najua hizi hata hazitafika 500 likes π₯²π₯²π₯²
ππππ π
Hii episode ya kwanza hata sijui majina za characters ππ
Tunampata Wairimu,an upcoming tiktoker kanapiga selfie akiwa kwa beach,lakini punde si punde, kumbe pale kwa beach kuna jamaa alikua anazama ikabidi wale vijana wa beach watoke mbio kumuokoa..maskini wa Mungu. Brenda Wairimu anashindwa kunaendaje hapa,lakini mwenye ameokolewa,kuokolewa ameokolewa ndio lakini ile maji alikunywa,na kulingana na hio muda alikua kwa maji,it was too late.
Tufike kwa soko,kuna madhe mama mboga sasa,anauza vitu za nyumbani hapo,kuna nyanya,kuna ndimu,vitunguu na hata samaki,yani ni madhe mwanabiashara,anauza uza mboga hapa. Kuna pesa alikua anahesabu hapo lakini kumbe huku Kongowea wezi wamejaa,mbaya mbovu,madhe akiendelea kuhesabu pesa,alishtukia nini....pesa zimeenda πππalipiga nduru but akakumbuka Geofrey Mosiria atamkuta ilibidi anyamaze tu.
Huko ni sokoni,turudi kwa beach tena,kuna jamaa anaitwa Beka na Beka huwa na mpenzi,anaitwa Nura,kumbe Nura,alishuku Beka anadate na Aisha,lakini kumuuliza Beka akamwambia walai bilai mimi nakupenda tu wewe, Aisha ndio amebeba sikatai lakini wewe mrembo sana kumliko na siezi mdate Aisha mimi,wewe ndio wangu πππNura anakaa anaona aaai,uko sure wewe utaacha Aisha uende na mimi na venye Aisha amebeba,but Beka ni wanaume wazuri sana,alimwambia Nura,nakupenda wewe na napenda wewe peke yako.
Mida ya jioni, Brenda amerudi nyumbani kwao anamwambia venye kwa beach kuna jamaa alizama kwa maji. Mamake alimwambia sikiza wee msichana,usinikule kichwa,unaenda baharini na mimi huku naenda sokoni kuibiwa pesa ππkumbe Brenda na Mama Mboga ni mama na mtoto na niwashtue tu,huyu huyu Brenda ndio Aisha mwenye Nura anahofia sana Beka anamtaka πππsasa penye nimeeka Brenda toa uweke Aisha.
Moja kwa moja hadi hosipitali,Mwambili. Kuna jamaa anafanyiwa surgery,.makasi na visu ndio zinafanya tu ka